If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | 1 |
USAFI WA SEHEMU ZA UMMA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano -kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano -kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano -kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano -kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa -kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza |
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 5
-Vifaa vya kidijitali -Kanda za sauti za mahojiano -Chati -Kapu la maneno |
Observation
-Oral questions
-Written questions
-Peer assessment
|
|
| 1 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi -kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi -kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali -kudondoa habari mahususi (k.v. nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi -kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi -kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma |
Je, tunapataje habari mahususi katika kifungu cha simulizi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 8
-Vifaa vya kidijitali -Kielelezo cha kifungu cha simulizi -Kamusi |
Observation
-Oral questions
-Written questions
-Peer assessment
|
|
| 1 | 3 |
Sarufi
|
Viwakilishi: Viwakilishi vya Nafsi, Viwakilishi Vionyeshi na Viwakilishi vya Idadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika matini -kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuchopoa viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi -kutaja viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi -kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino |
Viwakilishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 20
-Kapu la maneno -Chati -Mti maneno -Tarakilishi |
Observation
-Oral questions
-Written questions
-Peer assessment
|
|
| 1 | 4 |
Kuandika
|
Viakifishi: Alama ya hisi na Ritifaa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutambua matumizi ya alama ya hisi na ritifaa katika matini -kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo katika matini |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua alama ya hisi na ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitali -kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia alama ya hisi na ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali |
Je, alama ya hisi huonyesha hisia zipi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 15
-Matini mbalimbali zenye alama za uakifishi -Vifaa vya kidijitali |
Observation
-Written tasks
-Dictation
-Peer assessment
|
|
| 2 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo -kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano -kufanya mazoezi zaidi ya kusikiliza na kujibu mahojiano -kuigiza mahojiano ya aina mbalimbali |
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kujibu mahojiano?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 6
-Vifaa vya kidijitali -Kanda za sauti za mahojiano -Chati -Kapu la maneno |
Role play
-Oral presentation
-Peer assessment
-Self-assessment
|
|
| 2 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kueleza maana ya msamiati katika kifungu cha simulizi -kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua msamiati (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na kuueleza kwa kutumia kamusi -kusoma vifungu vya simulizi mtandaoni au kwenye vitabu kuhusu suala lengwa -kutambua na kueleza maana ya msamiati wa usafi wa sehemu za umma -kumsomea mzazi au mlezi sentensi kuhusu usafi wa sehemu za umma |
Je, ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 9
-Kifaa cha kidijitali -Kamusi |
Written exercise
-Peer assessment
-Self-assessment
-Vocabulary test
|
|
| 2 | 3 |
Sarufi
Kuandika |
Viwakilishi: Viwakilishi vya Nafsi, Viwakilishi Vionyeshi na Viwakilishi vya Idadi
Viakifishi: Alama ya hisi na Ritifaa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini -kuchangamkia matumizi yafaayo ya viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo -kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usafi wa sehemu za umma -kumsomea mzazi au mlezi wake sentensi au vifungu alivyotunga ili amtolee maoni |
Ni namna gani tunaweza kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi na vya idadi katika mawasiliano?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 21
-Kapu la maneno -Chati -Mti maneno -Tarakilishi Oxford Fasaha Kiswahili pg. 16 -Matini mbalimbali zenye alama za uakifishi |
Written exercises
-Oral presentation
-Peer assessment
-Self-assessment
|
|
| 2 | 4 |
MATUMIZI YAFAAYO YA DAWA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kina: sauti /g/ na /gh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno -kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi -kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo -kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo |
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 43
-Kanda za sauti za matamshi -Vifaa vya kidijitali -Chati -Kadi maneno |
Observation
-Oral questions
-Pronunciation drills
-Peer assessment
|
|
| 3 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kueleza ujumbe wa matini aliyosoma -kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia -kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuteua matini kuhusu suala linalomvutia -kusoma matini aliyojichagulia na kutambua vipengele vyake muhimu -kueleza ujumbe wa matini aliyoisoma -kuweka rekodi ya aliyosoma kwa kuyanakili katika kijitabu -kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia |
Unazingatia nini unapochagua matini ya kusoma?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 45
-Vitabu mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kijitabu cha rekodi |
Observation
-Oral questioning
-Written records
-Peer assessment
|
|
| 3 | 2 |
Sarufi
|
