If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
SHULENI
Kusikiliza na Kuzungumza |
Maamkuzi na Maagano: Maamkuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku -Kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku -Kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno yanayotumiwa katika maamkuzi mbalimbali ya nyakati za siku -Kutazama picha za watu wakisalimiana -Kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maamkuzi ya nyakati za siku -Kuigiza na wenzake maamkuzi mbalimbali |
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 1
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Michoro -Picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Maamkuzi na Maagano: Maagano
Maamkuzi na Maagano: Kuigiza Kusoma Ufahamu: Kutazama picha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maamkuzi na maagano ya nyakati za siku -Kuamkua na kuitikia maamkuzi na maagano ya nyakati za siku -Kufurahia kuamkua na kuagana ili kujenga mshikamano wa kijamii |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno yanayotumiwa katika maagano mbalimbali ya nyakati za siku -Kutazama picha za watu wakiagana -Kutazama video inayoonyesha watu wakitumia maagano ya nyakati za siku -Kuigiza na wenzake maagano mbalimbali |
Tunaamkuana vipi wakati wa asubuhi, mchana na jioni?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 3
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Michoro -Picha Stadi za Kiswahili ukur. 5 Stadi za Kiswahili ukur. 7 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha za kukagua
|
|
| 2 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma Ufahamu: Kusoma kifungu
Kusoma Ufahamu: Kujadili matokeo Hati Nadhifu: Sentensi - Kutambua |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi kuhusu suala la shule -Kutambua msamiati wa suala lengwa katika kifungu -Kutumia msamiati wa suala lengwa katika mazungumzo -Kujadili ujumbe wa kifungu |
Kusoma kifungu ili ufahamu ujumbe unafanya nini?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 7
-Kifungu cha ufahamu -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Daftari Stadi za Kiswahili ukur. 11 -Chati -Masomo ya darasa |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya ufahamu
-Majaribio ya kusoma
|
|
| 2 | 4 |
Kuandika
Sarufi |
Hati Nadhifu: Sentensi - Kuandika
Hati Nadhifu: Sentensi - Kuwasilisha Matumizi ya wewe na nyinyi: Kutambua |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua hati nadhifu katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia hati nadhifu -Kufurahia kuandika akizingatia hati nadhifu |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika sentensi fupi kuhusu suala lengwa -Kuzingatia maumbo yanayofaa ya herufi -Kuacha nafasi baina ya herufi katika neno -Kuacha nafasi kati ya maneno |
Je, ni mambo gani unayozingatia wakati wa kuandika?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 11
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Masomo ya darasa Stadi za Kiswahili ukur. 13 -Kadi maneno -Mti maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya maandishi
-Kazi ya kuandika
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Matumizi ya wewe na nyinyi: Kutumia
Matumizi ya wewe na nyinyi: Kuwasiliana Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/ - Sauti /p/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua wewe na nyinyi katika sentensi -Kutumia wewe na nyinyi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia wewe na nyinyi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma vifungu vilivyo na nafsi ya pili -Kutumia nafsi ya pili (wewe na nyinyi) umoja na wingi -Kuigiza mazungumzo na wenzake katika kikundi -Kujaza nafasi kwa kutumia wewe na nyinyi |
Ni neno gani unaloweza kutumia kuwataja wenzako bila kutaja majina yao?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 13
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno Stadi za Kiswahili ukur. 19 -Vifaa kwa kurekodi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kufupi
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 2 |
HAKI ZANGU
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/ - Sauti /f/
Matamshi Bora: Sauti /p/, /f/, /v/ - Sauti /v/ Kusoma kwa Ufasaha: Kutambua sauti lengwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa katika maandishi -Kutamka ipasavyo silabi za sauti lengwa katika maandishi -Kutamka maneno mepesi yanayotokana na sauti lengwa katika maandishi -Kusoma ipasavyo sentensi nyepesi zenye sauti lengwa kwa matamshi bora |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua silabi kwenye maneno yenye sauti lengwa /f/ -Kusikiliza silabi lengwa zikitamkwa na mwalimu au kifaa cha kidijitali -Kutamka silabi za sauti lengwa -Kutamka maneno yenye sauti lengwa |
Je, kwa nini ni vizuri kutamka maneno vizuri tunapozungumza?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 22
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa kwa kurekodi Stadi za Kiswahili ukur. 25 Stadi za Kiswahili ukur. 29 -Kifungu cha hadithi -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya vihisika
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Ufasaha: Kusoma kwa matamshi
Kusoma kwa Ufasaha: Kusoma kwa ishara Hati Nadhifu: Herufi Kubwa - Kutambua |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno yenye sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno 33 kwa dakika) |
Je, ni mambo gani unayozingatia ili kusoma kwa ufasaha?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 29
