Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2026
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
USAFI WA SEHEMU ZA UMMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo
- kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa
- Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali
- Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
2 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi
- kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi
- kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi
- kueleza maana ya msamiati katika kifungu cha simulizi
-e) kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari
Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kudondoa habari mahususi (k.v. nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi
- Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi
- Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma
- Kutambua msamiati (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na kuueleza kwa kutumia kamusi
- Kusoma vifungu vya simulizi mtandaoni au kwenye vitabu kuhusu suala lengwa
- Kutambua na kueleza maana ya msamiati wa usafi wa sehemu za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulizi alivyosoma mtandaoni
- Kumsomea mzazi au mlezi sentensi kuhusu usafi wa sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma
1. Je, tunapataje habari mahususi katika kifungu cha simulizi? -2. Je, ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi
-Kamusi
-Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa ufahamu
2 3
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Nafsi - Viwakilishi Vionyeshi - Viwakilishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika matini
- kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia matumizi yafaayo ya viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ili kufanikisha mawasiliano
Kuchopoa viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi
- Kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usafi wa sehemu za umma
- Kumsomea mzazi au mlezi wake sentensi au vifungu alivyotunga ili amtolee maoni
Viwakilishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 8
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
2 4
Kuandika
Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua matumizi ya alama ya hisi na ritifaa katika matini
- kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo katika matini
- kuonea fahari matumizi yafaayo ya alama ya hisi na ritifaa katika matini
Kutambua alama ya hisi na ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitali
- Kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kuandika kwenye tarakilishi, kifungu kifupi kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakitolee maoni
- Kusahihisha kifungu kuhusu suala lengwa ambacho hakijatumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo
- Kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyofaa kutumia alama ya hisi na ritifaa
- Kumwonyesha mzazi, mlezi au mwenzake maneno, vifungu vya maneno au sentensi zenye alama ya hisi na ritifaa alizotunga ili atoe maoni yake
1. Je, alama ya hisi huonyesha hisia zipi? -2. Je, alama ya ritifaa hutumiwa vipi katika maandishi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6
-Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa
-Tarakilishi/vifaa vya kidijitali
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Mijadala kuhusu viakifishi
3 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo
- kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa
- Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali
- Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi
-Kamusi
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
3 2
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Nafsi - Viwakilishi Vionyeshi - Viwakilishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika matini
- kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia matumizi yafaayo ya viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ili kufanikisha mawasiliano
Kuchopoa viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi
- Kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usafi wa sehemu za umma
- Kumsomea mzazi au mlezi wake sentensi au vifungu alivyotunga ili amtolee maoni
Viwakilishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 8
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
3 3
Kuandika
Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua matumizi ya alama ya hisi na ritifaa katika matini
- kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo katika matini
- kuonea fahari matumizi yafaayo ya alama ya hisi na ritifaa katika matini
Kutambua alama ya hisi na ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitali
- Kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kuandika kwenye tarakilishi, kifungu kifupi kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakitolee maoni
- Kusahihisha kifungu kuhusu suala lengwa ambacho hakijatumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo
- Kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyofaa kutumia alama ya hisi na ritifaa
- Kumwonyesha mzazi, mlezi au mwenzake maneno, vifungu vya maneno au sentensi zenye alama ya hisi na ritifaa alizotunga ili atoe maoni yake
1. Je, alama ya hisi huonyesha hisia zipi? -2. Je, alama ya ritifaa hutumiwa vipi katika maandishi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6
-Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa
-Tarakilishi/vifaa vya kidijitali
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Mijadala kuhusu viakifishi
3 4
MATUMIZI YAFAAYO YA DAWA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kina: -Sauti /g/ na /gh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno
- kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno
- kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi
- kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida
Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi
- Kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo
- Kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo
- Kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini
- Kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vifaa vya kidijitali
-Maneno yenye sauti /g/ na /gh/
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Kutambua kwenye orodha
4 1
Kusoma
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza ujumbe wa matini aliyosoma
- kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma
- kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ili kupanua mawanda ya fikra
Kuteua matini kuhusu suala linalomvutia
- Kusoma matini aliyojichagulia na kutambua vipengele vyake muhimu
- Kueleza ujumbe wa matini aliyoisoma
- Kuweka rekodi ya aliyosoma kwa kuyanakili katika kijitabu
- Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua
- Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma
- Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini zaidi kuhusu suala lengwa kisha aisome
- Kuwawasilishia wenzake kwa kifupi alichojifunza kutokana na matini aliyoisoma mtandaoni
1. Unazingatia nini unapochagua matini ya kusoma? -2. Unapataje ujumbe katika matini uliyoisoma?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vitabu mbalimbali
-Kamusi
-Vifaa vya kidijitali
Kutoa muhtasari wa ufahamu -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio
4 2
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika matini
- kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi ifaavyo katika matini
- kuchangamkia kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika mawasiliano
Kuchopoa viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika kapu maneno, kadi maneno, chati au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi
- Kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi zilizoachwa katika sentensi na vifungu kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi vifaavyo
- Kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viuliziakizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi yafaayo ya dawa
- Kumtungia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi na kuzituma mtandaoni ili wenzake na mwalimu wazitolee maoni
1. Kuna tofauti gani kati ya viwakilishi vya sifa na vivumishi vya sifa? -2. Viwakilishi vya vya pekee hutumiwa kwa namna gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24
-Kapu maneno
-Kadi maneno
-Chati
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
4 3
Kuandika
Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza umuhimu wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- kutambua vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ipasavyo
- kukuza mazoea ya kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani katika maisha ya kila siku
Kueleza umuhimu wa kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kuhusu masuala mbalimbali
- Kutambua ujumbe unaoafiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani (k.v. anwani ya mwandishi, tarehe)
- Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi
- Kuwasilisha insha yake darasani au kumsambazia mwenzake kupitia mtandaoni ili aitolee maoni
- Kumwandikia mzazi, mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani na kuiwasilisha darasani
1. Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uandike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani? -2. Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22
-Nakala ya barua ya kirafiki
-Tarakilishi
Kuandika barua ya kirafiki -Wanafunzi kufanyiana tathmini
4 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kina: -Sauti /g/ na /gh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno
- kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno
- kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi
- kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida
Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi
- Kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo
- Kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo
- Kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini
- Kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vifaa vya kidijitali
-Maneno yenye sauti /g/ na /gh/
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Kutambua kwenye orodha
5 1
Kusoma
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza ujumbe wa matini aliyosoma
- kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma
- kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ili kupanua mawanda ya fikra
Kuteua matini kuhusu suala linalomvutia
- Kusoma matini aliyojichagulia na kutambua vipengele vyake muhimu
- Kueleza ujumbe wa matini aliyoisoma
- Kuweka rekodi ya aliyosoma kwa kuyanakili katika kijitabu
- Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua
- Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma
- Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini zaidi kuhusu suala lengwa kisha aisome
- Kuwawasilishia wenzake kwa kifupi alichojifunza kutokana na matini aliyoisoma mtandaoni
1. Unazingatia nini unapochagua matini ya kusoma? -2. Unapataje ujumbe katika matini uliyoisoma?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vitabu mbalimbali
-Kamusi
-Vifaa vya kidijitali
Kutoa muhtasari wa ufahamu -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio
5 2
Sarufi
Kuandika
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi
Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika matini
- kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi ifaavyo katika matini
- kuchangamkia kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika mawasiliano
Kuchopoa viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika kapu maneno, kadi maneno, chati au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi
- Kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi zilizoachwa katika sentensi na vifungu kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi vifaavyo
- Kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viuliziakizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi yafaayo ya dawa
- Kumtungia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi na kuzituma mtandaoni ili wenzake na mwalimu wazitolee maoni
1. Kuna tofauti gani kati ya viwakilishi vya sifa na vivumishi vya sifa? -2. Viwakilishi vya vya pekee hutumiwa kwa namna gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24
-Kapu maneno
-Kadi maneno
-Chati
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22
-Nakala ya barua ya kirafiki
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
5 3
DHIKI ZINAZOKUMBA WANYAMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza dhana ya mighani ili kuipambanua
- kujadili vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- kujadili ujumbe na lugha katika mighani
- kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji wa mighani
-e) kuchangamkia kushiriki katika uwasilishaji wa mighani katika miktadha mbalimbali ya kijamii
Kutafiti na kueleza maana ya mighani
- Kutafiri na kueleza sifa za mighani
- Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- Kushiriki na wenzake kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijiali kama vile kinasasauti
- Kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa
- Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na kujadili ujumbe husika
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32
-Mighani iliyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
5 4
Kusoma
Kusoma kwa Kina: Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua
- kujadili sifa za tamthilia kama utanzu wa fasihi andishi
- kuchangamkia usomaji wa tamthilia ili kukuza stadi ya kusoma
Kutafiti na kueleza maana ya tamthilia
- Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia
- Kuwawasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni
- Kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na kutambua sifa zake
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sifa za tamthilia aliyosoma ili azitolee maoni
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36
-Tamthilia mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa -Mjadala kuhusu sifa za tamthilia
6 1
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini
- kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika sentensi na vifungu
Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika silabi na maneno
- Kuchopoa viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vimilikishi, na visisitizi
- Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama
- Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ili azitolee maoni
1. Unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi? -2. Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
6 2
Kuandika
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika
- kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya
- kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu
Kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni
- Kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu
- Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi
- Kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
6 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza dhana ya mighani ili kuipambanua
- kujadili vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- kujadili ujumbe na lugha katika mighani
- kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji wa mighani
-e) kuchangamkia kushiriki katika uwasilishaji wa mighani katika miktadha mbalimbali ya kijamii
Kutafiti na kueleza maana ya mighani
- Kutafiri na kueleza sifa za mighani
- Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- Kushiriki na wenzake kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijiali kama vile kinasasauti
- Kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa
- Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na kujadili ujumbe husika
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32
