Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1

OPENER ASSESSMENT

2 1
Usafi wa mazingira Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo :
-Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala
-Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala
-Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali
-Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari
-Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala
-Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake .
-Ashiriki mjadala darasani na wenzake.
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi
Chati kudi mane matini ya mwalimu
-Kitambua -Kuuliza na kujibu maswali . -Orodha hakiki -Kueleza -Kushiriki mjadala .
2 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo katia kushiriki mjadala.
-Achangamkie kushiriki katika mjadala ya miktadha mbalimbali.
-kuteua mada au swala lengwa la kufanyiwa mjadala
-kushiriki mjadala kuhusu swala lengwa akizingatia vipengele
Je unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala ?
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6.
-Picha
-Michoro vifaa vya kidijitali .
-Kushiriki mjadala . -Matamshi bora ya maneno
2 3
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Viakifishi Alama ya koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi
-kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu
-Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi.
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi.
-Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma
-Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha
-Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi.
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati
-Kamusi
-Matin ya mwalimu .
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 .
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kiditali
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Wanafunzi kufanyia na tathmini .
2 4
Kuandika
Sarufi
Viakifishai Semi koloni
Vihsishi Vihusishi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua alama ya semi koloni ilivyo tumika katika matini .
-Kutumia alama ya semi koloni katika matani
-Kufurahia matumizi yafaayo katika matini
-Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matani mbali mbali?.
-kutambua alama ya semi koloni katika sentensi au matini andishi.
-kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
-Atunge sentensi au kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama ya semi koloni ipasavyo?
Je alama ya semi - kolonihutumiwa vipi katika maandishi?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Matini ya mwalimu
-Kadi
-Maneno .
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno
-Orodha hakiki -Kutunga sentensi
3 1
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb -
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno
-Matini ya mwalimu
Na mwanafunzi
-Kifaa cha kidijitari
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
3 2
kusoma
Kuandika
Kusoma kwa mapona
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuteuana kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma
-kutambua msamiati ulotumika katika matani ya kujichagulia
-Kujenga mazoea ya kujisomea matani mbali mbali aliyojichagulia
- kuteua matini kuhusu suala linalo mvutia kisha some matani aliyojichagulia .
-kutambua msamiati muhimu atika matani aliyoteua
-Kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma kwa ufupi.
-Kutambua na kuorodhesha msamiati uliotumika katika matani aliyojichagulia .
Je unazingatia nini unapojichagulia matini ya kusoma?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia.
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu .
-Michoro
-chati
-kusoma -kutambua msamiati -kuorodhesha msamiti na maana yake.
3 3
Kuandika
sarufi
sarufi
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa
-Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku.
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni.
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali .
-Matini ya mwalimu.
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-Kuandika barua -Kusomeana -Kufanya tathmini .
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Semi . (sitiari na methali )
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
4 1
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
4 2
Kuandika
Insha za kubuni . Masimulizi .
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi
-Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho .
-Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika
-Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo.
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi .
-Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho
-Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika.
-Atoe amelezo yake darasani.
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali
Matini ya mwalimu
Kielelzo cha insha.
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33
-Matini ya mwalimu .
-Vifaa vya kidigitari
-kusoma -kuchambua -Kijadilana -Kuulizana na kujibu maswali.
4 3
Sarufi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vilinganishi katika matini .
-Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia vihusishi vilinganishi katika mawasiliano ya kila siku .
-kufafanua maan aya vihusishi vilinganishi .
-Kuchopoa vihusishi vilinganishi katika chati au tarakilishi .
-Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu akizingatia masuala mtambuko .
Je vihusishi vilinganishi ni nini?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-Kitambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi
4 4
Kuskiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufasaha
Semi . vitendawili
Semi . Nahali .
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua .
-Kutambua vitendawili ktika matini .
-Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi .
-Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi .
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili .
-Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili .
-Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili .
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi? Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu.
-Chati
-Michoro
-Kifaa cha kidigitali .
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Vifaa vya kidijari.
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Vitabu
-Matini ya mwalimu .