Viwakilishi: Viwakilishi vya Sifa, Viwakilishi vya Pekee na Viwakilishi Viulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika matini -kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi ifaavyo katika matini |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuchopoa viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika kapu maneno, kadi maneno, chati au katika tarakilishi -kutaja viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi -kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino -kujaza nafasi zilizoachwa katika sentensi na vifungu kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi vifaavyo |
Kuna tofauti gani kati ya viwakilishi vya sifa na vivumishi vya sifa?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 52
-Kapu la maneno -Kadi maneno -Chati -Tarakilishi |
Observation
-Oral questions
-Written exercises
-Group work
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
|
Barua ya Kirafiki: Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kueleza umuhimu wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani -kutambua vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani -kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ipasavyo |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kueleza umuhimu wa kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kuhusu masuala mbalimbali -kutambua ujumbe unaoafiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani -kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani -kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani |
Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uandike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 49
-Kielelezo cha barua ya kirafiki -Chati -Vifaa vya kidijitali |
Observation
-Oral questions
-Written exercises
-Group discussion
|
|
| 3 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa Kina: sauti /g/ na /gh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi -kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini -kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ |
Utawezaje kutofautisha sauti /g/ na /gh/ kimatamshi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 44
-Kanda za sauti za matamshi -Vifaa vya kidijitali -Chati -Vitanzandimi |
Oral presentations
-Tongue twisters
-Role play
-Peer assessment
|
|
| 4 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma -kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ili kupanua mawanda ya fikra |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua -kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma -kusakura mtandaoni na kujichagulia matini zaidi kuhusu suala lengwa kisha aisome -kuwawasilishia wenzake kwa kifupi alichojifunza kutokana na matini aliyoisoma mtandaoni |
Unapataje ujumbe katika matini uliyoisoma?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 46
-Vitabu mbalimbali -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kijitabu cha rekodi |
Observation
-Oral presentations
-Written sentences
-Peer assessment
|
|
| 4 | 2 |
Sarufi
|
Viwakilishi: Viwakilishi vya Sifa, Viwakilishi vya Pekee na Viwakilishi Viulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi ifaavyo katika matini -kuchangamkia kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi yafaayo ya dawa -kuwasilisha kazi yake darasani au kuwasambazia wenzake mtandaoni ili waitolee maoni -kumtungia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi |
Je, viwakilishi vya pekee hutumiwa kwa namna gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 53
-Kapu la maneno -Kadi maneno -Chati -Tarakilishi |
Written exercises
-Oral presentations
-Peer assessment
-Self-assessment
|
|
| 4 | 3 |
Kuandika
|
Barua ya Kirafiki: Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ipasavyo -kukuza mazoea ya kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani katika maisha ya kila siku |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi -kuwasilisha insha yake darasani au kumsambazia mwenzake kupitia mtandaoni ili aitolee maoni -kumwandikia mzazi, mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani na kuiwasilisha darasani |
Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 50
-Kielelezo cha barua ya kirafiki -Tarakilishi -Vifaa vya kidijitali |
Written letter
-Peer assessment
-Self-assessment
-Presentation
|
|
| 4 | 4 |
DHIKI ZINAZOKUMBA WANYAMA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Mighani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kueleza dhana ya mighani ili kuipambanua -kujadili vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani -kujadili ujumbe katika mighani |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutafiti na kueleza maana ya mighani -kutafiti na kueleza sifa za mighani -kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani -kusikiliza mighani kutoka kwa mwalimu au vifaa vya kidijitali -kushiriki kujadili ujumbe ulio kwenye mighani |
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 28
-Vifaa vya kidijitali -Rekodi za hadithi -Mgeni mwalikwa |
Observation
-Oral questions
-Peer assessment
-Group discussions
|
|
| 5 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina: Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua -kujadili sifa za tamthilia kama utanzu wa fasihi andishi |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutafiti na kueleza maana ya tamthilia -kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia -kuwawasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni -kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na kutambua sifa zake |
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 43
-Tamthilia teule -Vifaa vya kidijitali -Vitabu vya kiada -Kamusi |
Observation
-Oral questions
-Written presentations
-Peer assessment
|
|
| 5 | 2 |
Sarufi
|
Viwakilishi: Vimilikishi na Visisitizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini -kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuchopoa viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika kapu la maneno, orodha ya maneno, sentensi, vifungu au katika tarakilishi -kutaja viwakilishi vimilikishi na visisitizi -kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika orodha ya maneno, sentensi, vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino -kujaza nafasi kwenye sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo |
Je, unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 97
-Kapu la maneno -Kadi maneno -Chati -Vifaa vya kidijitali |
