If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
USAFI WA MAZINGIRA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza na kujibu: mjadala
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mjadala -Kuchangamkia umuhimu wa kusikiliza mjadala |
-Kujadili vipengele vya kuzingatia wakati wa kusikiliza mjadala -Kusikiliza mjadala kuhusu usafi wa mazingira |
Je, unazingatia nini wakati wa kusikiliza mjadala?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 1
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 5 |
-Kutambua vipengele vya kusikiliza mjadala
-Kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vya kusikiliza
|
|
| 2 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Vihusishi vya mahali
Viakifishi: koloni Kusikiliza na kujibu: mjadala Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha simulizi Vihusishi vya wakati Viakifishi: semi koloni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua vihusishi vya mahali -Kutumia vihusishi vya mahali ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi bora ya vihusishi vya mahali |
-Kutambua vihusishi vya mahali katika sentensi -Kutumia vihusishi vya mahali katika sentensi -Kutunga vifungu vifupi kwa kutumia vihusishi vya mahali |
Je, ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 14
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 9 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 2 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 6 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 16 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 11 |
-Kutambua vihusishi vya mahali
-Kutumia vihusishi vya mahali ipasavyo
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya mahali
|
|
| 2 | 3 |
MAZOEZI YA VIUNGO VYA MWILI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa kina: sauti /b/ na /mb/
Kusoma kwa mapana: matini ya kujichagulia Vihusishi vya -a unganifu Insha za kiuamilifu: kujibu barua ya kirafiki Kusikiliza kwa kina: sauti /b/ na /mb/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua sauti /b/ na /mb/ ipasavyo -Kutamka sauti /b/ na /mb/ ipasavyo -Kuchangamkia matamshi bora ya sauti /b/ na /mb/ |
-Kutambua sauti /b/ na /mb/ katika maneno -Kutamka silabi zenye sauti /b/ na /mb/ -Kutamka maneno yenye sauti /b/ na /mb/ |
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti /b/ na /mb/?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 20
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 22 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 27 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 24 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 21 |
-Kutamka sauti /b/ na /mb/ ipasavyo
-Kutofautisha sauti /b/ na /mb/ kimatamshi
|
|
| 2 | 4 |
Kusoma
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusoma kwa mapana: matini ya kujichagulia
Vihusishi vya sababu Insha za kiuamilifu: kujibu barua ya kirafiki Semi: tashbihi Semi: sitiari Kusoma kwa kina: ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma -Kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ya fikra |
-Kuelezea maana ya msamiati asioujua kutoka kwenye matini -Kutumia kamusi kufafanua maana za msamiati -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati kutoka matini -Kuandika muhtasari wa matini aliyosoma |
Ni mambo gani unafaa kufanya unaposoma matini ya kujichagulia?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 23
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 28 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 25 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 33 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 35 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 40 |
-Kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini
-Kuandika muhtasari wa ujumbe wa matini
|
|
| 3 | 1 |
UTUNZAJI WA WANYAMA
Sarufi Kuandika Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Vihusishi vilinganishi
Insha za kubuni: masimulizi Insha za kubuni: masimulizi Semi: methali Kusoma kwa kina: ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua vihusishi vilinganishi -Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya vihusishi vilinganishi |
-Kusoma sentensi zenye vihusishi vilinganishi -Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi -Kutaja mifano ya vihusishi vilinganishi -Kutumia vihusishi vilinganishi katika sentensi |
Ni vihusishi vilinganishi gani unavyojua?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 45
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 43 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 44 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 37 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 41 |
-Kutambua vihusishi vilinganishi
-Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo
|
|
| 3 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Kihusishi 'na'
Insha za kubuni: masimulizi Semi: vitendawili Kusoma kwa ufasaha Nyakati na hali: -ki -ya masharti Insha za kubuni: masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua kihusishi 'na' -Kutumia kihusishi 'na' ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya kihusishi 'na' |
-Kusoma sentensi zenye kihusishi 'na' -Kutambua matumizi mbalimbali ya kihusishi 'na' katika sentensi -Kutunga sentensi kwa kutumia kihusishi 'na' kwa njia tofauti |
Kihusishi 'na' kinatumikaje katika sentensi?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 47