-Mighani iliyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
6 4
Kusoma
Kusoma kwa Kina: Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua
- kujadili sifa za tamthilia kama utanzu wa fasihi andishi
- kuchangamkia usomaji wa tamthilia ili kukuza stadi ya kusoma
Kutafiti na kueleza maana ya tamthilia
- Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia
- Kuwawasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni
- Kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na kutambua sifa zake
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sifa za tamthilia aliyosoma ili azitolee maoni
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36
-Tamthilia mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa -Mjadala kuhusu sifa za tamthilia
7 1
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini
- kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika sentensi na vifungu
Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika silabi na maneno
- Kuchopoa viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vimilikishi, na visisitizi
- Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama
- Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ili azitolee maoni
1. Unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi? -2. Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
7 2
Kuandika
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika
- kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya
- kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu
Kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni
- Kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu
- Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi
- Kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
7 3
MATUMIZI BORA YA MALIASILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Hadithi: Visasili
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha
- kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili
- kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao
- kufurahia uchambuzi na uwasilishaji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi
Kutafiti na kueleza maana ya visasili
- Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhusu sifa za visasili
- Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijadili
- Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili (k.v. ujumbe, wahusika na mbinu za lugha)
- Kusikiliza visasili katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili
- Kusimulia visasili kwa kuzingatia vipengele vya kimsingi vya visasili
- Kujadili na mzazi au mlezi kuhusu visasili katika jamii yake
- Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi au mwenzake akizingatia vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji
1. Je, uwasilishaji wa hadithi ya visasili huzingatia vipengele gani? -2. Visasili vina sifa gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 45
-Visasili vilivyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48
-Vifungu vya kusoma
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Mijadala -Mazungumzo -Matumizi ya ishara za mwili
7 4
Sarufi
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini
- kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini
- kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano
Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa
- Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili
- Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni
- Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu
1. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi? -2. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanyika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56
-Chati
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
8

Likizo ya Kati ya muhula

9 1
Kuandika
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
- kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
- kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
Kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, nahau,)
- Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake
- Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake
- Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
1. Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
9 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha
- kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili
- kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao
- kufurahia uchambuzi na uwasilishaji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi
Kutafiti na kueleza maana ya visasili
- Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhusu sifa za visasili
- Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijadili
- Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili (k.v. ujumbe, wahusika na mbinu za lugha)
- Kusikiliza visasili katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili
- Kusimulia visasili kwa kuzingatia vipengele vya kimsingi vya visasili
- Kujadili na mzazi au mlezi kuhusu visasili katika jamii yake
- Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi au mwenzake akizingatia vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji
1. Je, uwasilishaji wa hadithi ya visasili huzingatia vipengele gani? -2. Visasili vina sifa gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 45
-Visasili vilivyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Mijadala -Mazungumzo -Matumizi ya ishara za mwili
9 3
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha
- kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora
- kusoma kifungu kwa kasi ifaayo
- kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo
-e) kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo
-f) kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji
Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha
- Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari,)
- Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora
- Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika)
- Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo
- Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa
- Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora
1. Je, kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani? -2. Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomaji kwa ufasaha?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48
-Vifungu vya kusoma
-Vifaa vya kidijitali
Kusoma kwa sauti -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu
9 4
Sarufi
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini
- kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini
- kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano
Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa
- Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili
- Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni
- Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu
1. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi? -2. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanyika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56
-Chati
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
10 1
Kuandika
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
- kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
- kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
Kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, nahau,)
- Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake
- Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake
- Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
1. Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
10 2
MAJUKUMU YA KIJINSIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza Maagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali
-kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua
-kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo
-kutoa na kupokea maagizo ipasavyo
-kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali.