Observation
-Oral questions
-Written exercises
-Peer assessment
|
|
| 5 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika -kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni -kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu -kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 62
-Kielelezo cha insha ya masimulizi -Vifaa vya kidijitali -Kamusi |
Observation
-Written essays
-Group discussions
-Peer assessment
|
|
| 5 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Hadithi: Mighani
Kusoma kwa Kina: Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji -kuchangamkia kushiriki katika uwasilishaji wa mighani katika miktadha mbalimbali ya kijamii |
Mwanafunzi aelekezwe:
-simulianeni mighani kutoka jamii zenu huku mkizingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji wa mighani -jadilini ujumbe ulio kwenye mighani mlizosimuliana -jadilini lugha iliyotumiwa katika mighani mlizosimuliana -elezaneni sifa za mighani mlizosimuliana -jadilini mliyojifunza kutokana na sifa za mashujaa katika mighani hizo |
Je, ni mifano gani ya mighani kutoka jamii yako?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 30
-Vifaa vya kidijitali -Rekodi za hadithi -Mgeni mwalikwa Oxford Fasaha Kiswahili pg. 44 -Tamthilia teule -Vitabu vya kiada -Kamusi |
Oral presentation
-Role play
-Group work
-Self-assessment
|
|
| 6 | 1 |
Sarufi
|
Viwakilishi: Vimilikishi na Visisitizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini -kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutunga sentensi au vifungu vifupi kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama -kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi -tumia kifaa cha kidijitali kuandika aya moja kuhusu dhiki zinazomkumba mnyama yeyote utakayemteua |
Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 108
-Kapu la maneno -Kadi maneno -Chati -Vifaa vya kidijitali |
Written exercises
-Oral presentation
-Peer assessment
-Self-assessment
|
|
| 6 | 2 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya -kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni -kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu -tumia kifaa cha kidijitali kuandika hadithi fupi ya kubuni kuhusu dhiki zinazowakumba wanyama |
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg. 65
-Kielelezo cha insha ya masimulizi -Vifaa vya kidijitali -Kamusi |
Written essays
-Oral presentation
-Peer assessment
-Group work
|
|
| 6 | 3 |
MATUMIZI BORA YA MALIASILI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Visasili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha. -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili. -Kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao. -Kufurahia uchambuzi na uwasilishaji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutafiti na kueleza maana ya visasili. -Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhusu sifa za visasili. -Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijadili. -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili (k.v. ujumbe, wahusika na mbinu za lugha). -Kusikiliza visasili katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili. -Kusimulia visasili kwa kuzingatia vipengele vya kimsingi vya visasili. -Kujadili na mzazi au mlezi kuhusu visasili katika jamii yake. -Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi au mwenzake akizingatia vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji. |
Je, uwasilishaji wa hadithi ya visasili huzingatia vipengele gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 89
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa -Kamusi -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kujitahini
-Maswali ya maandishi
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo. -Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo. -Kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha. -Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari). -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika). -Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora. |
Je, kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 91
-Video za usomaji bora -Makala -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 7 | 1 |
Sarufi
|
Nyakati na Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu. -Kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini. -Kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini. -Kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu. -Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa. -Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili. -Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni. -Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu. |
Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 96
-Chati -Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wanafunzi kwa wanafunzi
|
|
| 7 | 2 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua mbinu za lugha katika insha ya masimulizi. -Kujadili umuhimu wa mbinu za lugha katika insha za masimulizi. -Kujadili wahusika na mandhari katika insha za masimulizi. -Kuandika insha ya masimulizi akizingatia mbinu za lugha, wahusika wanaobainika na mandhari ifaavyo. -Kufurahia kuandika insha ya masimulizi akizingatia lugha, wahusika na mandhari ifaavyo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha (k.v. tashbihi, sitiari, nahau) katika vielelezo vya insha ya masimulizi. -Kushirikiana na wenzake kujadili umuhimu wa lugha ya kiubunifu katika vielelezo vya insha za masimulizi. -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu umuhimu wa mbinu za lugha katika insha ya masimulizi. -Kuwasilisha utafiti wake darasani ili kujadiliana na wenzake. -Kujadili na wenzake wahusika na mandhari katika vielelezo vya insha za masimulizi kutoka kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali. -Kuandika insha ya masimulizi akitumia lugha kiubunifu na kuwabainisha wahusika na mandhari akizingatia suala lengwa. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitathmini. -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake kielelezo cha insha ya masimulizi ili aitolee maoni. |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 93