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 45 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 51 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 57 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 62 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 60 |
-Kutambua kihusishi 'na'
-Kutumia kihusishi 'na' ipasavyo
|
|
| 3 | 3 |
UTUNZAJI WA MALIASILI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Semi: nahau
Kusoma kwa ufasaha Nyakati na hali: -ka -ya kufuatana kwa vitendo Insha za kubuni: masimulizi Ufahamu wa kusikiliza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua nahau -Kueleza maana ya nahau -Kuchangamkia matumizi ya nahau |
-Kutambua nahau katika picha -Kujadili maana ya nahau -Kutaja mifano ya nahau -Kueleza maana za nahau |
Je, ni nahau gani unazozijua?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 54
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 58 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 64 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 61 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 70 |
-Kutambua nahau
-Kueleza maana za nahau
-Kutumia nahau ipasavyo
|
|
| 3 | 4 |
MITAZAMO HASI YA KIJINSIA
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa ufahamu
Hali za masharti: hali ya masharti -nge- Insha za kiuamilifu: shajara Ufahamu wa kusikiliza Kusoma kwa ufahamu Hali za masharti: hali ya masharti -ngali- |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kupanga matukio yanavyofuatana -Kuchangamkia usomaji wa vifungu vya ufahamu |
-Kusoma kifungu cha ufahamu kuhusu mitazamo hasi ya kijinsia -Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu |
Kwa nini tunasoma kifungu cha ufahamu?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 73
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 79 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 76 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 72 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 75 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 82 |
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu
|
|
| 4 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Insha za kiuamilifu: shajara
Kusikiliza kwa kufasiri Kusoma kwa kina: maudhui katika shairi Vielezi vya namna Insha za kubuni: methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua vipengele vya shajara -Kuandika shajara ukizingatia vipengele vifaavyo -Kuchangamkia uandishi wa shajara |
-Kujadili vipengele vya shajara -Kuandika shajara ya wiki moja wawapo shuleni -Kusahihisha shajara waliyoandika |
Vipengele gani unapaswa kuzingatia unapoandika shajara?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 78
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 85 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 88 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 93 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 90 |
-Kutambua vipengele vya shajara
-Kuandika shajara ukizingatia vipengele vifaavyo
|
|
| 4 | 2 |
USALAMA BARABARANI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza kwa kufasiri
Kusoma kwa kina: dhamira katika shairi Vielezi vya wakati Insha za kubuni: methali Kusikiliza kwa kutathmini Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua misimamo mbalimbali katika matini -Kusikiliza matini na kutoa maoni yake kuhusu misimamo mbalimbali -Kuchangamkia kusikiliza kwa kufasiri |
-Kusikiliza matini kuhusu usalama barabarani -Kuchambua misimamo mbalimbali katika matini hiyo -Kutoa maoni yake kuhusu misimamo katika matini -Kujadili athari za misimamo katika matini |
Je, ni misimamo ipi iliyopo katika matini kuhusu usalama barabarani?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 86
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 89 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 95 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 92 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 99 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 103 |
-Kutambua misimamo mbalimbali katika matini
-Kusikiliza matini na kutoa maoni yake kuhusu misimamo mbalimbali
|
|
| 4 | 3 |
HUDUMA KATIKA ASASI ZA KIJAMII
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Vielezi vya mahali
Insha za kubuni: maelezo Kusikiliza kwa kutathmini Ufupisho Vielezi vya idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua vielezi vya mahali -Kutumia vielezi vya mahali ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali |
-Kutambua vielezi vya mahali katika picha na sentensi -Kujadili maana ya vielezi vya mahali -Kutaja mifano ya vielezi vya mahali -Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi vya mahali |
Ni mahali gani panaweza kutajwa kwa kutumia vielezi vya mahali?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 109
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 106 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 101 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 105 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 111 |
-Kutambua vielezi vya mahali
-Kutumia vielezi vya mahali ipasavyo
|
|
| 4 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha za kubuni: maelezo
Uzungumzaji wa kushawishi Kusoma kwa kina: mandhari katika shairi Ngeli na upatanisho wa kisarufi: ngeli ya U-ZI Viakifishi: mabano Uzungumzaji wa kushawishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayoathiri hisia katika insha ya maelezo -Kutumia ipasavyo lugha inayoathiri hisia katika kuandika insha ya maelezo -Kuchangamkia uandishi wa insha za maelezo |
