Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2026
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
USAFI WA MAZINGIRA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kujibu - Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mjadala.
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kuchangia mjadala.
Kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo.
Kuchangamkia kushiriki katika mijadala ya miktadha mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutazama na kusikiliza mjadala kuhusu usafi wa mazingira katika kifaa cha kidijitali.
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala.
Kujadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake.
Kushiriki mjadala darasani na wenzake.
Je, unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 1
Vifaa vya kidijitali
Chati
Kadi maneno
Kutambua vipengele vya mjadala Kuuliza na kujibu maswali Orodha hakiki Kueleza Kushiriki mjadala
2 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu - Kifungu cha Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi.
Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi.
Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi.
Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu cha simulizi kuhusu usafi wa mazingira kwa zamu katika kikundi.
Kutambua habari mahususi katika kifungu cha simulizi kuhusu usafi wa mazingira.
Kudondoa habari muhimu katika kifungu cha simulizi.
Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu.
Kujibu maswali ya ufahamu yanayolenga kudondoa habari mahususi.
Je, unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu simulizi kwa usahihi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 4
Picha
Michoro
Vifaa vya kidijitali
Kusoma kwa kutambua habari mahususi Kujibu maswali Kupanga matukio kwa mtiririko sahihi Kufanya tathmini
2 3
Sarufi
Vihusishi vya Mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya vihusishi vya mahali.
Kutambua vihusishi vya mahali katika matini.
Kutumia vihusishi vya mahali ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya vihusishi vya mahali.
Kutambua vihusishi vya mahali kama "chini ya", "kando ya", "mbele ya", "ndani ya", "juu ya" katika sentensi.
Kujaza pengo katika sentensi kwa kutumia vihusishi vya mahali.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya mahali ipasavyo kuhusu usafi wa mazingira.
Je, ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 10-11
Kadi maneno
Matini ya mwalimu
Picha zinazoonyesha mahali
Kujaza pengo kwa vihusishi vya mahali Kuuliza maswali na kutoa majibu Kutunga sentensi zenye vihusishi vya mahali Kufanyiana tathmini
2 4
Sarufi
Vihusishi vya Mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya vihusishi vya mahali.
Kutambua vihusishi vya mahali katika matini.
Kutumia vihusishi vya mahali ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya vihusishi vya mahali.
Kutambua vihusishi vya mahali kama "chini ya", "kando ya", "mbele ya", "ndani ya", "juu ya" katika sentensi.
Kujaza pengo katika sentensi kwa kutumia vihusishi vya mahali.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya mahali ipasavyo kuhusu usafi wa mazingira.
Je, ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 10-11
Kadi maneno
Matini ya mwalimu
Picha zinazoonyesha mahali
Kujaza pengo kwa vihusishi vya mahali Kuuliza maswali na kutoa majibu Kutunga sentensi zenye vihusishi vya mahali Kufanyiana tathmini
3 1
Kuandika
Viakifishi - Koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua alama ya koloni katika matini.
Kueleza matumizi ya koloni katika matini.
Kutumia alama ya koloni ipasavyo katika matini.
Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya koloni katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua alama ya koloni katika sentensi kama "Mama alienda sokoni akanunua bidhaa zifuatazo: karoti, nyanya, mchicha, maharagwe na unga."
Kueleza matumizi mbalimbali ya alama ya koloni katika matini.
Kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama ya koloni ipasavyo.
Kutunga sentensi au vifungu vifupi kuhusu usafi wa mazingira kwa kutumia alama ya koloni ipasavyo.
Je, alama ya koloni hutumiwa wapi katika maandishi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 8
Matini ya mwalimu
Kifaa cha kidijitali
Kadi zenye mifano ya matumizi ya koloni
Kutambua alama ya koloni katika matini Kutunga sentensi zenye alama ya koloni Orodha hakiki ya matumizi ya koloni Kujaza pengo kwa kuweka alama ya koloni
3 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kujibu - Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mjadala.
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kuchangia mjadala.
Kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo.
Kuchangamkia kushiriki katika mijadala ya miktadha mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuteua mada "Usafi wa mazingira ndio unaozuia kuenea kwa maradhi".
Kujigawa katika vikundi viwili: kuunga mkono na kupinga mjadala.
Kutayarisha hoja za kuunga mkono au kupinga mjadala.
Kuchagua viongozi wa kuwaelekeza kama vile mwenyekiti, katibu, mlinda nidhamu na mtunza wakati.
