Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2026
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
Usafi wa mazingira Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo :
-Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala
-Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala
-Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali
-Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari
-Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala
-Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake .
-Ashiriki mjadala darasani na wenzake.
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi
Chati kudi mane matini ya mwalimu
-Kitambua -Kuuliza na kujibu maswali . -Orodha hakiki -Kueleza -Kushiriki mjadala .
2 2
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu simulizi
-Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza kuelwa habari
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kusoma kifunguu cha simulizi kwa zamu katika kifungo cha habari.
-Atambue habari mahususi katika kifungo cha simulizi kuhusu suala lengwa
-Andondoe habari muhimu katika kifungu cha simulizi
-Apange matkio yanavyofuatana katika kifungu
-Ajibu maswali ya ufahamu.
Je unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu simulizi ?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6.
-Picha
-Michoro vifaa vya kidijitali .
-kusoma kutambua . -Kujibu maswali . -Kufanyia na tathmini .
2 3
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi
-kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu
-Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi.
-Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma
-Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha
-Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi.
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati
-Kamusi
-Matin ya mwalimu .
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Wanafunzi kufanyia na tathmini .
2 4
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kueleza maana ya vihusishis
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani
-Kuchamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katka matni mbali mbali.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Katika makundi waili waili au peke yake aelekezwe:
-kueleza maana ya vihusishi vya mahali
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani.
-Achangamkie kutumia vihusishi vya mhali katika matani mbali mbali
Je ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno
-Matini ya mwalimu
-kujaza pengo -Kuuliza Maswal na majibu -Kutunga sentensi -Kufanyiana tathmini
3 1
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
3 2
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
3 3
sarufi
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani
-kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini
-Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko .
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Matini ya mwalimu.
-kutambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kufanya tathmini .
3 4
sarufi
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya sababu katika matani
-kutumia vihusishi vya sababu ipasavyo katika matani.
-Kuchangamkia matumizi ya vihusishi katika mawasiliano
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua vihusishi vya sababu kutoka kwa kapu la maneno au kadi maneno au tarakilishi
-kutambua vihusishi vya sababu katika sentensi kwa kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi na vifungu vifupi kwa kutumia vihusishi vya sababu akizingatia masuno mtambuko
Je vihusishi vya - A- unganifu na vya sababu hutofautiana vipi ?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-Kutambua -Kutunga sentensi -Tathmini ya mwanafunzi -Orodha hakiki .
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . (sitiari na methali )
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi .
-Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi
4 3
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
4 4
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
5 1
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma mashairi katika diwani teule
-kutambua sifa za shairi katika mashairi atakayosoma
-Kuchngamkia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu
-Achambue mashairi atakayosoma kwa kutambua na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo
awasomee wenzake sifa laizotambua katika mashairi ili wamtolee maono.
Je unavutiwa na nini unaposoma shairi?
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-kusoma -kuchambua -kueleza sifa -Orodha hakiki.
5 2
Sarufi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vilinganishi katika matini .
-Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia vihusishi vilinganishi katika mawasiliano ya kila siku .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kufafanua maan aya vihusishi vilinganishi .
-Kuchopoa vihusishi vilinganishi katika chati au tarakilishi .
-Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu akizingatia masuala mtambuko .
Je vihusishi vilinganishi ni nini?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-Kitambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi
5 3
Sarufi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini .
-Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali .
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-kutambua -Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
5 4
Sarufi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufafanua amatumizi ya ki ya masharti
-Kutambua ki ya masharti katika matini .
-Kutumia ki ya masharti ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo ki ya ya masharti ili kufanikisha mawasiliano .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua ki ya mashrati katika matini mbali mbali .
-Kuchanganua sentensi zilizi ashiria matumizi ya ki ya masharti kutokana ana mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakiishi .
-Atunge sentensi akitumia ki ya masharti .
Je ki-ya masharti hutumika wakati gani katika sentensi?
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Vitabu
-Picha
-michoro
-kutambua -Mifano -Maelezo -mazoezi -Kutunga sentensi -Kuandika.
6 1
Sarufi
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
6 2
sarufi
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kujaza mifano ya vielezi vya namna .
-Kutambua vielezi vya nana katika matini mbalimbali kwa kupigia mistari .