-Kujadili jinsi insha ya maelezo inavyochangia katika kushawishi, kuburudisha, kupasha habari au kufunza -Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayoathiri hisia -Kuandika insha ya maelezo kuhusu kutoa huduma katika asasi za kijamii -Kutumia lugha inayoathiri hisia ya msomaji |
Unapotoa maelezo kuhusu jambo fulani, utatumia aina gani za maneno ili maelezo yako yaathiri hisia?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 108
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 116 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 119 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 126 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 122 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 118 |
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayoathiri hisia
-Kutumia ipasavyo lugha inayoathiri hisia katika kuandika insha ya maelezo
|
|
| 5 | 1 |
MISUKOSUKO YA KIJAMII
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusoma kwa kina: mandhari katika shairi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi: ngeli ya YA-YA Viakifishi: kistari kifupi Kusikiliza kwa kina: sauti j na nj Ufahamu wa kifungu cha kushawishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kufafanua vipengele vya muundo katika shairi -Kuchambua shairi kwa kuzingatia mandhari -Kuchangamkia usomaji wa mashairi |
-Kusoma shairi kuhusu misukosuko ya kijamii -Kutambua vipengele vya muundo kama vile beti, mishororo, mizani, vina, vipande na mshororo wa mwisho -Kuchambua muundo wa shairi |
Vipengele vya muundo katika shairi vinahusu nini?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 120
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 130 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 124 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 135 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 137 |
-Kufafanua vipengele vya muundo katika shairi
-Kuchambua shairi kwa kuzingatia mandhari na muundo
|
|
| 5 | 2 |
MATUMIZI YA VIFAA VYA KIDIJITALI KATIKA BIASHARA
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Ngeli na upatanisho wa kisarufi: ngeli ya LI
Insha za kubuni: masimulizi Kusikiliza kwa kina: sauti j na nj Ufahamu wa kifungu cha kushawishi Ngeli na upatanisho wa kisarufi: ngeli ya KU Insha za kubuni: masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya LI katika sentensi -Kutambua nomino za ngeli ya LI -Kuchangamkia matumizi ya ngeli ya LI |
-Kusoma sentensi zenye nomino za ngeli ya LI -Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya LI -Kutaja mifano ya nomino za ngeli ya LI -Kutumia nomino za ngeli ya LI katika sentensi |
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya LI?
|
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 143
Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 140 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 136 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 139 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 147 Kielelezo cha Kiswahili, Gredi ya Tisa, Kiswahili Mentor, UK 142 |
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya LI
-Kutambua nomino za ngeli ya LI
-Kutumia nomino za ngeli ya LI kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi
|
|
| 5 | 3 |
KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Mazungumzo: Malumbano ya utani
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika shairi Vinyume vya vihusishi Barua ya kuomba kazi Mazungumzo: Malumbano ya utani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, -kueleza maana ya malumbano ya utani kama kipera cha mazungumzo, -kujadili sifa za malumbano ya utani, -kutambua vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani. |
- Kueleza maana ya malumbano ya utani akiwa na mwenzake
-Kujadili sifa za malumbano ya utani akishirikiana na wenzake katika kikundi -Kutambua vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa malumbano ya utani -Kusikiliza malumbano ya utani katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa au mwalimu na kutambua vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji |
Malumbano ya utani huzungumzia nini?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Tisa
-Ukurasa 152 -Ukurasa 155 -Ukurasa 159 -Ukurasa 157 |
Kutambua sifa za malumbano ya utani
|
|
| 5 | 4 |
Kusoma
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika shairi
Vinyume vya vihusishi Barua ya kuomba kazi Uzungumzaji katika sherehe Kusoma kwa Mapana Mnyambuliko wa vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, -kuchambua shairi kwa kuzingatia sifa za wahusika, -kujenga mazoea ya kuchambua wahusika katika mashairi ili kuimarisha uwazaji wa kina. |
- Kuchambua shairi na kutaja sifa za wahusika kutokana na sura au umbo
-Kuigiza wahusika katika mashairi akiwa na wenzake ili kukuza uelewa wa sifa zao -Kumsomea mzazi au mlezi wake shairi na kujadiliana naye kuhusu wahusika |
Ni wahusika aina gani waliopo katika mashairi uliyowahi kusoma?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Tisa
-Ukurasa 155 -Ukurasa 159 -Ukurasa 157 -Ukurasa 164 -Ukurasa 166 -Ukurasa 170 |
Kuchambua shairi kwa kuzingatia sifa za wahusika
|
|
| 6 | 1 |
HAKI ZA KIBINADAMU
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Insha za Kubuni: Maelezo
Uzungumzaji katika sherehe Kusoma kwa Mapana Mnyambuliko wa vitenzi Insha za Kubuni: Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, -kujadili mitazamo katika insha za maelezo, -kuandika mswada wa insha ya maelezo akizingatia mtazamo mahususi. |
