If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
HAKI ZANGU
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi, - kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora - kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi -kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali -kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake -kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu -kutamka maneno yenye sauti lengwa -kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa -kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake -kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa -kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa |
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 20
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kadi maneno -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi, - kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi, - kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora - kuchangamkia usomaji bora wa maneno yanayotumia sauti lengwa katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika sentensi -kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali -kutamka silabi za sauti lengwa akiwa peke yake au na wenzake -kusikiliza maneno yenye sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu -kutamka maneno yenye sauti lengwa -kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa zikisomwa -kusoma sentensi za sauti lengwa akishirikiana na wenzake -kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali akitamka sentensi za sauti lengwa -kuwasiliana na mzazi au mlezi wake kwa kutumia maneno yenye sauti lengwa |
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 22
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Kadi maneno -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 25 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 2 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika) -kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo -kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa |
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 26
-Vifaa vya kidijitali -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 2 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika) -kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo -kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa |
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 27
-Vifaa vya kidijitali -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 3 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufasaha
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua maneno yenye sauti lengwa (/p/, /f/, /v/) katika kifungu chepesi kuhusu suala lengwa -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kuhusu haki za mtoto kwa kuzingatia matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika) -kusoma kifungu chepesi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -kusoma hadithi kutoka kwenye kitabu, kifaa cha kidijitali akizingatia matamshi bora, sauti inayosikika, kasi ifaayo na ishara zifaazo -kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa |
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 28
-Vifaa vya kidijitali -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 29 -Kadi maneno -Picha -Chati |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 3 | 2 |
Kuandika
|
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini, - kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi, - kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini -kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga -kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu |
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 30
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Picha -Chati -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
|
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini, - kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi, - kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini -kunakili maneno na sentensi kuhusu mada lengwa (k.v upendo, kupata elimu, chakula, mavazi, makazi) kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kutunga na kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -kushirikiana na wenzake kutathmini sentensi walizotunga -kumwandikia mzazi au mlezi maneno kwa kutumia mpangilio ufaao wa herufi kubwa na hati nadhifu |
Je herufi kubwa huwa sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 31
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Picha -Chati -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 3 | 4 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake -kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi -kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi |
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 32
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 33 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha hakiki
-Tathmini ya rika
|
|
| 4 | 1 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi akishirikiana na wenzake -kujaza nafasi kwa kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno akiambatanisha umoja na wingi -kumwonyesha mzazi au mlezi wake vifungu vya maneno alivyoviandika kwa umoja na wingi |
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 34
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha hakiki
-Tathmini ya rika
|
|
| 4 | 2 |
USAFIRI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti ch na dh
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno, - kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha, - kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora, - kufurahia matamshi bora katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi za sauti lengwa (/ch/ na /dh/) katika maneno -kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa ifaavyo -kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya silabi za sauti lengwa -kutumia kifaa cha kidijitali kusikiliza matamshi bora ya silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 52
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Chati -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 4 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Sauti ch na dh
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno, - kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha, - kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora, - kufurahia matamshi bora katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi za sauti lengwa (/ch/ na /dh/) katika maneno -kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa ifaavyo -kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya silabi za sauti lengwa -kutumia kifaa cha kidijitali kusikiliza matamshi bora ya silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 54