-Achangamkie matumizi ya vielezi vya namna katika kutunga sentensi na kujaza pengo .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kutaja mifano ya vielezi vya namna
-Kutambua vielezi vya namna katika matini mbali mbali kwa kuupigia mstari .
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya namna katika vifungu vya sentensi na kjaza vihasho katika daftari .
Je vielezi vya namna hutumika vipi katika miktadha mbali mbali?
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-kutoa mfano -kufanya mazoezi
6 3
sarufi
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kujaza mifano ya vielezi vya namna .
-Kutambua vielezi vya nana katika matini mbalimbali kwa kupigia mistari .
-Achangamkie matumizi ya vielezi vya namna katika kutunga sentensi na kujaza pengo .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kutaja mifano ya vielezi vya namna
-Kutambua vielezi vya namna katika matini mbali mbali kwa kuupigia mstari .
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya namna katika vifungu vya sentensi na kjaza vihasho katika daftari .
Je vielezi vya namna hutumika vipi katika miktadha mbali mbali?
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-kutoa mfano -kufanya mazoezi
6 4
sarufi
Vielezi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kueleza maana ya vielezi vya wakati
-Kutambua vielezi vya wakati katika matini mbalimbali kwa kupiga mstari. Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya wakati kwa Kutunga sentensi na vifungu vifupi ili kuthibitisha uelewa.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-maana ya vielezi vya wakati kwa kusakura mtandaoni au vitabuni
-kutambua vielezi vya wakati kwa Kutaja na kuandika katika matini mbalimbali
-Achangamkie kutumia vielezi vya wakati ipasavyo kwa Kutunga sentensi na kujaza pengo ili kuthibitisha uelewa
Je vielezi vya wakati hutumika vipi?
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa 70-71
matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-michoro
-kapu maneno
-kueleza -kutafiti -kutambua -Kutaja -Kutunga sentensi -kupigia mstari -Kutathmini
7 1
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo .
-kueleza maana ya mawaidha kwa kutumia kamusi au kusakura mtandaoni.
-kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia kwa mawaidha.
-kutambua sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbalimbali ambazo fanani anastahili kuwa nazo.
-kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanfaunzi aelekezwe.
-kueleza maana ya mawaidha akitumia mtandao au kamusi.
-kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia mawaidha.
-kutambua na kuandika sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbali mbali ambazo fanani asstahili kuwa nazo.
-kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo.
Je sifa za fanani na hadhira katika mawaidha ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 139-140
Matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali.
Picha
michoro
Kueleza maana Kutambua ujumbe Kutambua sifa Orodha hakiki
7 2
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu kisha ajibu maswali ili kuthibitisha mawaidha ya kifasihi.
-kutambua vipengele vya liwasilishaji wa mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusa suala lengwa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanfunzi aelekezwe.
Kusikiliza mawaidha takayosomewa na mwalimu na kujibu maswali ipasavyo.
-kutambua vipengele vya uwasilishanji wa mawidha ya kifasihi ipasavyo.
-kuwasilisha mawaidha kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji kuhusu suala lengwa ili ili kutathmini uelewa.
Je vipengele vya uwasilishanji wa mawaidha ya kifasihi ni vipi?
Kisw sahili uk wa 141-142
Matini ya mwalimu
mwanafunzi
Kusikiliza Kujibu maswali Kutambua Kuwasilisha Orodha hakiki
7 3
kusoma
Kusoma kwa kina Mbinu za lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi waeze.
-kutambua mbinu za lugha katika ushairi.
-kutaja mifano ya mbinu za lugha kama methali, tashihishi, sitiari na nahaukutambua matumizi ya mbinu za lugha kama zilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Kutambua mbinu za lugha katika shairi
Kutaja mifano ya mbinu za lugha kama vile methali, tashbihi, isitiari na nahau ipasavyo.
Kutambua matumizi ya kila mbinu kama ilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake ili kutathmini uelewa
Je mbinu za lugha katika ushairi ni zipi?
