Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2026
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
UTUNZAJI WA MALIASILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya vitendawili;
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili;
Kutambua vitendawili katika matini;
Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wake;
Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika tungo za fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya vitendawili;
Kueleza maana ya vitendawili;
Kutoa mfano wa kitendawili kutokana na maana aliyopata;
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili.
Unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 40
Kamusi
Mtandao salama
Kadi maneno
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 41
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua vitendawili; Kueleza maana ya vitendawili; Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji
2 2-3
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Ufasaha
Nyakati na Hali - -ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kueleza vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia matamshi bora;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kasi ifaayo;
Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ki- ya masharti katika matini;
Kueleza matumizi ya -ki- ya masharti;
Kutumia -ki- ya masharti ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ki- ya masharti ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusikiliza na kumtazama mwalimu akisoma kifungu;
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kueleza vipengele alivyotambua kwa kuzingatia ubora wa matamshi, kasi ya usomaji, kiwango cha sauti na kuambatanisha ishara zifaazo.
Mwanafunzi aelekezwe:
Nakili sentensi zilizo na -ki- ya masharti;
Tambua -ki- ya masharti katika sentensi kwa kuichorea mstari;
Eleza maana inayojitokeza katika sentensi za -ki- ya masharti;
Chagua sentensi zilizotumia -ki- ya masharti kati ya sentensi zilizotolewa.
Unazingatia mambo gani unaposoma kwa ufasaha?
-ki- ya masharti hutumiwa wakati gani katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 44
Kifungu cha nathari
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 50
Chati
Matini yenye sentensi za -ki- ya masharti
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 51
Karatasi zenye sentensi
Vifaa vya kidijitali
Kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha; Kusoma kwa kuzingatia matamshi bora; Kusoma kwa kasi ifaayo
Kutambua -ki- ya masharti; Kueleza matumizi ya -ki- ya masharti; Kutunga sentensi akitumia -ki- ya masharti
2 4
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali;
Kutambua lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kujadili lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kutumia lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kufurahia matumizi ya lugha ya kitamathali katika kuandika insha.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya tamathali;
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali;
Kutoa mifano ya tamathali za usemi;
Kusoma insha ya masimulizi na kutambua lugha ya kitamathali iliyotumika.
Lugha ya kitamathali huongeza ladha gani katika insha?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 47
Kamusi
Mtandao salama
Insha ya mfano
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali; Kutambua lugha ya kitamathali katika insha; Kutumia lugha ya kitamathali katika sentensi
3 1
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua wahusika katika insha ya masimulizi;
Kujadili matendo ya wahusika katika insha ya masimulizi;
Kujadili mandhari katika insha ya masimulizi;
Kuandika insha ya masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali, matendo ya wahusika na mandhari;
Kufurahia kuandika insha za masimulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutafuta maana ya wahusika;
Kusoma insha ya masimulizi;
Kutambua wahusika katika insha ya masimulizi;
Jadili matendo ya wahusika;
Jadili mandhari katika insha aliyosoma.
Unazingatia vipengele vipi unapoandika insha ya masimulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 48
Insha ya mfano
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua wahusika katika insha; Kujadili matendo ya wahusika; Kujadili mandhari katika insha
3 2-3
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Semi - Nahau
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya nahau;
Kutambua nahau katika matini;
Kueleza maana za nahau;
Kutumia nahau ipasavyo katika mawasiliano;
Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi.
Mwisho wa funzo,
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kasi ifaayo;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia ishara za mwili zifaazo;
Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya nahau;
Kueleza maana ya nahau;
Kutoa mfano wa nahau kutokana na maana aliyopata;
Jadili maana za nahau mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu cha nathari kuhusu maliasili akizingatia kasi ifaayo;
Kupimwa idadi ya maneno anayosoma kwa muda wa dakika moja;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma akiambatanisha ishara zifaazo.
Nahau hutumiwa kwa nini katika mawasiliano?
Kwa nini ni muhimu kusoma kwa kasi ifaayo?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 42
Kamusi
Mtandao salama
Kadi za nahau
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 43
Hadithi ya sungura
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 45
Kifungu cha nathari
Saa ya kidijitali
Kutambua nahau; Kueleza maana za nahau; Kutumia nahau ipasavyo katika sentensi
Kusoma kwa kasi ifaayo; Kusoma kwa kiwango kifaacho cha sauti; Kusoma akitumia ishara zifaazo
3 4
Sarufi
Kuandika
Nyakati na Hali - -ka- ya kufuatana kwa vitendo
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ka- ya kufuatana kwa vitendo katika matini;
Kueleza matumizi ya -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ka- ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma sentensi zenye -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutambua sentensi zenye -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutunga sentensi akitumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kusomea mwenzake sentensi alizozitunga.