- Kutambua mitazamo mbalimbali ya kimaelezo katika insha za maelezo akiwa na wenzake
-Kushirikiana na wenzake kueleza mitazamo mbalimbali ya kimaelezo katika insha za maelezo -Kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia mitazamo ya kimaelezo atakayotumia katika insha yake ya maelezo -Kuandika mswada wa insha ya maelezo akizingatia mtazamo ya kimaelezo aliyochagua kutumia |
Je, ni mambo gani ya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Tisa
-Ukurasa 167 -Ukurasa 164 -Ukurasa 166 -Ukurasa 170 |
Kutambua mitazamo mbalimbali katika insha za maelezo
|
|
| 6 | 2 |
MAGONJWA YANAYOTOKANA NA MIENENDO YA MAISHA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Ufahamu wa kusikiliza
Kusoma kwa Ufasaha Aina za sentensi Hotuba ya kushawishi Ufahamu wa kusikiliza Kusoma kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, -kueleza habari katika matini ya kusikiliza, -kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza. |
- Kushirikiana na wenzake kueleza hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza akiwa na wenzake |
Je, kusikiliza kwa makini kuna manufaa gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Tisa
-Ukurasa 178 -Ukurasa 180 -Ukurasa 185 -Ukurasa 182 |
Kueleza habari katika matini ya kusikiliza
|
|
| 6 | 3 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Aina za sentensi
Hotuba ya kushawishi Mazungumzo Mawaidha Kusoma kwa Kina - Ushairi Ukanushaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kipindi, -kuchambua maana mbalimbali ya sentensi tata, -kujenga ujuzi wa kuchanganua maana mbalimbali katika sentensi tata ili kufasiri habari kikamilifu. |
- Kutolea wenzake maana tofauti za sentensi tata alizozitambua
-Kutunga sentensi tata kwa kuzingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la magonjwa yanayotokana na mienendo ya maisha -Kuwasilisha darasani sentensi tata alizotunga ili wenzake wazitolee maoni kwa heshima na upendo -Kumtungia mzazi au mlezi wake sentensi tata zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani |
Nini kinafanya sentensi kuwa tata?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Tisa
-Ukurasa 185 -Ukurasa 182 MENTOR -Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya Tisa -Uk wa: 104 -Kifaa cha kidijitali -Kinasa sauti -Kapu maneno -Uk wa: 106 -Tarakilishi -Mtandao -Kamusi -Uk wa: 110 -Chati za sentensi -Kadi |
Kuchambua maana mbalimbali ya sentensi tata
|
|
| 6 | 4 |
MSHIKAMANO WA KIJAMII
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha za Kubuni - Maelezo
Mazungumzo Mawaidha Kusoma kwa Kina - Ushairi Ukanushaji Insha za Kubuni - Maelezo Mawaidha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya maelezo kuhusu hali -Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali |
-Kujadili dhana ya insha ya maelezo kuhusu hali akiwa na mwenzake
-Kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali -Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali katika kielelezo cha insha akiwa na wenzake |
Je, ni mambo gani ya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo kuhusu hali?
|
MENTOR
-Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya Tisa -Uk wa: 108 -Vielelezo vya insha -Kamusi -Chati -Uk wa: 104 -Kifaa cha kidijitali -Mgeni mwalikwa -Uk wa: 106 -Tarakilishi -Chati za mashairi -Mtandao -Uk wa: 110 -Orodha ya sentensi -Uk wa: 112 -Kinasa sauti -Kapu maneno |
-Kueleza maana ya insha ya maelezo kuhusu hali
-Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu hali
|
|
| 7 | 1 |
MATUMIZI YA USHURU
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusoma kwa Ufahamu
Udogo na Ukubwa wa Nomino Insha za Kiuamilifu - Shajara Mawaidha Kusoma kwa Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala -Kueleza maana ya msamiati na vifungu kama vilivyotumiwa katika kifungu cha mjadala |
-Kudondoa habari mahususi kwa mujibu wa kifungu cha mjadala alichosoma akishirikiana na wenzake
-Kusakura mtandaoni kifungu cha mjadala akisome na kudondoa habari mahususi katika kifungu hicho akiwa na wenzake -Kujadili na wenzake maana ya msamiati na vifungu kama vilivyotumiwa katika kifungu cha mjadala |
Ni mambo gani hujidhihirisha katika kifungu cha ufahamu?
|
MENTOR
-Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya Tisa -Uk wa: 114 -Tarakilishi -Mtandao -Kamusi -Uk wa: 118 -Chati -Kapu maneno -Kadi -Uk wa: 116 -Vielelezo vya shajara -Uk wa: 112 -Kifaa cha kidijitali -Mgeni mwalikwa -Kitabu cha Mwanafuni |
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala
-Kueleza maana ya msamiati na vifungu kama vilivyotumiwa katika kifungu cha mjadala
|
|
| 7 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Udogo na Ukubwa wa Nomino
Insha za Kiuamilifu - Shajara Kusikiliza kwa Kutathmini Ufupisho Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa Kujibu Baruapepe |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchangamkia kutumia kwa ufasaha nomino katika hali ya udogo na ukubwa ili kufanikisha mawasiliano |
-Kuambatanisha nomino za hali ya wastani na za hali ya udogo na ukubwa kwa usahihi kwenye chati za maneno akishirikiana na wenzake
-Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia nomino katika hali ya udogo au ukubwa -Kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo na ukubwa kwa kuzingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi ya ushuru akishirikiana na wenzake -Kumtajia mzazi au mlezi wake majina ya vifaa vya nyumbani katika udogo na ukubwa katika, mazingira ya nyumbani |
Ni maneno gani unayoyajua yaliyo katika hali ya ukubwa?