-kueleza -Kitendawili -kufafanua -Kuwasilisha vitendawili -Kutenga na kutengua.
5 1
Kusoma kwa ufasaha
Kuandika
Kusoma kwa ufasaha
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano .
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha .
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kifaa cha kidijitari.
-kusoma -Kufanyiana tathmini.
5 2
Kuandika
Sarufi
Insha za kubuni masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari
-Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano .
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu.
-Michoro
-vitabu
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Picha
-michoro
-kuandika tathmini -Orodha hakiki -Kusomea wengine.
5 3
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Ufahamu wa kuskiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Picha
-michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
5 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza .
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza .
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52
-Matini ya mwalimu na mwanafunzi .
-vifaa vya kidigitali
-Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kusoma -Kusikiliza -Kuuliza maswali . -Kujibu maswali
6 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu .
Insha za kiuamilifu . Shajara .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu .
-Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu .
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini .
-Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana .
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati
-Matini ya mwalimu
-Picha
-michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara
-Matani ya mwalimu
-kusoma -Kudondoa msamiati -Kutunga sentensi
6 2
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Hali yza masharti . -nge-
Hali ya masharti . -ngali)
Kusikiliza na kufasiri .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maan ya hali ya masharti .
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti nge katika matini
-Kutumia hali ya masharti nge ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti nge ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti maana halisi ya hali ya masharti nge .
-Atambue na kueleza hali halisi ya hali ya masharti nge . katika sentensi na vifungu .
-Achanganue sentensi zinashoashiria matumizi ya hali ya masharti nge kutokana na mchnganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu .
-Atunge sentensi kuonyesha matumizi ya nge akizingatia mtaambuko mbali mbali .
Je hali ya masharti ya nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Matani ya mwalimu
-Chati
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidigitali
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62
-Matani ya mwanafunzi
-Mifano -Maelezo -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -kutambua
6 3
Kusoma
Kusoma kwa kina . Ushairi . (Maudhui) .
Kusoma kwa kina . (dhamira)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Je maudhui ni nini katika kazi ya fasihi?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu
Vifaa vya kidigitari
Picha za michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65
-Matani ya mwalmu
-Vifaa vya kidigitari
-Kielezo -Kujadili -kuchambua -kusoma shairi.
6 4
Kuandika
sarufi
Insha za kubuni . (methali)
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali
-Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali .
-Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi .
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi .
-Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali .
-Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa .
Je insha ya methali inahusu nini? Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-Kueleza -Kusoma kielelzo -Kuandika insha .
7 1
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kutathmini
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- aeleza maana ya kusikiliza kwa Kutathmini kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni.
- Kujadili vipengele vya kizinga katika kusikiliza kwa Kutathmini.
-kusikiliza kifungu atakachosomewa na mwalimu akizingatia vipengele muhimu kusikiliza kwa Kutathmini
-Achangamkie kusikiliza kwa Kutathmini habari yoyote ya kujichagulia mtandaoni amsomee mwenzake ili amtolee maoni
-kusakura mtandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya Kusikiliza kwa Kutathmini
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika Kusikiliza na Kutathmini.
-Kusikiliza kwa makini kifungu atakachosomewa na mwalimu ili kutoa vipengele vinavyostahili kwa matini hiyo.
-kusakura mtandaoni ili kutoa habari atakayosomea mwenzake ili amtolee maoni.
Je kusikiliza kwa kutathmini kunahitaji nini?
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa wa 74-76
Matini ya mwalimu
-kamusi
-kifaa cha kidijitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 74-76
-kutafiti -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -Kutathmini
7 2
kuandika
Insha za kubuni (maelezo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya insha ya Maelezo akizingatia lugha inayoathiri hisia mbalimbali.
- Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika insha ya maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zilizotumika katika maelezo.
- Achangamkie kuandika insha ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia mbalimbali
-kueleza maana ya insha ya Maelezo kwa kutafiti katika mtandao au vitabuni.
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zinazojitokeza katika kuandika insha ya kubuni ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia katika suala lengwa na mitambuko mbalimbalihb
Je insha za kubuni za maelezo huzingatia hisia gani unapoandika?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 77-78
-matini ya mwalimu
-vifaa va kidijitali
-picha michor
-kamusi
-kutafiti -kueleza -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -kuandika
7 3
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Vielezi vya mahali na vya idadi a, vielezi vya mahali
vielezi vya idadi
Uzungumzaji wa kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- keleza maana ya vielezi vya mahali
- Kutaja Mifano ya vielezi vya mahali
- kutambua vielezi vya mahali katika matini mbalimbali.
- Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo kwa kupigia mstari na kutungia sentensi.