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Chati -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 4 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Matamshi Bora: Sauti ch na dh
Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno, - kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha, - kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora, - kufurahia matamshi bora katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua silabi za sauti lengwa (/ch/ na /dh/) katika maneno -kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa ifaavyo -kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya silabi za sauti lengwa -kutumia kifaa cha kidijitali kusikiliza matamshi bora ya silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 55
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Chati -Mti maneno -Muongozo wa Mwalimu Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 56 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kufurahia kusoma kifungu ipasvyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno au kifaa cha kidijitali -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, kasi ifaayo (maneno 36 kwa dakika) |
Je, ni mambo gani unazingatia kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 57
-Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Chati -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo, - kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, -f) kufurahia kusoma kifungu ipasvyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno au kifaa cha kidijitali -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, matamshi bora -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, sauti inayosikika -kusoma kifungu chepesi cha maneno au hadithi yenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo, kasi ifaayo (maneno 36 kwa dakika) |
Je, ni mambo gani unazingatia kusoma kwa ufasaha?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 58
-Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Chati -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 3 |
Kuandika
|
Nafasi katika maandishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi, - kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi, - kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuwaonyesha wenzake nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuandika sentensi kuhusu suala lengwa akizingatia nafasi kati ya maneno -kuwaonyesha wenzake sentensi alizoziandika ili wazitolee maoni -kutumia kifaa cha kidijitali kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 59
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 60 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 5 | 4 |
Kuandika
|
Nafasi katika maandishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi, - kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi, - kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuwaonyesha wenzake nafasi kati ya maneno katika sentensi -kuandika sentensi kuhusu suala lengwa akizingatia nafasi kati ya maneno -kuwaonyesha wenzake sentensi alizoziandika ili wazitolee maoni -kutumia kifaa cha kidijitali kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 60
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 1 |
Sarufi
|
Umoja na wingi wa vifungu vya maneno
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kusoma vifungu vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -kujaza nafasi zilizo wazi ili kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 61
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 2 |
Sarufi
|
Umoja na wingi wa vifungu vya maneno
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi, - kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno, - kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kusoma vifungu vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -kujaza nafasi zilizo wazi ili kukamilisha vifungu vya maneno katika umoja na wingi -kushiriki katika mchezo wa kupanga kadi za vifungu vya maneno |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 62
-Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 63 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 3 |
MNYAMA NIMPENDAYE
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua picha kuhusu suala lengwa, - kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza, - kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza, - kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza, - kufurahia ufahamu wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati, vifaa vya kidijitali -kujadili picha kutoka kwenye kitabu, chati, vya kidijitali -kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi -kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vyombo vya kidijitali -kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu aliousikiliza -kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -kumsimulie mzazi au mlezi wake hadithi aliyoisikiliza kuhusu suala lengwa |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 66
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Picha -Vifaa halisi -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua picha kuhusu suala lengwa, - kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza, - kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza, - kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza, - kufurahia ufahamu wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati, vifaa vya kidijitali -kujadili picha kutoka kwenye kitabu, chati, vya kidijitali -kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi -kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vyombo vya kidijitali -kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu aliousikiliza -kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -kumsimulie mzazi au mlezi wake hadithi aliyoisikiliza kuhusu suala lengwa |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 67
