Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
USALAMA NYUMBANI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-
-Kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza.
-Kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku.
-Kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini.
-Kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza masuala yanayozungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali.
-Kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu au mgeni mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku.
-Kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini.
-Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbalimbali kuhusu suala lengwa.
Ni ujumbe gani uliowahi kuusikiliza katika matini ambao unafanana na matukio halisi katika jamii yako?
Oxford Fasaha Kiswahili pg 139
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
-Mwongozo wa mwalimu
-Kamusi
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Kujitathimini
2 2
Kusoma
Kusoma kwa Kina: Tamthilia - Dhamira
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-
-Kueleza maana ya dhamira katika fasihi ili kuipambanua.
-Kutambua dhamira katika tamthilia.
-Kujadili dhamira katika tamthilia aliyosoma.
-Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kielelezo cha tamthilia.
-Kujadili kielelezo hicho cha tamthilia kinahusu nini.
-Kubainisha lengo la mwandishi wa kielelezo hicho cha tamthilia.
-Kueleza maana ya dhamira katika fasihi.
-Kutambua dhamira katika kielelezo cha tamthilia.
-Kujadili dhamira hizo.
-Kuandaa maelezo mafupi kuhusu dhamira za tamthilia.
-Kuwasilisha maelezo hayo darasani ili wenzake wayatolee maoni.
Je, unafikiri mwandishi alikuwa na lengo gani katika tamthilia ambazo umewahi kuzisoma?
Oxford Fasaha Kiswahili pg 143
-Tamthilia
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Kujitathimini
2 3
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: Tamthilia - Maudhui
Insha za Kubuni: Insha ya mdokezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-
-Kueleza maana ya maudhui katika fasihi ili kuyapambanua.
-Kutambua maudhui katika tamthilia.
-Kujadili maudhui katika tamthilia aliyosoma.
-Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutazama picha zinazohusiana na usalama nyumbani.
-Kujadili picha hizo zinahusu nini.
-Kusoma tena kielelezo cha tamthilia kilichosomwa awali.
-Kueleza masuala makuu yanayoangaziwa katika kielelezo hicho cha tamthilia.
-Kueleza maana ya maudhui.
-Kutambua maudhui katika tamthilia iliyosomwa.
-Kujadili maudhui yanayojitokeza katika tamthilia.
-Kuandika maelezo mafupi kuhusu maudhui hayo.
-Kuwasilisha maelezo hayo darasani ili wenzake wayatolee maoni.
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
Oxford Fasaha Kiswahili pg 146
-Tamthilia
-Picha
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
Oxford Fasaha Kiswahili pg 150
-Kielelezo cha insha
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Kujitathimini
2 4
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Insha ya mdokezo
Vivumishi vya Sifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-
-Kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambanua.
-Kubainisha aina za insha ya mdokezo.
-Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo.
-Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika.
-Kufurahia kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma insha ya mdokezo iliyoandikwa "Siku ya mvua".
-Kutambua vipengele vya insha ya mdokezo vinavyojitokeza katika insha aliyosoma.
-Kusakura mtandaoni na kusoma vielelezo vya insha za mdokezo.
-Kujadili midokezo ya insha mbalimbali.
-Kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia anwani inayooana na kisa, kisa kinachooana na mdokezo, lugha inayofaa, na muundo wa insha.
-Kuwasomea wenzake insha ya mdokezo aliyoandika ili waitolee maoni.
-Kusahihisha insha yake kulingana na maoni ya wenzake.
Insha ya mdokezo ni insha ya aina gani?
Oxford Fasaha Kiswahili pg 150
-Kielelezo cha insha
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
Oxford Fasaha Kiswahili pg 157
-Picha
-Chati ya maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Kujitathimini -Tathmini rika
3 1
Sarufi
Vivumishi Viashiria
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-
-Kutambua vivumishi viashiria katika matini.
-Kutumia vivumishi viashiria ipasavyo katika matini.
-Kuchangamkia matumizi ya vivumishi viashiria katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutazama picha mbalimbali na kujadili umbali wa vitu kutoka kwa mhusika.
-Kutaja kauli ambazo wanafikiri kila mhusika anatamka.
-Kueleza maana ya vivumishi viashiria.