-Vielelezo vya insha -Vitabu vya hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Hadithi: Visasili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha. -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili. -Kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao. -Kufurahia uchambuzi na uwasilishaji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutafiti na kueleza maana ya visasili. -Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhusu sifa za visasili. -Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijadili. -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili (k.v. ujumbe, wahusika na mbinu za lugha). -Kusikiliza visasili katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili. -Kusimulia visasili kwa kuzingatia vipengele vya kimsingi vya visasili. -Kujadili na mzazi au mlezi kuhusu visasili katika jamii yake. -Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi au mwenzake akizingatia vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji. |
Visasili vina sifa gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 89
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa -Kamusi -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kujitahini
-Maswali ya maandishi
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo. -Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo. -Kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha. -Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari). -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika). -Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora. |
Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomaji kwa ufasaha?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 91
-Video za usomaji bora -Makala -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 8 | 1 |
Sarufi
|
Nyakati na Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu. -Kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini. -Kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini. -Kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu. -Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa. -Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili. -Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni. -Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu. |
Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanyika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 96
-Chati -Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wanafunzi kwa wanafunzi
|
|
| 8 | 2 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua mbinu za lugha katika insha ya masimulizi. -Kujadili umuhimu wa mbinu za lugha katika insha za masimulizi. -Kujadili wahusika na mandhari katika insha za masimulizi. -Kuandika insha ya masimulizi akizingatia mbinu za lugha, wahusika wanaobainika na mandhari ifaavyo. -Kufurahia kuandika insha ya masimulizi akizingatia lugha, wahusika na mandhari ifaavyo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha (k.v. tashbihi, sitiari, nahau) katika vielelezo vya insha ya masimulizi. -Kushirikiana na wenzake kujadili umuhimu wa lugha ya kiubunifu katika vielelezo vya insha za masimulizi. -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu umuhimu wa mbinu za lugha katika insha ya masimulizi. -Kuwasilisha utafiti wake darasani ili kujadiliana na wenzake. -Kujadili na wenzake wahusika na mandhari katika vielelezo vya insha za masimulizi kutoka kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali. -Kuandika insha ya masimulizi akitumia lugha kiubunifu na kuwabainisha wahusika na mandhari akizingatia suala lengwa. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitathmini. -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake kielelezo cha insha ya masimulizi ili aitolee maoni. |
Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 93
-Vielelezo vya insha -Vitabu vya hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
-Orodha hakiki
|
|
| 8 | 3 |
MAJUKUMU YA KIJINSIA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza Maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua. -Kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali. -Kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo. -Kutoa na kupokea maagizo ipasavyo. -Kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya maagizo. -Kutambua maagizo katika kauli mbalimbali. -Kubainisha maagizo miongoni mwa kauli zilizoandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaa vya kidijitali. -Kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali. -Kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo. -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazitathmini. -Kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi. -Kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na miktadha ya jamii zao. |
Je, kwa nini mtu hupewa maagizo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 113
-Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uigizaji
-Kujitathimini
|
|
| 8 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu. -Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu. -Kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali. -Kueleza habari za kifungu kwa ufupi. -Kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuutia kwenye kapu la maneno. -Kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini. -Kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kidijitali. -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kueleza habari husika kwa ufupi. |
Ni kwa njia gani tunaweza kudondoa habari mahususi kutokana na kifungu cha ufahamu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 114
-Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 9 | 1 |
Sarufi
Kuandika |
Nyakati na Hali: Wakati uliopita hali timilifu