|
MENTOR
-Kitabu cha Mwanafunzi -Gredi ya Tisa -Uk wa: 118 -Orodha ya nomino -Tarakilishi -Chati -Gredi ya Tisi -Uk wa: 116 -Mtandao -Vielelezo vya shajara MENTOR -Kiswahili -Gredi ya 9 -Uk. 120 -Uk. 122 -Uk. 126 -Uk. 124 |
-Kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo na ukubwa
|
|
| 7 | 3 |
MAADILI YA KITAIFA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kutathmini
Ufupisho Usemi Halisi na Usemi wa Taarifa Kujibu Baruapepe Kusikiliza na Kujibu Mahojiano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusikiliza mazungumzo na kuyatathmini kwa kuzingatia vipengele vifaavyo -Kuchangamkia kutathmini mazungumzo ili kuimarisha mawasiliano |
-Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa na kuyatathmini kwa kuzingatia vipengele mbalimbali -Kushiriki na mzazi au mlezi wake katika mazungumzo kuhusu suala lengwa |
Unazingatia nini katika kutathmini ufaafu wa mazungumzo?
|
MENTOR
-Kiswahili -Gredi ya 9 -Uk. 120 -Uk. 122 -Uk. 126 -Uk. 124 Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1 -Michoro -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa |
Kutathmini mazungumzo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo
|
|
| 7 | 4 |
USAFI WA SEHEMU ZA UMMA
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Nafsi - Viwakilishi Vionyeshi - Viwakilishi vya Idadi Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa Kusikiliza na Kujibu Mahojiano Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi Viwakilishi: - Viwakilishi vya Nafsi - Viwakilishi Vionyeshi - Viwakilishi vya Idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi - kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi - kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi - kueleza maana ya msamiati katika kifungu cha simulizi -e) kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kudondoa habari mahususi (k.v. nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi - Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi - Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma - Kutambua msamiati (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na kuueleza kwa kutumia kamusi - Kusoma vifungu vya simulizi mtandaoni au kwenye vitabu kuhusu suala lengwa - Kutambua na kueleza maana ya msamiati wa usafi wa sehemu za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulizi alivyosoma mtandaoni - Kumsomea mzazi au mlezi sentensi kuhusu usafi wa sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma |
1. Je, tunapataje habari mahususi katika kifungu cha simulizi?
-2. Je, ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi -Kamusi -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 8 -Chati -Kapu maneno -Mti maneno -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6 -Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa -Tarakilishi/vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1 -Michoro -Mgeni mwalikwa |
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
|
|
| 8 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Viakifishi:
- Alama ya hisi
- Ritifaa
Kusikiliza kwa Kina: -Sauti /g/ na /gh/ Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua matumizi ya alama ya hisi na ritifaa katika matini - kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo katika matini - kuonea fahari matumizi yafaayo ya alama ya hisi na ritifaa katika matini |
Kutambua alama ya hisi na ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitali
- Kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali - Kuandika kwenye tarakilishi, kifungu kifupi kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakitolee maoni - Kusahihisha kifungu kuhusu suala lengwa ambacho hakijatumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo - Kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyofaa kutumia alama ya hisi na ritifaa - Kumwonyesha mzazi, mlezi au mwenzake maneno, vifungu vya maneno au sentensi zenye alama ya hisi na ritifaa alizotunga ili atoe maoni yake |
1. Je, alama ya hisi huonyesha hisia zipi?
-2. Je, alama ya ritifaa hutumiwa vipi katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6
-Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa -Tarakilishi/vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17 -Vifaa vya kidijitali -Maneno yenye sauti /g/ na /gh/ -Vitabu mbalimbali -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24 -Kapu maneno -Kadi maneno -Chati -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22 -Nakala ya barua ya kirafiki |
Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Mijadala kuhusu viakifishi
|
|
| 8 | 2 |
MATUMIZI YAFAAYO YA DAWA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza kwa Kina:
-Sauti /g/ na /gh/
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani Hadithi: Mighani Kusoma kwa Kina: Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno - kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno - kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi - kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi
- Kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo - Kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo - Kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini - Kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ |
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vifaa vya kidijitali -Maneno yenye sauti /g/ na /gh/ -Vitabu mbalimbali -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24 -Kapu maneno -Kadi maneno -Chati -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22 -Nakala ya barua ya kirafiki Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32 -Mighani iliyoandikwa -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36 -Tamthilia mbalimbali |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Kutambua kwenye orodha
|
|
| 8 | 3 |
DHIKI ZINAZOKUMBA WANYAMA
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Viwakilishi:
- Viwakilishi Vimilikishi
- Viwakilishi Visisitizi
Insha za Kubuni: Masimulizi Hadithi: Mighani Kusoma kwa Kina: Tamthilia Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini - kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini - kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika sentensi na vifungu |
Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika silabi na maneno
- Kuchopoa viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi - Kutaja viwakilishi vimilikishi, na visisitizi - Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino - Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ipasavyo - Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama - Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ili azitolee maoni |
1. Unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi?
-2. Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati -Kapu maneno -Mti maneno -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38 -Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32 -Mighani iliyoandikwa -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36 -Tamthilia mbalimbali |
Kutambua kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
|
|
| 8 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha za Kubuni: Masimulizi
Hadithi: Visasili Kusoma kwa Ufasaha Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu Insha za Kubuni: Masimulizi Hadithi: Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika - kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya - kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu |
Kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni
- Kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu - Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi - Kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 45 -Visasili vilivyoandikwa -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48 -Vifungu vya kusoma Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56 -Chati Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52 |
Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Shajara
|
|
| 9 | 1 |
MATUMIZI BORA YA MALIASILI
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusoma kwa Ufasaha
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu Insha za Kubuni: Masimulizi Kusikiliza Maagizo Kusoma kwa Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha - kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora - kusoma kifungu kwa kasi ifaayo - kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo -e) kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo -f) kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji |
Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha
- Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari,) - Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora - Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika) - Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo - Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa - Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora |
1. Je, kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani?
-2. Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomaji kwa ufasaha?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48
-Vifungu vya kusoma -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56 -Chati -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52 -Kielelezo cha insha ya masimulizi Kielelezo cha Kiswahili - uk. 61 - Chati - Kadi maneno - Vifaa vya kidijitali - Kapu maneno - uk. 64 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Projekta - Kamusi mbalimbali |
Kusoma kwa sauti
-Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
|
|
| 9 | 2 |
MAJUKUMU YA KIJINSIA
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Nyakati na Hali:
-Wakati uliopita hali timilifu
Insha ya Maelekezo Kusikiliza Maagizo Kusoma kwa Ufahamu Nyakati na Hali: -Wakati ujao hali timilifu Insha ya Maelekezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua -kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini -kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini -kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu
-silabi zilizopigiwa mstari katika sentensi hizo ni viambishi vya wakati na hali gani? -tambueni kwa kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu kwenye sentensi -chagueni vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu kutoka kwenye orodha -elezeni sababu ya kuchagua vitenzi hivyo |
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 69 - Chati - Kadi maneno - Picha za vitu mbalimbali - Miti maneno - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 67 - Kielelezo cha insha ya maelekezo - Kamusi - uk. 62 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Vitu halisi - uk. 65 - Kamusi mbalimbali - uk. 71 - uk. 68 |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
| 9 | 3 |
USALAMA NYUMBANI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira Vivumishi: -Vivumishi vya Sifa Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo Kusikiliza kwa Kufasiri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza -kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku -kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku. |
- kueleza masuala yanayozungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali
-kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu au mgeni mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku -kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini |
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako?
-
-2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 75 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Mwalimu - uk. 77 - Tamthilia - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 79 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - uk. 82 - Kielelezo cha insha ya mdokezo - uk. 76 - Kinasasauti |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
| 9 | 4 |
Kusoma
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa Kina:
-Tamthilia
-Maudhui na Dhamira
Vivumishi: -Vivumishi Viashiria Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo Usikilizaji Husishi Ufupisho Vivumishi: -Vivumishi Vimilikishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya maudhui na dhamira katika fasihi ili kuipambanua -kutambua maudhui na dhamira katika tamthilia -kujadili maudhui na dhamira katika tamthilia -kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi. |
- kueleza maana ya dhamira katika fasihi
-kutambua dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kujadili na wenzake dhamira katika tamthilia -kuandika maelezo mafupi kuhusu dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kuwawasilishia mzazi, mlezi au mwenzake uchambuzi wake kuhusu maudhui na dhamira ili wautolee maoni |
Je, ni mambo gani muhimu yaliyo katika tamthilia ulizosoma?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 78 - Tamthilia - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 79 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - uk. 83 - Kielelezo cha insha ya mdokezo Kielekezi cha Kiswahili - uk. 86 - Mgeni mwalikwa - Mwalimu - uk. 92 - Kinasasauti - Rununu - Projekta - Kamusi mbalimbali - uk. 98 |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa tamthilia
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
| 10 | 1 |
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUMU
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Insha za Kubuni:
-Insha ya Maelezo
Usikilizaji Husishi Ufupisho Vivumishi: -Vivumishi vya Idadi Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo -kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri -kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri. |
- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti)
-kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake -kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 90 - Kielelezo cha insha ya maelezo - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 87 - Mgeni mwalikwa - uk. 93 - Kinasasauti - Rununu - Kamusi mbalimbali - uk. 98 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - uk. 91 |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
-Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
| 10 | 2 |
UHALIFU WA MTANDAONI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Aina za Uzungumzaji:
-Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Mandhari Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-ZI Viakifishi: -Alama za Mtajo Aina za Uzungumzaji: -Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Ploti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua -kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji -kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake
-kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa yakitolewa na mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika |
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 99 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Picha - Mwalimu - uk. 102 - Tamthilia - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 108 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - uk. 104 - Mifano ya matini zenye alama za uakifishi - uk. 100 - uk. 103 |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
| 10 | 3 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi:
-Ngeli ya I-I
Viakifishi: -Mshazari Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/ Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi -kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini -kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi -kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano. |
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-I -kuchopoa nomino za ngeli I-I kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi -kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-I -kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI na I-I akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la uhalifu wa mtandaoni |
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI?