-ka- ya kufuatana kwa vitendo hutumiwa wakati gani katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 51
Karatasi zenye sentensi
Kadi za maneno
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 49
Orodha ya tathmini
Karatasi za kuandikia
Kutambua -ka- ya kufuatana kwa vitendo; Kutunga sentensi akitumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo; Kufanya tathmini
4 1
MITAZAMO HASI YA KIJINSIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Ufahamu wa Kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya ufahamu wa kusikiliza;
Kueleza vipengele vya ufahamu wa kusikiliza;
Kusikiliza na kujibu maswali ya ufahamu wa kusikiliza;
Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikiliza.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutazama picha ya wanafunzi wanasikiliza runinga;
Kueleza maana ya ufahamu wa kusikiliza kwa kuzingatia matendo katika picha;
Jadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza.
Je, unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kujibu mjadala?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 52
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua kanuni za ufahamu wa kusikiliza; Kusikiliza kwa makini; Kujibu maswali ya ufahamu wa kusikiliza
4 2-3
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Ufahamu
Hali za Masharti - -nge-
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu;
Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu;
Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu;
Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari.
Mwisho wa funzo,
Kutambua matumizi ya hali ya masharti -nge-;
Kutumia hali ya masharti -nge- ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti -nge- ili kukuza ufasaha wa lugha.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu kinachohusu mitazamo hasi ya kijinsia;
Kudondoa habari mahususi katika kifungu kwa kujibu maswali yaliyotolewa;
Kujadili maswali na majibu na wenzake.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia hali ya masharti -nge- kutunga sentensi tano;
Kutunga kifungu cha aya moja kilicho na vitenzi vilivyo katika hali ya masharti -nge-;
Kusoma kifungu alichoandika kwa wenzake.
Je, unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu cha ufahamu kwa usahihi?
Ni tofauti gani kati ya hali ya masharti -nge- na -ngali-?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 55
Kifungu cha ufahamu
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 60
Chati
Kadi maneno
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 61
Karatasi za kuandikia
Vifaa vya kidijitali
Kudondoa habari mahususi; Kupanga matukio kwa mtiririko; Kujibu maswali
Kutunga sentensi akitumia hali ya masharti -nge-; Kuandika kifungu cha aya kilicho na hali ya masharti -nge-; Kusahihisha sentensi na vifungu vya wenzake
4 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kiuamilifu - Shajara
Ufahamu wa Kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya shajara;
Kujadili vipengele vya shajara;
Kutambua vipengele vya shajara katika kielelezo;
Kuchangamkia kuandika shajara ili kuweka kumbukumbu ya matukio muhimu.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma maandishi katika kijitabu;
Kueleza maana ya shajara kutokana na maandishi aliyosoma;
Kusoma tena insha ya shajara ya kibinafsi;
Jadili vipengele vya shajara aliyosoma.
Kwa nini watu hutumia shajara?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 57
Kijitabu cha shajara
Mfano wa shajara
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 53
Kifaa cha kidijitali
Kifungu cha ufahamu
Kueleza maana ya shajara; Kutambua vipengele vya shajara; Kutunga sentensi za kibinafsi za kuweka katika shajara
5 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu;
Kueleza maana ya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu;
Kutumia msamiati unaotokana na kifungu cha ufahamu ipasavyo;
Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma tena kifungu cha ufahamu;
Kufanya utabiri na ufasiri kuhusu nini kingetokea iwapo waajiri wasingebagua waajiriwa kwa misingi ya kijinsia;
Kueleza maana ya msamiati uliotumika katika kifungu;
Kutunga sentensi akitumia msamiati huo.
Je, utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu cha ufahamu?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 56
Kamusi
Chati
Karatasi
Kufanya utabiri na ufasiri; Kueleza maana ya msamiati; Kutunga sentensi akitumia msamiati
5 2-3
Sarufi
Kuandika
Hali za Masharti - -ngali-
Insha za Kiuamilifu - Shajara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua matumizi ya hali ya masharti -ngali-;
Kueleza matumizi ya hali ya masharti -ngali-;
Kutumia hali ya masharti -ngali- ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti -ngali- ili kukuza ufasaha wa lugha.
Mwisho wa funzo,
Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake;
Kufanya marekebisho ya shajara;
Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma sentensi zenye hali ya masharti -ngali-;
Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya masharti -ngali-;
Kutambua vitenzi ambavyo vinaonyesha hali ya masharti -ngali-;
Kueleza matumizi ya hali ya masharti -ngali-.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandika shajara kuonyesha shughuli zake za siku mojawapo shuleni;
Kusomea mwenzake shajara aliyoandika;
Kuomba maoni ya mwenzake kuhusu shajara yake;
Kuandika nakala safi ya shajara yake.