Access Kiswahili sahili gredi ya 9 uk wa 143-144
-matini ya mwalimu
-diwani za mashairi
-kutambua -kueleza -kuchanganua
7 4
kusoma
Kusoma kwa kina ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutunga shairi la beti tatu akishirikisha mbinu mbalimbali za lugha na kuziwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
- kusoma shairi teule na kuchambua akizingatia mbinu za lugha zilizotumika kisha kuandika mbinu hizo daftarini
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kutunga shairi la beti tatu akizingatia mbinu za lugha kisha kuliandika daftarini mwao na kuliwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
-kusoma shairi teule na kuchambua mbinu za lugha za lugha zilizotumika ili kutathmini uelewa
Je unazingatia nini unapotunga shairi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 145
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidigitali
-Kutunga -kusoma kuchambua
8 1
kuandika
Insha za kubuni maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani
- kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo
- kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali
- kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali katika daftari au tarakilishi kuhusu suala lengwa kisha awasomee wenzake ili awatolee maoni
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
kusoma kielelezo cha insha ya maelezo ili kutambua ni ya aina gani
-kutambua hali inayoelezewa katika insha aliyoisoma ili kuelewa maana ya hali katika insha ya maelezo
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali
-kuchangamkia kuandika insha ya maelezo kuhusu hali daftarini au tarakilishi kuhusu swala lengwa kisha awasomee wenzake ili wamtolee maoni
Je, vipengele vya kuzingatia katika insha ya maelezo kuhusu hali ni zipi?
Kisw sahil gredi ya 9 uk wa 146-147
-matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali
-kusoma -kutambua
8 2
sarufi
Ukanushaji hali ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ukanushaji wa hali ya masharti
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza maana ya ukanushaji wa masharti
Je, ukanusho wa hali ya masharti
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 146-148
-matini ya mwalimu
-chati na mabango
-kueleza -Kutaja Mifano -Kutunga sentensi na kukanusha -Kutathmini
8 3
sarufi
Ukanushaji hali ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ukanushaji wa hali ya masharti
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza maana ya ukanushaji wa masharti
Je, ukanusho wa hali ya masharti
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 146-148
-matini ya mwalimu
-chati na mabango
-kueleza -Kutaja Mifano -Kutunga sentensi na kukanusha -Kutathmini
8 4
sarufi
Ukanushaji wa hali ya masharti -ngali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya ukanusho wa hali ya masharti
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
kujua maana ya ukanusho wa hali ya masharti
Ni kanuni zipi huzingatiwa katika ukanusho wa hali ya masharti -ngali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 149-150
-matini ya mwalimu
-chati na michoro
-kueleza -kusoma na kutambua -Kutunga sentensi na kifungu -Kutathmini
9 1
sarufi
Ukanushaji wa hali ya masharti (-ki)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kukanusha sentensi katika hali ya masharti(-ki) akizingatia kambishi
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
kukanusha sentensi katika hali ya masharti ya
Je ukanusho wa hali ya masharti (-ki) hutumia kiambishi kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 151-152
-matini ya mwalimu
-mabango
-michoro
-chati
-kutambua -kusoma -kukanusha -Kutunga -Kutathmini -Orodha hakiki
9 2
Kusikiliza na kuzungumza
mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha
- kujadiliumuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha
- kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu ili kutambua na kujadili vipengele vya lugha vinavyotumika
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha
-kujadili pamoja na wenzake umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika mawaidha
-kusikiliza mawaidha atakayosomewa na mwalimu ili kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika
Je ni vipengele vipi vinavyotumika katika ngeli ya mawaidha?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 153
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
Kusoma na kutambua -kujadili -kusikiliza na kujibu maswali
9 3
Kusikiliza na kuzungumza
mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kujadili ishara zifaazo ili kuboresha uwasilishaji wa maidha
-kutolea wenzake darasani mawaidha kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vya lugha na ishara
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kujadili ishara zinazo fanikisha uwasilishaji wa mawaidha
-kutolea wenzake mawaidha kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vya lugha na ishara zifaazo
je, ishara zifaazo katika mawaidha ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 154
-matini ya mwalimu
-Kujadili -kutoa mawaidha -Kutathmini -Orodha hakiki
9 4
kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
-kusoma kifungu kisha kutambua mandhari ya kifungu cha mjadala alichosoma
- kujadili mtazamo wa kifungu alichosoma kuhusu suala lengwa
- kuchambua msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala na kutungia sentensi ipasavyo
- achangamkie kusoma kifungu na kujibu maswali yake
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kusoma kifungu kisha kutambua mandhari kama ilivyo katika fasihi
-kujadili pamoja na wenzake mtazamo wa kifungu cha mjadala alichokisoma ipasavyo
-kuchambua msamiati ulitumika katika kifungu cha mjala na kutungia sentensi ipasavyo
-afurahie kusoma kifungu cha mjadala na kujibu maswali yake ipasavyo
Je, vipengele muhimu katika mjadala ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 155-156
