If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 |
OPENER ASSESSMENT |
||||||||
| 2 | 1 |
Usafi wa mazingira
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusikiliza na kujibu .
mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo : -Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala -Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala -Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali -Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala |
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari -Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala -Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake . -Ashiriki mjadala darasani na wenzake. |
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
|
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi Chati kudi mane matini ya mwalimu |
-Kitambua
-Kuuliza na kujibu maswali .
-Orodha hakiki
-Kueleza
-Kushiriki mjadala .
|
|
| 2 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Kusikiliza na kujibu .
mjadala
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo katia kushiriki mjadala. -Achangamkie kushiriki katika mjadala ya miktadha mbalimbali. |
-kuteua mada au swala lengwa la kufanyiwa mjadala
-kushiriki mjadala kuhusu swala lengwa akizingatia vipengele |
Je unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala ?
|
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6. -Picha -Michoro vifaa vya kidijitali . |
-Kushiriki mjadala .
-Matamshi bora ya maneno
|
|
| 2 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha simulizi .
Viakifishi Alama ya koloni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi -kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu -Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi. |
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi. -Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma -Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha -Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi. |
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
|
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati -Kamusi -Matin ya mwalimu . -Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 . -Matini ya mwalimu -Kifaa cha kiditali |
-Kutambua
-Kutunga sentensi .
-Wanafunzi kufanyia na tathmini .
|
|
| 2 | 4 |
Kuandika
Sarufi |
Viakifishai
Semi koloni
Vihsishi Vihusishi vya mahali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua alama ya semi koloni ilivyo tumika katika matini . -Kutumia alama ya semi koloni katika matani -Kufurahia matumizi yafaayo katika matini -Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matani mbali mbali?. |
-kutambua alama ya semi koloni katika sentensi au matini andishi.
-kueleza matumizi ya semi koloni katika matini. -Atunge sentensi au kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama ya semi koloni ipasavyo? |
Je alama ya semi - kolonihutumiwa vipi katika maandishi?
|
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Matini ya mwalimu -Kadi -Maneno . -Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 . -Kadi maneno |
-Orodha hakiki
-Kutunga sentensi
|
|
| 3 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Vihsishi
Vihusishi vya wakati
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb - |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani -Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini. |
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati -kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati -Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika. |
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango -Vifaa vya kidigitali . -kamusi -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 . -Mti maneno -Matini ya mwalimu Na mwanafunzi -Kifaa cha kidijitari |
-kujaza pengo
-maswali na majibu
-Kutunga sentesnsi
|
|
| 3 | 2 |
kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa mapona
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuteuana kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma -kutambua msamiati ulotumika katika matani ya kujichagulia -Kujenga mazoea ya kujisomea matani mbali mbali aliyojichagulia |
- kuteua matini kuhusu suala linalo mvutia kisha some matani aliyojichagulia .
-kutambua msamiati muhimu atika matani aliyoteua -Kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma kwa ufupi. -Kutambua na kuorodhesha msamiati uliotumika katika matani aliyojichagulia . |
Je unazingatia nini unapojichagulia matini ya kusoma?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia. -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 . -Matini ya mwalimu . -Michoro -chati |
-kusoma
-kutambua msamiati
-kuorodhesha msamiti na maana yake.
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
sarufi sarufi |
Insha za kiuamilifu
Barua ya kirafiki
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu Vihusishi vya sababu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa -Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku. |
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni. |
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
|
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali . -Matini ya mwalimu. -Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 . -Vifaa vya kidigitali . -Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22. -Vifaa vya kidijitali -Kapu na kadi amneno -Matini ya mwalimu |
-Kuandika barua
-Kusomeana
-Kufanya tathmini .
|
|
| 3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Semi
Tashbihi sitiari na methali
Tashbihi .
Semi . (sitiari na methali ) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleze maana ya tashbihi -Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi . -Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi -Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi . |
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi -Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi. -Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi. |
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
|
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu Kapu la tashbihi chati Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 . |
-Kusoma
-Kutambua
-Kujadili
-Kielezo maana
-Kuchangamkia mazoezi .
|
|
| 4 | 1 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina .
Sifa za ushairi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine -Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi -kueleza sifa za ushairi katika shairi -Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi. |
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi -Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi |
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini?
Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
|
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu -Kifaa cha kidigitari -mashairi -diwani teule -Vifaa vya kidigitari -Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32 |
-kutambua
-Kujadiliana na kutafiti
-maswali na majibu
-shairi
|
|
| 4 | 2 |
Kuandika
|
Insha za kubuni .