Kiambishi -ngali- kinatofautianaje na -nge-?
Ni vipengele vipi muhimu katika shajara?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 61
Chati
Karatasi zenye sentensi
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 62
Karatasi za kuandikia
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 58
Karatasi za kuandikia
Vifaa vya kidijitali
Kutambua hali ya masharti -ngali-; Kueleza matumizi ya hali ya masharti -ngali-; Kutunga sentensi akitumia hali ya masharti -ngali-
Kuandika shajara; Kusahihisha shajara; Kusoma shajara kwa wenzake
5 4
USALAMA BARABARANI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya kusikiliza kwa kufasiri;
Kueleza jinsi maneno, ishara na sauti zinasaidia katika kufasiri ujumbe;
Kusikiliza na kufasiri ujumbe wa matini;
Kujenga mazoea ya kutambua msimamo na mielekeo katika matini.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya kusikiliza kwa kufasiri;
Kueleza jinsi mambo kama maneno, ishara na kiwango cha sauti vinachangia katika kusikiliza na kufasiri ujumbe;
Kutazama picha na kusikiliza kifungu.
Ni misimamo gani iliyopo katika matini ulizowahi kuzisikiliza?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 63
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kueleza maana ya kusikiliza kwa kufasiri; Kueleza jinsi maneno, ishara na sauti zinachangia katika kufasiri ujumbe; Kusikiliza na kufasiri ujumbe
6

Exams

7

Midterm

8 1
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Vielezi vya Namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya maudhui;
Kutambua maudhui katika shairi;
Kujadili maudhui katika shairi;
Kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui;
Kufurahia kuchambua mashairi kwa kuzingatia maudhui.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kazi yoyote ya fasihi kueleza mambo yanayozungumziwa humo;
Kutazama kitabu cha fasihi atakachoonyeshwa na mwalimu;
Kueleza maana ya maudhui;
Kutafiti mtandaoni salama maana ya maudhui katika kazi za fasihi.
Je, shairi ulilowahi kusoma lilikuwa linazungumzia nini?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 65
Kitabu cha fasihi
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 70
Chati
Karatasi zenye sentensi
Kamusi
Kueleza maana ya maudhui; Kutambua maudhui katika shairi; Kujadili maudhui katika shairi
8 2-3
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Vielezi vya Namna
Insha za Kubuni - Methali
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua aina mbalimbali za vielezi vya namna;
Kueleza aina mbalimbali za vielezi vya namna;
Kutumia vielezi vya namna ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vielezi vya namna katika matini mbalimbali.
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya insha za methali;
Kujadili vipengele vya insha ya methali;
Kuandika insha ya methali kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika;
Kufurahia kufasiri methali na kuziandikia insha zinazoafiki ili kujenga ubunifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuzingatia vielezi vya namna kama halisi, hali, tumizi, vikariri, mkazo, viigizi na kifani;
Kamilisha sentensi kwa kuchagua vielezi sahihi vya namna;
Kutumia vielezi vya namna kutunga sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kielelezo cha insha ya methali;
Kutambua tamathali iliyotumika katika anwani ya insha;
Kueleza maana ya insha za methali kutokana na kielelezo;
Jadili vipengele vya insha ya methali kutokana na kielelezo.
Vielezi vya namna huchangia vipi katika mawasiliano?
Unahitaji kufanya nini unapoandika insha ya methali?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 71
Kadi za vielezi vya namna
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 68
Kielelezo cha insha ya methali
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 64
Kifungu cha kusomewa
Kutambua aina za vielezi vya namna; Kujaza pengo kwa vielezi vya namna; Kutunga sentensi akitumia vielezi vya namna
Kueleza maana ya insha za methali; Kutambua vipengele vya insha ya methali; Kujadili vipengele vya insha ya methali
8 4
Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya dhamira;
Kutambua dhamira katika shairi;
Kujadili dhamira katika shairi;
Kuchambua shairi kwa kuzingatia dhamira;
Kufurahia kuchambua mashairi kwa kuzingatia dhamira.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma shairi "Ajali tuzilaani";
Kujadili maudhui katika shairi alilosoma;
Kujadili dhamira katika shairi;
Kuandika maudhui na dhamira katika daftari.