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-vifaa vya kidijitali
-kusoma -Kujadili -kuchambua -kujibu maswali
10 1
kusoma
Kifungu cha mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusakira mtandaoni kifungu cha mjadala na kukisoma kisha aandike habari mahususi katika kifungu cha mjadala alichokisoma
-kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mtazamo wake ili kutathmini uelewa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kusakura mtandaoni kifungu cha mjadala akisome kisha aandike habari mahususi katika kifungu alichokisoma
-kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mitazamo yake vilivyo
Je, unazingatia nini unaposakira matini ya kusoma mtandaoni?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 156
-vifaa vya kidijitali
-kusakira -kusoma -kuchambua -Orodha hakiki
10 2
kusoma
Kifungu cha mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusakira mtandaoni kifungu cha mjadala na kukisoma kisha aandike habari mahususi katika kifungu cha mjadala alichokisoma
-kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mtazamo wake ili kutathmini uelewa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kusakura mtandaoni kifungu cha mjadala akisome kisha aandike habari mahususi katika kifungu alichokisoma
-kuchangamkia kusoma miktadha mbalimbali kuhusu suala lengwa na kuchanganua mitazamo yake vilivyo
Je, unazingatia nini unaposakira matini ya kusoma mtandaoni?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 156
-vifaa vya kidijitali
-kusakira -kusoma -kuchambua -Orodha hakiki
10 3
kuandika
Insha za kiuamilifu shajara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kujadili umuhimu wa shajara
- kueleza aina za shajara ili kuzitofautisha na zingine
- kusoma shajara iliyo katika vitabu vyao kisha kujibu maswali ipasavyo
- Kuchangamkia kusoma vielelezo vya shajara katika matini mbalimbali
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kujadili umuhimu wa shajara katika maisha a kila siku
-kueleza aina za shajara ili kuzibaini
-kusoma kielelezo cha shajara kisha kujibu maswali yake ipasavyo
-kufurahia kusoma vielelezo mbalimbali vya shajara ili kujua umuhimu wa shajara
Je, shajara ina umuhimu gani?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 158-159
-matini ya mwalimu
-kielelezo
-Kujadili -kutambua -kusoma na kujibu maswali
10 4
kuandika
Insha za kiuamilifu shajara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kuandaa vidokezo vya kuandika shajara kuhusu suala lengwa
- kuandika shajara kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kuandaa vodokezo vya kumsaidia kuandika shajara kuhusu suala lengwa
-kuandika shajara kuhusu sual lengwa akizingatia vipengele muhimu alivyojifunza awali ili kutathmini uelewa
Je, shajara huandikwa je?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160
-matini ya mwalimu
-kuandaa vidokezo -Kujadili -kuandika -Kutathmini
11 1
sarufi
Ukubwa na udogo wa nomino a, Hali ya ukubwa wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukubwa wa nomino
- kutambua kiambishi katika hali ya ukubwa (-ji) katika umoja
- kutambua nomino katika hali ya ukubwa umoja na wingi katika matini mbalimbali
- kuchangamkia sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino na kutambua viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza na kuelewa maana ya ukubwa wa nomino
-kutambua viambishi katika hali ya ukubwa
-kutambua nomino katika hali ya ukubwa katika umoja na wingi katika matini mbalimbali
-kufurahia kutunga sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino huku akizingatia viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa
Je, hali ya ukubwa wa nomino huchukua kiambishi kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160- 161
-matini ya mwalimu
-kamusi
-vifaa vya kidijitali
-kueleza -kutambua -Kutunga sentensi -kujaza pengo -Orodha hakiki
11 2
sarufi
Hali ya udogo wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya udogo wa nomino
- kutambua nomino katika hali ya udogo
c, kutambua kiambishi knachotumika katika hali ya udogo wa nomino
- kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini mbalimbali
- kuchangamkia kujaza jedwali na kutunga sentensi katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
kueleza maana ya udogo wa nomino
-kutambua nomino katika hali ya udogo
-kutambua na kujadili kiambishi kinachotumika katika hali ya udogo wa nomino
-kutambua na kuandika nomino katika kauli ya udogo katika matini mbalimbali
-kufurahia kujaza pengo na kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa
Je, kiambishi katika hali ya udogo wa nomino ni kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 162-164
-matini ya mwalimu
-kupu maneno
-kamusi
-kueleza -kutambua -kuandika -Kujadili Kutunga sentensi -kujaza pengo -Orodha hakiki
11 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza kwa kutathmini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini
- kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na nyingine
- kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo
- kusikiliza mazungumzo yatakayowasilishwa na wanafunzi wenzake na kujibu maswali yake
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza maana ya kusikiliza kwa kutathmini
-kueleza umuhimu wa kusikiliza kwa kutathmini ili kutofautisha na miktadha mingine
-kujadili vipengele muhimu vya kuzingatia katika kutathmini mazungumzo
-kusikiliza mazungumzo kutoka kwa wenzao ili kuyatathmini
Je vipengele katika kuzungumza kwa kutathmini ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 166-167
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kueleza maana -kueleza umuhimu Kujadili vipengele -Kusikiliza mazungumzo -Kutathmini
11 4
kusoma
ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kujadili vipengele vya kuzingatia katika kufupisha habari.
