Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
SURA YA KWANZA

Sarufi
Viulizi - "pi" na "ngapi"
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza matumizi ya kiulizi "pi"
Kutumia kiulizi "ngapi" sahihi
Kutunga sentensi zenye viulizi
Kubainisha tofauti za viulizi mbalimbali

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu viulizi
Kueleza jinsi viulizi vinavyochukua viambishi vya ngeli
Kufanya mazoezi ya kutumia "pi" na "ngapi"
Kutunga sentensi mpya zenye viulizi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la ngeli
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 7-10
2 2
Kusoma kwa Kina
Fasihi Andishi
Magazeti: Tahariri na Habari
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya tahariri
Kutofautisha habari za kitaifa na kimataifa
Kusoma tahariri kwa uelewa
Kuchambua maudhui ya magazeti

Kuuliza maswali kuhusu aina za magazeti wanayoijua
Kueleza maana na sifa za tahariri
Kusoma mfano wa tahariri "Wenye Matatu Wasiruhusiwe..."
Kujadili habari za kitaifa na kimataifa
Kutambua vichwa vya habari
Kitabu cha mwanafunzi
Magazeti ya hivi karibuni
Mwongozo wa mwalimu
Makala ya habari
Scissors na glue
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 11-13
2 3
SURA YA PILI

Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa barua kwa mhariri
Kutofautisha barua kwa mhariri na barua rasmi
Kuandika barua kwa mhariri kwa usahihi
Kutumia lugha teule yenye staha

Kuuliza maswali kuhusu barua za maoni
Kueleza sifa na muundo wa barua kwa mhariri
Kuonyesha mifano ya barua kwa mhariri
Kuandika barua kuhusu mikanda ya usalama
Kusahihisha na kukarabati barua zao

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya barua kwa mhariri
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 30-32
2 4
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa barua kwa mhariri
Kutofautisha barua kwa mhariri na barua rasmi
Kuandika barua kwa mhariri kwa usahihi
Kutumia lugha teule yenye staha

Kuuliza maswali kuhusu barua za maoni
Kueleza sifa na muundo wa barua kwa mhariri
Kuonyesha mifano ya barua kwa mhariri
Kuandika barua kuhusu mikanda ya usalama
Kusahihisha na kukarabati barua zao

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya barua kwa mhariri
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 30-32
2 5
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 6
SURA YA NNE

Sarufi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza aina za vielezi
Kutofautisha vielezi vya namna, wakati, idadi na mahali
Kutumia vielezi sahihi katika sentensi
Kutunga sentensi zenye vielezi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu vielezi
Kueleza aina mbalimbali za vielezi
Kufanya mazoezi ya kutambua vielezi
Kutunga sentensi mpya zenye vielezi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la aina za vielezi
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 45-49
3 1
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa hotuba
Kutofautisha sehemu za hotuba
Kuandika hotuba kwa usahihi
Kutumia lugha mwafaka ya hotuba

Kuuliza maswali kuhusu hotuba wanayozifahamu
Kueleza sifa na muundo wa hotuba
Kuonyesha mifano ya hotuba
Kuandika hotuba kuhusu umoja wa kitaifa
Kutoa hotuba mbele ya darasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya hotuba
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 50-51
3 2
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa hotuba
Kutofautisha sehemu za hotuba
Kuandika hotuba kwa usahihi
Kutumia lugha mwafaka ya hotuba

Kuuliza maswali kuhusu hotuba wanayozifahamu
Kueleza sifa na muundo wa hotuba
Kuonyesha mifano ya hotuba
Kuandika hotuba kuhusu umoja wa kitaifa
Kutoa hotuba mbele ya darasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya hotuba
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 50-51
3 3
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 4
SURA YA TANO

Sarufi
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza aina za viwakilishi
Kutofautisha viwakilishi mbalimbali
Kutumia viwakilishi sahihi katika sentensi
Kutunga sentensi zenye viwakilishi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu viwakilishi
Kueleza aina kumi za viwakilishi
Kufanya mazoezi ya kutambua viwakilishi
Kutunga sentensi mpya zenye viwakilishi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la viwakilishi
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 58-62
3 5
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 6
SURA YA SITA

Sarufi
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza dhana ya mwingiliano wa maneno
Kutofautisha aina za mwingiliano
Kutambua mabadiliko ya aina za maneno
Kutunga sentensi zenye mwingiliano