Je, unavutiwa na nini unaposoma shairi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 66
Shairi "Ajali tuzilaani"
Chati
Kueleza maana ya dhamira; Kutambua dhamira katika shairi; Kujadili dhamira katika shairi
9 1
Sarufi
Vielezi vya Wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vielezi vya wakati katika matini;
Kueleza maana ya vielezi vya wakati;
Kutumia vielezi vya wakati ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vielezi vya wakati katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vielezi vya wakati katika sentensi kwa kuvipigia mstari;
Kutambua vielezi vya wakati katika kifungu;
Kutumia vielezi vya wakati kutunga sentensi;
Kutofautisha vielezi vya wakati na vielezi vya namna.
Je, vihusishi vya wakati vinatumika wakati gani?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 72
Chati
Matini yenye vielezi vya wakati
Vifaa vya kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 73
Kadi za vielezi vya wakati
Kutambua vielezi vya wakati; Kujaza pengo kwa vielezi vya wakati; Kutunga sentensi akitumia vielezi vya wakati
9 2-3
Kuandika
HUDUMA KATIKA ASASI ZA KIJAMII

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Insha za Kubuni - Methali
Kusikiliza kwa Kutathmini
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kuandika insha ya methali kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika;
Kufanya marekebisho ya insha ya methali;
Kufurahia kufasiri methali na kuziandikia insha zinazoafiki ili kujenga ubunifu.
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini;
Kubainisha vipengele vya kusikiliza kwa kutathmini;
Kusikiliza na kutathmini ujumbe wa matini;
Kuchangamkia kusikiliza kwa kutathmini ili kukuza stadi ya kusikiliza.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuchagua methali moja kuhusu usalama barabarani kati ya methali zilizopendekezwa;
Kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya methali;
Kuandika insha ya methali;
Kusoma na mwenzako insha ya methali aliyoandika.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutazama picha ya vituo vya huduma na kueleza shughuli zinazotendeka;
Kusikiliza mazungumzo katika kifaa cha kidijitali;
Kutambua vipengele vya kusikiliza kwa kutathmini;
Kujadili vipengele vya kutathmini katika mazungumzo aliyosikiliza.
Je, kwa nini mwanafunzi anahitaji kujua vipengele vya insha ya methali?
Unazingatia nini kutambua ikiwa mzungumzaji anasema ukweli?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 69
Jedwali la tathmini
Karatasi za kuandikia
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 75
Picha
Kifaa cha kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 78
Vifungu vya ufahamu
Kuandika insha ya methali; Kufafanua ujumbe wa insha; Kusahihisha insha
Kubainisha vipengele vya kusikiliza kwa kutathmini; Kutambua vipengele vya kusikiliza kwa kutathmini; Kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini
9 4
Sarufi
Vielezi vya Mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vielezi vya mahali katika matini;
Kueleza matumizi ya vielezi vya mahali;
Kutumia vielezi vya mahali ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vielezi vya mahali katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutazama mafungu ya maneno yenye vielezi vya mahali;
Kupigia mstari mafungu yanayoeleza mahali ambapo kitendo kinafanyika;
Kutambua vielezi vya mahali katika sentensi;
Kutunga sentensi akitumia vielezi vya mahali vifuatavyo: shuleni, kwenye soko, Kenya, ndani ya mto, gwarideni, katika gari.
Vielezi vya mahali huundwaje?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 84
Mafungu ya maneno
Chati
Kutambua vielezi vya mahali; Kutunga sentensi akitumia vielezi vya mahali; Kupigia mstari vielezi vya mahali katika kifungu
10 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni - Maelezo
Kusikiliza kwa Kutathmini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya insha za maelezo;
Kutambua vipengele vya lugha inayoathiri hisia mbalimbali katika insha za maelezo;
Kueleza umuhimu wa kutumia lugha inayoathiri hisia katika insha za maelezo;
Kuandika insha ya maelezo akitumia lugha inayoathiri hisia mbalimbali;
Kufurahia kutumia lugha inayoathiri hisia katika insha za maelezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kielelezo cha insha ya maelezo;
Kudondoa na kuandika mafungu ya maneno yanayogusa hisia;
Kutambua jinsi matumizi ya tashbihi, chuku, maswali ya balagha, na ulinganishi wa hali kinzani yalivyoathiri hisia;
Kujadili umuhimu wa lugha inayoathiri hisia katika insha.
Je, ni nini kinafanya maelezo katika insha kudhihirika?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 82
Kielelezo cha insha ya maelezo
Kamusi
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 76
Mazungumzo kwenye kifaa cha kidijitali
Kueleza maana ya insha za maelezo; Kutambua vipengele vya lugha inayoathiri hisia; Kueleza umuhimu wa lugha inayoathiri hisia katika insha
10 2-3
Kusoma
Sarufi
Ufupisho
Vielezi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya ufupisho;
Kufupisha kifungu kwa idadi maalum ya maneno;
Kuchangamkia kufupisha vifungu kwa mpangilio ufaao;
Kuheshimu maagizo ya ufupisho.