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Kadi maneno Stadi za Kiswahili ukur. 33 -Chati -Chati ya herufi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 3 | 4 |
Kuandika
|
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa - Kunakili
Hati Nadhifu: Herufi Kubwa - Kutunga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi kubwa katika matini -Kuandika herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi -Kufurahia kutumia herufi kubwa ipasavyo katika maneno na sentensi ili kuboresha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kunakili maneno na sentensi kuhusu haki za watoto kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -Kuandika sentensi fupi akizingatia mpangilio ufaao wa herufi kubwa -Kuandika kifungu kwa herufi kubwa |
Je, herufi kubwa huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 33
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Chati ya herufi -Daftari Stadi za Kiswahili ukur. 34 -Picha za haki za watoto |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 1 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutambua
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutumia Umoja na Wingi wa Vifungu: Kuwasilisha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -Kuandika vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -Kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua vifungu vya maneno mawili katika umoja na wingi -Kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kujadili kuhusu vifungu vya umoja na wingi |
Umoja na wingi wa vifungu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 37
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kufupi
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 2 |
LISHE BORA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutambua
Maneno ya Heshima na Adabu: Kutumia Maneno ya Heshima na Adabu: Kuwasiliana |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kutumia ipasavyo maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano akiambatanisha na hisia zifaazo -Kuthamini matumizi ya maneno ya heshima na adabu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua maneno ya heshima na adabu yanayotumiwa katika jamii -Kujadili ni lini maneno husika yanatumiwa katika mawasiliano -Kutazama michoro mbalimbali na kujadili neno linalofaa kutumiwa |
Maneno ya adabu huwa na sifa gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 42
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Michoro -Kadi za maneno -Video za maigizo -Karatasi za kazi Stadi za Kiswahili ukur. 43 -Kadi za maigizo -Mazingira ya nyumbani |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha hadithi kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha hadithi -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha hadithi -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutazama picha kuhusu lishe bora -Kutambua vitu vinavyohusiana na lishe bora katika picha -Kujadili kuhusu vyakula mbalimbali kulingana na picha |
Je, unazingatia nini ili kupata ujumbe katika ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 44
-Picha za vyakula -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Kifungu cha ufahamu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 4 | 4 |
Kuandika
|
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutambua
Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kunakili Mpangilio wa Herufi Ndogo: Kutunga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuandika kifungu akizingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kuchangamkia kuandika vifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa herufi ndogo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua mpangilio ufaao wa herufi ndogo katika maandishi -Kuwaonyesha wenzake mpangilio ufaao wa herufi ndogo -Kujadili kuhusu herufi ndogo na mpangilio wake ufaao |
Kwa nini ni vizuri kuandika herufi ndogo ipasavyo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 50
-Chati ya herufi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Daftari -Kifungu cha lishe bora -Picha za lishe bora |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutambua
Matumizi ya Huyo na Hao: Kutumia Matumizi ya Huyo na Hao: Kuwasiliana |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya huyo na hao katika kifungu -Kutumia huyo na hao katika sentensi kwa usahihi -Kuchangamkia matumizi ya huyo na hao katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya huyo na hao kwa kutumia nyenzo -Kusikiliza kifungu au wimbo kuhusu matumizi ya huyo na hao -Kumsomea mwenzako sentensi zilizopo chini ya picha |
Ni maneno gani yatatumiwa kuonyesha mwenzako akiwa mbali kidogo?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 54
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha za watu -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 2 |
USAFIRI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora: Sauti /ch/
Matamshi Bora: Sauti /dh/ Matamshi Bora: Kujirekodi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa katika maneno -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha -Kusoma kifungu kifupi chenye maneno ya sauti lengwa akizingatia matamshi bora -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua silabi za sauti lengwa /ch/ katika maneno -Kusikiliza maneno yenye silabi za sauti lengwa -Kutamka maneno aliyosikiliza pamoja na mwalimu -Kutamka maneno yenye silabi za sauti lengwa |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 59