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Picha -Vifaa halisi -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua picha kuhusu suala lengwa, - kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza, - kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza, - kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza, - kufurahia ufahamu wa kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati, vifaa vya kidijitali -kujadili picha kutoka kwenye kitabu, chati, vya kidijitali -kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi -kusikiliza ufahamu kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vyombo vya kidijitali -kutambua msamiati uliotumika katika ufahamu aliousikiliza -kujibu maswali yanayohusiana na ufahamu aliousikiliza -kueleza maudhui ya ufahamu aliousikiliza -kumsimulie mzazi au mlezi wake hadithi aliyoisikiliza kuhusu suala lengwa |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 68
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Picha -Vifaa halisi -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu, - kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha, - kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu - kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu, - kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -kutaja masuala ya suala lengwa -kuimba nyimbo kuhusu suala lengwa -kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha -kusoma kifungu chepesi cha maneno 39- 42 -kutambua msamiati wa suala lengwa -kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -kueleza ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha -kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 69
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 70 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu, - kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha, - kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu - kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu, - kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -kutaja masuala ya suala lengwa -kuimba nyimbo kuhusu suala lengwa -kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha -kusoma kifungu chepesi cha maneno 39- 42 -kutambua msamiati wa suala lengwa -kutumia msamiati wa suala lengwa ipasavyo katika mawasiliano -kueleza ujumbe wa kifungu kwa kutazama picha -kuthibitisha utabiri wake kuhusu hadithi baada ya kuisoma -kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 71
-Vifaa vya kidijitali -Chati -Muongozo wa Mwalimu -Maelezo ya somo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 4 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua kiulizi katika maandishi, - kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake, - kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi, - kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni, kwenye kadi maneno, mti maneno na kifaa cha kidijitali -kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -kuandika sentensi sahili akitumia kiulizi ipasavyo -kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 72
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Chati -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 1 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua kiulizi katika maandishi, - kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake, - kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi, - kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni, kwenye kadi maneno, mti maneno na kifaa cha kidijitali -kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -kutazama matumizi ya kiulizi kwenye vifaa vya kidijitali -kuandika kiulizi akitumia kifaa cha kidijitali -kuandika sentensi sahili akitumia kiulizi ipasavyo -kumwonyesha mzazi au mlezi sentensi zenye matumizi yafaayo ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 73
-Vifaa vya kidijitali -Kadi maneno -Mti maneno -Chati -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya rika
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu, - kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi, - kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusilikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya –ako na –enu -kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno, mti maneno, kapu maneno na vifaa halisi -kumtungia mwenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na –enu -kusikiliza sentensi zinazotungwa na wenzake zenye matumizi ya -ako na -enu -mwanafunzi awasilishie sentensi zenye kutumia maneno -ako na –enu -kuandika sentensi zenye -ako na –enu -kujaza nafasi kwa kutumia -ako na -enu |
Je,-ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 74
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Vifaa halisi -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu, - kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi, - kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusilikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya –ako na –enu -kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno, mti maneno, kapu maneno na vifaa halisi -kumtungia mwenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na –enu -kusikiliza sentensi zinazotungwa na wenzake zenye matumizi ya -ako na -enu -mwanafunzi awasilishie sentensi zenye kutumia maneno -ako na –enu -kuandika sentensi zenye -ako na –enu -kujaza nafasi kwa kutumia -ako na -enu |
Je,-ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 75
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Vifaa halisi -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 4 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matumizi ya -ako na -enu
Matamshi Bora: Sauti /sh/ na /th/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu, - kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi, - kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusilikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya –ako na –enu -kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno, mti maneno, kapu maneno na vifaa halisi -kumtungia mwenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na –enu -kusikiliza sentensi zinazotungwa na wenzake zenye matumizi ya -ako na -enu -mwanafunzi awasilishie sentensi zenye kutumia maneno -ako na –enu -kuandika sentensi zenye -ako na –enu -kujaza nafasi kwa kutumia -ako na -enu |
Je,-ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Kitabu cha Kielekezi cha Kiswahili uk. 76
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Vifaa halisi -Vifaa vya kidijitali -Muongozo wa Mwalimu Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 112 -Kadi za maneno -Chati -Kifaa cha kidijitali |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 9 |
Midterm Break |
||||||||
| 10 | 1 |
USALAMA WANGU