Insha ya Maelekezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu. -Kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu katika sentensi. -Kutumia wakati uliopita hali timilifu ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu. -Kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu (li-, me-). -Kutambua sentensi zilizo katika wakati uliopita hali timilifu. -Kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu katika sentensi. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini au katika kifaa cha kidijitali kwa kutumia wakati uliopita hali timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la majukumu ya kijinsia. -Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni. |
Je, kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 129
-Chati -Kadi maneno -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu Oxford Fasaha Kiswahili pg 121 -Kielelezo cha insha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 9 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Kusikiliza Maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua. -Kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali. -Kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo. -Kutoa na kupokea maagizo ipasavyo. -Kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza maagizo ya aina mbalimbali yanayotolewa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijitali na kutaja maagizo yaliyomo. -Kuandaa maagizo na kisha kuyawasilisha darasani ili yajadiliwe na wenzake. -Kutoa na kuitikia maagizo mbalimbali kwa uwazi, k.m. kwa kutumia maneno kama "Fungua mlango." -Kurekodi maagizo kwa kutumia kifaa cha kidijitali. -Kucheza kwenye kifaa cha kidijitali maagizo aliyoyarekodi ili wenzake wayatolee maoni. |
Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 113
-Mgeni mwalikwa -Vifaa vya kidijitali -Chati -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uigizaji
-Kujitathimini
|
|
| 9 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu. -Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu. -Kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu "Ushirikiano Nyumbani" kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali. -Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua. -Kutunga sentensi akitumia msamiati katika kifungu alichokisoma. -Kutambua msamiati wa majukumu ya kijinsia uliotumiwa katika kifungu. -Kujadili na wenzake ufahamu wa kifungu kuhusu majukumu ya kijinsia. -Sakura mtandaoni vifungu vya ufahamu kuhusu majukumu ya kijinsia. |
Unapataje ujumbe katika kifungu ulichosoma?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 114
-Kamusi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 9 | 4 |
Sarufi
|
Nyakati na Hali: Wakati ujao hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya wakati ujao hali timilifu. -Kutambua viambishi vya wakati ujao hali timilifu katika sentensi. -Kutumia wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia kutumia wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya wakati ujao hali timilifu. -Kutambua viambishi vya wakati ujao hali timilifu (ta-, me-). -Kunakilii vitenzi vilivyo katika wakati ujao hali timilifu katika daftari. -Kutambua viambishi vya wakati ujao hali timilifu katika vitenzi. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia wakati ujao hali timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la majukumu ya kijinsia. -Kubadilisha sentensi kutoka katika nyakati nyingine hadi wakati ujao hali timilifu. -Kuwasomea wenzake sentensi zilizo katika wakati ujao hali timilifu. |
Je, ukanushaji wa wakati ujao hali timilifu hutofautianaje na wakati uliopita hali timilifu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 132
-Chati -Kadi maneno -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 10 | 1 |
Kuandika
|
Insha ya Maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua vipengele vya insha ya maelekezo kuhusu mahali. -Kujadili vipengele vya insha ya maelekezo kuhusu mahali. -Kuandika insha ya maelekezo inayodhihirisha sifa za mahali. -Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kielelezo cha insha ya maelekezo "Jinsi ya Kutayarisha Shamba kwa Upanzi". -Kutambua maneno mwafaka, mpangilio mzuri wa sentensi na mpangilio sahihi wa hatua katika kielelezo cha insha ya maelekezo. -Kuteua maneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo (k.v. vielezi vya mahali, vitenzi, vielekezi vya kiasi). -Kuandaa mpangilio ufaao wa sentensi zinazofuatana kulingana na maelekezo anayotaka kutoa. -Kushiriki kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo yaliyolengwa. -Kuandika insha ya maelekezo akizingatia uteuzi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua. -Kuwasomea wenzake insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni. |
Ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelekezo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 121
-Kielelezo cha insha -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
-Tathmini rika
|
|
| 10 | 2 |
USALAMA NYUMBANI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kufasiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza. -Kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku. -Kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini. -Kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza masuala yanayozungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali. -Kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu au mgeni mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku. -Kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbalimbali kuhusu suala lengwa. |
Ni ujumbe gani uliowahi kuusikiliza katika matini ambao unafanana na matukio halisi katika jamii yako?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 139
-Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 10 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina: Tamthilia - Dhamira
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya dhamira katika fasihi ili kuipambanua. -Kutambua dhamira katika tamthilia. -Kujadili dhamira katika tamthilia aliyosoma. -Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kielelezo cha tamthilia. -Kujadili kielelezo hicho cha tamthilia kinahusu nini. -Kubainisha lengo la mwandishi wa kielelezo hicho cha tamthilia. -Kueleza maana ya dhamira katika fasihi. -Kutambua dhamira katika kielelezo cha tamthilia. -Kujadili dhamira hizo. -Kuandaa maelezo mafupi kuhusu dhamira za tamthilia. -Kuwasilisha maelezo hayo darasani ili wenzake wayatolee maoni. |
