If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1 |
USAFI WA SEHEMU ZA UMMA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano - kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo - kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali |
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa - Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali - Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano |
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
1 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma |
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano - kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo - kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali |
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa - Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali - Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano |
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3 -Vifungu vya simulizi -Kamusi |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
1 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi - kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi - kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi - kueleza maana ya msamiati katika kifungu cha simulizi -e) kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kudondoa habari mahususi (k.v. nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi - Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi - Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma - Kutambua msamiati (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na kuueleza kwa kutumia kamusi - Kusoma vifungu vya simulizi mtandaoni au kwenye vitabu kuhusu suala lengwa - Kutambua na kueleza maana ya msamiati wa usafi wa sehemu za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulizi alivyosoma mtandaoni - Kumsomea mzazi au mlezi sentensi kuhusu usafi wa sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma |
1. Je, tunapataje habari mahususi katika kifungu cha simulizi?
-2. Je, ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi -Kamusi -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6 -Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa -Tarakilishi/vifaa vya kidijitali |
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
|
|
1 | 4 |
Sarufi
|
Viwakilishi:
- Viwakilishi vya Nafsi
- Viwakilishi Vionyeshi
- Viwakilishi vya Idadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika matini - kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini - kuchangamkia matumizi yafaayo ya viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ili kufanikisha mawasiliano |
Kuchopoa viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi - Kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino - Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo - Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usafi wa sehemu za umma - Kumsomea mzazi au mlezi wake sentensi au vifungu alivyotunga ili amtolee maoni |
Viwakilishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 8
-Chati -Kapu maneno -Mti maneno -Tarakilishi |
Kutambua kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
|
|
2 | 1 |
MATUMIZI YAFAAYO YA DAWA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza kwa Kina:
-Sauti /g/ na /gh/
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno - kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno - kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi - kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi
- Kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo - Kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo - Kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini - Kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ |
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vifaa vya kidijitali -Maneno yenye sauti /g/ na /gh/ -Vitabu mbalimbali -Kamusi |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Kutambua kwenye orodha
|
|
2 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Mapana:
-Matini ya kujichagulia
Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza ujumbe wa matini aliyosoma - kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia - kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma - kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ili kupanua mawanda ya fikra |
Kuteua matini kuhusu suala linalomvutia
- Kusoma matini aliyojichagulia na kutambua vipengele vyake muhimu - Kueleza ujumbe wa matini aliyoisoma - Kuweka rekodi ya aliyosoma kwa kuyanakili katika kijitabu - Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia - Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua - Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma - Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini zaidi kuhusu suala lengwa kisha aisome - Kuwawasilishia wenzake kwa kifupi alichojifunza kutokana na matini aliyoisoma mtandaoni |
1. Unazingatia nini unapochagua matini ya kusoma?
-2. Unapataje ujumbe katika matini uliyoisoma?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vitabu mbalimbali -Kamusi -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22 -Nakala ya barua ya kirafiki -Tarakilishi |
Kutoa muhtasari wa ufahamu
-Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
|
|
2 | 3 |
Kuandika
Sarufi Sarufi |
Barua ya Kirafiki:
-Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza umuhimu wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - kutambua vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ipasavyo - kukuza mazoea ya kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani katika maisha ya kila siku |
Kueleza umuhimu wa kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kuhusu masuala mbalimbali
- Kutambua ujumbe unaoafiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani (k.v. anwani ya mwandishi, tarehe) - Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi - Kuwasilisha insha yake darasani au kumsambazia mwenzake kupitia mtandaoni ili aitolee maoni - Kumwandikia mzazi, mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani na kuiwasilisha darasani |
1. Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uandike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani?
