Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2026
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1

OPENING

2 1
USALAMA NYUMBANI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza
-kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku
-kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini
-kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku.
- kueleza masuala yanayozungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali
-kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu au mgeni mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku
-kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako? - -2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 75
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Mwalimu
- uk. 77
- Tamthilia
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Mijadala -Mazungumzo
2 2
Sarufi
Kuandika
Vivumishi: -Vivumishi vya Sifa
Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi katika matini
-kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini
-kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano.
- kutambua vivumishi vya sifa kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno
-kutenga vivumishi vya sifa katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali
-kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani
-kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vya sifa ipasavyo
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 79
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 82
- Kielelezo cha insha ya mdokezo
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
2 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza
-kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku
-kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini
-kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku.
- kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbalimbali kuhusu suala lengwa
-kutunga sentensi akitumia msamiati aliojifunza kuhusu usalama nyumbani
-kuandika muhtasari wa habari aliyosikiliza na kuwawasilishia wenzake
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako? - -2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 76
- Vifaa vya kidijitali
- Kinasasauti
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 78
- Tamthilia
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Mijadala -Mazungumzo
2 4
Sarufi
Vivumishi: -Vivumishi Viashiria
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi katika matini
-kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini
-kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano.
- kutambua vivumishi viashiria kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno
-kutenga vivumishi viashiria katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali
-kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usalama nyumbani
-kumsomea mzazi au mlezi kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria alivyotafiti mtandaoni
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 79
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
3 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo
Usikilizaji Husishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambanua
-kubainisha aina za insha ya mdokezo
-kujadili vipengele vya insha ya mdokezo
-kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika
-kufurahia kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu.
- kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi wa insha za mdokezo
-kuwasilisha insha yake darasani ili wenzake waitolee maoni
-kuwasilishia mzazi au mlezi insha aliyoiandika ili aitolee maoni
-kuboresha insha aliyoandika kutokana na maoni ya wenzake na kisha kuiwasilisha tena darasani
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha za mdokezo?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 83
- Kielelezo cha insha ya mdokezo
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 86
- Mgeni mwalikwa
- Mwalimu
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
3 2
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUMU

Kusoma
Sarufi
Ufupisho
Vivumishi: -Vivumishi Vimilikishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu
-kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho
-kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi.
- kueleza maana ya ufupisho akishirikiana na wenzake
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu akiwa na wenzake
-kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akishirikiana na wenzake
-kutambua kwenye matini andishi au ya kidijitali habari za kimsingi katika makala na kuzieleza kwa usahihi kwa kuzingatia mtazamo wa matini katika matini ya kufupishwa
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 92
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Rununu
- Projekta
- Kamusi mbalimbali
- uk. 98
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali k.m. katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini
3 3
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo
Usikilizaji Husishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
-kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
-kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri.
- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti)
-kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake
-kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 90
- Kielelezo cha insha ya maelezo
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 87
- Mgeni mwalikwa
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara -Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
3 4
Kusoma
Sarufi
Ufupisho
Vivumishi: -Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu
-kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho
-kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi.
- kueleza kwa maneno yake habari muhimu katika kifungu alichosoma
-kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishirikiana na wenzake
-kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni
-kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 93
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Rununu
- Kamusi mbalimbali
- uk. 98
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio
4 1
Kuandika
Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
-kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
-kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri.
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
-kujadiliana na wenzake kuhusu namna ambavyo tamathali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 91
- Kielelezo cha insha ya maelezo
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Vifaa vya kidijitali
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
4 2
UHALIFU WA MTANDAONI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Aina za Uzungumzaji: -Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Mandhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo
-kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji
-kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano.
- kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake
-kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo
-kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa yakitolewa na mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 99
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Picha
- Mwalimu
- uk. 102
- Tamthilia
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
4 3
Sarufi
Kuandika
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-ZI
Viakifishi: -Alama za Mtajo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi
-kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini
-kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi
-kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano.
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-ZI katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI
-kuchopoa nomino za ngeli I-ZI kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi
-kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-ZI
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI? - -2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 108
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 104
- Mifano ya matini zenye alama za uakifishi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
4 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Aina za Uzungumzaji: -Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Ploti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo
-kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji
-kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano.
- kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo akizingatia vipengele vifaavyo
-kubuni uzungumzaji mwepesi wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyo na kuwawasilishia wenzake ili wautathmini
-kujadiliana na wenzake kuhusu namna ambavyo uzungumzaji wa papo kwa hapo umeusaidia kuzielewa mbinu za kuchambua masimulizi
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 100
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Picha
- Mwalimu
- uk. 103
- Tamthilia
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
5 1
Sarufi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-I
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi
-kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini
-kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi
-kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano.
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-I
-kuchopoa nomino za ngeli I-I kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi
-kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-I
-kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI na I-I akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la uhalifu wa mtandaoni
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI? - -2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 109
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
5 2
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Viakifishi: -Mshazari
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini
-kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini
-kufurahia matumizi yafaayo ya alama za mtajo na mshazari katika matini.
- kutambua matumizi ya alama za mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali
-kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mshazari ipasavyo
-kushirikiana na wenzake kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo
-kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyostahili kuwa na alama za mtajo na mshazari
1. Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi? - -2. Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 105
- Vifaa vya kidijitali
- Mifano ya matini zenye alama za uakifishi
- Tarakilishi/vipakatalishi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 114
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
5 3
MAJUKUMU YA MNUNUZI

Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi.
-Kufasiri ujumbe katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi.
-Kuthamini kusoma vifungu vya ufahamu kwa ajili ya kujielimisha.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini).
-Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi akishirikiana na wenzake.
-Kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akishirikiana na wenzake.
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 116
-Kamusi
-Matini za ufahamu
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 123-124
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Tarakilishi
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
5 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi.
-Kutambua ukuzaji wa wazo katika aya za insha ya masimulizi.
-Kuonelea fahari insha zenye ukuzaji wa mawazo yaliyopangwa vizuri.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali.
-Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali.
-Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi.
-Kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo.
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 120
-Matini za kielelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 115
-Kamusi
Uangalizi -Insha iliyoandikwa -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Maswali ya mdomo
6 1
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza mbinu za ushawishi zinazotumika katika kifungu.
-Kuchanganua ushawishi katika kifungu cha ufahamu.
-Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu shawishi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu akishirikiana na wenzake.
-Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili wamtolee maoni.
-Kusakura mtandaoni ili kupata kifungu cha ufahamu cha kushawishi zaidi kuhusu majukumu ya mnunuzi na kukisoma.
-Kutambua mbinu za ushawishi zinazotumika katika vifungu alivyosoma.
Ni mambo gani yanayoweza kukushawishi kununua bidhaa fulani?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 117-119
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Matini za ufahamu
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 125-127
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Tarakilishi
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
6 2
Kuandika
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kupanga vidokezo vya insha ya masimulizi kwa utaratibu ufaao.
-Kuandika insha ya masimulizi akikuza wazo katika kila aya.
-Kufurahia kuandika insha za masimulizi zenye mpangilio mzuri wa mawazo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya.
-Kuandika insha ya masimulizi akizingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya na vipengele vinavyojenga mawazo hayo.
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni.
-Kushirikiana na wenzake kusahihisha insha ya maelezo aliyoandika kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya.
Je, ni vigezo vipi unavyozingatia katika kuandika insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 121-122
-Matini za kielelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Vidokezo vya insha
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Uangalizi -Insha iliyoandikwa -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Uwasilishaji wa insha
6 3
KUKABILIANA NA HISIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Hadithi: Hurafa
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza dhana ya hurafa na sifa zake.
-Kutambua ujumbe katika hurafa aliyosikiliza.
-Kuthamini hurafa kama kipera cha fasihi simulizi katika jamii.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali.
-Kueleza maana ya hurafa ili kuibainisha akishirikiana na wenzake.
-Kueleza ujumbe katika hurafa.
-Kujadili na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa.
Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanyama gani?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 129-130
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136
-Kitabu cha tamthilia
-Mwongozo wa mwalimu
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
6 4
Sarufi
Kuandika
Vinyume vya Vitenzi
Barua ya Kuomba Msaada
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maana ya kinyume katika vitenzi.
-Kutumia vinyume vya vitenzi katika sentensi na vifungu.
-Kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili maana ya kinyume akiwa na mwenzake.
-Kutambua vinyume vya vitenzi kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno.
-Kutambua vinyume vya vitenzi katika matini (k.v. orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno).
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati.
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 139-140
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Kapu maneno
-Chati
-Tarakilishi
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 137-138
-Kielelezo cha barua
-Vifaa vya kidijitali
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Zoezi la sentensi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
7 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Hadithi: Hekaya
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza dhana ya hekaya na sifa zake.
-Kusimulia hekaya akizingatia vipengele vya uwasilishaji.
-Kufurahia utambaji wa hekaya kama sehemu ya fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
-Kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza.
-Kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake na kujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo.
-Kuwasilisha hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
Je, hurafa na hekaya hutofautianaje?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 131-133
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136
-Kitabu cha tamthilia
-Video
-Mwongozo wa mwalimu
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Utambaji wa hadithi
7 2
Sarufi
Vinyume vya Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua vinyume vya vielezi mbalimbali.
-Kutumia vinyume vya vielezi kwa usahihi katika mawasiliano.
-Kuthamini umuhimu wa vinyume vya vielezi katika kuendeleza lugha.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo.
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kukabiliana na hisia.
-Kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi.
-Kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vielezi.
Je, unajua vinyume gani vya vielezi?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 141-143
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Kapu maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Zoezi la sentensi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
7 3
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Barua ya Kuomba Msaada
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutumia lugha ifaayo katika barua rasmi ya kuomba msaada.
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia mpangilio ufaao.
-Kufurahia kujieleza ifaavyo kwa njia ya barua rasmi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kuwasambazia wenzake kupitia mtandao ili waitolee maoni.
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe, muundo na lugha ifaayo.
-Kumsomea mzazi au mlezi barua aliyoiandika ili aitolee maoni.
Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unapoandika barua ya kuomba msaada?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 138
-Kielelezo cha barua
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maelezo
-Chati
-Kanuni za darasa
Uangalizi -Barua iliyoandikwa -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Uwasilishaji wa barua
7 4
HAKI ZA WATOTO

Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kuteua matini ifaayo ya kujisomea.
-Kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia.
-Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuteua matini ifaayo ya kujisomea.
-Kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyoisoma.
-Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia.
-Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua.
-Kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu.
1. Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia? -2. Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Vitabu vya kusoma
-Rasilimali za mtandaoni
-Vitabu vya marejeleo
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Kumbukumbu za usomaji -Vigezo vya tathmini -Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi
8

MID TERM ASSESSMENT & MARKING

9

MID TERM BREAK

10 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua vipengele vya insha ya maelezo.
-Kujadili vipengele vya insha ya maelezo.
-Kuonea fahari uandishi wa insha za maelezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali.
-Kutafiti maktabani au mtandaoni vipengele vya insha ya maelezo.
-Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyotafiti mtandaoni.
-Kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo.
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Mifano ya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Kadi za maelezo
-Kanuni za darasa
Insha zilizoandikwa -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Orodha hakiki -Vigezo vya tathmini
10 2
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia.
-Kutumia msamiati unaotokana na matini aliyosoma.
-Kuthamini umuhimu wa kusoma makala mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma.
-Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome.
-Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni.
1. Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia? -2. Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Vitabu vya kusoma
-Rasilimali za mtandaoni
-Vitabu vya marejeleo
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Kumbukumbu za usomaji -Vigezo vya tathmini -Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi
10 3
Kuandika
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kuandika insha ya maelezo ipasavyo kwa kuzingatia vipengele vyake muhimu.
-Kutumia lugha ifaayo katika kuandika insha ya maelezo.
-Kufurahia kuandika insha za maelezo katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni.
-Kushirikiana na wenzake kusahihisha insha walizoandika na kutoleana maoni kwa amani na upendo.
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Mifano ya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Insha zilizoandikwa -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Orodha hakiki -Vigezo vya tathmini
10 4
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Makini
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza.
-Kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake.
-Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake.
-Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza.
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maneno
-Chati
-Kanuni za darasa
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vitabu vya kusoma
-Video za mifano ya usomaji
-Maelezo ya kifungu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
11 1
Sarufi
Kuandika
Aina za Sentensi: Sentensi changamano
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kueleza maana ya sentensi changamano ili kuipambanua.
-Kutambua sentensi changamano katika matini.
-Kuthamini matumizi ya sentensi changamano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya sentensi changamano.
-Kutenga sentensi changamano katika orodha ya sentensi kwenye vitabu, chati au tarakilishi kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino.
-Kubainisha sentensi changamano zinazojitokeza katika matini.
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
11 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Makini
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuata mpangilio ufaao.
-Kueleza maana ya msamiati katika matini aliyosikiliza.
-Kuimarisha uwezo wa kusikiliza kwa makini.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuelezea mwenzake maana ya msamiati katika matini ya kusikiliza.
-Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuata mpangilio ufaao.
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maneno
-Chati
-Kanuni za darasa
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vitabu vya kusoma
-Video za mifano ya usomaji
-Maelezo ya kifungu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
11 3
Sarufi
Aina za Sentensi: Sentensi changamano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutumia sentensi changamano ipasavyo katika matini.
-Kutunga sentensi changamano sahihi.
-Kuonea fahari matumizi ya sentensi changamano katika mawasiliano ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi changamano ipasavyo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la magonjwa yasiyoambukizwa.
-Kuwawasilishia wenzake darasani sentensi changamano alizotunga ili wazitathmini.
-Kumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani.
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
11 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Hadithi: Wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi.
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake.
-Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni.
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni.
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Hadithi za kusoma
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
12 1
HESHIMA KWA TAMADUNI ZA WENGINE

Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
-Kuthamini matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu.
-Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni.
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168
-Vifaa vya kidijitali
-Tamthilia iliyoteuliwa
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
12 2
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Hadithi: Wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali.
-Kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali.
-Kuthamini umuhimu wa kutoa maelezo ya kujenga picha dhahiri.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vigezo vya kimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo.
-Kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha ya maelezo.
-Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo kutokana na kielelezo cha insha.
-Kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo.
-Kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa.
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Hadithi za kusoma
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Vigezo vya tathmini
12 3
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kulinganisha mbinu za lugha mbalimbali katika tamthilia.
-Kutumia mbinu za lugha aliozijifunza katika masimulizi yake.
-Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kufanya utafiti maktabani au mtandaoni kuhusu matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia aliyosoma.
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168
-Vifaa vya kidijitali
-Tamthilia iliyoteuliwa
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
12 4
Kuandika
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali.
-Kutumia lugha inayojenga picha dhahiri ya mahali.
-Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani.
-Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni.
-Kutolea insha za wenzake maoni kwa upendo.
-Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandika ili aitolee maoni.
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Vigezo vya tathmini
13

END TERM ASSESSMENT & MARKING

14

END TERM BREAK


Your Name Comes Here


Download

Feedback