Je, unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 3
Chati ya vipengele vya mjadala
Karatasi za kuandikia hoja
Kushiriki mjadala Matamshi bora ya maneno Utetezi wa hoja kwa lugha ya adabu Kutumia lugha ya ushawishi
3 3
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu - Kifungu cha Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi.
Kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivyotumiwa katika kifungu cha simulizi.
Kuchangamkia kutumia msamiati alivyoutambua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutabiri matukio katika kifungu kutokana na picha au matukio ya awali.
Kufasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi.
Kutambua na kuorodhesha msamiati kama 'bustani', 'yaliyopukutika', 'mandhari', 'karo', 'pazia' n.k.
Kueleza maana ya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha.
Kutunga sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi.
Je, utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 5-6
Chati
Kamusi
Matini ya mwalimu
Kutambua msamiati mpya Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati mpya Kufanya tathmini ya maana ya msamiati
3 4
Sarufi
Vihusishi vya Wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vihusishi vya wakati katika matini.
Kutumia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya wakati katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vihusishi vya wakati kama "baada ya", "kabla ya", "tangu", "toka", "hadi" kutoka kwa kapu maneno, chati au mti maneno.
Kutambua vihusishi vya wakati katika sentensi.
Kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo kuhusu usafi wa mazingira.
Je, vihusishi vya wakati vinatumika wakati gani?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 11-12
Chati mabango
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Kujaza pengo kwa vihusishi vya wakati Kujibu maswali Kutunga sentensi zenye vihusishi vya wakati Kutambua tofauti kati ya vihusishi vya mahali na vya wakati
4 1
Kuandika
Viakifishi - Semi Koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua alama ya semi koloni katika matini.
Kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
Kutumia alama ya semi koloni ipasavyo katika matini.
Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua alama ya semi koloni katika sentensi kama "Tulizuru Bonde la Ufa tukatembelea Ziwa Nakuru; Ziwa Naivasha; Mlima Longonot na Mji wa Nakuru."
Kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
Kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama ya semi koloni ipasavyo.
Kutunga sentensi au kifungu kifupi kuhusu usafi wa mazingira akitumia alama ya semi koloni ipasavyo.
Je, alama ya semi koloni hutumiwa vipi katika maandishi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 9
Matini ya mwalimu
Kadi
Mifano ya sentensi zenye matumizi ya semi koloni
Orodha hakiki ya matumizi ya semi koloni Kutunga sentensi zenye alama ya semi koloni Kubainisha tofauti kati ya koloni na semi koloni
4 2
Kuandika
Viakifishi - Semi Koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua alama ya semi koloni katika matini.
Kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
Kutumia alama ya semi koloni ipasavyo katika matini.
Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matini mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua alama ya semi koloni katika sentensi kama "Tulizuru Bonde la Ufa tukatembelea Ziwa Nakuru; Ziwa Naivasha; Mlima Longonot na Mji wa Nakuru."
Kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
Kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama ya semi koloni ipasavyo.
Kutunga sentensi au kifungu kifupi kuhusu usafi wa mazingira akitumia alama ya semi koloni ipasavyo.
Je, alama ya semi koloni hutumiwa vipi katika maandishi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 9
Matini ya mwalimu
Kadi
Mifano ya sentensi zenye matumizi ya semi koloni
Orodha hakiki ya matumizi ya semi koloni Kutunga sentensi zenye alama ya semi koloni Kubainisha tofauti kati ya koloni na semi koloni
4 3
MAZOEZI YA VIUNGO VYA MWILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kina - Sauti /b/ na /mb/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutamka sauti /b/ na /mb/ ipasavyo ili kuzitofautisha kimatamshi.
Kutamka vitanzandimi vyenye sauti /b/ na /mb/ ipasavyo.
Kuunda vitanzandimi vyepesi vyenye sauti /b/ na /mb/.
Kuchangamkia matamshi bora ya sauti /b/ na /mb/ katika mazungumzo ya kawaida.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua sauti /b/ na /mb/ katika maneno kama "bali-mbali", "bao-mbao", "baba-bomba", "ibo-imba", "boga-mboga".
Kusikiliza na kutamka vitanzandimi vyepesi vinavyohusisha matamshi ya sauti /b/ na /mb/ katika kifaa cha kidijitali.
Kubuni vitanzandimi vyepesi vinavyohusisha sauti /b/ na /mb/.