-Kucheza mchezo wa kutaja vivumishi viashiria vya karibu, mbali kidogo na mbali sana.
-Kutambua vivumishi viashiria kutoka kwenye chati ya maneno.
-Kupigia mstari vivumishi viashiria katika sentensi.
-Kutunga sentensi akitumia vivumishi viashiria.
-Kuandika aya fupi kuhusu usalama nyumbani akitumia vivumishi viashiria.
Unafikiria vivumishi viashiria ni vivumishi vya aina gani?
Oxford Fasaha Kiswahili pg 161
-Picha
-Chati ya maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Kujitathimini
3 2
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUM

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Usikilizaji Husishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha,
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi,
-kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi,
-kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine.
- Kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na wenzake.
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi.
-Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa.
-Kumsikiliza mwenzake, mwalimu au mgeni mwalikwa akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu suala lengwa na kufasiri hisia zake.
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 50
-Kifaa cha kidijitali
-Kanda za sauti/video
-Mgeni mwalikwa
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 51
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Mijadala
3 3
Kusoma
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua,
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu,
-kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho,
-kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi.
- Kueleza maana ya ufupisho akishirikiana na wenzake.
-Kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu akiwa na wenzake.
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akishirikiana na wenzake.
-Kutambua kwenye matini andishi au ya kidijitali habari za kimsingi katika makala na kuzieleza kwa usahihi kwa kuzingatia mtazamo wa matini katika matini ya kufupishwa.
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 52
-Vifaa vya kidijitali
-Kifungu cha ufahamu
- Kujibu maswali -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini
3 4
Kusoma
Kuandika
Ufupisho
Insha za Kubuni: Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua,
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu,
-kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho,
-kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi.
- Kueleza kwa maneno yake habari muhimu katika kifungu alichosoma.
-Kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishirikiana na wenzake.
-Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni.
-Kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini.
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 53
-Vifaa vya kidijitali
-Kifungu cha ufahamu
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 54
-Kielelezo cha insha ya maelezo
- Potifolio -Shajara -Wanafunzi kufanyiana tathmini
4 1
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Maelezo
Vivumishi Vimilikishi na vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo,
-kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo,
-kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri,
-kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri.
- Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo.
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni.
-Kushiriki na wenzake kutambua tamathali za lugha zilizotumika katika kila insha.
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 55-56
-Kielelezo cha insha ya maelezo
-Vifaa vya kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 57
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
- Kuandika tungo mbalimbali -Potifolio -Shajara
4 2
Sarufi
Vivumishi Vimilikishi na vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua vivumishi vimilikishi na vya idadi katika matini,
-kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo katika matini,
-kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mawasiliano.
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo.
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kuhudumia wenye mahitaji maalum.
-Kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya nyumbani.
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 58-59
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Vifaa vya kidijitali
- Kutunga sentensi -Kazi mradi -Kujaza mapengo
4 3
UHALIFU WA MTANDAONI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua,
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo,
-kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji,
-kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano.
- Kutambua maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo.
-Kutazama picha na kubainisha uzungumzaji wa papo kwa hapo.
-Kujadili vipengele vinavyozingatiwa katika uzungumzaji wa papo kwa hapo.
-Kusikiliza rekodi ya mazungumzo kwenye kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya uzungumzaji wa papo kwa hapo vilivyotumika.
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 135-137
-Picha
-Kifaa cha kidijitali
-Rekodi ya uzungumzaji
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 137-138
-Vielelezo vya uzungumzaji wa papo kwa hapo
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Mijadala -Maigizo -Mazungumzo
4 4
Kusoma
Kusoma kwa Kina: Mandhari na Ploti katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia,
-kujadili umuhimu wa mandhari katika tamthilia,
-kuchangamkia nafasi ya mandhari katika tamthilia.
- Kueleza maana ya mandhari.
-Kutazama picha na kutambua mandhari zinazoonekana.
-Kusoma kielelezo cha tamthilia na kubainisha mandhari yaliyotumika.
-Kujadili umuhimu wa mandhari katika kielelezo cha tamthilia walichosoma.
-Kutambua na kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari ya kielelezo cha tamthilia.
Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 139-144
-Picha za mandhari mbalimbali
-Kielelezo cha tamthilia
-Tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
- Kujibu maswali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Mijadala
5 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: Mandhari na Ploti katika Tamthilia
Viakifishi: Alama za Mtajo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua ploti ya tamthilia aliyosoma,
-kujadili umuhimu wa ploti katika tamthilia,
-kuchangamkia nafasi ya ploti katika tamthilia.
- Kutazama picha na kueleza matukio yanayojitokeza.
-Kueleza maana ya ploti.
-Kusoma tamthilia na kutambua ploti yake.
-Kuandaa muhtasari kuhusu ploti ya tamthilia.
-Kujadili umuhimu wa ploti katika tamthilia aliyosoma.
-Kuwasilisha darasani uchambuzi wake kuhusu ploti ili wengine wautolee maoni.
Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 144-147
-Picha mbalimbali
-Tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 147-149
-Kadi maneno
-Chati
-Vifungu vya habari vyenye alama za mtajo
- Mijadala -Utafiti -Kujibu maswali -Potifolio
5 2
Kuandika
Sarufi
Viakifishi: Mshazari
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya I-ZI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua matumizi ya alama ya mshazari katika matini,
-kutumia alama ya mshazari ipasavyo katika matini,
-kuonea fahari matumizi yafaayo ya alama ya mshazari katika matini.
- Kusoma kifungu cha habari na kutambua alama za uakifishaji zilizotumika.
-Kutambua alama ya mshazari na kueleza jinsi ilivyotumiwa.
-Kutaja matumizi tofauti ya alama ya mshazari.
-Kutunga sentensi akitumia alama ya mshazari kwa kuzingatia matumizi tofauti.
-Kusahihisha kifungu kilichotolewa kwa kuweka alama ya mshazari panapostahili.
Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 150-153
-Kadi maneno
-Chati
-Vifungu vya habari vyenye alama ya mshazari
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 153-157
-Picha
-Orodha ya nomino
-Kifaa cha kidijitali
- Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Kuandika kifungu kwa kuzingatia matumizi ya alama ya mshazari
5 3
Sarufi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya I-I
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika sentensi,
-kutambua nomino za ngeli ya I-I katika matini,
-kutumia nomino za ngeli I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi,
-kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano.
- Kutaja majina ya vitu vilivyo kwenye picha na majina hayo ni ya ngeli gani.
-Kujadili sababu za majina hayo kuwa katika ngeli husika.
-Kusoma maelezo kuhusu ngeli ya I-I.
-Kutambua nomino za ngeli ya I-I katika orodha ya nomino.
-Kupigia mstari nomino za ngeli ya I-I katika sentensi mbalimbali.
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika mafungu ya maneno.
-Kutunga sentensi akitumia nomino za ngeli ya I-I.
Je, ni majina yapi unayoyajua ya ngeli ya I-I?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 158-162
-Picha
-Chati
-Orodha ya nomino
-Kifaa cha kidijitali
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
5 4
MAJUKUMU YA MNUNUZI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /k/ na /gh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua sauti /k/ na /gh/ katika silabi na maneno,
-kutamka sauti /k/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno,
-kutumia maneno yenye sauti /k/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi,
-kuchangamkia matamshi bora ya sauti /k/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida.
- Kutambua sauti /k/ na /gh/ katika silabi na maneno.
-Kusikiliza mwalimu akitamka silabi zenye sauti /k/ na /gh/.
-Kutamka silabi hizo na kutambua sauti /k/ na /gh/ zilizomo.
-Kusikiliza rekodi ya kifungu kikisomwa kwenye kifaa cha kidijitali.
-Kutambua maneno yenye sauti /k/ na /gh/ kutoka katika kifungu hicho.
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti /k/ na /gh/?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 125-126
-Rekodi ya maneno yenye sauti /k/ na /gh/
-Kadi za maneno
-Kifaa cha kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 126-128
-Vitanzandimi
-Jozi za maneno yenye sauti /k/ na /gh/
- Kumakinikia matamshi ya mwanafunzi -Kujibu maswali -Wanafunzi kufanyiana tathmini
6 1
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kuchangamkia usomaji wa ufahamu shawishi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
- Kutazama picha na kujadili inachokionekana.