- kueleza maana ya maagizo ili kuipambanua
-kubainisha maagizo miongoni mwa kauli zilizoandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaa vya kidijitali
-kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali
-kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo
-kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazitathmini
-kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi
-kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na miktadha ya jamii zao
1. Je, kwa nini mtu hupewa maagizo? - -2. Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 61
- Chati
- Kadi maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Kapu maneno
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
10 3
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
-kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu
-kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari.
- kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali
-kueleza habari za kifungu kwa ufupi
-kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuutia kwenye kapu la maneno
-kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini
-kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kidijitali
Ni kwa njia gani tunaweza kudondoa habari mahususi kutokana na kifungu cha ufahamu?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 64
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Projekta
- Kamusi mbalimbali
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali k.m. katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa -Kusoma kwa sauti
10 4
Sarufi
Kuandika
Nyakati na Hali: -Wakati uliopita hali timilifu
Insha ya Maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua
-kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini
-kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini
-kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano.
- kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu
-silabi zilizopigiwa mstari katika sentensi hizo ni viambishi vya wakati na hali gani?
-tambueni kwa kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu kwenye sentensi
-chagueni vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu kutoka kwenye orodha
-elezeni sababu ya kuchagua vitenzi hivyo
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 69
- Chati
- Kadi maneno
- Picha za vitu mbalimbali
- Miti maneno
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 67
- Kielelezo cha insha ya maelekezo
- Kamusi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
11 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza Maagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali
-kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua
-kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo
-kutoa na kupokea maagizo ipasavyo
-kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali.
- kusikiliza maagizo ya aina mbalimbali yanayotolewa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijitali na kutaja maagizo yaliyomo
-kuandaa maagizo na kisha kuyawasilisha darasani ili yajadiliwe na wenzake
-kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo akizingatia vipengele vifaavyo
-kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake maagizo aliyoandaa na kuziwasilisha darasani
1. Je, kwa nini mtu hupewa maagizo? - -2. Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 62
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Chati
- Vitu halisi
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Kutambua maagizo -Mazungumzo
11 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
-kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu
-kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari.
- kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kueleza habari husika
-tambueni msamiati unaorejelea majukumu ya kijinsia katika kifungu mlichokisoma
-elezeni maana ya msamiati huo kulingana na muktadha wa matumizi katika kifungu
-andikeni msamiati mliotambua na maana zake madaftarini mwenu
Ni kwa njia gani tunaweza kudondoa habari mahususi kutokana na kifungu cha ufahamu?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 65
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Vifaa vya kidijitali
- Kamusi mbalimbali
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali k.m. katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa -Wanafunzi kufanyiana tathmini
11 3
Sarufi
Nyakati na Hali: -Wakati ujao hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua
-kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini
-kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini
-kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano.
- kueleza maana ya wakati ujao hali timilifu
-viambishi vilivyopigiwa mstari katika sentensi hizo ni vya wakati na hali gani?
-pigieni mstari viambishi vya wakati ujao hali timilifu kwenye sentensi
-bainisheni vitenzi vilivyo katika wakati ujao hali timilifu kutoka kwenye orodha
-Tungeni sentensi tano mkitumia wakati ujao hali timilifu
-Tungeni kifungu kifupi mkitumia wakati ujao hali timilifu ifaavyo
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 71
- Chati
- Kadi maneno
- Picha za vitu mbalimbali
- Miti maneno
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
11 4
Kuandika
Insha ya Maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua insha ya maelekezo katika matini
-kujadili sifa za insha ya maelekezo
-kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani na mpangilio ufaao
-kufurahia kuandika insha za maelekezo maishani.
- kuandika insha ya maelekezo akizingatia vipengele vyake muhimu (k.v. anwani na mpangilio mwafaka wa hatu huku akitumia vipengele vya lugha
-kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
-boresheni inshayenu mkizingatia maoni ya wenzenu
-hifadhini insha hiyo kwenye potiolio
Je, ni mambo gani unayozingatia unapoandika insha ya maelekezo?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 68
- Kielelezo cha insha ya maelekezo
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Vifaa vya kidijitali
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara

Your Name Comes Here


Download

Feedback