Mwisho wa funzo,
Kutambua vielezi vya idadi katika matini;
Kueleza maana ya vielezi vya idadi;
Kutumia vielezi vya idadi ipasavyo katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vielezi vya idadi katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu cha hadithi kilichotolewa;
Kufupisha kifungu kwa maneno 110-115;
Kusomea mwenzake ufupisho wake ili apate maoni;
Kuandika nakala safi ya ufupisho.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutazama kiwambo cha tarakilishi chenye mafungu ya maneno;
Kutambua sentensi zinazoeleza kitendo kimetendwa mara ngapi;
Kupigia mstari vielezi vya idadi katika kifungu;
Kutumia vielezi vya idadi vifuatavyo: mara mbili, mara nyingi, siku saba, juma moja, mara chache, minara kadhaa.
Mbinu zipi zinasaidia kufupisha kifungu kwa kuzingatia idadi ya maneno inayohitajika?
Vielezi vya idadi hutumiwa vipi katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 79
Kifungu cha hadithi
Karatasi za kuandikia
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 85
Kiwambo cha tarakilishi
Matini yenye vielezi vya idadi
Kufupisha kifungu kwa idadi maalum ya maneno; Kupangilia habari kwa mtiririko wa maana; Kuzingatia vipengele vya ufupisho
Kutambua vielezi vya idadi; Kutunga sentensi akitumia vielezi vya idadi; Kupigia mstari vielezi vya idadi katika kifungu
10 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni - Maelezo
Uzungumzaji wa Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kuandika insha ya maelezo akitumia lugha inayoathiri hisia mbalimbali;
Kufanya marekebisho ya insha ya maelezo;
Kuheshimu maoni ya wengine katika uandishi wa insha za maelezo;
Kufurahia kutumia lugha inayoathiri hisia katika insha za maelezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandika insha ya maelezo kuhusu asasi moja ya kijamii inavyowahudumia watu;
Kutumia lugha inayoathiri hisia mbalimbali;
Kusomea mwenzake insha aliyoandika ili apate maoni;
Kuandika upya insha yake akizingatia maoni aliyopewa na mwenzake.
Je, matumizi ya lugha inayoathiri hisia huleta msisitizo upi katika insha ya maelezo?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 83
Vifaa vya kidijitali
Karatasi za kuandikia
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 88
Video ya mzungumzaji
Picha za miktadha ya uzungumzaji
Kuandika insha ya maelezo akitumia lugha inayoathiri hisia; Kufanya marekebisho ya insha; Uwasilishaji wa insha kwa mwalimu
11 1
MISUKOSUKO YA KIJAMII

Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya mandhari;
Kutambua mandhari katika shairi;
Kueleza umuhimu wa mandhari katika shairi;
Kuchambua mandhari katika shairi;
Kuchangamkia usomaji wa mashairi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutafuta kwenye kamusi au mtandaoni maana ya neno mandhari;
Kusoma shairi "Misukosuko ya nini?";
Kutambua mandhari katika shairi, akizingatia mahali matukio yanapotokea na kipindi cha matukio yanayorejelewa;
Kueleza umuhimu wa mandhari katika shairi.
Shairi ni nini?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 91
Kamusi
Shairi "Misukosuko ya nini?"
Kueleza maana ya mandhari; Kutambua mandhari katika shairi; Kueleza umuhimu wa mandhari katika shairi
11 2-3
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Viakifishi - Mabano
Uzungumzaji wa Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua nomino za ngeli ya U-ZI;
Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-ZI;
Kutumia nomino za ngeli ya U-ZI katika matini;
Kuheshimu maoni ya wenzake;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya ngeli ya U-ZI katika mawasiliano.
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi;
Kutumia vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi katika uzungumzaji wake;
Kutoa uzungumzaji wa kushawishi;
Kufurahia kutumia vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua nomino za ngeli ya U-ZI katika mnyororo wa nomino;
Kusoma sentensi zenye nomino za ngeli ya U-ZI katika jedwali la umoja na wingi;
Kutambua kiambishi cha upatanisho wa kisarufi cha ngeli ya U-ZI;
Kutunga sentensi katika umoja na wingi akitumia nomino za ngeli ya U-ZI.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusikiliza uzungumzaji wa kushawishi kutoka kwa mwalimu au kifaa cha kidijitali;
Kujadili vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi kama ujumbe, lugha shawishi, upangaji wa hoja, ishara za mwili;
Kubuni mazungumzo kuhusu jinsi ya kusuluhisha migogoro ya kijamii;
Kutoa mazungumzo aliobuni mbele ya wenzake.