-kueleza maana ya vieleza vya mahali kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-Kutaja vielezi vya mahali katika matini mbalimbali
-kutambua vielezi vya mahali kwa kuvipigia mstari
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo katika Kutunga sentensi na kunakili kifungu kifupi
Je vielezi vya mahali hutumika vipi katika mawasiliano?
Access kisw sahili gredi a 9 uk wa 79-80
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 81-82
-kadi maneno
-kapu maneno
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 83-84
-vifaa vya kidigitali
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kutunga sentensi -Kutathmini
7 4
Kusoma
Kusoma kwa kina Ushairi a, mandhari
Kusoma kwa kina b, muundo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndodo,
- kueleza maana ya mandhari katika fasihi andishi
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi
- kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi
- kuchangamkia kusoma shairi na kujibu maswali yake huku akitambua mandhari ya shairi hilo.
-kueleza maana ya mandhari kwa kusakira mitandaoni au vitabuni.
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi andishi
-kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi andishi
-kuchangamkia na kufurahia kusoma shairi na kujibu maswali yake akitambua mandhari katika suala lengwa
Je, utatambua aje mandhari katika ushairi?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 84-86
-matini ya mwalimu
-picha
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
Access kisw sahili gredi la 9 uk 87-88
-michoro
-vifaa vya kidigitali
-kueleza -Kutaja -Kujadili -kusoma shairi
8 1
kuandika
Viakifishi mabano na kistari kifupi a, matumizi ya mabano
Viakifishi Matumizi ya kistari kifupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanafunzi awezw
- kueleza maana ya mabano
-kujadili matumizi ya mabano
-kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu
-kuchangamkia kuandika kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia mabano ipasavyo
-kusakura na kutafuta ili kujua maana ya mabano
-kujadili matumizi ya mabano katika matini mbalimbali
-kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu vifupi
-kuchangamkia kuandika kifungu kuhusu suala lengwa akituma mabano ipasavyo
Je mabano ( ) hutumika vipi katika mawasiliani?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 88-89
-matini ya mwalini
-vifaa vya kidigitali
-chati
Acess kisw sahili gredi ya 9 uk 89-90
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kutafiti -kueleza -kutambua -kuandika -maswali na majibu
8 2
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi a, ngeli ya u-zi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ya-ya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma mifano ya sentensi katika ngeli ya u-zi
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-zi katika sentensi
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi na kuandika vitabuni
- kuchangamkia kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
-kusoma mifano ya sentensi katika ngeli a u-zi
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi vya ngeli ya u-zi katika sentensi.
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi, umoja na wingi na kuviandika vitabuni
-afurahie kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
Je nomino katika ngeli ya u-zi ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 91-92
-matini ya mwalimu
-kadi maneno
-michoro
-picha
-vifaa vya kidijitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 93-94
-kifaa cha kidigitali
-kamusi
-kusoma -kueleza -Kutaja -Kutunga sentensi -kujaza pendo
8 3
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kina Sauti j na nj
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha kishawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
-kutamka sauti j nan j ipasavyo ili kuzibainisha
- kutambua kwa kupigia mstari sauti j nan j ili kizitofautisha
- kusoma vitanzandimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j na nj
-achangamkie kutunga vitanza ndimi akitumia nomino katika sauti j nan j kuvisomea wengine ili kuwatolea maoni
-kutamka sauti j na nj ipasavyo ili kuzibainisha
-kutambua kwa kupiga mstari sauti j na nj katika sentensi na kifungu
-kusoma vitanza ndimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j nan j
-kufurahia kutunga vitanza ndimi akitumia jozi ya maneno katika sauti ya j nan j kama vile: kuja-kunja
Ajali-anjali
Waja-wanja
Amsomee mwenzake ili kumtolea maoni
Sauti j nan j hutofautiana vipi katika matamshi?
Access kisw gredi ya 9 uk wa 96
-matini ya mwalimu
-kamusi
-picha
Access kisw sahili grade ya 9 uk wa 97-98
-vifaa vya kidijitali
-kutamka -kutambua -kusoma -Kutunga vitanzandimi
8 4
kuandika
sarufi
Insha za kubuni (Masimulizi)
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (li)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu
- kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya.
- kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini
-kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya
-kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa
-kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu
-kielelezo cha insha
-kamusi
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 102-103
-chati
-mabango
-kusoma -kuandaa vidokezo -kutambua vipengele -kuandika
9

End term

10 1
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ku)
Ngeli ya pa-ku-mu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma na kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi ulivyo kolezwa rangi katika ngeli ya (ku)
- atambue kwa kutafiti na kusakira mitandaoni nomino katika ngeli ya (ku)
- kutambua kwa kupigia mstari vitenzi jina katika ngeli ya (ku)
- kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino au vitenzi jina katika ngeli ya (ku)
-kusoma na kutambua viambishi vya ngeli ya ku katika umoja na wingi
-kutambua kwa kusakira mtandaoni na vitabuni nomino katika ngeli ya ku
-kupigia mstari nomno katika nya ku ili kuzibainisha na zingine
-kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino katika ngeli ya ku ipasavyo
Je, nomino katika ngeli ya ku ni zipi?
Access kisw sahili grdi ya 9 uk wa 104-105
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-chati
-mabango
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa106-107
Mabango
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
-kusoma -kutambua -Kutaja -Kutunga sentensi -Kutathmini

Your Name Comes Here


Download

Feedback