If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
MNYAMA NIMPENDAYE
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Kutambua picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kutambua picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kutambua picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kusikiliza ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu au vyombo vya kidijitali -Kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -Kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 79
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kueleza maudhui
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -Kusikiliza hadithi kutoka kwenye kifaa cha kidijitali -Kumsimulie mzazi au mlezi hadithi aliyoisikiliza |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 80
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya mdomo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Kueleza maudhui
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -Kusikiliza hadithi kutoka kwenye kifaa cha kidijitali -Kumsimulie mzazi au mlezi hadithi aliyoisikiliza |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 80
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya mdomo
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 3 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -Kutaja masuala ya suala lengwa -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Picha za wanyama -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -Kutaja masuala ya suala lengwa -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Picha za wanyama -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha maneno 39-42 -Kutambua msamiati wa suala lengwa -Kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -Kueleza ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Kifungu cha ufahamu -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kusoma hadithi za Fatuma na mbuzi wake, Kibanda cha mbwa, Sifa na sungura wake |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 83
-Kifungu cha ufahamu -Hadithi mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kusoma hadithi za Fatuma na mbuzi wake, Kibanda cha mbwa, Sifa na sungura wake |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 83
-Kifungu cha ufahamu -Hadithi mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 4 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kusoma hadithi za Fatuma na mbuzi wake, Kibanda cha mbwa, Sifa na sungura wake |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 83
-Kifungu cha ufahamu -Hadithi mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 5 | 1 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 2 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 3 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 4 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kuandika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kuandika sentensi sahihi akitumia kiulizi ipasavyo |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 85
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Sentensi za muundo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kumsomea
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -Kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -Kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Maswali ya picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 6 | 2 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kumsomea
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -Kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -Kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Maswali ya picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 6 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno -Kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya -ako na -enu -Kujadili kuhusu matumizi ya -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutambua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno -Kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya -ako na -enu -Kujadili kuhusu matumizi ya -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutumia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kumtungia mwenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuandika sentensi zenye -ako na -enu -Kujaza nafasi kwa kutumia -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 89
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za wanyama |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kuwasilisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuwasomee wenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuwasiliana na wazazi kwa kutumia -ako na -enu -Kutunga sentensi na kuziandika kwenye daftari |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 91
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Hadithi ya Sifa na sungura wake |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya uwasilishaji
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 7 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kuwasilisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuwasomee wenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuwasiliana na wazazi kwa kutumia -ako na -enu -Kutunga sentensi na kuziandika kwenye daftari |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 91
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Hadithi ya Sifa na sungura wake |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya uwasilishaji
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 7 | 2-4 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kuwasilisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuwasomee wenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuwasiliana na wazazi kwa kutumia -ako na -enu -Kutunga sentensi na kuziandika kwenye daftari |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 91
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Hadithi ya Sifa na sungura wake |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya uwasilishaji
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 8 |
Midterm |
||||||||
Your Name Comes Here