-kusoma kifungu kisha kujibu maswali kisha afupishe kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho .
Atafute mtandaoni au kusoma vitambuni ujumbe ulio na mada lengwa kisha azingatie a vipengele muhimu kufupisha li kudhamini .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika ufupisho.
B,kusoma kifungu kisha kujibu maswali na kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho .
-Kutafuta mtandaoni au vitambuni kusoma ujumbe a ulio na suala lengwa kisha azingatie vipengele vya ufupisho kufupisha ili kutamini kuelewe .
Je vipengele muhimu vya ufupisho ni vipi ?
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 167-168
-matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali .
-Kujadili vipengele -kuandika
12 1
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .
-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .
-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini uelewaji .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kujadili vipengee muhimu vya kuzingatia ili kuibu barua pepe .
-Kujadili matumizi ya lugha inyofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe
-Kuansaa vidokezopamoja na lugha inayofaa ili kujibu barua pepe kwa rafiki yake ipasavyo ili kuthamini kuelewa .
Je vipengele vya kuzingatia katika kujibu barua pepe ni vipi ?
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 169 - 170 .
-matini ya mwalimu
Na mwanafunzi .
-Kujadili vipengele Kujadili lugha kuandika vindokezo kujibu barua pepe
12 2
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .
-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .
-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini uelewaji .
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kujadili vipengee muhimu vya kuzingatia ili kuibu barua pepe .
-Kujadili matumizi ya lugha inyofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe
-Kuansaa vidokezopamoja na lugha inayofaa ili kujibu barua pepe kwa rafiki yake ipasavyo ili kuthamini kuelewa .
Je vipengele vya kuzingatia katika kujibu barua pepe ni vipi ?
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 169 - 170 .
-matini ya mwalimu
Na mwanafunzi .
-Kujadili vipengele Kujadili lugha kuandika vindokezo kujibu barua pepe
12 3
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa
-Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi halisi .
-Kujadili mambo ya kuzingatia katika usemi wa taarifa ili kubainisha .
-Kutambua usemi halisi na useimi wa taarifa katika matini mbali mbali .
-Kujadili kanuni za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa na usemi wa taarifa kuwa usemi halisi .
-Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na usemi taarifa ili kuthamini.
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-kueleza tofauti baini ya usemi halisi na usemi wa taarifa .
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katia usemi halisi na usemi wa taarifa katika mawasiliano .
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matani na miktadha mbalimbali .
-Kujadili kanuni zinazozingatiwa ili kubadilisha usemi halisi kwa usemi halisi .
-Kuchangamkia kuandika sentensi katika usemi halisi na taarifa ili kutathmini kuelewa .
Je unazingatia kanuni zipi unapobadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa?
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 174 - 174 .
-matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali .
picha
-kueleza tofauti . -Kujadili vipengele . -Kutambua . -Kujadili kanuni . -Kufanya mazoezi . -Orodha hakiki .
12 4
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu  barua pepe ipasavyo ili kutathmini 
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu  barua pepe ipasavyo ili kutathmini 

Your Name Comes Here


Download

Feedback