Je, unafikiri mwandishi alikuwa na lengo gani katika tamthilia ambazo umewahi kuzisoma?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 143
-Tamthilia -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 10 | 4 |
Sarufi
|
Vivumishi vya Sifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua vivumishi vya sifa katika matini. -Kutumia vivumishi vya sifa ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua tofauti kati ya jozi za picha mbalimbali. -Kutaja sifa za picha hizo. -Kueleza kazi ya maneno yanayotaja sifa za picha. -Kutafiti mtandaoni au vitabuni kuhusu vivumishi vya sifa. -Kutambua vivumishi vya sifa kutoka kwenye chati ya maneno. -Kupigia mstari vivumishi vya sifa katika sentensi. -Kutumia vivumishi vya sifa kujaza nafasi katika sentensi. -Kutunga sentensi akitumia vivumishi vya sifa. -Kuandika aya fupi kuhusu usalama nyumbani akitumia vivumishi vya sifa. |
Je, vivumishi vya sifa ni vivumishi vya aina gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 157
-Picha -Chati ya maneno -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 11 | 1 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Insha ya mdokezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambanua. -Kubainisha aina za insha ya mdokezo. -Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo. -Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika. -Kufurahia kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua maana ya insha ya mdokezo. -Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo atakachosimulia kutokana na mdokezo kwenye matini au kwenye kikundi. -Kubainisha aina za insha ya mdokezo (kuanzia na kumalizia). -Kusoma kielelezo cha insha kutoka kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali. -Kueleza vipengele vilivyozingatiwa katika uandishi wa insha ya mdokezo aliyosoma. -Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi wa insha za mdokezo. -Kuwasilisha insha yake darasani ili wenzake waitolee maoni. |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha za mdokezo?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 150
-Kielelezo cha insha -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
-Tathmini rika
|
|
| 11 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa Kufasiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza. -Kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku. -Kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini. -Kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kupewa vidokezo kuhusu matini itakayosomwa na mwalimu. -Kutumia vidokezo hivyo kutabiri kitakachotokea katika matini. -Kusikiliza matini inayosomwa na mwalimu. -Kujadiliana na wenzake iwapo utabiri wao ulikuwa sahihi kutokana na matini waliyoisikiliza. -Kutambua ujumbe ulio katika matini waliyosikiliza. -Kutaja namna za kuimarisha usalama nyumbani kama zilivyoangaziwa kwenye matini. -Kueleza maana ya msamiati wa usalama nyumbani uliotumiwa katika matini. -Kueleza jinsi matukio yaliyomo katika matini yanavyohusiana na maisha ya kila siku. |
Ulijifunza nini kutokana na ujumbe katika matini uliyosikiliza?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 139
-Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa -Kamusi -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 11 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina: Tamthilia - Maudhui
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya maudhui katika fasihi ili kuyapambanua. -Kutambua maudhui katika tamthilia. -Kujadili maudhui katika tamthilia aliyosoma. -Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutazama picha zinazohusiana na usalama nyumbani. -Kujadili picha hizo zinahusu nini. -Kusoma tena kielelezo cha tamthilia kilichosomwa awali. -Kueleza masuala makuu yanayoangaziwa katika kielelezo hicho cha tamthilia. -Kueleza maana ya maudhui. -Kutambua maudhui katika tamthilia iliyosomwa. -Kujadili maudhui yanayojitokeza katika tamthilia. -Kuandika maelezo mafupi kuhusu maudhui hayo. -Kuwasilisha maelezo hayo darasani ili wenzake wayatolee maoni. |
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 146
-Tamthilia -Picha -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 11 | 4 |
Sarufi
|
Vivumishi Viashiria
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kutambua vivumishi viashiria katika matini. -Kutumia vivumishi viashiria ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia matumizi ya vivumishi viashiria katika sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutazama picha mbalimbali na kujadili umbali wa vitu kutoka kwa mhusika. -Kutaja kauli ambazo wanafikiri kila mhusika anatamka. -Kueleza maana ya vivumishi viashiria. -Kucheza mchezo wa kutaja vivumishi viashiria vya karibu, mbali kidogo na mbali sana. -Kutambua vivumishi viashiria kutoka kwenye chati ya maneno. -Kupigia mstari vivumishi viashiria katika sentensi. -Kutunga sentensi akitumia vivumishi viashiria. -Kuandika aya fupi kuhusu usalama nyumbani akitumia vivumishi viashiria. |
Unafikiria vivumishi viashiria ni vivumishi vya aina gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 161
-Picha -Chati ya maneno -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
|
|
| 12 | 1 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Insha ya mdokezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- -Kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambanua. -Kubainisha aina za insha ya mdokezo. -Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo. -Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika. -Kufurahia kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma insha ya mdokezo iliyoandikwa "Siku ya mvua". -Kutambua vipengele vya insha ya mdokezo vinavyojitokeza katika insha aliyosoma. -Kusakura mtandaoni na kusoma vielelezo vya insha za mdokezo. -Kujadili midokezo ya insha mbalimbali. -Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia anwani inayooana na kisa, kisa kinachooana na mdokezo, lugha inayofaa, na muundo wa insha. -Kuwasomea wenzake insha ya mdokezo aliyoandika ili waitolee maoni. -Kusahihisha insha yake kulingana na maoni ya wenzake. |
Insha ya mdokezo ni insha ya aina gani?