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu sarufi
Kueleza jinsi maneno yanavyobadilika aina
Kufanya mazoezi ya kutambua mwingiliano
Kutunga sentensi mpya zenye mwingiliano
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la aina za maneno
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 71-73
4 1
Kusoma kwa Sauti
Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa lafudhi sahihi
Kutumia mkazo na muekeleko sahihi
Kuelewa maudhui ya barua
Kuboresha ujuzi wa kusoma hadharani

Kuuliza maswali kuhusu kusoma hadharani
Kusoma barua mbalimbali kwa mhariri
Kujadili maudhui ya barua
Kufanya mazoezi ya kusoma kwa sauti
Kutathmini ujuzi wa kusoma

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Barua za ziada za mhariri
Kanda za sauti
Jedwali la maelezo ya sauti
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 73
4 2
Kusoma kwa Sauti
Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa lafudhi sahihi
Kutumia mkazo na muekeleko sahihi
Kuelewa maudhui ya barua
Kuboresha ujuzi wa kusoma hadharani

Kuuliza maswali kuhusu kusoma hadharani
Kusoma barua mbalimbali kwa mhariri
Kujadili maudhui ya barua
Kufanya mazoezi ya kusoma kwa sauti
Kutathmini ujuzi wa kusoma

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Barua za ziada za mhariri
Kanda za sauti
Jedwali la maelezo ya sauti
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 73
4 3
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 4
SURA YA SABA

Sarufi
Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza dhana ya mzizi wa kitenzi
Kutofautisha mzizi na mnyambuliko
Kutambua mzizi katika vitenzi
Kunyambua vitenzi kutoka kwenye mzizi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu vitenzi
Kueleza jinsi ya kutambua mzizi wa kitenzi
Kufanya mazoezi ya kutambua mizizi
Kunyambua vitenzi kutoka mizizi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la mizizi ya vitenzi
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 76-77
4 5
Sarufi
Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza dhana ya mzizi wa kitenzi
Kutofautisha mzizi na mnyambuliko
Kutambua mzizi katika vitenzi
Kunyambua vitenzi kutoka kwenye mzizi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu vitenzi
Kueleza jinsi ya kutambua mzizi wa kitenzi
Kufanya mazoezi ya kutambua mizizi
Kunyambua vitenzi kutoka mizizi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la mizizi ya vitenzi
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 76-77
4 6
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 1
SURA YA NANE

Sarufi
Viambishi vya Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza aina za viambishi vya vitenzi
Kutofautisha viambishi awali na tamati
Kutumia viambishi sahihi katika vitenzi
Kutunga sentensi zenye viambishi

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu vitenzi
Kueleza aina za viambishi vya vitenzi
Kufanya mazoezi ya kutambua viambishi
Kutunga vitenzi kutoka kwenye mizizi
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la viambishi
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 85-89
5 2
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 3
SURA YA TISA

Sarufi
Vinyume vya Vitenzi na Vitenzi katika Hali ya Kuamrisha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya vinyume vya vitenzi
Kutoa vinyume vya vitenzi mbalimbali
Kutumia vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kutunga sentensi za amri

Kuuliza maswali ya ujumuishaji kuhusu vitenzi
Kueleza dhana ya vinyume vya vitenzi
Kufanya mazoezi ya kutoa vinyume
Kujifunza matumizi ya vitenzi vya amri
Kukamilisha mazoezi ya ukurasa

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Jedwali la vinyume
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 97-99
5 4
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 5
SURA YA KUMI

Kuandika
Uandishi wa Insha: Masimulizi na Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza aina za insha
Kutofautisha insha ya masimulizi na mjadala
Kuandika insha ya masimulizi kwa ufasaha
Kutunga mjadala wenye hoja za kuthibitisha

Kuuliza maswali kuhusu aina za insha
Kueleza sifa za insha ya masimulizi
Kuonyesha mifano ya insha za mjadala
Kuandika insha ya masimulizi kuhusu safari
Kutunga mjadala kuhusu elimu na kazi

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya insha
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 113-115
5 6
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 1
SURA YA KUMI NA MOJA