-
-2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 109 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 105 - Mifano ya matini zenye alama za uakifishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 114 -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 116 -Matini za ufahamu Kielekezi cha Kiswahili uk. 123-124 -Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Tarakilishi |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
| 10 | 4 |
MAJUKUMU YA MNUNUZI
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/ Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi Hadithi: Hurafa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kueleza vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika aya za insha ya masimulizi. -Kuonelea fahari insha zenye ukuzaji wa mawazo yaliyopangwa vizuri. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali. -Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi. -Kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo. |
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 120
-Matini za kielelezo -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 115 -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 117-119 -Matini za ufahamu Kielekezi cha Kiswahili uk. 125-127 -Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 121-122 -Vidokezo vya insha Kielekezi cha Kiswahili uk. 129-130 -Mwongozo wa mwalimu -Mgeni mwalikwa |
Uangalizi
-Insha iliyoandikwa
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maswali ya mdomo
|
|
| 11 | 1 |
KUKABILIANA NA HISIA
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Vinyume vya Vitenzi Barua ya Kuomba Msaada Hadithi: Hekaya Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua wahusika mbalimbali katika tamthilia. -Kuchambua sifa za wahusika katika tamthilia. -Kuthamini mchango wa wahusika katika kujenga maudhui ya tamthilia. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua wahusika katika tamthilia aliyoisoma. -Kujadili na wenzake sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. -Kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake ili kukuza uelewa wa sifa zao. -Kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. |
Je, ni mambo yapi yanayokuelekeza kuwaelewa wahusika katika tamthilia?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136
-Kitabu cha tamthilia -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 139-140 -Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Chati -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 137-138 -Kielelezo cha barua Kielekezi cha Kiswahili uk. 131-133 -Mwongozo wa mwalimu -Mgeni mwalikwa -Video |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maigizo
|
|
| 11 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Vinyume vya Vielezi
Barua ya Kuomba Msaada Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda Insha za Kubuni: Insha ya maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vinyume vya vielezi mbalimbali. -Kutumia vinyume vya vielezi kwa usahihi katika mawasiliano. -Kuthamini umuhimu wa vinyume vya vielezi katika kuendeleza lugha. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kukabiliana na hisia. -Kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi. -Kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vielezi. |
Je, unajua vinyume gani vya vielezi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 141-143
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 138 -Kielelezo cha barua Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145 -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maelezo -Chati -Kanuni za darasa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147 -Vitabu vya kusoma -Rasilimali za mtandaoni -Vitabu vya marejeleo Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno -Mifano ya insha za maelezo -Vifaa vya kuandikia |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Zoezi la sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
| 11 | 3 |
HAKI ZA WATOTO
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza |
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda Insha za Kubuni: Insha ya maelezo Kusikiliza kwa Makini |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kutoa mazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo. -Kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake na kubainisha vipengele vilivyozingatiwa. -Kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa. -Kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni. -Kumwasilishia mzazi au mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake. |
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maelezo -Chati -Kanuni za darasa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147 -Vitabu vya kusoma -Rasilimali za mtandaoni -Vitabu vya marejeleo Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno -Mifano ya insha za maelezo -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157 -Kadi za maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
| 11 | 4 |
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA
Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Kusoma kwa Ufasaha