-Kutoa utabiri kuhusu kifungu watakachosoma kulingana na picha.
-Kujadili jinsi ya kudondoa habari muhimu katika kifungu cha ufahamu.
-Kusoma kifungu cha "Mwanatende".
-Kudondoa habari mahususi kutoka kifunguni hicho.
Je, ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 128-131
-Picha
-Kifungu cha ufahamu "Mwanatende"
- Kujibu maswali -Mijadala -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini
6 2
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi,
-kuchangamkia usomaji wa ufahamu shawishi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
- Kueleza maana ya msamiati uliopo katika kifungu cha "Mwanatende".
-Kueleza maana ya vifungu vya maneno.
-Kujadili ni nani aliyeshawishiwa katika kifungu hicho.
-Kueleza matokeo ya ushawishi uliofanywa.
-Kusakura mtandaoni na kusoma kifungu chochote kinachoshawishi kununua bidhaa fulani.
Je, ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 131-133
-Kamusi
-Kifaa cha kidijitali
-Mtandao
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 133-135
-Insha ya masimulizi "Safari ya kesho hupangwa leo"
- Kujibu maswali -Mijadala -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini
6 3
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Masimulizi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika,
-kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya,
-kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu.
- Kutambua jinsi wazo "safari ya kesho hupangwa leo" lilivyokuzwa katika kila aya.
-Kuchagua mada ya kuandikia insha ya masimulizi.
-Kujadili vidokezo vya mada hiyo na kuandika vidokezo.
-Kuandika insha ya masimulizi isiyopungua maneno 300 akizingatia wazo moja kuu.
-Kumsomea mwenzake insha aliyoandika ili aitoe maoni.
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 135-138
-Vidokezo vya insha
-Kifaa cha kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 138-142
-Chati
-Jedwali la nomino za ngeli ya U-U
-Orodha ya nomino
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
6 4
Sarufi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-YA katika sentensi,
-kutambua nomino za ngeli ya U-YA katika matini,
-kutumia nomino za ngeli U-YA katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi,
-kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-YA ipasavyo ili kuimarisha mawasiliano.
- Kutaja majina ya vitu vilivyo na majina yaliyo katika ngeli ya U-YA.
-Kubaini kwamba nomino za umoja katika ngeli ya U-YA huanza kwa u- ilhali nomino za wingi huanza kwa ma-.
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-YA.
-Kutambua nomino za ngeli ya U-YA kutoka kwenye orodha ya nomino.
-Kutunga sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-YA akizingatia upatanisho wa kisarufi.
-Kuandika kifungu kuhusu majukumu ya mnunuzi akitumia upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya U-YA.
Je, ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 142-144
-Chati
-Jedwali la nomino za ngeli ya U-YA
-Orodha ya nomino
-Kadi maneno
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
7 1
KUKABILIANA NA HISIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Hurafa na Hekaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha.
-Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
-Kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali.
-Kueleza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha akishirikiana na wenzake.
-Kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya.
-Kujadili na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya.
Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanyama gani?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 77
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Mgeni mwalikwa
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 78
-Vielelezo vya hurafa
-Vielelezo vya hekaya
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini rika -Maswali ya maandishi
7 2
Kusoma
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua wahusika katika tamthilia aliyosoma.
-Kujadili sifa za wahusika katika tamthilia.
-Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua wahusika katika tamthilia aliyoisoma.
-Kujadili na wenzake sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu.
-Kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake ili kukuza uelewa wa sifa zao.
-Kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu.
Ni mambo yapi yanayokuelekeza kuwaelewa wahusika katika tamthilia?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 80
-Vitabu vya tamthilia
-Chati
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Video
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Mijadala -Maswali ya maandishi
7 3
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Barua ya Kuomba Msaada
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kuchambua mafunzo yanayotokana na wahusika katika tamthilia.
-Kutumia ujuzi wake kutathmini wahusika katika tamthilia.
-Kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya ujifunzaji.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutazama video kuhusu wahusika katika tamthilia aliyosoma.
-Kuandaa muhtasari kuhusu sifa za wahusika katika video aliyotazama.
-Kujadili mafunzo yanayotokana na matendo ya wahusika akishirikiana na wenzake.