|
Oxford Fasaha Kiswahili pg 150
-Kielelezo cha insha -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Kujitathimini
-Tathmini rika
|
|
| 12 | 2 |
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUM
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Usikilizaji Husishi
Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha, -kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi, -kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi, -kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine. |
- Kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na wenzake.
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi. -Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa. -Kumsikiliza mwenzake, mwalimu au mgeni mwalikwa akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu suala lengwa na kufasiri hisia zake. |
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 50
-Kifaa cha kidijitali -Kanda za sauti/video -Mgeni mwalikwa Oxford Fasaha Kiswahili uk. 52 -Vifaa vya kidijitali -Kifungu cha ufahamu |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Mijadala
|
|
| 12 | 3 |
Sarufi
|
Vivumishi Vimilikishi na vya Idadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vivumishi vimilikishi na vya idadi katika matini, -kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo katika matini, -kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mawasiliano. |
- Kutambua vivumishi vimilikishi, na vya idadi kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno akishirikiana na wenzake.
-Kutenga vivumishi vimilikishi na vya idadi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino katika matini za kidijitali au za kimaandishi. -Kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya shuleni. |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 57
-Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
|
|
| 12 | 4 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo, -kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo, -kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri, -kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri. |
- Kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti).
-Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake. -Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake. |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 54
-Kielelezo cha insha ya maelezo -Vifaa vya kidijitali |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Mijadala
|
|
| 13 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
Usikilizaji Husishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha, -kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi, -kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi, -kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine. |
- Kuigiza kikao cha utoaji nasaha akishirikiana na wenzake huku akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi.
-Kushiriki mazungumzo kuhusu suala lengwa na mzazi, mlezi au mwenzake huku akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi. -Kutazama video ya mazungumzo baina ya watu wawili na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyotumika. |
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 51
-Kifaa cha kidijitali -Kanda za sauti/video -Mgeni mwalikwa |
- Mazungumzo
-Maigizo
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Matumizi ya ishara za mwili
|
|
| 13 | 2 |
Kusoma
|
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua, -kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu, -kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho, -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi. |
- Kueleza kwa maneno yake habari muhimu katika kifungu alichosoma.
-Kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishirikiana na wenzake. -Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni. -Kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini. |
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 53
-Vifaa vya kidijitali -Kifungu cha ufahamu |
- Potifolio
-Shajara
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
| 13 | 3 |
Sarufi
|
Vivumishi Vimilikishi na vya Idadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vivumishi vimilikishi na vya idadi katika matini, -kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo katika matini, -kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mawasiliano. |
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo.
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kuhudumia wenye mahitaji maalum. -Kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya nyumbani. |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 58-59
-Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Vifaa vya kidijitali |
- Kutunga sentensi
-Kazi mradi
-Kujaza mapengo
|
|
| 13 | 4 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo, -kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo, -kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri, -kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri. |
- Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo.
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni. -Kushiriki na wenzake kutambua tamathali za lugha zilizotumika katika kila insha. |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 55-56
-Kielelezo cha insha ya maelezo -Vifaa vya kidijitali |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Potifolio
-Shajara
|
Your Name Comes Here