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-ZI?
Vipengele vipi ni muhimu katika uzungumzaji wa kushawishi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 95
Mnyororo wa nomino
Jedwali la sentensi
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 93
Sentensi zenye mabano
Kifungu cha kuakifisha
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 89
Kifaa cha kidijitali
Jedwali la tathmini
Kutambua nomino za ngeli ya U-ZI; Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi; Kutunga sentensi zenye nomino za ngeli ya U-ZI
Kutambua vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi; Kutumia vipengele vya uzungumzaji wa kushawishi; Kutoa uzungumzaji wa kushawishi
11 4
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya muundo wa shairi;
Kutambua vipengele vya muundo wa shairi;
Kuchambua muundo wa shairi kwa kutumia vipengele maalum;
Kuheshimu maoni ya wengine kuhusu muundo wa shairi;
Kufurahia kusoma mashairi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma tena shairi "Misukosuko ya nini?";
Kujibu maswali kuhusiana na idadi ya beti, mishororo, vipande, mizani, vina na mtiririko wa mishororo ya mwisho;
Kusoma shairi lingine kutoka katika diwani iliyopendekezwa;
Kuchambua shairi kwa kuzingatia mandhari na muundo wa shairi.
Umewahi kusoma shairi kuhusu nini?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 92
Shairi "Misukosuko ya nini?"
Diwani iliyopendekezwa
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 96
Orodha ya nomino za ngeli ya YA-YA
Sentensi za umoja na wingi
Kutambua vipengele vya muundo wa shairi; Kuchambua muundo wa shairi; Uwasilishaji wa kazi kwa mwalimu
12 1
Kuandika
Viakifishi - Kistari Kifupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua matumizi ya kistari kifupi katika matini;
Kueleza matumizi ya kistari kifupi;
Kutumia kistari kifupi ipasavyo katika matini;
Kufurahia matumizi yafaayo ya kistari kifupi katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma vifungu vyenye kistari kifupi;
Kutambua matumizi ya kistari kifupi katika tarehe, kuonyesha neno linaendelea mstari unaofuata, kuonyesha sauti imedumishwa, kuonyesha herufi zitakazoongezwa, kuunganisha maneno mawili na kuonyesha kipindi cha muda;
Kutunga sentensi tano akitumia kistari kifupi.
Kistari kifupi hutumiwa kufanya nini katika kuandika?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 94
Vifungu vyenye kistari kifupi
Karatasi za kuandikia
Kutambua matumizi ya kistari kifupi; Kueleza matumizi ya kistari kifupi; Kutumia kistari kifupi ipasavyo
12 2-3
MATUMIZI YA VIFAA VYA KIDIJITALI KATIKA BIASHARA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza kwa Kina - Sauti /j/ na /nj/
Ufahamu wa Kifungu cha Kushawishi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua sauti /j/ na /nj/ katika maneno;
Kutamka maneno yenye sauti /j/ na /nj/ ipasavyo;
Kutofautisha sauti /j/ na /nj/ kimatamshi;
Kuchangamkia matamshi bora ya sauti /j/ na /nj/ katika mazungumzo ya kawaida.
Mwisho wa funzo,
Kutambua nomino za ngeli ya LI;
Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya LI;
Kutumia nomino za ngeli ya LI katika matini;
Kuheshimu maoni ya wenzake;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya ngeli ya LI katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua sauti /j/ na /nj/ katika maneno kwenye kapu la maneno;
Kunakili maneno aliyoyatambua na kupigia mstari sauti /j/ na /nj/;
Kumtamkia mwenzake maneno hayo;
Kumtamkia mwenzake maneno mengine anayojua yenye sauti /j/ na /nj/.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kunakili sentensi zenye nomino za ngeli ya LI;
Kutambua kiambishi cha upatanisho wa kisarufi katika sentensi alizonakili;
Kusoma maneno yaliyo kwenye chati;
Kutambua nomino za ngeli ya LI katika maneno yaliyo kwenye chati;
Kutumia nomino za ngeli ya LI kutunga sentensi.
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti /j/ na /nj/?