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno -Vifaa kwa kurekodi Stadi za Kiswahili ukur. 62 Stadi za Kiswahili ukur. 65 -Kipande cha "Lori la chuma" |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya vihisika
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha: Kutambua sauti
Kusoma kwa Ufasaha: Kurakibia matamshi Kusoma kwa Ufasaha: Kutumia ishara |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika matini mbalimbali -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kufurahia kusoma kifungu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua sauti /ch/ na /dh/ katika kadi maneno, mti maneno -Kusoma maneno yenye sauti lengwa -Kutambua maneno yenye sauti /ch/ na /dh/ katika sentensi |
Je, ni maneno gani unayojua yenye sauti /ch/ na /dh/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 66
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Daftari -Kifungu cha "Safari yetu" Stadi za Kiswahili ukur. 68 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Orodha za kukagua
|
|
| 5 | 4 |
Kuandika
|
Nafasi katika Maandishi: Kutambua
Nafasi katika Maandishi: Kuandika Nafasi katika Maandishi: Kutumia dijitali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuandika sentensi akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi kwa maandishi -Kufurahia kuandika akizingatia nafasi kati ya maneno katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kuwaonyesha wenzake nafasi kati ya maneno katika sentensi -Kujadili kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno |
Je, kwa nini tunatumia nafasi kati ya maneno katika sentensi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 69
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Picha za usafiri Stadi za Kiswahili ukur. 71 -Maneno ya usafiri |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 1 |
Sarufi
|
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutambua
Umoja na Wingi wa Vifungu: Kutumia Umoja na Wingi wa Vifungu: Kukamilisha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kusoma vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuandika umoja na wingi wa vifungu vya maneno -Kuchangamkia kutumia vifungu vya maneno katika umoja na wingi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua vifungu vya maneno katika umoja na wingi -Kuzingatia moyo hili - mabasi haya, safari hii - safari hizi -Kusoma vifungu vya maneno kutoka kwenye chati au vifaa vya kidijitali |
Je, unapozungumzia umoja na wingi wa maneno au sentensi unamaanisha nini?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 72
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Picha Stadi za Kiswahili ukur. 75 -Jedwali la umoja na wingi |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 2 |
MNYAMA NIMPENDAYE
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Kutambua picha
Hadithi: Kusikiliza ufahamu Hadithi: Kueleza maudhui |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua picha kuhusu suala lengwa -Kutambua msamiati wa suala lengwa uliotumiwa katika hadithi aliyoisikiliza -Kujibu maswali kuhusu hadithi aliyoisikiliza -Kueleza ujumbe wa hadithi aliyoisikiliza -Kufurahia ufahamu wa kusikiliza |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua picha kutoka kwenye kitabu, chati -Kujadili picha kutoka kwenye vifaa vya kidijitali -Kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Kusikiliza hadithi kwa makini kuna umuhimu gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 78
-Picha za wanyama -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Chati -Kadi za maneno Stadi za Kiswahili ukur. 79 -Kifungu cha ufahamu Stadi za Kiswahili ukur. 80 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kutazama picha
Kusoma kwa Ufahamu: Kusoma kifungu Kusoma kwa Ufahamu: Kueleza mafunzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua msamiati kuhusu suala lengwa katika kifungu chepesi cha ufahamu -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu chepesi cha ufahamu kwa kuzingatia picha -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu -Kueleza mafunzo yanayotokana na kifungu chepesi cha ufahamu -Kuchangamkia kusoma vifungu vya ufahamu ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusikiliza au kutazama nyimbo kuhusu suala lengwa -Kutaja masuala ya suala lengwa -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi akizingatia picha |
Je, ni mambo gani yanayokusaidia kupata ujumbe kwenye vifungu vya ufahamu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 81
-Picha za wanyama -Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi za maneno -Kifungu cha ufahamu Stadi za Kiswahili ukur. 83 -Hadithi mbalimbali |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 6 | 4 |
Kuandika
|
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kutambua
Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kuandika Uakifishi: Matumizi ya Kiulizi - Kumsomea |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua kiulizi katika maandishi -Kuandika kiulizi ipasavyo akizingatia umbo lake -Kutumia kiulizi ipasavyo katika sentensi -Kufurahia kutumia kiulizi katika maandishi ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua kiulizi katika maandishi kitabuni -Kuwaonyesha wenzake alama ya kiulizi katika sentensi -Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu alama ya kiulizi |
Je, alama ya kiulizi hutumika vipi?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 84
