Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2026
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
USAFI WA MAZINGIRA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kujibu: mjadala
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha simulizi
Vihusishi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mjadala
-Kuchangamkia umuhimu wa kusikiliza mjadala

-Kujadili vipengele vya kuzingatia wakati wa kusikiliza mjadala
-Kusikiliza mjadala kuhusu usafi wa mazingira
Je, unazingatia nini wakati wa kusikiliza mjadala?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 1
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 5
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 14
-Kutambua vipengele vya kusikiliza mjadala -Kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vya kusikiliza
1 2
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Viakifishi: koloni
Kusikiliza na kujibu: mjadala
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha simulizi
Vihusishi vya wakati
Viakifishi: semi koloni
Kusikiliza kwa kina: sauti /b/ na /mb/
Kusoma kwa mapana: matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kutambua alama ya koloni
-Kutumia alama ya koloni ipasavyo katika matini
-Kuchangamkia matumizi ya alama ya koloni katika maandishi

-Kutambua alama ya koloni katika sentensi
-Kujadili matumizi ya koloni
-Kutumia koloni katika sentensi na vifungu
-Kurekebisha vifungu vya maandishi kwa kutumia alama ya koloni ipasavyo
Je, alama ya koloni hutumiwa wapi katika maandishi?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 9
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 2
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 6
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 16
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 11
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 20
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 22
-Kutambua alama ya koloni -Kutumia alama ya koloni ipasavyo -Kurekebisha makosa ya matumizi ya alama ya koloni
1 3
MAZOEZI YA VIUNGO VYA MWILI

Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Vihusishi vya -a unganifu
Insha za kiuamilifu: kujibu barua ya kirafiki
Kusikiliza kwa kina: sauti /b/ na /mb/
Kusoma kwa mapana: matini ya kujichagulia
Vihusishi vya sababu
Insha za kiuamilifu: kujibu barua ya kirafiki
Semi: tashbihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kutambua vihusishi vya -a unganifu
-Kutumia vihusishi vya -a unganifu ipasavyo katika matini
-Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya vihusishi vya -a unganifu

-Kutambua vihusishi vya -a unganifu katika sentensi
-Kutaja mifano ya vihusishi vya -a unganifu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya -a unganifu
Vihusishi vya -a unganifu vinatofautianaje na vihusishi vingine?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 27
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 24
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 21
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 23
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 28
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 25
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 33
-Kutambua vihusishi vya -a unganifu -Kutumia vihusishi vya -a unganifu ipasavyo
1 4
UTUNZAJI WA WANYAMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Semi: sitiari
Kusoma kwa kina: ushairi
Vihusishi vilinganishi
Insha za kubuni: masimulizi
Insha za kubuni: masimulizi
Semi: methali
Kusoma kwa kina: ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kutambua sitiari katika matini
-Kueleza matumizi ya sitiari
-Kuchangamkia matumizi ya sitiari katika mawasiliano

-Kusikiliza sentensi zenye sitiari
-Kutambua sitiari katika sentensi
-Kueleza maana ya sitiari
-Kujadili matumizi ya sitiari
Kwa nini tunatumia sitiari kuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 35
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 40
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 45
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 43
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 44
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 37
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 41
-Kutambua sitiari katika matini -Kueleza maana ya sitiari -Kutumia sitiari ipasavyo
1 5
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kihusishi 'na'
Insha za kubuni: masimulizi
Semi: vitendawili
Kusoma kwa ufasaha
Nyakati na hali: -ki -ya masharti
Insha za kubuni: masimulizi
Semi: nahau
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kutambua kihusishi 'na'
-Kutumia kihusishi 'na' ipasavyo katika matini
-Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya kihusishi 'na'

-Kusoma sentensi zenye kihusishi 'na'
-Kutambua matumizi mbalimbali ya kihusishi 'na' katika sentensi
-Kutunga sentensi kwa kutumia kihusishi 'na' kwa njia tofauti
Kihusishi 'na' kinatumikaje katika sentensi?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 47
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 45
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 51
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 57
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 62
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 60
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 54
-Kutambua kihusishi 'na' -Kutumia kihusishi 'na' ipasavyo
1 6
UTUNZAJI WA MALIASILI

Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kuandika
Kusoma kwa ufasaha
Nyakati na hali: -ka -ya kufuatana kwa vitendo
Insha za kubuni: masimulizi
Ufahamu wa kusikiliza
Kusoma kwa ufahamu
Hali za masharti: hali ya masharti -nge-
Insha za kiuamilifu: shajara
Ufahamu wa kusikiliza
Kusoma kwa ufahamu
Hali za masharti: hali ya masharti -ngali-
Insha za kiuamilifu: shajara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa kuzingatia ishara za mwili
-Kusoma kwa kuwasiliana na hadhira
-Kuchangamkia usomaji bora

-Kusoma kifungu kwa kuzingatia ishara za mwili
-Kusoma kifungu kwa kuwasiliana na hadhira
-Kutambua makosa wakati wa kusoma
-Kufanya marekebisho wakati wa kusoma
Ni vipengele gani vya kuzingatia katika usomaji wa ufasaha?
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 58
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 64
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 61
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 70
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 73
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 79
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 76
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 72
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 75
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 82
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 78
-Kusoma kwa kuzingatia ishara za mwili -Kusoma kwa kuwasiliana na hadhira -Kutambua na kurekebisha makosa ya usomaji

Your Name Comes Here


Download

Feedback