Masimulizi .
Insha za kubuni masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi -Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho . -Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika -Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo. |
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi . -Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho -Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika. -Atoe amelezo yake darasani. |
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
|
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali Matini ya mwalimu Kielelzo cha insha. -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33 -Matini ya mwalimu . -Vifaa vya kidigitari |
-kusoma
-kuchambua
-Kijadilana
-Kuulizana na kujibu maswali.
|
|
| 4 | 3 |
Sarufi
|
Vuhusishi .
Vihusishi vilinganishi
Vihusishi . Kihusishi na . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vilinganishi katika matini . -Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini . -Kuchangamkia kutumia vihusishi vilinganishi katika mawasiliano ya kila siku . |
-kufafanua maan aya vihusishi vilinganishi .
-Kuchopoa vihusishi vilinganishi katika chati au tarakilishi . -Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu akizingatia masuala mtambuko . |
Je vihusishi vilinganishi ni nini?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati -Vifaa vya kiditajitari -Matii ya mwalimu . -Vifaa vya kidigitari -Matini ya mwalimu . |
-Kitambua
-Kuulizana na kujibu maswali
-Kutunga sentensi
|
|
| 4 | 4 |
Kuskiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufasaha |
Semi .
vitendawili
Semi . Nahali . Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua . -Kutambua vitendawili ktika matini . -Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi . -Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi . |
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi . -Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili . -Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili . -Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili . |
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi?
Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu. -Chati -Michoro -Kifaa cha kidigitali . -Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40. -Matini ya mwalimu -Picha -Vifaa vya kidijari. kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43 -Vitabu -Matini ya mwalimu . |
-kueleza
-Kitendawili
-kufafanua
-Kuwasilisha vitendawili
-Kutenga na kutengua.
|
|
| 5 | 1 |
Kusoma kwa ufasaha
Kuandika |
Kusoma kwa ufasaha
Insha za kubuni masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo . -Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano . |
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha . |
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
|
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu? -Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45. -Matini ya mwalimu -Picha -Kifaa cha kidijitari. |
-kusoma
-Kufanyiana tathmini.
|
|
| 5 | 2 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za kubuni
masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari -Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano . |
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari . |
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu. -Michoro -vitabu 1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48 -Matini ya mwalimu . -Picha -michoro |
-kuandika tathmini
-Orodha hakiki
-Kusomea wengine.
|
|
| 5 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Nyakati na hali .
Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Ufahamu wa kuskiliza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini . -Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini . -Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano . |
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi . |
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu -Vifaa vya kidigitali -Picha michoro -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 . -Picha -michoro |
-kueleza Mifano
-mazoezi
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 5 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake . -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza . |
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza . |
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
|
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52 -Matini ya mwalimu na mwanafunzi . -vifaa vya kidigitali -Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54 -Matini ya mwalimu -Picha |
-Kusoma
-Kusikiliza
-Kuuliza maswali .
-Kujibu maswali
|
|
| 6 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa ufahamu .
Insha za kiuamilifu . Shajara . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu . -Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu . -Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu . |
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini . -Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana . |
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati -Matini ya mwalimu -Picha -michoro -kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57. -Kielelewzo cha shajara -Matani ya mwalimu |
-kusoma
-Kudondoa msamiati
-Kutunga sentensi
|
|
| 6 | 2 |
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Hali yza masharti .
-nge-
Hali ya masharti . -ngali) Kusikiliza na kufasiri . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maan ya hali ya masharti . -Kutambua matumizi ya hali ya masharti nge katika matini -Kutumia hali ya masharti nge ipasavyo katika matini . -Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti nge ili kukuza ufasaha wa lugha . |
-Kutafiti maana halisi ya hali ya masharti nge .
-Atambue na kueleza hali halisi ya hali ya masharti nge . katika sentensi na vifungu . -Achanganue sentensi zinashoashiria matumizi ya hali ya masharti nge kutokana na mchnganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu . -Atunge sentensi kuonyesha matumizi ya nge akizingatia mtaambuko mbali mbali . |
Je hali ya masharti ya nge hutumika vipi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Matani ya mwalimu -Chati -Picha -Michoro -Vifaa vya kidigitali -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60 -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62 -Matani ya mwanafunzi |
-Mifano
-Maelezo
-Kutunga sentensi
-Orodha hakiki
-kutambua
|
|
| 6 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina .
Ushairi .
(Maudhui) .