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Mti maneno Stadi za Kiswahili ukur. 85 -Daftari -Sentensi za muundo Stadi za Kiswahili ukur. 87 -Maswali ya picha |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 7 |
MIDTERM |
||||||||
| 8 | 1 |
Sarufi
|
Matumizi ya -ako na -enu: Kutambua
Matumizi ya -ako na -enu: Kutumia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kutambua matumizi ya -ako na -enu katika kadi za maneno -Kusikiliza kifungu au wimbo unaohusu matumizi ya -ako na -enu -Kujadili kuhusu matumizi ya -ako na -enu |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 87
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Kadi maneno -Picha za wanyama Stadi za Kiswahili ukur. 89 -Daftari |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya kutambua
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matumizi ya -ako na -enu: Kuwasilisha
Matamshi Bora: Sauti /ny/ Matamshi Bora: Sauti /ng/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi yafaayo ya -ako na -enu katika kifungu -Kutumia -ako na -enu ipasavyo katika sentensi -Kuthamini matumizi ya -ako na -enu katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuwasomee wenzake sentensi zenye matumizi ya -ako na -enu -Kuwasiliana na wazazi kwa kutumia -ako na -enu -Kutunga sentensi na kuziandika kwenye daftari |
Je, -ako na -enu hutumiwa wakati gani?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 91
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Daftari -Hadithi ya Sifa na sungura wake Stadi za Kiswahili ukur. 92 -Kadi maneno -Mti maneno -Jedwali ya silabi Stadi za Kiswahili ukur. 96 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya uwasilishaji
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 8 | 3 |
UKOO
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Kusoma |
Matamshi Bora: Kujirekodi
Kusoma kwa Ufasaha: Kutambua sauti Kusoma kwa Ufasaha: Kusoma kwa matamshi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua silabi za sauti lengwa ipasavyo katika maneno na sentensi -Kutamka maneno na sentensi zenye silabi za sauti lengwa kwa ufasaha -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kujirekodi katika kifaa cha kidijitali ukisoma sentensi -Kusikiliza ulivyotamka maneno yenye silabi za sauti /ny/ na /ng/ -Kutumia kifaa cha kidijitali kujirekodi ukitamka sentensi zenye sauti lengwa |
Unajua kutamka maneno gani yenye sauti /ny/ na /ng/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 99
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Sentensi za ukoo -Vifaa kwa kurekodi -Kifungu cha hadithi -Hati ya Ukoo wetu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Jengo la mtu binafsi
-Orodha za kukagua
|
|
| 8 | 4 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Ufasaha: Kutoa maoni
Tahajia Imla: Kutambua maneno Tahajia Imla: Kuandika maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti lengwa katika kifungu chepesi cha hadithi -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa sauti inayosikika -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo -Kusoma kifungu chepesi cha hadithi chenye sauti lengwa kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kusoma kifungu kwa kuzingatia ishara zifaazo -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu chepesi chenye sauti lengwa -Kutoa maoni kuhusu matamshi, sauti inayosikika, kasi na ishara |
Unajua maneno gani yaliyo na silabi za sauti /ny/ na /ng/?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 101
-Kifungu cha hadithi -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Hati ya Ukoo wetu Stadi za Kiswahili ukur. 102 -Daftari -Maneno ya ukoo -Kadi za maneno -Maneno ya imla |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majaribio ya kusoma
-Tathmini ya mzazi/mlezi
|
|
| 9 | 1 |
Kuandika
Sarufi Sarufi |
Tahajia Imla: Kuandika sentensi
Matumizi ya: (-refu, -kubwa, -tamu): Kutambua Matumizi ya: (-refu, -kubwa, -tamu): Kutumia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maneno mepesi ya silabi tatu kwenye maandishi kwa kuzingatia sauti lengwa -Kuandika maneno mepesi ya imla ya silabi tatu kwa kuzingatia silabi za sauti lengwa -Kuandika sentensi sahili kwa kuzingatia silabi za sauti lengwa -Kufurahia kuandika ipasavyo maneno na sentensi kutokana na imla |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kuandika daftarini sentensi za imla -Kushirikiana na wenzake kutunga sentensi kutokana na maneno waliyoandika -Kuandika sentensi walizotunga na kumpa mwenzake ili azitolee maoni |
Je, kwa nini tunahitaji kusikiliza kwa makini tunaposomewa maneno ya kuandika?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 104
-Daftari -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Sentensi za imla -Picha za ukoo Stadi za Kiswahili ukur. 105 -Chati -Picha za vitu -Kadi maneno Stadi za Kiswahili ukur. 106 |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Tathmini ya wenzao
|
|
| 9 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matumizi ya: (-refu, -kubwa, -tamu): Kuwasiliana
Maagizo Mazungumzo ya Papo kwa Hapo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua matumizi ya -refu, -kubwa, -tamu -Kutumia -refu, -kubwa, -tamu katika sentensi ili kuimarisha mawasiliano -Kufurahia kutumia -refu, -kubwa, -tamu katika sentensi |
Mwanafunzi aongozwe:
-Kujaza nafasi zilizo wazi kwa kutumia -refu, -kubwa, -tamu -Kuwasiliana na mlezi au mzazi kwa kutumia -refu, -kubwa, -tamu -Kutunga sentensi ukitumia -refu, -kubwa, na -tamu |
Je, ni maneno gani unayoweza kutumia kuelezea sifa za kitu?
