If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno ya heshima katika familia |
Wanafunzi waweza kuonyeshwa mchoro wa mtoto akipokea zawadi halafu wajadili neno linalofaa kutumiwa na anayepokea zawadi.
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini |
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 1 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia maneno ya heshima katika mawasiliano |
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini.
Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile |
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 1 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuambatanisha maneno ya heshima na hisia zifaazo katika mawasiliano |
zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini. Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile
|
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 1 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi |
Mwanafunzi aweza kujadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 2 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu familia darasani |
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea
kwenye hadithi. Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye |
Unatakiwa kufanya nini
unaposomewa hadithi
|
Charti
Vifaa harisi |
Maswalimepesi
ya kauli
|
|
| 2 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma hadithi kuhusu familia darasani |
Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye asome akiwa peke yake au wiwili wawili.
. |
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 2 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 2 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Manafunzi aweza kusoma sentensi zinazojumuisha matumizi ya nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi.
Mwanafunzi aweza kujaza mapengo kwa kutumia maneno na viambishi vinavyowakilisha nafsi ya kwanza na wakati uliopo kama vile; mimi nina ; sisi tuna. |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 3 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha mazungumzo |
Mwanafunzi atambue sauti /t/, /l/, /n/ na /o/ katika maneno.
|
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 3 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno |
Mwanafunzi asikilize mwalimu anapotamka sauti lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili au kama darasa
|
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 3 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia
kadi za herufi |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 3 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi na kuchanganua yaliyo marefu zaidi. Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
|
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 4 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
| 4 | 2 |
Kusoma:
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumiwa katika hadithi ili kuimarisha mawasilian |
Mwanafunzi ajadili picha
zilizojumuishwa kwenye "hadithi. Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi." Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusoma na kusomewa hadithi. |
Je, ni nini maana ya
usafi gani?
|
Mwalimu asikize
sentensi za wanafunzi wanapotunga. |
Wanafunzi
"
Uk 91
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma:
|
hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome
hadithi baada ya mwalimu, kisha pamoja na mwalimu na baadaye akiwa peke yake au wawili wawili |
Kufikia mwisho wa mada
mwanafunzi aweze
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma
|
Fanya zoezi la
kwanza ukurasa 93 |
Tarakilishi
"
Uk 92-93
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi"
ya lugha gredi 1
|
|
| 4 | 4 |
Kusoma:
|
hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma hadithi zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aeleze maana na matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi
|
Unafikiri ni nini kitakachotokea katika hadithi hii?
|
Mwalimu asahihishe zoezi la mwanafunzi.
|
Wanafunzi Uk 93
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi "ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele. Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha" matumizi ya huyu na hawa |
Je, unajua ni kwa nini
tunatumia huyu na
hawa
|
Mwalimu asikize
wanafunzi wakisoma. |
Tarakilishi
"
Uk94
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
| 5 | 2 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika sentensi kwa kutumia huyu na hawa katika kuimarisha stadi ya kuandika kuthamini utunzi wa sentensi sanifu katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aweza
kujaza mapengo kwenye tarakilishi kupitia mchezo wa kuburura na kutia kapuni. |
Je, utatumia neno lipi
kuonyesha kwamba
"mtu ni mmoja?
Watu wakiwa wengi unaonyesha vipi?"
|
Mwalimu asikize
majibu wa mwanafunzi kuhusu maswali aliyowapa. |
Uk 95-96
"
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafuzi"
|
|
| 5 | 3 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika sentensi kwa kutumia huyu na hawa katika kuimarisha stadi ya kuandika kuthamini utunzi wa sentensi sanifu katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aweza
kujaza mapengo kwenye tarakilishi kupitia mchezo wa kuburura na kutia kapuni. |
Je, utatumia neno lipi
kuonyesha kwamba
"mtu ni mmoja?
Watu wakiwa wengi unaonyesha vipi?"
|
Mwalimu asikize
majibu wa mwanafunzi kuhusu maswali aliyowapa. |
Uk 95-96
"
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafuzi"
|
|
| 5 | 4 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, "kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha stadi ya kuzungumza" |
Mwanafunzi atambue
sauti lengwa /s/, /b/, /y/ na "/z/ katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti" lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili na kama darasa. |
Ni sauti zipi
unazoweza kutamka?
|
Mwalimu asikize
sauti ambazo mwanafunzi anaweza tamka. |
Wanafunzi
Uk97-98
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafunzi
|
|
| 6 | 1 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno katika kuimarisha stadi ya kuzungumza |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.
Mwanafunzi atambue herufi zinazowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma.
|
"Wanafunzi Uk 98
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
| 6 | 2 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi
aambatanishe silabi "kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa. Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za" maneno. |
Unajua kusoma herufi
na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame
mwanafunzi akisoma silabi katika uk 99 kisha utunge maneno. |
Wanafunzi
"
Uk 98-99
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
| 6 | 3 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma herufi za sauti moja katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Wanafunzi waweza
kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi aweza kufinyanga maumbo ya herufi inayowakilisha sauti iliyofunzwa. |
Unajua kusoma herufi
na maneno yapi?
|
Mwalimu aanaglie
mwanafunzi akifanya zoezi. |
Wanafunzi
Uk99-100
Oxford
Kiswahili
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
| 6 | 4 |
"Vyakula
vya"
kiasilia
|
"Sauti na majina
ya herufi za"
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
" " kusoma maneno kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
"Mwanafunzi aandike
maumbo ya herufi za sauti" alizosoma hewani na vitabuni. |
"Unajua kuandika
herufi na maneno"
yapi?