Kusoma kwa kina . (dhamira) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
Je maudhui ni nini katika kazi ya fasihi?
|
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu Vifaa vya kidigitari Picha za michoro -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65 -Matani ya mwalmu -Vifaa vya kidigitari |
-Kielezo
-Kujadili
-kuchambua
-kusoma shairi.
|
|
| 6 | 4 |
Kuandika
sarufi |
Insha za kubuni .
(methali)
Vielezi vya namna |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali -Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali -Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali . -Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi . |
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi . -Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali . -Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa . |
Je insha ya methali inahusu nini?
Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu Kiswahili ukurasa wa 68-69 Matini ya mwalmu Picha . Michoro . Kadi maneno |
-Kueleza
-Kusoma kielelzo
-Kuandika insha .
|
|
| 7 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma |
Kusikiliza kwa kutathmini
Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- aeleza maana ya kusikiliza kwa Kutathmini kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni. - Kujadili vipengele vya kizinga katika kusikiliza kwa Kutathmini. -kusikiliza kifungu atakachosomewa na mwalimu akizingatia vipengele muhimu kusikiliza kwa Kutathmini -Achangamkie kusikiliza kwa Kutathmini habari yoyote ya kujichagulia mtandaoni amsomee mwenzake ili amtolee maoni |
-kusakura mtandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya Kusikiliza kwa Kutathmini
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika Kusikiliza na Kutathmini. -Kusikiliza kwa makini kifungu atakachosomewa na mwalimu ili kutoa vipengele vinavyostahili kwa matini hiyo. -kusakura mtandaoni ili kutoa habari atakayosomea mwenzake ili amtolee maoni. |
Je kusikiliza kwa kutathmini kunahitaji nini?
|
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa wa 74-76
Matini ya mwalimu -kamusi -kifaa cha kidijitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 74-76 |
-kutafiti
-Kujadili
-kusoma
-kujibu maswali
-Kutathmini
|
|
| 7 | 2 |
kuandika
|
Insha za kubuni
(maelezo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya insha ya Maelezo akizingatia lugha inayoathiri hisia mbalimbali. - Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika insha ya maelezo. -kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zilizotumika katika maelezo. - Achangamkie kuandika insha ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia mbalimbali |
-kueleza maana ya insha ya Maelezo kwa kutafiti katika mtandao au vitabuni.
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika maelezo. -kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zinazojitokeza katika kuandika insha ya kubuni ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia katika suala lengwa na mitambuko mbalimbalihb |
Je insha za kubuni za maelezo huzingatia hisia gani unapoandika?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 77-78
-matini ya mwalimu -vifaa va kidijitali -picha michor -kamusi |
-kutafiti
-kueleza
-Kujadili
-kusoma
-kujibu maswali
-kuandika
|
|
| 7 | 3 |
sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Vielezi vya mahali na vya idadi
a, vielezi vya mahali
vielezi vya idadi Uzungumzaji wa kushawishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- keleza maana ya vielezi vya mahali - Kutaja Mifano ya vielezi vya mahali - kutambua vielezi vya mahali katika matini mbalimbali. - Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo kwa kupigia mstari na kutungia sentensi. |
-kueleza maana ya vieleza vya mahali kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-Kutaja vielezi vya mahali katika matini mbalimbali -kutambua vielezi vya mahali kwa kuvipigia mstari -Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo katika Kutunga sentensi na kunakili kifungu kifupi |
Je vielezi vya mahali hutumika vipi katika mawasiliano?
|
Access kisw sahili gredi a 9 uk wa 79-80
-matini ya mwalimu -picha -michoro -vifaa vya kidijitali -kamusi Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 81-82 -kadi maneno -kapu maneno Access kisw sahili gredi ya 9 uk 83-84 -vifaa vya kidigitali |
-kueleza
-Kutaja
-Kujadili
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 7 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina
Ushairi
a, mandhari
Kusoma kwa kina b, muundo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndodo, - kueleza maana ya mandhari katika fasihi andishi -kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi - kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi - kuchangamkia kusoma shairi na kujibu maswali yake huku akitambua mandhari ya shairi hilo. |
-kueleza maana ya mandhari kwa kusakira mitandaoni au vitabuni.