|
Stadi za Kiswahili ukur. 108
-Chati -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa Mwalimu -Sentensi za kurekebisha -Makazi ya nyumbani Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 111 -Picha za maagizo -Vifaa vya kuigiza -Orodha za maagizo Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 112 -Faili za wimbo za kidijiti -Picha za vifaa vya sebule -Mwongozo wa mazungumzo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Kazi ya maandishi
-Mazungumzo na wazazi
|
|
| 9 | 3 |
SEBULENI
Kusoma Kuandika Sarufi |
Kusoma kwa Ufahamu
Uhariri Ukanusho wa Nafsi ya Pili - Umoja na Wingi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutabiri maudhui ya kifungu kulingana na picha ya mwanzo. -Kusoma na kuelewa hadithi fupi kuhusu sebuleni. -Kujibu maswali ya ufahamu kuhusu hadithi waliyoisoma. -Kutambua tukio dogo katika hadithi. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutazama picha na kutabiri yatakayotokea katika hadithi. -Kusoma hadithi "Furaha na watu wa familia". -Kutaja vifaa vya sebuleni vinavyotajwa katika hadithi. -Kujibu maswali kuhusu hadithi. -Kujifunza kutoka hadithi walizoisoma. |
Ni mafunzo gani tunayaweza kupata kutoka hadithi za familia?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 115-116
-Hadithi za ufahamu -Maswali ya ufahamu -Vifaa vya kutabiri Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 119-121 -Maelezo ya uhariri -Sentensi za mazoezi -Orodha ya kukagua Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 122-124 -Maelezo ya sarufi -Mpangilio wa ukanusho |
Majibu ya maswali
-Mjadala wa kundi
-Tathmini ya ufahamu
-Ufupisho wa hadithi
|
|
| 9 | 4 |
8.0 USALAMA WANGU
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matamshi Bora - Sauti /sh/
Matamshi Bora - Sauti /th/ Matamshi Bora - Mchanganyiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutambua maneno na sentensi zenye sauti lengwa. -Kutamka maneno na sentensi za sauti lengwa kwa ufasaha. -Kufurahia matamshi bora katika mawasiliano. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutambua silabi za sauti lengwa (/sh/) katika matini mbalimbali. -Kusikiliza maneno yenye silabi za sauti lengwa yakitamkwa na mwalimu. -Kutamka maneno aliyosikiliza pamoja na mwalimu na kuigiza mazungumzo. -Kuambatanisha silabi ili kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa. -Kujirekodi akisoma hadithi zilizo na maneno zenye sauti lengwa. |
Unajua kutamka maneno gani yenye sauti /sh/?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 127
-Maelezo ya matamshi -Nyimbo za mazoezi -Kifaa cha kujirekodi Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 130 -Mazungumzo ya mazoezi -Kadi za maneno Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 131 -Vifungu vya mazoezi -Mazungumzo ya usalama |
Uchunguzi
-Mazoezi ya mdomo
-Marekodi ya kujitathmini
-Mazungumzo ya kundi
|
|
| 10 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
Kusoma kwa Ufasaha - Mazoezi Kusoma kwa Ufasaha - Utathmini |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutambua sauti lengwa katika kifungu cha hadithi. -Kusoma kifungu chenye sauti lengwa kwa ufasaha. -Kuzingatia kasi ifaayo wakati wa kusoma. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutambua sauti /sh/ na /th/ katika kifungu. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kusoma kwa sauti inayosikika. -Kusoma kwa kuzingatia kasi ifaayo (42 maneno kwa dakika). -Kusoma hadithi kutoka kwenye vifaa vya kidijiti. |
Je, unazingatia mambo gani kusoma kwa ufasaha?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 133
-Hadithi za kusoma -Mashairi ya ufasaha -Vifaa vya kidijiti Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 134 -Maonerisho ya ufasaha -Mashairi ya mazingira Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 135 -Vifungu vya tathmini -Vipimo vya kasi -Mazingira ya kusoma |