Aina za Sentensi: Sentensi changamano Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi Kusikiliza kwa Makini Kusoma kwa Ufasaha Aina za Sentensi: Sentensi changamano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kufurahia usomaji wa kifungu kwa ufasaha. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha (matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo, ishara zifaazo). -Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala (k.v. hotuba, taarifa ya habari). -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 105 kwa dakika). |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Vitabu vya kusoma -Video za mifano ya usomaji -Maelezo ya kifungu Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160 -Mifano ya hotuba za ufafanuzi -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157 -Kadi za maneno -Kanuni za darasa |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Vigezo vya tathmini
|
|
| 12 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Hadithi: Wahusika Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu Insha za Kubuni: Insha ya maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake. -Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni. -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni. |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166 -Hadithi za kusoma Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168 -Tamthilia iliyoteuliwa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170 -Mifano ya insha za maelezo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
| 12 | 2 |
HESHIMA KWA TAMADUNI ZA WENGINE
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Hadithi: Wahusika
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu Insha za Kubuni: Insha ya maelezo Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha mjadala |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi. -Kutamba hadithi akizingatia wahusika. -Kufurahia kushiriki katika uchambuzi wa wahusika katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi. -Kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbali (k.v. fanani, hadhira). -Kutunga hadithi fupi ambayo ina wahusika wanyama kuhusu suala lengwa na kuwawasilishia wenzake darasani ili wachambue wahusika. -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza. |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Hadithi za kusoma -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168 -Tamthilia iliyoteuliwa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170 -Mifano ya insha za maelezo Kielekezi cha Kiswahili uk. 177 -Rekodi za sauti -Picha Kielekezi cha Kiswahili uk. 180 -Kifungu cha mjadala |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
| 12 | 3 |
KUWEKA AKIBA
Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi |
Udogo wa nomino
Insha ya maelekezo Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha mjadala Udogo wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua nomino zilizo katika hali ya udogo. - Kubadilisha nomino kutoka katika hali ya wastani hadi hali ya udogo. - Kubaini viambishi vinavyoashiria udogo wa nomino. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha zinazobainisha tofauti kati ya vitu katika hali ya wastani na hali ya udogo. - Kuandika maneno yanayorejelea udogo wa nomino katika picha hizo. - Kupiga mstari viambishi vinavyoashiria udogo wa nomino. - Kuorodhesha nomino za hali ya udogo kutoka kwenye kadi maneno zilizotolewa. - Kugundua kwamba nomino zote za hali ya udogo huanza na kiambishi 'ki-' au 'vi-'. |
1. Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumia nomino katika udogo?
-
-2. Taja mifano ya nomino za kawaida na udogo wake.
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 186
-Picha -Kadi maneno -Chati -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 183 -Kielelezo cha insha ya maelekezo -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili uk. 179 -Kifaa cha kidijitali -Rekodi za sauti -Video -https://tinyurl.com/mwat3knv Kielekezi cha Kiswahili uk. 182 -Kifungu cha mjadala -Majarida Kielekezi cha Kiswahili uk. 188 |
Kutambua viambishi
-Kubadilisha nomino
-Maswali ya mdomo
-Mazoezi ya maandishi
|
|
| 12 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Sarufi Kuandika |
Insha ya maelekezo
Kusikiliza husishi Ufupisho Usemi halisi na usemi wa taarifa Baruapepe ya kiofisi Kusikiliza husishi Ufupisho Usemi halisi na usemi wa taarifa Baruapepe ya kiofisi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kuteua mada ya kuandikia insha ya maelekezo. - Kuandika insha ya maelekezo kwa kuzingatia mpangilio sahihi wa hatua. - Kutumia lugha fasaha na sahili katika insha ya maelekezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuteua mada ya kuandikia insha ya maelekezo. - Kujadili maneno yatakayosaidia kufanikisha kuandika insha hiyo (vielezi vya mahali, viunganishi vya mtiririko, vielekezi vya kiasi). - Kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo. - Kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani, mpangilio mwafaka wa hatua na lugha sahili. - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au kuisambaza kupitia vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni. |
1. Ni maneno gani yanayosaidia kusisitiza mpangilio wa hatua katika insha ya maelekezo?
-
-2. Kwa nini ni muhimu kutumia lugha sahili katika insha ya maelekezo?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 184
-Chati -Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Mifano ya insha za maelekezo Kielekezi cha Kiswahili uk. 191 -Picha -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 193 -Kifungu cha ufahamu Kielekezi cha Kiswahili uk. 198 -Kadi maneno Kielekezi cha Kiswahili uk. 195 -Mfano wa baruapepe ya kiofisi -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 192 -Maandishi ya mazungumzo Kielekezi cha Kiswahili uk. 194 -Intaneti Kielekezi cha Kiswahili uk. 200 Kielekezi cha Kiswahili uk. 197 -Mfano wa baruapepe |
Kuandika insha
-Kuwasilisha kazi
-Tathmini ya wenzake
-Zoezi la uandishi
|
Your Name Comes Here