Je, ni mambo gani tunayoweza kujifunza kutokana na wahusika wa tamthilia?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 81
-Vitabu vya tamthilia
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Video
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 82
-Nakala ya barua ya kuomba msaada
-Chati
-Vielelezo vya barua
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Uwasilishaji -Tathmini rika
7 4
Kuandika
Sarufi
Barua ya Kuomba Msaada
Vinyume vya Vitenzi na Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe, muundo na lugha ifaayo.
-Kutumia vipengele vya barua rasmi katika uandishi.
-Kufurahia kujieleza ifaavyo kwa njia ya barua.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni.
-Kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kuwasambazia wenzake kupitia mtandao ili waitolee maoni.
Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unapoandika barua ya kuomba msaada?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 83
-Vifaa vya kidijitali
-Karatasi
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Vielelezo vya barua
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 84
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Chati
Tathmini rika -Uchunguzi -Kazi andishi -Uwasilishaji
8 1
Sarufi
Vinyume vya Vitenzi na Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua vinyume vya vielezi katika matini.
-Kutumia vinyume vya vielezi ipasavyo katika matini.
-Kuchangamkia kutumia vinyume vya vielezi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo.
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi akitumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la kukabiliana na hisia.
-Kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi.
Je, unajua vinyume gani vya vielezi?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 85
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Kamusi
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Zoezi la kuandika -Tathmini rika
8 2
HAKI ZA WATOTO

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja.
-Kutambua miktadha katika jamii ambapo kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja hufanywa.
-Kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja.
-Kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja.
-Kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitaji kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja.
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 86
-Chati
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Vielelezo vya vidokezo
-Vifaa vya kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 87
-Vidokezo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Mijadala -Tathmini rika
8 3
Kusoma
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kuteua matini ifaayo ya kujisomea.
-Kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia.
-Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuteua matini ifaayo ya kujisomea.
-Kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyoisoma.
-Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia (k.v. ya usalama barabarani (mfano; tabia hatarishi kwa watumiaji wengine wa barabara, kutoa maoni na kuripoti kuhusu tabia hatarishi) ya kisayansi, ya kisiasa, ya kihistoria, ya kifasihi,).
Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 88
-Vitabu mbalimbali
-Majarida
-Magazeti
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Mjadala -Muhtasari
8 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia.
-Kutumia ujuzi wake kuelezea maana ya msamiati.
-Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua.
-Kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu.
-Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma.
-Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome.
Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 89
-Kamusi
-Vitabu mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 91
-Vielelezo vya insha
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Muhtasari -Tathmini rika
9

LIKIZO FUPI

10 1
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kuandika insha ya maelezo ipasavyo kwa kuzingatia vipengele vyake.
-Kutumia aina mbalimbali za lugha katika uandishi wa insha.
-Kufurahia kuandika insha za maelezo katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo.
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni.
-Kushirikiana na wenzake kusahihisha insha walizoandika na kutoleana maoni kwa amani na upendo.
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 92
-Vifaa vya kidijitali
-Karatasi
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
-Vielelezo vya insha
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 93
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
-Chati
Uchunguzi -Tathmini rika -Kazi andishi -Uwasilishaji
10 2
Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua kauli ya kutendatenda katika vitenzi.
-Kutumia vitenzi katika kauli ya kutendatenda ipasavyo katika matini.
-Kuchangamkia kutumia vitenzi katika kauli ya kutendatenda ipasavyo ili kuimarisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda.
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo.
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi kuhusu suala lengwa kwa kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la haki za watoto.
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi?
Oxford Fasaha Kiswahili uk. 94
-Chati
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Kapu maneno
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya somo
-Mwongozo wa mwalimu
Uchunguzi -Zoezi la kuandika -Tathmini rika -Uwasilishaji
10 3
CITIZENSHIP

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza kwa Makini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza.
-Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuata mpangilio ufaao.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake.
-Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa.
-Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza.
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 95
-Vifaa vya kidijitali
-Kinasasauti
-Projekta
-Vidokezo vya kusikiliza
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 96
-Chati zenye msamiati wa magonjwa yasiyoambukizwa
Kujibu maswali -Kufupisha matini -Kudondoa hoja muhimu -Kutoa maana ya maneno
10 4
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha.
-Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora.
-Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha.
-Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala.
-Kusoma kifungu kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora.
-Kusoma kifungu kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa kwa kuzingatia kasi ifaayo.
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 97
-Vifaa vya kidijitali
-Projekta
-Video za mielelezo ya usomaji
Kusoma kwa sauti -Maigizo -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo
11 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Ufasaha
Insha za Kiuamilifu - Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo.
-Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo.
-Kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo.
-Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa.
-Kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni.
-Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora.
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 98
-Kifungu cha habari kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa
-Vifaa vya kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 99
-Vielelezo vya hotuba ya kutoa ufafanuzi
-Vitabu mbalimbali
Kusoma kwa sauti -Maigizo -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Kujibu maswali
11 2
Kuandika
Sarufi
Insha za Kiuamilifu - Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Aina za Sentensi - Sentensi changamano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake.
-Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao.
-Kuwasomea wenzake hotuba aliyoandika ili waitolee maoni.
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni.
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 100
-Mifano ya hotuba za kutoa ufafanuzi
-Vifaa vya kidijitali
-Chati zenye vidokezo vya muundo wa hotuba
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 101
-Orodha ya sentensi
-Kapu maneno
-Chati yenye sentensi mbalimbali
Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Uwasilishaji wa hotuba -Mjadala
11 3
Sarufi
Aina za Sentensi - Sentensi changamano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua sentensi changamano katika matini.
-Kutumia sentensi changamano ipasavyo katika matini.
-Kuonea fahari matumizi ya sentensi changamano katika mawasiliano ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuwawasilishia wenzake darasani sentensi changamano alizotunga ili wazitathmini.
-Kumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughuli katika mazingira ya nyumbani.
-Kutunga sentensi changamano kuhusu magonjwa yasiyoambukizwa na namna ya kujikinga.
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 102
-Vitabu mbalimbali
-Kadi maneno
-Mifano ya sentensi changamano
Kutunga sentensi -Kurekebisha sentensi -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Kuandika aya zenye sentensi changamano
11 4
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi - Wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua wahusika katika hadithi.
-Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi.
-Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa.
-Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa.
-Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali.
-Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza.
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 103
-Hadithi zenye wahusika mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
-Picha za wahusika
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 104
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotambua wahusika -Kujibu maswali -Mazungumzo -Mijadala
12 1
Kusoma
Kusoma kwa Kina - Mbinu za Lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
-Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu.
-Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni.
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 105
-Tamthilia teule
-Vitabu mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
Kutambua mbinu za lugha -Kujibu maswali -Kuchanganua mbinu za lugha -Mijadala
12 2
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina - Mbinu za Lugha
Insha za Kubuni - Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
-Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kufanya utafiti maktabani au mtandaoni kuhusu matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia aliyosoma.
-Kutambua na kuchambua mbinu za lugha katika tamthilia ya kuchaguliwa.
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 106
-Tamthilia teule
-Vitabu mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 107
-Vielelezo vya insha za maelezo
-Kamusi
Kutambua mbinu za lugha -Kujibu maswali -Kuchanganua mbinu za lugha -Mijadala
12 3
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni - Insha ya maelezo
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali - Hali ya mazoea na Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali.
-Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa.
-Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha kuheshimu tamaduni za wengine.
-Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni.
-Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandika ili aitolee maoni.
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 108
-Vielelezo vya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 109
-Chati zenye mifano ya sentensi
-Kapu maneno
Kuandika insha ya maelezo -Mijadala -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Kuwasilisha kazi
12 4
Sarufi
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali - Hali ya mazoea na Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini.
-Kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu.
-Kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kukanusha sentensi au vifungu alivyotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni.
-Kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu.
-Kutunga sentensi zenye ukanushaji kuhusu kuheshimu tamaduni za wengine.
1. Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini? -2. Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
Oxford Fasaha Kiswahili, uk. 110
-Chati zenye mifano ya sentensi
-Kapu maneno
-Vifaa vya kidijitali
Kukanusha sentensi -Kutunga sentensi -Mijadala -Wanafunzi kufanyiana tathmini

Your Name Comes Here


Download

Feedback