Uchunguzi
-Usomaji wa sauti
-Tathmini ya ufasaha
-Kupima kasi ya usomaji
|
|
| 10 | 2 |
Kuandika
|
Tahajia
Tahajia - Misingi Tahajia - Mazoezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kuelewa mambo muhimu ya tahajia. -Kuandika tahajia kwa kufuata misingi. -Kuweka alama za tahajia kwa usahihi. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kusikiliza maelezo ya mwalimu kuhusu tahajia. -Kubainisha sifa za tahajia sahihi. -Kuandika tahajia fupi kuhusu usalama binafsi. -Kuweka alama za tahajia kwa usahihi. -Kushiriki kazi na wenzao kwa maoni. |
Ni jinsi gani tahajia inaweza kuwa muhimu katika maisha ya kila siku?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 137
-Mifano ya tahajia -Mwongozo wa kuandika -Maelezo ya alama Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 138 -Sentensi za mazoezi -Maelezo ya tahajia -Kifungu cha kutimua Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 139 -Vifungu vya kuhariri -Vifaa vya kidijiti -Mazingira ya tahajia |
Mazoezi ya kuandika
-Uhariri binafsi
-Mazungumzo ya maoni
-Orodha za kukagua
|
|
| 10 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutambua huu na hii katika vifungu. -Kutumia huu na hii kutajia vitu katika mazingira. -Kuchangamkia matumizi ya huu na hii katika mawasiliano. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutambua maneno huu na hii katika kadi maneno. -Kusoma vifungu vinavyojumuisha huu na hii. -Kuonyesha vitu mbalimbali kama miti na kuvitungia sentensi. -Kukamilisha vifungu vyenye nafasi kwa kutumia huu na hii. -Kutunga sentensi akitumia huu na hii akizingatia usalama. |
Ni vitu gani unavyoweza kurejelea kwa kutumia maneno huu na hii?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 140
-Kadi za maneno -Vifungu vya sarufi -Mazingira ya darasa |
Mazoezi ya kuandika
-Tathmini ya sarufi
-Mazungumzo ya wenzao
-Kazi za kukamilisha
|
|
| 10 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi ya huu na hii - Mazoezi
Matumizi ya huu na hii - Mchanganyiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutofautisha matumizi ya huu na hii. -Kutumia huu na hii kwa usahihi katika sentensi. -Kujieeleza kuhusu mazingira nyumbani. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kufanya mazoezi ya kutofautisha huu na hii. -Kuigiza mazungumzo zenye matumizi ya huu na hii. -Kuandika sentensi kuhusu vitu vya usalama. -Kushiriki mchezo wa kutambua huu na hii. -Kuonyesha mzazi vitu nyumbani kwa kutumia huu na hii. |
Ni matumizi gani ya huu na hii yanafaa wakati mwingine?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 141
-Mazoezi ya sarufi -Mazungumzo ya maigizo -Mchezo wa kutambua Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 142 -Vifungu vya kutunga -Mchanganyiko wa mazoezi -Mazingira ya kuwasilisha |
Mazungumzo ya maigizo
-Tathmini ya sarufi
-Kazi za kila siku
-Mazungumzo na mlezi
|
|
| 11 | 1 |
9.0 HOSPITALINI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Mazungumzo ya Papo kwa Hapo
Mazungumzo ya Papo kwa Hapo - Viziada Mazungumzo ya Papo kwa Hapo - Uwasilishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kuonyesha ufahamu wa suala inalozungumziwa. -Kuzingatia matamshi bora anapozungumza. -Kujieleza kwa ufasaha wakati wa kuzungumza. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kuonyesha ufahamu wa mazungumzo ya hospitalini. -Kusikiliza mgeni mwalikwa akizungumza kuhusu hospitalini. -Kushiriki katika mazungumzo kuhusu mazingira ya hospitalini. -Kuzungumza kwa kutamka ipasavyo sauti na maneno. -Kujieleza kwa ufasaha anapozungumza kuhusu hospitali. |
Tunazingatia mambo gani tunapozungumza papo kwa hapo?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 145