Kuwasomea wenzake vitanzandimi alivyobuni ili wamtolee maoni.
Je, kutamka maneno yenye sauti /b/ na /mb/ ipasavyo kuna umuhimu gani?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 13-14
Mti maneno
Matini ya mwalimu
Kifaa cha kidijitali
Kutambua sauti /b/ na /mb/ katika maneno Kutunga vitanzandimi vyenye sauti /b/ na /mb/ Orodha hakiki ya maneno yenye sauti hizo
4 4
Kusoma
Kusoma kwa Mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kufafanua ujumbe wa matini aliyosoma.
Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia.
Kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma.
Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali za kujichagulia.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuteua matini kuhusu mazoezi ya viungo vya mwili kisha some matini aliyojichagulia.
Kutambua msamiati muhimu katika matini aliyoteua.
Kufafanua ujumbe wa matini aliyoisoma kwa ufupi.
Kutambua na kuorodhesha msamiati uliotumika katika matini aliyojichagulia.
Je, unazingatia nini unapojichagulia matini ya kusoma?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 15-16
Matini mbalimbali za kujichagulia
Kamusi
Kusoma matini ya kujichagulia Kutambua msamiati muhimu Kuorodhesha msamiati na maana yake Kufafanua ujumbe wa matini
5 1
Sarufi
Vihusishi vya -a Unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vihusishi vya -a unganifu katika matini.
Kutumia vihusishi vya -a unganifu ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi ya -a unganifu ifaavyo katika mahusiano na mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vihusishi vya -a unganifu kama "wa", "la", "ya", "cha", "za" katika mafungu ya maneno.
Kutambua vihusishi vya -a unganifu katika sentensi.
Kujaza pengo kwa vihusishi vya -a unganifu.
Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya -a unganifu akizingatia mazoezi ya viungo vya mwili.
Je, vihusishi vya -a unganifu hutumika vipi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 19-20
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Orodha ya vihusishi vya -a unganifu
Kutambua vihusishi vya -a unganifu Kuulizana na kujibu maswali Kutunga sentensi zenye vihusishi vya -a unganifu Orodha hakiki ya matumizi ya vihusishi vya -a unganifu
5 2
Kuandika
Insha za Kiuamilifu - Barua ya Kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua ujumbe unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
Kueleza lugha inayofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
Kuchangamkia kujibu barua ya kirafiki kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafiki.
Kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki.
Kujadili muundo wa kujibu barua ya kirafiki akishirikiana na wenzake.
Kuchora mchoro wa muundo wa barua ya kirafiki kitambuni.
Je, unazingatia nini unapojibu barua ya kirafiki?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 17
Matini ya mwalimu
Michoro
Chati
Mfano wa barua ya kirafiki
Kutambua vipengele vya barua ya kirafiki Kuchora muundo wa barua ya kirafiki Kujibu maswali kuhusu barua ya kirafiki Kueleza lugha inayofaa katika barua ya kirafiki
5 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kina - Sauti /b/ na /mb/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutamka sauti /b/ na /mb/ ipasavyo ili kuzitofautisha kimatamshi.
Kutamka vitanzandimi vyenye sauti /b/ na /mb/ ipasavyo.
Kuunda vitanzandimi vyepesi vyenye sauti /b/ na /mb/.
Kuchangamkia matamshi bora ya sauti /b/ na /mb/ katika mazungumzo ya kawaida.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua sauti /b/ na /mb/ katika maneno kama "bali-mbali", "bao-mbao", "baba-bomba", "ibo-imba", "boga-mboga".
Kusikiliza na kutamka vitanzandimi vyepesi vinavyohusisha matamshi ya sauti /b/ na /mb/ katika kifaa cha kidijitali.
Kubuni vitanzandimi vyepesi vinavyohusisha sauti /b/ na /mb/.
Kuwasomea wenzake vitanzandimi alivyobuni ili wamtolee maoni.
Je, kutamka maneno yenye sauti /b/ na /mb/ ipasavyo kuna umuhimu gani?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 13-14
Mti maneno
Matini ya mwalimu
Kifaa cha kidijitali
Kutambua sauti /b/ na /mb/ katika maneno Kutunga vitanzandimi vyenye sauti /b/ na /mb/ Orodha hakiki ya maneno yenye sauti hizo
5 4
Kusoma
Kusoma kwa Mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kufafanua ujumbe wa matini aliyosoma.
Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia.
Kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma.
Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali za kujichagulia.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuteua matini kuhusu mazoezi ya viungo vya mwili kisha some matini aliyojichagulia.
Kutambua msamiati muhimu katika matini aliyoteua.
Kufafanua ujumbe wa matini aliyoisoma kwa ufupi.
Kutambua na kuorodhesha msamiati uliotumika katika matini aliyojichagulia.
Je, unazingatia nini unapojichagulia matini ya kusoma?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 15-16
Matini mbalimbali za kujichagulia
Kamusi
Kusoma matini ya kujichagulia Kutambua msamiati muhimu Kuorodhesha msamiati na maana yake Kufafanua ujumbe wa matini
6 1
Sarufi
Vihusishi vya Sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vihusishi vya sababu katika matini.
Kutumia vihusishi vya sababu ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi ya vihusishi katika mawasiliano na mahusiano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vihusishi vya sababu "kwa" katika sentensi kama "Alipendwa kwa wema wake."
Kutambua vihusishi vya sababu katika sentensi kwa kuvipigia mstari.
Kujaza pengo kwa vihusishi vya sababu vifaavyo.
Kutunga sentensi na vifungu vifupi kwa kutumia vihusishi vya sababu akizingatia mazoezi ya viungo vya mwili.
Je, vihusishi vya -a unganifu na vya sababu hutofautiana vipi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 21
Vifaa vya kidijitali
Kapu na kadi maneno
Matini ya mwalimu
Kutambua vihusishi vya sababu Kutunga sentensi zenye vihusishi vya sababu Tathmini ya mwanafunzi Orodha hakiki ya matumizi ya vihusishi vya sababu
6 2
Sarufi
Vihusishi vya Sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vihusishi vya sababu katika matini.
Kutumia vihusishi vya sababu ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi ya vihusishi katika mawasiliano na mahusiano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vihusishi vya sababu "kwa" katika sentensi kama "Alipendwa kwa wema wake."
Kutambua vihusishi vya sababu katika sentensi kwa kuvipigia mstari.
Kujaza pengo kwa vihusishi vya sababu vifaavyo.
Kutunga sentensi na vifungu vifupi kwa kutumia vihusishi vya sababu akizingatia mazoezi ya viungo vya mwili.
Je, vihusishi vya -a unganifu na vya sababu hutofautiana vipi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 21
Vifaa vya kidijitali
Kapu na kadi maneno
Matini ya mwalimu
Kutambua vihusishi vya sababu Kutunga sentensi zenye vihusishi vya sababu Tathmini ya mwanafunzi Orodha hakiki ya matumizi ya vihusishi vya sababu
6 3
Kuandika
Insha za Kiuamilifu - Barua ya Kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao.
Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao.
Kuwasomea wenzake barua aliyoandika ili wamtolee maoni.
Kurekebisha barua yake kwa kuzingatia maoni ya wenzake.
Kuwasilisha barua yake kwa mwalimu ili aitathimini.
Je, unazingatia nini unapojibu barua ya kirafiki?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 18-19
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Mifano ya barua za kirafiki
Kuandika barua ya kirafiki Kusomeana barua za kirafiki Kufanya tathmini Kutoa maoni kuhusu barua za wenzake
6 4
UTUNZAJI WA WANYAMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Tashbihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya tashbihi ili kuipambanua na tungo zingine.
Kutambua tashbihi katika matini ya fasihi simulizi.
Kueleza matumizi ya tashbihi katika matini ya fasihi simulizi.
Kuchangamkia matumizi ya tashbihi katika tungo za fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya tashbihi.
Kutambua tashbihi kama "mrefu kama twiga", "maridadi kama tausi" katika tungo simulizi.
Kueleza matumizi ya tashbihi katika tungo za fasihi simulizi.
Kushiriki katika uwasilishaji wa tashbihi.
Je, tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 24
Kadi za tashbihi
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Kutambua tashbihi katika tungo za fasihi simulizi Kueleza matumizi ya tashbihi Kutunga tashbihi Kutofautisha tashbihi na semi zingine
7 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Sitiari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya sitiari ili kuipambanua na tungo zingine.
Kutambua sitiari katika matini ya fasihi simulizi.
Kueleza matumizi ya sitiari katika matini ya fasihi simulizi.
Kuchangamkia matumizi ya sitiari katika tungo za fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya sitiari.