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti /sh/ na /th/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kuambatanisha silabi ili kusoma maneno - Kusikiliza sentensi zenye sauti lengwa - Kutamka sentensi na wenzake akilenga suala lengwa |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutamka maneno na wenzake kuhusu usalama - Kuambatanisha silabi ili kusoma maneno - Kusikiliza sentensi zinazolenga usalama |
Unajua kutamka maneno gani yenye sauti /sh/ na /th/?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 112
-Sentensi za usalama -Wenzake darasani |
Urambuzi
-Tathmini ya ushirikiano
-Usomaji
|
|
| 10 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Matamshi Bora: Sauti /sh/ na /th/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kusikiliza na kueleza hadithi kuhusu usalama - Kujirekodi akisoma sentensi za sauti lengwa - Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusikiliza kifungu cha hadithi kuhusu usalama - Kueleza kifungu cha hadithi - Kujirekodi akisoma kifungu |
Unajua kutamka maneno gani yenye sauti /sh/ na /th/?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 112
-Hadithi za usalama -Kifaa cha kujirekodi |
Masimulia
-Rekodi za sauti
-Tathmini ya kujitafakari
|
|
| 10 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kutambua sauti lengwa katika kifungu chepesi - Kusoma kwa kuzingatia matamshi bora - Kusoma kwa sauti inayosikika |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua sauti /sh/ na /th/ katika kifungu chepesi - Kusoma kifungu chenye sauti lengwa kwa matamshi bora - Kusoma kwa sauti inayosikika |
Je, unajua kusoma maneno gani yenye sauti /sh/ na /th/?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 117
-Kitabu -Vifungu vya usalama |
Urambuzi
-Tathmini ya ufasaha
-Usomaji wa sauti
|
|
| 10 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kusoma kwa kuzingatia kasi ifaayo - Kusoma kwa kuzingatia ishara zifaazo - Kuchangamkia kusoma kwa ufasaha |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kwa kasi ifaayo (maneno 42 kwa dakika) - Kusoma kwa kuzingatia ishara za uso na mwili - Kusoma hadithi kutoka kitabu au kifaa cha kidijitali |
Je, unajua kusoma maneno gani yenye sauti /sh/ na /th/?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 117
-Kifaa cha kupimia wakati -Kifaa cha kidijitali -Wazazi/walezi -Vifaa vya kusoma |
Tathmini ya kasi
-Urambuzi
-Tathmini ya ishara
|
|
| 11 | 1 |
Kuandika
|
Tahajia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kutambua tahajia sahihi za maneno katika sentensi - Kuandika sentensi akizingatia tahajia sahihi - Kufurahia kutumia tahajia sahihi katika maandishi |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua tahajia sahihi za maneno katika sentensi - Kushirikiana na wenzake kujadili tahajia sahihi - Kuandika sentensi kuhusu usalama |
Je, kwa nini ni vizuri kuandika maneno kwa kuzingatia tahajia ifaayo?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 120
-Mifano ya tahajia -Wenzake darasani |
Tathmini ya tahajia
-Majaribio ya kuandika
-Utathmini wa ushirikiano
|
|
| 11 | 2 |
Kuandika
|
Tahajia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kuandika sentensi akizingatia tahajia sahihi - Kurekebisha sentensi akizingatia tahajia - Kujaza nafasi kwenye kifungu |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika sentensi kuhusu usalama - Kurekebisha sentensi akizingatia tahajia sahihi - Kujaza nafasi akizingatia tahajia sahihi |
Je, kwa nini ni vizuri kuandika maneno kwa kuzingatia tahajia ifaayo?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 120
-Mazoezi ya kurekebisha -Kifaa cha kidijitali |
Mazoezi ya urekebisho
-Tathmini ya umahiri
-Kujaza nafasi
|
|
| 11 | 3 |
Kuandika
|
Tahajia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kuandika sentensi za usalama kwa tahajia sahihi - Kumsomea mzazi sentensi alichotunga - Kufurahia kutumia tahajia sahihi |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika sentensi kuhusu usalama - Kumsomea mzazi sentensi alichotunga - Kupata maoni kutoka kwa mzazi |
Je, kwa nini ni vizuri kuandika maneno kwa kuzingatia tahajia ifaayo?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 120
-Mzazi/mlezi -Sentensi za usalama |
Uwasilishaji
-Maoni ya wazazi
-Utafakari
|
|
| 11 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kutambua huu na hii katika vifungu - Kutumia huu na hii kutajia vitu - Kuchangamkia matumizi ya huu na hii |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua maneno huu na hii kwa kutumia nyenzo - Kusoma vifungu vinavyojumuisha huu na hii - Kuonyesha vitu kuhusu usalama |
Ni vitu gani unavyoweza kurejelea kwa kutumia maneno huu na hii?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 122
-Kadi za maneno -Chati -Vitu vya usalama |
Urambuzi
-Urejeleo wa vitu
-Mazoezi ya mdomo
|
|
| 12 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kukamilisha vifungu vya nafasi kwa kutumia huu na hii - Kutunga sentensi akitumia huu na hii - Kuandika vifungu kutokana na picha |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukamilisha vifungu vyenye nafasi - Kutunga sentensi akitumia huu na hii za usalama - Kuandika vifungu kutokana na picha |
Ni vitu gani unavyoweza kurejelea kwa kutumia maneno huu na hii?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 122
-Picha za usalama -Wenzake wa kikundi |
Mazoezi ya kujaza
-Utathmini wa kutunga
-Uandishi kutokana na picha
|
|
| 12 | 2 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kukamilisha vifungu vya nafasi kwa kutumia huu na hii - Kutunga sentensi akitumia huu na hii - Kuandika vifungu kutokana na picha |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukamilisha vifungu vyenye nafasi - Kutunga sentensi akitumia huu na hii za usalama - Kuandika vifungu kutokana na picha |
Ni vitu gani unavyoweza kurejelea kwa kutumia maneno huu na hii?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 122
-Picha za usalama -Wenzake wa kikundi |
Mazoezi ya kujaza
-Utathmini wa kutunga
-Uandishi kutokana na picha
|
|
| 12 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - Kutumia huu na hii katika mazingira ya nyumbani - Kufurahia kutumia huu na hii katika mawasiliano - Kushiriki na mzazi kuurejela vitu |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia huu na hii kurejelea vitu vya usalama nyumbani - Kumshirikisha mzazi kurejelea vitu nyumbani - Kutunga sentensi kuhusu usalama |
Ni vitu gani unavyoweza kurejelea kwa kutumia maneno huu na hii?
|
Kiswahili Mazoezi ya Lugha Gredi ya 2 uk. 122
-Mzazi/mlezi -Mazingira ya nyumbani |
Ushiriki wa familia
-Maoni ya wazazi
-Tathmini ya ukweli
|
|
| 12 | 4 |
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
|
|
|
|
Your Name Comes Here