-Mazungumzo ya mfano -Michoro ya hospitalini -Mazingira ya maigizo Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 146 -Mwongozo wa viziada -Michoro ya ishara Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 147 -Mazingira ya hadhara -Tamasha za muziki -Msamiati wa hospitalini |
Uchunguzi
-Mazungumzo ya utambuzi
-Mawasilisho ya mdomo
-Uigizaji wa mazingira
|
|
| 11 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma kwa Ufahamu - Mafunzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutambua msamiati kuhusu hospitalini katika kifungu. -Kutabiri yatakayotokea katika kifungu cha ufahamu. -Kueleza ujumbe wa kifungu chepesi cha ufahamu. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutazama na wenzao picha za hospitali. -Kuimba nyimbo kuhusu hospitalini. -Kutabiri kitakachotokea katika hadithi kwa kuzingatia picha. -Kusoma kifungu chepesi (47-50 maneno) na kutambua msamiati. -Kueleza ujumbe wa kifungu cha hadithi kuhusu hospitalini. |
Je, ukitaka kupata ujumbe kwenye kifungu unazingatia nini?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 149
-Picha za hospitalini -Nyimbo za hospitalini -Vifungu vya ufahamu Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 150 -Mafunzo ya hadithi -Mazingira ya mjadala -Mazungumzo ya mlezi |
Maswali ya ufahamu
-Tathmini ya msamiati
-Mjadala wa ujumbe
-Ufupisho wa kifungu
|
|
| 11 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Ufahamu - Ziada
Kuandika Kifungu Kuandika Kifungu - Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kuimarisha stadi za kusoma kwa ufahamu. -Kutumia msamiati wa hospitalini kwa utendeti. -Kufurahia kusoma vifungu mbalimbali. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kusoma vifungu zaidi vya nyimbo za hospitalini. -Kutambua msamiati na kueleza maana yake. -Kushiriki katima mazungumzo ya kunda kuhusu mafunzo. -Kutoa mifano ya matumizi ya msamiati katika maisha. -Kuwasilisha kisa kihusu hospitalini. |
Ni jinsi gani tunaweza kuimarisha ufahamu wetu wa mazingira ya hospitalini?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 151
-Vifungu vya ziada -Mazingira ya uwasilishaji -Msamiati wa kina Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 154 -Mwongozo wa kuandika -Picha za hospitalini -Mazingira ya mjadala Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 155 -Kutimua kwa kundi -Mazingira ya kuwasilisha |
Mawasilisho ya kisa
-Mazungumzo ya mjadala
-Tathmini kamili
-Uhakiki wa ufahamu
|
|
| 11 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kuandika Kifungu - Kuhariri
Matamshi Bora Matamshi Bora - Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kuhariri kifungu alichoandika. -Kutumia tahajia na nafasi za usahihi. -Kufurahia mchakato wa kuandika na kuhariri. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kuhariri kifungu kwa kuzingatia maelezo sahihi. -Kuweka alama za tahajia na nafasi kwa usahihi. -Kuiga kifungu chake kwa misingi ya tahajia. -Kushiriki kazi ya kuhariri na wenzao. -Kuonyesha mzazi kazi iliyohaririwa. |
Ni kwa nini ni muhimu kuhariri maandishi yetu?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 156
-Mwongozo wa uhariri -Maelezo ya tahajia -Kutimua kwa uhariri Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 165 -Maelezo ya alfabeti -Maneno ya hali ya anga -Kifaa cha kujirekodi Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 166 -Msamiati wa hali ya anga -Sauti za mazingira -Mazungumzo ya hali ya anga |
Mazoezi ya uhariri
-Tathmini ya tahajia
-Mazungumzo na mlezi
-Kazi ya mwisho
|
|
| 12 | 1 |
10.0 HALI YA ANGA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Kusoma |
Matamshi Bora - Mchanganyiko
Kusoma kwa Ufasaha Kusoma kwa Ufasaha - Ishara |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kutamka maneno ya hali ya anga kwa ufasaha kamili. -Kushiriki mazungumzo kuhusu hali ya anga. -Kutumia msamiati wa hali ya anga katika mazungumzo. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kukariri matamshi ya maneno ya hali ya anga. -Kusoma hadithi kuhusu hali ya anga kwa ufasaha. -Kuigiza mazungumzo kuhusu hali ya anga. -Kuinua hadithi za kuhusu hali ya anga. -Kuwa na mazungumzo na mlezi kuhusu hali ya anga. |