Kutambua sitiari kama "Yeye ni twiga", "Yeye ni simba" kutoka kwenye tungo simulizi au kifaa cha kidijitali.
Kueleza matumizi ya sitiari katika tungo za fasihi simulizi.
Kushiriki katika uwasilishaji wa sitiari.
Kwa nini tunatumia sitiari kuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 25-27
Matini zilizo na sitiari
Chati za sitiari
Vifaa vya kidijitali
Kutambua sitiari katika tungo za fasihi simulizi Kueleza matumizi ya sitiari Kutunga sitiari Kutofautisha sitiari na tashbihi
7 2
Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya shairi ili kulitofautisha na tungo zingine.
Kujadili sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi andishi.
Kueleza sifa za ushairi katika shairi.
Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutafiti maana ya shairi vitabuni au mtandaoni ili kulitofautisha na tungo nyingine.
Kujadili na wenzake sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi andishi.
Kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo.
Kuwasomea wenzake sifa alizotambua katika mashairi aliyoyasoma ili wamtolee maoni.
Je, shairi ulilowahi kusoma lilikuwa linazungumzia nini?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 30-31
Diwani ya mashairi iliyoteuliwa
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Kutambua sifa za ushairi Kusoma shairi kwa kuzingatia vipengele vyake Kuandika muhtasari wa sifa za ushairi Kujadili ujumbe wa shairi
7 3
Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya shairi ili kulitofautisha na tungo zingine.
Kujadili sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi andishi.
Kueleza sifa za ushairi katika shairi.
Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutafiti maana ya shairi vitabuni au mtandaoni ili kulitofautisha na tungo nyingine.
Kujadili na wenzake sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi andishi.
Kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo.
Kuwasomea wenzake sifa alizotambua katika mashairi aliyoyasoma ili wamtolee maoni.
Je, shairi ulilowahi kusoma lilikuwa linazungumzia nini?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 30-31
Diwani ya mashairi iliyoteuliwa
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Kutambua sifa za ushairi Kusoma shairi kwa kuzingatia vipengele vyake Kuandika muhtasari wa sifa za ushairi Kujadili ujumbe wa shairi
7 4
Sarufi
Vihusishi Vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vihusishi vilinganishi katika matini.
Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vilinganishi katika mawasiliano ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vihusishi vilinganishi kama "kama", "sawa na", "mithili ya", "kupita", "kuliko" n.k.
Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi kama "Sungura alimchekelea Kobe na kumwambia, 'mimi ni mwepesi kuliko wewe.'"
Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vihusishi vilinganishi.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi vilinganishi akizingatia utunzaji wa wanyama.
Je, vihusishi vilinganishi na kihusishi 'na' huchangia vipi katika mawasiliano?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 36-37
Kadi za vihusishi vilinganishi
Chati
Vifaa vya kidijitali
Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi Kujaza pengo kwa vihusishi vilinganishi Kutunga sentensi zenye vihusishi vilinganishi Kufanyiana tathmini
8 1
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kufafanulia ujumbe wa insha ya masimulizi.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa utangulizi, kiini na hitimisho.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa wahusika.
Kuandika insha ya masimulizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua vipengele vya kufafanulia ujumbe wa simulizi.
Kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi na kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi, kiini na hitimisho.
Kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kwenye matini za aina mbalimbali na kufafanua ujumbe kupitia kwa wahusika.
Kujadili vigezo vya kutathmini insha ya masimulizi.
Je, unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 33-34
Mifano ya insha za masimulizi
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua vipengele vya insha ya masimulizi Kufafanua ujumbe wa insha kupitia utangulizi, kiini na hitimisho Kuandika mwongozo wa kutunga insha ya masimulizi
8 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya methali ili kuipambanua na tungo zingine.
Kutambua methali katika matini ya fasihi simulizi.
Kueleza matumizi ya methali katika matini ya fasihi simulizi.
Kuchangamkia matumizi ya methali katika tungo za fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kueleza maana ya methali.
Kutambua methali katika tungo simulizi, kapu la semi, au kifaa cha kidijitali.
Kueleza matumizi ya methali katika tungo za fasihi simulizi.
Kushiriki katika uwasilishaji wa methali.
Kwa nini tunatumia methali kuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 27-29
Orodha ya methali
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Kutambua methali katika tungo za fasihi simulizi Kueleza matumizi ya methali Kutunga methali Kutofautisha methali na semi zingine
8 3
Kusoma
Kusoma kwa Kina - Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya shairi ili kulitofautisha na tungo zingine.