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi andishi -kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi andishi -kuchangamkia na kufurahia kusoma shairi na kujibu maswali yake akitambua mandhari katika suala lengwa |
Je, utatambua aje mandhari katika ushairi?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 84-86
-matini ya mwalimu -picha -vifaa vya kidijitali -kamusi Access kisw sahili gredi la 9 uk 87-88 -michoro -vifaa vya kidigitali |
-kueleza
-Kutaja
-Kujadili
-kusoma shairi
|
|
| 8 | 1 |
kuandika
|
Viakifishi mabano na kistari kifupi
a, matumizi ya mabano
Viakifishi Matumizi ya kistari kifupi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanafunzi awezw - kueleza maana ya mabano -kujadili matumizi ya mabano -kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu -kuchangamkia kuandika kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia mabano ipasavyo |
-kusakura na kutafuta ili kujua maana ya mabano
-kujadili matumizi ya mabano katika matini mbalimbali -kutambua matumizi ya mabano katika sentensi na vifungu vifupi -kuchangamkia kuandika kifungu kuhusu suala lengwa akituma mabano ipasavyo |
Je mabano ( ) hutumika vipi katika mawasiliani?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 88-89
-matini ya mwalini -vifaa vya kidigitali -chati Acess kisw sahili gredi ya 9 uk 89-90 -matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -kamusi |
-kutafiti
-kueleza
-kutambua
-kuandika
-maswali na majibu
|
|
| 8 | 2 |
sarufi
|
Ngeli na upatanisho wa kisarufi
a, ngeli ya u-zi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ya-ya) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma mifano ya sentensi katika ngeli ya u-zi - kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-zi katika sentensi -kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi na kuandika vitabuni - kuchangamkia kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa |
-kusoma mifano ya sentensi katika ngeli a u-zi
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi vya ngeli ya u-zi katika sentensi. -kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi, umoja na wingi na kuviandika vitabuni -afurahie kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa |
Je nomino katika ngeli ya u-zi ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 91-92
-matini ya mwalimu -kadi maneno -michoro -picha -vifaa vya kidijitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 93-94 -kifaa cha kidigitali -kamusi |
-kusoma
-kueleza
-Kutaja
-Kutunga sentensi
-kujaza pendo
|
|
| 8 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma |
Kusikiliza kwa kina
Sauti j na nj
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha kishawishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo -kutamka sauti j nan j ipasavyo ili kuzibainisha - kutambua kwa kupigia mstari sauti j nan j ili kizitofautisha - kusoma vitanzandimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j na nj -achangamkie kutunga vitanza ndimi akitumia nomino katika sauti j nan j kuvisomea wengine ili kuwatolea maoni |
-kutamka sauti j na nj ipasavyo ili kuzibainisha
-kutambua kwa kupiga mstari sauti j na nj katika sentensi na kifungu -kusoma vitanza ndimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j nan j -kufurahia kutunga vitanza ndimi akitumia jozi ya maneno katika sauti ya j nan j kama vile: kuja-kunja Ajali-anjali Waja-wanja Amsomee mwenzake ili kumtolea maoni |
Sauti j nan j hutofautiana vipi katika matamshi?
|
Access kisw gredi ya 9 uk wa 96
-matini ya mwalimu -kamusi -picha Access kisw sahili grade ya 9 uk wa 97-98 -vifaa vya kidijitali |
-kutamka
-kutambua
-kusoma
-Kutunga vitanzandimi
|
|
| 8 | 4 |
kuandika
sarufi |
Insha za kubuni
(Masimulizi)
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (li) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu - kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya. - kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini -kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa |
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya -kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa -kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa |
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu -kielelezo cha insha -kamusi Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 102-103 -chati -mabango |
-kusoma
-kuandaa vidokezo
-kutambua vipengele
-kuandika
|
|
| 9 |
End term |
||||||||
| 10 | 1 |
sarufi
|
Ngeli na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ya (ku)
Ngeli ya pa-ku-mu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma na kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi ulivyo kolezwa rangi katika ngeli ya (ku) - atambue kwa kutafiti na kusakira mitandaoni nomino katika ngeli ya (ku) - kutambua kwa kupigia mstari vitenzi jina katika ngeli ya (ku) - kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino au vitenzi jina katika ngeli ya (ku) |
-kusoma na kutambua viambishi vya ngeli ya ku katika umoja na wingi
-kutambua kwa kusakira mtandaoni na vitabuni nomino katika ngeli ya ku -kupigia mstari nomno katika nya ku ili kuzibainisha na zingine -kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino katika ngeli ya ku ipasavyo |
Je, nomino katika ngeli ya ku ni zipi?
|
Access kisw sahili grdi ya 9 uk wa 104-105
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -chati -mabango Kisw sahili gredi ya 9 uk wa106-107 Mabango -kamusi -vifaa vya kidigitali |
-kusoma
-kutambua
-Kutaja
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
Your Name Comes Here