Je, umejifunza kutamka vipi maneno yanayohusu hali ya anga?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 167
-Hadithi za hali ya anga -Mazungumzo ya maigizo -Msamiati wa mazingira Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 168 -Vifungu vya hali ya anga -Hadithi za mazingira -Vifaa vya kidijiti Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 170 -Vifungu vya tathmini -Vipimo vya kasi -Mazingira ya kujisikiliza |
Mazoezi za ufasaha
-Mazungumzo ya maigizo
-Uhusiano na mlezi
-Tathmini kamili
|
|
| 12 | 2 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Ufasaha - Tathmini
Maneno na Sentensi Maneno na Sentensi - Imla |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kusoma kwa ufasaha kamili. -Kuzingatia vipengele vyote vya usomaji. -Kutathmini maendeleo yake ya kusoma. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kusoma vifungu kwa kuzingatia vipengele vyote. -Kutathmini stadi zake za kusoma kwa kujisikiliza. -Kufanya mazoezi ya ziada ya kusoma kwa ufasaha. -Kuwasilisha hadithi mbele ya darasa. -Kutoa ripoti ya maendeleo yake ya kusoma. |
Ni jinsi gani tunaweza kutengeneza ripoti ya maendeleo ya kusoma?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 172
-Vifungu vya tathmini -Mazingira ya kuwasilisha -Mwongozo wa ripoti Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 173 -Maneno ya silabi tatu -Vifaa vya imla -Mchezo wa kuandika Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 174 -Mandeo ya imla -Vifaa vya kidijiti -Sentensi za mazoezi |
Tathmini kamili
-Mawasilisho ya hadhara
-Ripoti ya maendeleo
-Mazungumzo ya uhakiki
|
|
| 12 | 3 |
Kuandika
Sarufi |
Maneno na Sentensi - Mazoezi
Vinyume vya Vitendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kuandika sentensi sahili walizotunga. -Kusahihisha kazi yake na wenzake. -Kuunda sentensi kuhusu hali ya anga. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kutunga na kuandika sentensi sahili kuhusu hali ya anga. -Kumpa mwenzake ili azitolee maoni. -Kusahihisha kazi yake baada ya kusoma maoni. -Kuwasilisha sentensi zake zilizosahihishwa. -Kumwanyesha mlezi sentensi alizozoandika. |
Ni kwa nini ni muhimu kuhariri na kusahihisha kazi zetu?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 175
-Maelezo ya kuhariri -Mazingira ya kuwasilisha -Kutunaa sentensi Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 177 -Vifaa vya vitendo -Sentensi za mazoezi -Mazingira ya kuigiza |
Kutunaa sentensi
-Maoni ya wenzao
-Mazungumzo na mlezi
-Kazi iliyosahihishwa
|
|
| 12 | 4 |
Sarufi
|
Vinyume vya Vitendo - Mazoezi
Vinyume vya Vitendo - Mchanganyiko Vinyume vya Vitendo - Mchanganyiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwishoni mwa somo, mwanafunzi awe na uwezo wa: -Kulinganisha vitendo na vinyume vyao. -Kujenga sentensi zenye vinyume vya vitendo. -Kueleza mazingira ya kutumia vinyume. |
Mwanafunzi anaongozwa:
-Kulinganisha vitendo na vinyume vyao kwa kutumia kadi. -Kujenga sentensi zenye vinyume vya vitendo kuhusu hali ya anga. -Kushiriki katima mchezo wa kutambua vinyume. -Kuunda jumbe fupi zenye vitendo na vinyume vyao. -Kumtumia mwenzake kifungu chenye vinyume vya vitendo. |
Ni jinsi gani tunaweza kutumia vinyume vya vitendo katika mazingira ya hali ya anga?
|
Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 178
-Kadi za kulinganisha -Mchezo wa kutambua -Jumbe za kutunga Mwalimu Kipande Stadi za Kiswahili uk. 180 -Vifungu vya kutunga -Mazingira ya kuwasilisha -Mchanganyiko wa mazoezi |
Mchezo wa kutambua
-Kazi ya kujenga
-Mazungumzo ya wenzao
-Matunga ya jumbe
|
|
Your Name Comes Here