Kujadili sifa za ushairi kama utanzu wa fasihi andishi.
Kueleza sifa za ushairi katika shairi.
Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma shairi "Wanyama tuwalindeni, waishi pasi nakama" katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu.
Kutambua vipengele vya shairi kama vile vina, mizani, mishororo, kituo, na kadhalika.
Kujadili na wenzake sifa za shairi alilolisoma.
Kuwasomea wenzake shairi hilo kwa kuzingatia kanuni za usomaji wa mashairi.
Je, unavutiwa na nini unaposoma shairi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 31-32
Diwani ya mashairi iliyoteuliwa
Chati ya sifa za ushairi
Vifaa vya kidijitali
Kutambua sifa za ushairi katika shairi Kusoma shairi kwa ufasaha Kujibu maswali kuhusu shairi Kufanya tathmini ya ujumbe wa shairi
8 4
Sarufi
Kihusishi 'na'
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua kihusishi 'na' katika matini.
Kutumia kihusishi 'na' ipasavyo katika matini.
Kuchangamkia kutumia kihusishi 'na' katika mawasiliano ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutambua kihusishi 'na' katika sentensi kama "Waliwaona simba wakifukuzana na swara."
Kutambua kihusishi 'na' katika sentensi kwa kukipigia mstari.
Kujaza pengo kwa kutumia kihusishi 'na' panapohitajika.
Kutunga sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi 'na' ipasavyo kuhusu utunzaji wa wanyama.
Je, kihusishi 'na' kinatofautianaje na vihusishi vingine?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 37-38
Kadi za sentensi zenye kihusishi 'na'
Vifaa vya kidijitali
Matini ya mwalimu
Kutambua kihusishi 'na' katika sentensi Kutunga sentensi zenye kihusishi 'na' Kujaza pengo kwa kihusishi 'na' Kufanyiana tathmini
9 1
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kufafanulia ujumbe wa insha ya masimulizi.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa utangulizi, kiini na hitimisho.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa wahusika.
Kuandika insha ya masimulizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao.
Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha ya kusimulia ili kufanikisha maelezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandika insha ya masimulizi kuhusu utunzaji wa wanyama daftarini mwake au katika kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi, kiini, hitimisho na wahusika.
Kuwasomea wenzake insha aliyoandika darasani au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni.
Kurekebisha insha yake kwa kuzingatia maoni ya wenzake.
Kuwasilisha insha iliyorekebishwa kwa mwalimu kwa tathmini.
Je, unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 35
Vifaa vya kidijitali
Mifano ya insha za masimulizi
Matini ya mwalimu
Kuandika insha ya masimulizi Kufafanua ujumbe wa insha kupitia wahusika Kurekebisha insha kulingana na maoni ya wenzake Kuwasilisha insha iliyorekebishwa
9 2
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kufafanulia ujumbe wa insha ya masimulizi.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa utangulizi, kiini na hitimisho.
Kufafanua ujumbe wa insha ya masimulizi kupitia kwa wahusika.
Kuandika insha ya masimulizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao.
Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha ya kusimulia ili kufanikisha maelezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandika insha ya masimulizi kuhusu utunzaji wa wanyama daftarini mwake au katika kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi, kiini, hitimisho na wahusika.
Kuwasomea wenzake insha aliyoandika darasani au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni.
Kurekebisha insha yake kwa kuzingatia maoni ya wenzake.
Kuwasilisha insha iliyorekebishwa kwa mwalimu kwa tathmini.
Je, unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 35
Vifaa vya kidijitali
Mifano ya insha za masimulizi
Matini ya mwalimu
Kuandika insha ya masimulizi Kufafanua ujumbe wa insha kupitia wahusika Kurekebisha insha kulingana na maoni ya wenzake Kuwasilisha insha iliyorekebishwa
9 3
UTUNZAJI WA MALIASILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya vitendawili;
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili;
Kutambua vitendawili katika matini;
Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wake;
Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika tungo za fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya vitendawili;
Kueleza maana ya vitendawili;
Kutoa mfano wa kitendawili kutokana na maana aliyopata;
Kutambua vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili.
Unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 40
Kamusi
Mtandao salama
Kadi maneno
Kutambua vitendawili; Kueleza maana ya vitendawili; Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji
9 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi;
Kueleza umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi;
Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wake;
Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika tungo za fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kufanya utafiti kuhusu umuhimu wa vitendawili;
Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika vipengele kama vile huburudisha, hukuza ubunifu, hukuza uwezo wa kufikiri, hukuza uwezo wa kukumbuka na huelimisha;
Wasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
Kwa nini vitendawili ni muhimu katika jamii?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 41
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua umuhimu wa vitendawili; Kueleza umuhimu wa vitendawili; Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji
10 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kueleza vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia matamshi bora;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kasi ifaayo;
Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusikiliza na kumtazama mwalimu akisoma kifungu;
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha;
Kueleza vipengele alivyotambua kwa kuzingatia ubora wa matamshi, kasi ya usomaji, kiwango cha sauti na kuambatanisha ishara zifaazo.
Unazingatia mambo gani unaposoma kwa ufasaha?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 44
Kifungu cha nathari
Vifaa vya kidijitali
Kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha; Kusoma kwa kuzingatia matamshi bora; Kusoma kwa kasi ifaayo
10 2
Sarufi
Nyakati na Hali - -ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ki- ya masharti katika matini;
Kueleza matumizi ya -ki- ya masharti;
Kutumia -ki- ya masharti ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ki- ya masharti ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Nakili sentensi zilizo na -ki- ya masharti;
Tambua -ki- ya masharti katika sentensi kwa kuichorea mstari;
Eleza maana inayojitokeza katika sentensi za -ki- ya masharti;
Chagua sentensi zilizotumia -ki- ya masharti kati ya sentensi zilizotolewa.
-ki- ya masharti hutumiwa wakati gani katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 50
Chati
Matini yenye sentensi za -ki- ya masharti
Kutambua -ki- ya masharti; Kueleza matumizi ya -ki- ya masharti; Kutunga sentensi akitumia -ki- ya masharti
10 3
Sarufi
Nyakati na Hali - -ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ki- ya masharti katika matini;
Kutumia -ki- ya masharti ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ki- ya masharti ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuteua sentensi zenye -ki- ya masharti;
Kubadilisha sentensi ambazo hazina -ki- ya masharti ziwe na -ki- ya masharti;
Kutunga sentensi tano akitumia -ki- ya masharti.
Je, ni tofauti gani kati ya -ki- ya masharti na -ki- ya wakati?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 51
Karatasi zenye sentensi
Vifaa vya kidijitali
Kubadilisha sentensi ziwe na -ki- ya masharti; Kutunga sentensi akitumia -ki- ya masharti; Kufanya tathmini
10 4
Sarufi
Nyakati na Hali - -ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ki- ya masharti katika matini;
Kutumia -ki- ya masharti ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ki- ya masharti ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuteua sentensi zenye -ki- ya masharti;
Kubadilisha sentensi ambazo hazina -ki- ya masharti ziwe na -ki- ya masharti;
Kutunga sentensi tano akitumia -ki- ya masharti.
Je, ni tofauti gani kati ya -ki- ya masharti na -ki- ya wakati?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 51
Karatasi zenye sentensi
Vifaa vya kidijitali
Kubadilisha sentensi ziwe na -ki- ya masharti; Kutunga sentensi akitumia -ki- ya masharti; Kufanya tathmini
11 1
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali;
Kutambua lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kujadili lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kutumia lugha ya kitamathali katika insha ya masimulizi;
Kufurahia matumizi ya lugha ya kitamathali katika kuandika insha.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya tamathali;
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali;
Kutoa mifano ya tamathali za usemi;
Kusoma insha ya masimulizi na kutambua lugha ya kitamathali iliyotumika.
Lugha ya kitamathali huongeza ladha gani katika insha?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 47
Kamusi
Mtandao salama
Insha ya mfano
Kueleza maana ya lugha ya kitamathali; Kutambua lugha ya kitamathali katika insha; Kutumia lugha ya kitamathali katika sentensi
11 2
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua wahusika katika insha ya masimulizi;
Kujadili matendo ya wahusika katika insha ya masimulizi;
Kujadili mandhari katika insha ya masimulizi;
Kuandika insha ya masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali, matendo ya wahusika na mandhari;
Kufurahia kuandika insha za masimulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutafuta maana ya wahusika;
Kusoma insha ya masimulizi;
Kutambua wahusika katika insha ya masimulizi;
Jadili matendo ya wahusika;
Jadili mandhari katika insha aliyosoma.