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya LI?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 98
Kapu la maneno
Ujumbe wa kibiashara
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 100
Makala ya Lena
Kamusi
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 105
Sentensi zenye nomino za ngeli ya LI
Chati ya maneno
Kutambua sauti /j/ na /nj/ katika maneno; Kutamka maneno yenye sauti /j/ na /nj/; Kutofautisha sauti /j/ na /nj/ kimatamshi
Kutambua nomino za ngeli ya LI; Kutambua kiambishi cha upatanisho wa kisarufi; Kutumia nomino za ngeli ya LI kutunga sentensi
12 4
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kusikiliza kwa Kina - Sauti /j/ na /nj/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza ukuzaji wa wazo baina ya aya za insha ya masimulizi;
Kutambua vipengele vya ukuzaji wa wazo baina ya aya za insha ya masimulizi;
Kubainisha vipengele vya ukuzaji wa wazo baina ya aya za insha ya masimulizi;
Kupenda kutumia vipengele vya ukuzaji wa wazo baina ya aya za insha ya masimulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma mojawapo ya insha za masimulizi zilizohifadhiwa kwenye potifolio;
Kueleza mawazo yalivyokuzwa baina ya aya;
Kutambua vipengele vya ukuzaji wa wazo katika insha aliyoisoma;
Kutambua wazo kuu, maelezo, mifano na hitimisho katika kila aya.
Je, unafanya nini ili kulikuza wazo baina ya aya za insha ya masimulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 103
Insha za masimulizi zilizohifadhiwa
Karatasi za kuandikia
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 99
Kifaa cha kidijitali
Jozi za maneno zenye sauti /j/ na /nj/
Kueleza ukuzaji wa wazo baina ya aya; Kutambua vipengele vya ukuzaji wa wazo; Kubainisha vipengele vya ukuzaji wa wazo
13 1
Kusoma
Ufahamu wa Kifungu cha Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana za maneno kama yalivyotumiwa katika kifungu cha kushawishi;
Kutumia msamiati unaotokana na kifungu cha kushawishi ipasavyo;
Kutambua lugha shawishi katika kifungu;
Kuchangamkia usomaji wa kifungu cha kushawishi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana za maneno yafuatayo: "msilaze damu", "ajira", "kupigia debe", "alinasa makini", "imenikimu", "kuchuuza";
Kutunga sentensi akitumia maneno hayo;
Sakura katika mtandao kifungu kuhusu matumizi ya vifaa vya kidijitali katika biashara;
Kujibu maswali baada ya kusoma kifungu.
Unawezaje kugundua kuwa mwandishi wa kifungu anajaribu kukushawishi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 101
Jedwali la tathmini
Mtandao salama
Kueleza maana za maneno; Kutumia maneno katika sentensi; Kutambua lugha shawishi
13 2-3
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi
Insha za Kubuni - Masimulizi
Mazungumzo - Malumbano ya Utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua nomino za ngeli ya KU na PA-KU-MU;
Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya KU na PA-KU-MU;
Kutumia nomino za ngeli ya KU na PA-KU-MU katika matini;
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya ngeli ya KU na PA-KU-MU katika mawasiliano.
Mwisho wa funzo,
Kuandika insha ya masimulizi inayozingatia ukuzaji wa wazo baina ya aya;
Kufanya marekebisho ya insha ya masimulizi;
Kushirikiana na wenzake katika uandishi wa insha ya masimulizi;
Kufurahia kuandika insha za masimulizi zinazozingatia ukuzaji wa wazo baina ya aya.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kunakili sentensi zenye nomino za ngeli ya KU;
Kutambua viambishi vya upatanisho wa ngeli ya KU kwa kuvipigia mstari;
Kusoma nomino kwenye kadi;
Kutambua nomino za ngeli ya KU kutoka kwenye kadi;
Kutumia nomino katika ngeli ya KU kutunga sentensi;
Nakili sentensi zenye viambishi vya ngeli ya PA-KU-MU.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandaa vidokezo vya insha ya masimulizi kuhusu "Mfanyabiashara alivyotumia vifaa vya kidijitali kuendeleza biashara";
Kuandika maelezo yatakayokuza kila kidokezo;
Kuandika insha ya masimulizi;
Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili wampe maoni yao.
Je, viambishi vya ngeli ya PA-KU-MU vinatofautiana vipi?
Je, ni vipengele vipi vya ukuzaji wa wazo baina ya aya muhimu zaidi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 106
Sentensi zenye nomino za ngeli ya KU
Kadi za nomino
Sentensi zenye viambishi vya ngeli ya PA-KU-MU
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 104
Vidokezo vya insha
Karatasi za kuandikia
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 108
Picha
Maigizo ya malumbano ya utani
Kifaa cha kidijitali
Kutambua nomino za ngeli ya KU na PA-KU-MU; Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi; Kutunga sentensi zenye nomino za ngeli ya KU na PA-KU-MU
Kuandika insha ya masimulizi; Kufanya marekebisho ya insha; Kuwasomea wenzake insha
13 4
KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO

Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya wahusika katika fasihi.