|
"Mwalimu atazame
mwanafunzi" akiandika maneno. |
Wanafunzi
"
Uk 101
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
| 7 | 1 |
"Vyakula
vya"
kiasilia
|
"Sauti na majina
ya herufi za"
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
" " kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
"Mwanafunzi asome
maneno kwa kutumia" silabi au kwa kugawa maneno marefu katika sehemu ndogo ndogo ili kuyasoma kwa urahisi. |
"Unajua kuandika
herufi na maneno"
yapi?
|
"Mwalimu aangalie
mwanafunzi" anapoandika herufi anazojua. |
Tarakilishi
"
Uk 102
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
| 7 | 2 |
Vyakula vya kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika maumbo ya herufi yanayowakilisha sauti lengwa |
Mwanafunzi aandike maumbo ya herufi za sauti alizosoma hewani na vitabuni
|
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame maumbo ambayo mwanafunzi anachora.
|
Wanafunzi
Uk103
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 7 | 3 |
Vyakula vya kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuchangamkia kutumia maneno yanayojumuisha sauti lengwa katika mawasiliano ya kila siku. |
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yanayobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
|
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame kazi ambayo mwanafunzi anachora.
|
Wanafunzi Uk103
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 7 | 4 |
Msamiati
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua vyakula vya kiasili ili kuimarisha lishe bora b) kusoma majina ya vyakula mbalimbali ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atambue vyakula mbalimbali vya kiasili kwa kutumia vyakula halisi, picha na michoro kama vile mihogo, viazi, mahindi, maharagwe, mboga na matunda.
Mwanafunzi atumie msamiati aliyofunzwa kutunga sentensi. |
Unapenda waweza kutaja chakula kipi?
|
Mwalimu asahihishe sentensi ambazo mwanafunzi anaandika.
|
Wanafunzi
Uk 104
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 8 | 1 |
Msamiati
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika majina ya vyakula katika kuimarisha stadi ya Kuandika kutumia majina ya vyakula katika sentensi sahihi |
Mwanafunzi aweza kupewa kadi za majina ya vyakula vya kiasili asome kwa sauti.
Wanafunzi waweza kuambatanisha majina ya vyakula halisi au michoro na majina yavyo. |
Vyakula vipi hukuzwa shambani?
|
Mwalimu asikize baadhi ya chakula vinazokuzwa shambani.
|
Wanafunzi
Uk 105-106
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 8 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungu mza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza masimulizi kuhusu vyakula vya kiasili katika kuimarisha stadi ya kusikiliza |
Mwanafunzi asimulie hadithi kuhusu vyakula vya kiasili.
Wanafunzi wajadiliane kuhusu umuhimu wa vyakula vya kiasili. Wanafunzi wasimuliane visa kuhusu vyakula vya kiasili.wanafunzi |
Kwa nini tunakula chakula?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akieleza umuhimu wa chakula.
|
Tarakilishi
Uk 107
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 8 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungu mza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kufahamu masimulizi aliyosikiliza katika kuimarisha stadi ya kusikiliza kufurahia vyakula vya kiasili katika maisha ya kila siku. |
"Mwanafunzi aweza kuhusishwa katika kuimba nyimbo na kukariri mashairi kuhusu vyakula vya kiasili.
Mwanafunzi aweza kusikiliza nyimbo na mashairi yaliyorekodiwa kwenye vifaa vya" kiteknolojia kuhusu vyakula vya kiasili. |
Je, umuhimu wa vyakula vya kiasili ni upi?
|
Mwalimu atazame mwanafunzi akifanya zoezi.
|
Tarakilishi
Uk107-108
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 8 | 4 |
Kusoma:
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumiwa katika hadithi aliyosoma au kusomewa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi. Mwanafunzi afahamu matumizi ya msamiati uliotumika kwenywae hadithi.wanafunzi |
Je, unaona nini katika picha?
|
Mwalimu asikize mwanafunzi akisimulia kis a chochote.
|
Wanafunzi
Uk 110
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 9 | 1 |
Kusoma:
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu kuhusu vyakula vya kiasili ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asikilize mwalimu anaposoma hadithi, asome pamoja na mwalimu kisha asome peke yake, wawili wawili au katika vikundi.
|
Unadhani ni nini kitakachotokea katika hadithi
|
Mwalimu asikize mwanafunzi akisoma hadithi.
|
Wanafunzi Uk 110-111
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 9 | 2 |
kusoma
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kufurahia vyakula vya kiasili maishani. |
Mwanafunzi asikilize hadithi ya mwalimu au hadithi iliyorekodiwa kuhusu vyakula vya kiasili.
|
Unakumbuka hadithi gani uliyoisoma?
|
Mwalimu asahihishe kazi ya mwanafunzi.
|
"Tarakilishi
Uk112
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi"
ya lugha gredi 1
|
|
| 9 | 3 |
Sarufi
|
Matumizi na
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua matumizi ya |
Mwanafunzi atunge sentensi zenye matumizi ya -angu na
|
Je, ni maneno gani tunayotumia kuonyesha kuwa kitu ni chako au ni chenu?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akitunga sentensi.
|
Wanafunzi
Uk 113
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
| 9 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi na
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kufurahia kutumia |
Mwanafunzi atunge sentensi zenye matumizi ya -angu na
|
Je, ni maneno gani tunayotumia kuonyesha kuwa kitu ni chako au ni chenu?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akitumia angu na etu katika kutunga sentensi.
|
Tarakilishi 114-115
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
Your Name Comes Here