Unazingatia vipengele vipi unapoandika insha ya masimulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 48
Insha ya mfano
Picha
Vifaa vya kidijitali
Kutambua wahusika katika insha; Kujadili matendo ya wahusika; Kujadili mandhari katika insha
11 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Nahau
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kueleza maana ya nahau;
Kutambua nahau katika matini;
Kueleza maana za nahau;
Kutumia nahau ipasavyo katika mawasiliano;
Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kutumia kamusi au mtandao salama kutafuta maana ya nahau;
Kueleza maana ya nahau;
Kutoa mfano wa nahau kutokana na maana aliyopata;
Jadili maana za nahau mbalimbali.
Nahau hutumiwa kwa nini katika mawasiliano?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 42
Kamusi
Mtandao salama
Kadi za nahau
Kutambua nahau; Kueleza maana za nahau; Kutumia nahau ipasavyo katika sentensi
11 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Semi - Nahau
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua umuhimu wa nahau katika fasihi simulizi;
Kueleza umuhimu wa nahau katika fasihi simulizi;
Kutumia nahau ipasavyo katika mawasiliano;
Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusikiliza hadithi ya mwalimu iliyo na nahau;
Kutambua nahau katika hadithi iliyosikilizwa;
Kueleza maana za nahau zilizotambuliwa;
Jadili umuhimu wa nahau zilizotambuliwa.
Nahau huongeza ladha gani katika lugha?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 43
Hadithi ya sungura
Kadi za nahau
Kutambua nahau; Kueleza umuhimu wa nahau; Kutumia nahau ipasavyo
12 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kasi ifaayo;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia ishara za mwili zifaazo;
Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu cha nathari kuhusu maliasili akizingatia kasi ifaayo;
Kupimwa idadi ya maneno anayosoma kwa muda wa dakika moja;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma akiambatanisha ishara zifaazo.
Kwa nini ni muhimu kusoma kwa kasi ifaayo?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 45
Kifungu cha nathari
Saa ya kidijitali
Kusoma kwa kasi ifaayo; Kusoma kwa kiwango kifaacho cha sauti; Kusoma akitumia ishara zifaazo
12 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kasi ifaayo;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia ishara za mwili zifaazo;
Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma kifungu cha nathari kuhusu maliasili akizingatia kasi ifaayo;
Kupimwa idadi ya maneno anayosoma kwa muda wa dakika moja;
Kusoma kifungu cha nathari akizingatia kiwango kifaacho cha sauti;
Kusoma akiambatanisha ishara zifaazo.
Kwa nini ni muhimu kusoma kwa kasi ifaayo?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 45
Kifungu cha nathari
Saa ya kidijitali
Kusoma kwa kasi ifaayo; Kusoma kwa kiwango kifaacho cha sauti; Kusoma akitumia ishara zifaazo
12 3
Sarufi
Nyakati na Hali - -ka- ya kufuatana kwa vitendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kutambua -ka- ya kufuatana kwa vitendo katika matini;
Kueleza matumizi ya -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini;
Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo -ka- ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kusoma sentensi zenye -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutambua sentensi zenye -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kutunga sentensi akitumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo;
Kusomea mwenzake sentensi alizozitunga.
-ka- ya kufuatana kwa vitendo hutumiwa wakati gani katika sentensi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 51
Karatasi zenye sentensi
Kadi za maneno
Kutambua -ka- ya kufuatana kwa vitendo; Kutunga sentensi akitumia -ka- ya kufuatana kwa vitendo; Kufanya tathmini
12 4
Kuandika
Insha za Kubuni - Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
Kuandika insha ya masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali, matendo ya wahusika na mandhari;
Kufanya marekebisho ya insha ya masimulizi;
Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali, matendo ya wahusika na uchoraji wa mandhari.
Mwanafunzi aelekezwe:
Kuandika insha akisimulia yaliyotokea katika siku ya upandaji wa miti;
Kushirikiana na wenzake kusahihisha insha aliyoandika;
Kuandika nakala safi ya insha baada ya kuirekebisha;
Kuwasomea wenzake nakala safi ya insha aliyoandika.
Kwa nini uchoraji wa mandhari ni muhimu katika insha ya masimulizi?
KLB Top Scholar Kiswahili uk. 49
Orodha ya tathmini
Karatasi za kuandikia
Kuandika insha ya masimulizi; Kutumia lugha ya kitamathali; Kubainisha wahusika; Kuchora mandhari

Your Name Comes Here


Download

Feedback