Kutambua wahusika katika shairi.
Kujadili sifa za wahusika katika shairi.
Kuchangamkia kutambua wahusika katika mashairi mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutaja majina ya watu katika novela au tamthilia alizosoma.
Kueleza maana ya wahusika.
Kusoma shairi "Uwele huu ni gani?" ukurasa wa 110.
Kutambua wahusika katika shairi alilosoma kwa kujibu maswali.
Je, wahusika ni nani katika kazi ya fasihi?
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 110
Diwani ya mashairi
Kamusi
Vifaa vya kidijitali
Kueleza maana ya wahusika katika fasihi Kutambua wahusika katika shairi Kujadili sifa za wahusika katika shairi
14 1
Sarufi
Kuandika
Vinyume vya Vihusishi
Barua ya Kuomba Kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya vinyume vya vihusishi.
Kutambua vinyume vya vihusishi katika matini.
Kutumia vinyume vya vihusishi katika sentensi.
Kufurahia kutunga sentensi zenye vinyume vya vihusishi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kulinganisha picha za A na B.
Kujadili na mwenzake uhusiano wa vitu katika picha za A na B.
Kueleza maana ya vinyume vya vihusishi.
Kutambua kihusishi na kinyume chake katika jedwali lililotolewa.
Je, vinyume vya vihusishi vinatumikaje katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 115
Picha
Chati ya vihusishi na vinyume vyake
Majedwali
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 113
Kielelezo cha barua rasmi ya kuomba kazi
Chati ya vipengele vya barua rasmi
Kifaa cha kidijitali
Kueleza maana ya vinyume vya vihusishi Kutambua vihusishi na vinyume vyake Kuandika vihusishi na vinyume vyake
14 2-3
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Mazungumzo - Malumbano ya Utani
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Vinyume vya Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza mambo yanayosimuliwa katika malumbano ya utani.
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani.
Kuwasilisha malumbano ya utani kwa kutumia vipengele vya kimsingi.
Kuchangamkia kuwasilisha malumbano ya utani kwa kutumia vipengele vya kimsingi.
Mwisho wa funzo,
Kutambua wahusika katika shairi.
Kujadili sifa za wahusika katika shairi.
Kuchambua wahusika katika shairi.
Kuchangamkia kutambua wahusika katika mashairi mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuigiza malumbano ya utani ya nyanya na mjukuu.
Kujadili na wenzake sifa za malumbano ya utani.
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani.
Kuwasilisha malumbano ya utani akizingatia vipengele vya uwasilishaji.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma tena shairi "Uwele huu ni gani?"
Kujadili sifa za wahusika.
Kutambua hisia, tabia, na matendo ya wahusika.
Kusoma diwani ya mashairi iliyopendekezwa na mwalimu.
Kuchambua shairi moja kwa kuzingatia sifa za wahusika.
Je, ni nini vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa malumbano ya utani?
Je, ni vigezo gani vinatumika kutambua wahusika katika shairi?
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 109
Picha
Kifaa cha kidijitali
Chati ya vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 111-112
Diwani ya mashairi
Chati ya sifa za wahusika
Kifaa cha kidijitali
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 116-117
Vifaa vya kidijitali
Orodha ya vihusishi na vinyume vyake
Kifungu cha ufahamu
Kuigiza malumbano ya utani Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani Kuwasilisha malumbano ya utani
Kutambua wahusika katika shairi Kujadili sifa za wahusika katika shairi Kuchambua shairi kutoka kwenye diwani
14 4
Kuandika
Barua ya Kuomba Kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya barua rasmi ya kuomba kazi.
Kuandika barua rasmi ya kuomba kazi kwa kuzingatia vipengele vyake.
Kufurahia kuandika barua rasmi ya kuomba kazi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma tena barua ya kuomba kazi iliyotolewa kielelezo.
Kutayarisha vidokezo vya barua rasmi ya kuomba kazi ya msimu ya kuuza bidhaa katika duka kuu.
Kuandika barua rasmi ya kuomba kazi hiyo akizingatia vipengele vyake pamoja na lugha ifaayo.
Kumweleza mwenzake barua yake ili atolewe maoni.
Je, ni vidokezo vipi vifaa kuzingatiwa kabla ya kuandika barua rasmi ya kuomba kazi?
KLB Top Scholar Kiswahili Gredi ya 9 uk. 114
Kielelezo cha barua ya kuomba kazi
Orodha ya vipengele vya barua rasmi
Kifaa cha kidijitali
Kuandika barua rasmi ya kuomba kazi Kutambua makosa katika barua Kurekebisha barua kulingana na maoni ya wenzake

Your Name Comes Here


Download

Feedback