Sarufi
Sentensi ya Kiswahili: Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kufafanua 'kirai' na kueleza jukumu lake katika muundo wa sentensi
- Kutambua aina mbalimbali za virai katika Kiswahili
- Kutofautisha kati ya kirai nomino, kitenzi, kivumishi, kielezi na kihusishi
- Kutunga sentensi kwa kutumia aina mbalimbali za virai
- Kuchambua muundo wa sentensi kwa kutumia ujuzi wa virai
- Kurejea vipengele vya sentensi kupitia mifano
- Mwalimu aeleze aina za virai kwa mifano
- Wanafunzi wabainishe virai katika sentensi zilizopewo
- Zoezi la vitendo kutunga aina mbalimbali za virai
- Kazi ya vikundi kuchambua sentensi ngumu
- Tathmini ya kibinafsi kuhusu kutambua virai
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Vipande vya sentensi kwa ajili ya uchambuzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Chati za kurejelea sarufi
- Kalamu za rangi za kuangazia
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 119-122
6 2
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 3
SUYA YA KUMI NA MBILI

Sarufi
Kuandika
Vishazi
Utungaji wa Kiuamilifu: Wasifu, Tawasifu na Wasifukazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kufafanua maana ya kishazi na aina zake
- Kutofautisha kati ya vishazi huru na tegemezi
- Kutambua vishazi katika sentensi mbalimbali
- Kutunga sentensi zenye vishazi vya aina mbalimbali
- Kuchunguza utendakazi wa vishazi katika sentensi
- Kurejea dhana ya sentensi na vipengele vyake
- Mwalimu afafanue aina za vishazi kwa mifano
- Wanafunzi wabainishe vishazi katika sentensi
- Zoezi la vitendo kutunga sentensi zenye vishazi
- Kazi ya vikundi kuchambua sentensi ngumu
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Vipande vya sentensi kwa ajili ya uchambuzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Chati za kurejelea sarufi
- Mifano ya wasifu mbalimbali
- Vifungu vya matangazo ya kazi
- Karatasi za uandishi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 132-133
6 4
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 5
SURA YA KUMI NATATU

Sarufi
Sentensi ya Kiswahili: Kikundi Nomino, Kikundi Tenzi, Shamirisho na Chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza miundo ya kikundi nomino na kikundi tenzi
- Kutofautisha aina za shamirisho (kipozi, kitondo, kitumizi)
- Kufafanua utendakazi wa chagizo katika sentensi
- Kuchanganua sentensi kwa kutumia vipengele hivi
- Kutunga sentensi zenye vipengele mbalimbali
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aonyeshe miundo ya vikundi vya sentensi
- Mazoezi ya kubainisha vipengele katika sentensi
- Kazi ya vikundi kuchanganua sentensi ngumu
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kutumia vipengele mbalimbali
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za michoro ya uchambuzi
- Vipande vya sentensi kwa mazoezi
- Karatasi za kazi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 142-146
6 6
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 1
SURA YA KUMI NA NNE

Kusikiliza na Kuzungumza
Maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa umuhimu wa maigizo katika jamii
- Kutambua aina za maigizo za kimapokeo
- Kuchunguza maigizo ya jando na unyago
- Kuonyesha jinsi maigizo yanavyoelimisha
- Kufanya maigizo ya kufundisha maadili
- Mazungumzo kuhusu maigizo ya kimapokeo
- Kusoma na kuchambua mfano wa maigizo ya jandoni
- Majadiliano kuhusu umuhimu wa maigizo
- Kuigiza mazungumzo ya kufundisha maadili
- Kutayarisha na kuonyesha maigizo mafupi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Vifaa vya maigizo
- Mavazi ya kimapokeo
- Eneo la kuigiza
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 151-152
7 2
Kusoma kwa Ufahamu
Haki zetu Binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua haki mbalimbali za binadamu
- Kueleza umuhimu wa haki za kibinadamu
- Kuchunguza jinsi lugha inavyofinyangwa katika shairi
- Kufafanua tamathali za lugha zilizotumiwa
- Kubadilisha vipande vya shairi kuwa nathari
- Kusoma shairi "Haki zetu Binadamu" kwa makini
- Kubainisha haki zilizoelezwa katika shairi
- Kuchunguza mbinu za kilugha zilizotumiwa
- Kufafanua tamathali na ishara za kishairi
- Kuandika sehemu za shairi kwa lugha ya nathari
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati ya haki za binadamu
- Kamusi ya Kiswahili
- Karatasi za mazoezi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 152-153
7 3
Kusoma kwa Ufahamu
Haki zetu Binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua haki mbalimbali za binadamu
- Kueleza umuhimu wa haki za kibinadamu
- Kuchunguza jinsi lugha inavyofinyangwa katika shairi
- Kufafanua tamathali za lugha zilizotumiwa
- Kubadilisha vipande vya shairi kuwa nathari
- Kusoma shairi "Haki zetu Binadamu" kwa makini
- Kubainisha haki zilizoelezwa katika shairi
- Kuchunguza mbinu za kilugha zilizotumiwa
- Kufafanua tamathali na ishara za kishairi
- Kuandika sehemu za shairi kwa lugha ya nathari
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati ya haki za binadamu
- Kamusi ya Kiswahili
- Karatasi za mazoezi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 152-153
7 4
Fasihi Andishi
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uchanganuzi wa Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za michoro ya matawi
- Jedwali za uchambuzi
- Vipande vya sentensi kwa mazoezi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 5
SURA YA KUMI NA TANO

Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
SURA YA KUMI NA SITA

Sarufi
Nyakati na Hali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutofautisha kati ya nyakati tatu za Kiswahili
- Kueleza hali mbalimbali za vitenzi
- Kutumia viambishi sahihi katika nyakati
- Kuchanganua hali za masharti na ukanushaji
- Kutunga sentensi kwa nyakati na hali mbalimbali
- Kurejea misingi ya vitenzi na viambishi
- Mwalimu aeleze nyakati tatu kwa mifano
- Wanafunzi wajaribu kutambua nyakati katika sentensi
- Zoezi la kutunga sentensi kwa nyakati mbalimbali
- Kazi ya vikundi kuhusu hali za masharti
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za nyakati na hali
- Makaratasi ya mazoezi
- Jedwali za ukanushaji
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 175-179
8 1
SURA YA KUMI NA SABA

Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza umuhimu wa alama za kuakifisha
- Kutambua alama mbalimbali za uandishi
- Kutumia alama za kuakifisha ipasavyo
- Kuakifisha maandishi mbalimbali
- Kuboresha ujuzi wa uandishi wa kisarufi
- Kurejea alama za kuakifisha msingi
- Mwalimu aeleze matumizi ya kila alama
- Wanafunzi waakifishe maandishi yaliyotolewa
- Zoezi la kuakifisha sentensi na aya
- Kazi ya vikundi kuhusu alama ngumu
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Maandishi yasiyo na alama za kuakifisha
- Chati za alama za uandishi
- Makaratasi ya mazoezi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 188-194
8 2
SURA YA KUMI NA NANE

Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeshewa, Kutendesheana na Kutendesheka
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza maana ya kauli za vitenzi
- Kutofautisha kati ya kauli mbalimbali
- Kunyambua vitenzi katika kauli hizi
- Kutunga sentensi kwa kutumia kauli mbalimbali
- Kutambua matumizi ya kauli hizi
- Kurejea misingi ya vitenzi na kauli zake
- Mwalimu aeleze aina za kauli kwa mifano
- Wanafunzi wajaribu kunyambua vitenzi
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kauli mbalimbali
- Kazi ya vikundi kufanya mazoezi ya vitendo
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Jedwali za kauli za vitenzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Chati za kurejelea sarufi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 202-204
8 3
Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 4
SURA YA KUMI NA TISA

Sarufi
Fasihi Andishi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendama na Kutendata
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza maana ya kauli za kutendama na kutendata
- Kutofautisha kati ya kauli hizi mbili
- Kunyambua vitenzi katika kauli hizi
- Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi vyenye kauli hizi
- Kutambua matumizi ya kauli hizi
- Kurejea misingi ya kauli za vitenzi
- Mwalimu aeleze kauli za kutendama na kutendata
- Wanafunzi wajaribu kunyambua vitenzi
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kauli hizi
- Kazi ya vikundi kufanya mazoezi ya sarufi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Jedwali za kauli za vitenzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Mifano ya vitenzi vya kauli hizi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 210-211
8 5
SURA YA ISHIRINI

Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendua na Kutenduka
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza dhana ya kauli za kutendua na kutenduka
- Kutofautisha kati ya kauli hizi mbili
- Kunyambua vitenzi katika kauli hizi
- Kutunga sentensi zenye vitenzi vya kauli hizi
- Kutambua matumizi ya kauli za kinyume
- Kurejea misingi ya kauli za vitenzi
- Mwalimu aeleze kauli za kutendua na kutenduka
- Wanafunzi wajaribu kunyambua vitenzi
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kauli hizi
- Kazi ya vikundi kufanya mazoezi ya sarufi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Jedwali za kauli za vitenzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Mifano ya vitenzi vya kinyume
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 215-216
8 6
Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendua na Kutenduka
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza dhana ya kauli za kutendua na kutenduka
- Kutofautisha kati ya kauli hizi mbili
- Kunyambua vitenzi katika kauli hizi
- Kutunga sentensi zenye vitenzi vya kauli hizi
- Kutambua matumizi ya kauli za kinyume
- Kurejea misingi ya kauli za vitenzi
- Mwalimu aeleze kauli za kutendua na kutenduka
- Wanafunzi wajaribu kunyambua vitenzi
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kauli hizi
- Kazi ya vikundi kufanya mazoezi ya sarufi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Jedwali za kauli za vitenzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Mifano ya vitenzi vya kinyume
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 215-216
9 1
SURA YA ISHIRINI NA MOJA

Sarufi
Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi vya Silabi Moja
Mnyambuliko wa Vitenzi vyenye Asili ya Kigeni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa vitenzi vya silabi moja
Kutambua kauli za vitenzi
Kuandika vitenzi katika kauli mbalimbali
Kutunga sentensi sahihi
Kufafanua tofauti kati ya kauli za vitenzi

Utangulizi kuhusu vitenzi vya silabi moja
Kueleza kauli ya kutenda na mifano
Kujifunza kauli ya kutendea na viishio vyake
Kusoma kauli ya kutendwa
Kujifunza kauli ya kutendana/kutendeana
Zoezi la kutunga sentensi kwa kila kauli
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Jedwali la kauli za vitenzi
Vielelezo vya miundo
Kadi za mazoezi
Jedwali la vitenzi
Kadi za mifano
Majaribio ya mazoezi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 223-226
9 2
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana na umuhimu wa ripoti
Kutambua sehemu za ripoti
Kufafanua kanuni za kuandika ripoti
Kuandika ripoti sahihi
Kutumia lugha sahihi ya kirasmi

Mazungumzo kuhusu maana ya ripoti
Kujifunza muundo wa ripoti
Kusoma mfano wa ripoti
Kujadili mambo yanayopaswa kuzingatiwa
Zoezi la kuandika ripoti ya ziara
Kusahihisha ripoti zilizoandikwa
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Mifano ya ripoti
Fomu za kuandikia
Kalamu na karatasi
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 227-232
9 3
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Kusikiliza na Kuzungumza
Fasihi Simulizi: Hadithi ya Twiga na Mkufu wa Kima
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusikiliza hadithi kwa makini
Kueleza maudhui ya hadithi
Kutambua wahusika na sifa zao
Kufafanua ujumbe wa hadithi
Kujadili maadili yanayofundishwa
Kuigiza sehemu za hadithi

Kusikiliza hadithi ya Twiga na mkufu wa Kima
Mjadala kuhusu tabia za wahusika (Twiga, Kima, Mfalme Ndovu)
Kujadili sababu za shingo ya Twiga kuwa ndefu
Mazungumzo kuhusu maadili ya uaminifu na kuwajibika
Kuigiza sehemu za hadithi
Kujadili athari za kutotimiza ahadi
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Picha za wanyamapori
Vifaa vya kuigiza
Kanda za sauti za hadithi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 233-235
9 4
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Kusoma kwa Ufahamu
Sarufi
Taifa Bingwa Barani - 2004
Vivumishi vya Pekee na Matumizi yake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma makala kwa uelewa
Kueleza maudhui ya makala
Kutambua faida za michezo
Kufafanua changamoto za michezo barani
Kujibu maswali ya ufahamu
Kueleza maana ya msamiati mpya

Usomaji wa haraka wa makala ya michezo
Mjadala kuhusu michuano ya kabumbu barani Afrika
Kujadili faida za michezo kwa mataifa andalizi
Mazungumzo kuhusu changamoto za michezo Afrika
Kujibu maswali ya ufahamu kuhusu makala
Kueleza maana ya maneno: shamrashamra, mtawalia, kilele, kuwania
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Picha za michezo ya kabumbu
Ramani ya Afrika
Makala ya magazeti kuhusu michezo
Jedwali la vivumishi
Kadi za mifano
Majaribio ya mazoezi
Ubao mweupe
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 235-237
9 5
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
9 6
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

Your Name Comes Here


Download

Feedback