-2. Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22
-Nakala ya barua ya kirafiki -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24 -Kapu maneno -Kadi maneno -Chati |
Kuandika barua ya kirafiki
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
2 | 4 |
DHIKI ZINAZOKUMBA WANYAMA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Mighani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza dhana ya mighani ili kuipambanua - kujadili vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani - kujadili ujumbe na lugha katika mighani - kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji wa mighani -e) kuchangamkia kushiriki katika uwasilishaji wa mighani katika miktadha mbalimbali ya kijamii |
Kutafiti na kueleza maana ya mighani
- Kutafiri na kueleza sifa za mighani - Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani - Kushiriki na wenzake kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijiali kama vile kinasasauti - Kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa - Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji - Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na kujadili ujumbe husika |
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32
-Mighani iliyoandikwa -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa |
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
3 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Kina: Tamthilia
Insha za Kubuni: Masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua - kujadili sifa za tamthilia kama utanzu wa fasihi andishi - kuchangamkia usomaji wa tamthilia ili kukuza stadi ya kusoma |
Kutafiti na kueleza maana ya tamthilia
- Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia - Kuwawasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni - Kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na kutambua sifa zake - Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sifa za tamthilia aliyosoma ili azitolee maoni |
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36
-Tamthilia mbalimbali -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38 -Kielelezo cha insha ya masimulizi -Tarakilishi |
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
-Mjadala kuhusu sifa za tamthilia
|
|
3 | 2 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za Kubuni: Masimulizi
Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika - kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya - kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu |
Kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni
- Kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu - Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi - Kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40 -Chati -Kapu maneno -Mti maneno |
Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Shajara
|
|
3 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Viwakilishi:
- Viwakilishi Vimilikishi
- Viwakilishi Visisitizi
Hadithi: Visasili Hadithi: Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini - kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini - kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika sentensi na vifungu |
Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika silabi na maneno
- Kuchopoa viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi - Kutaja viwakilishi vimilikishi, na visisitizi - Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino - Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ipasavyo - Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama - Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ili azitolee maoni |
1. Unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi?
-2. Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati -Kapu maneno -Mti maneno -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 45 -Visasili vilivyoandikwa -Vifaa vya kidijitali -Mgeni mwalikwa |
Kutambua kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
|
|
3 | 4 |
MATUMIZI BORA YA MALIASILI
Kusoma Kusoma |
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha - kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora - kusoma kifungu kwa kasi ifaayo - kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo -e) kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo -f) kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji |
Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha
- Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari,) - Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora - Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika) - Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo - Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa - Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora |
1. Je, kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani?
-2. Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomaji kwa ufasaha?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48
-Vifungu vya kusoma -Vifaa vya kidijitali |
Kusoma kwa sauti
-Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
|
|
4 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za Kubuni: Masimulizi
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo - kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo - kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri - kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri |
Kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, nahau,)
- Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake - Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake - Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo - Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni |
1. Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi?
-2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52
-Kielelezo cha insha ya masimulizi -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56 -Chati |
Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Shajara
|
|
4 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Nyakati na Hali:
- Hali ya mazoea
- Hali timilifu
Kusikiliza Maagizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu - kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini - kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini - kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa - Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi - Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo - Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili - Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni - Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu |
1. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi?
-2. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanyika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
|
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56
-Chati -Tarakilishi Kielelezo cha Kiswahili - uk. 61 - Chati - Kadi maneno - Vifaa vya kidijitali - Kapu maneno |
Kutambua kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
|
|
4 | 3 |
MAJUKUMU YA KIJINSIA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Kusoma |
Kusikiliza Maagizo
Kusoma kwa Ufahamu Kusoma kwa Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali -kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua -kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -kutoa na kupokea maagizo ipasavyo -kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali. |
- kusikiliza maagizo ya aina mbalimbali yanayotolewa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijitali na kutaja maagizo yaliyomo
-kuandaa maagizo na kisha kuyawasilisha darasani ili yajadiliwe na wenzake -kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo akizingatia vipengele vifaavyo -kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake maagizo aliyoandaa na kuziwasilisha darasani |
1. Je, kwa nini mtu hupewa maagizo?
-
-2. Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 62 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Chati - Vitu halisi - uk. 64 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Projekta - Kamusi mbalimbali - uk. 65 |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Kutambua maagizo
-Mazungumzo
|
|
4 | 4 |
Kuandika
|
Insha ya Maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua insha ya maelekezo katika matini -kujadili sifa za insha ya maelekezo -kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani na mpangilio ufaao -kufurahia kuandika insha za maelekezo maishani. |
- kutafiti na kueleza maana ya insha ya maelekezo
-kusoma kwenye kamusi au kifaa cha kidijitali maana ya insha ya maelekezo -kutambua aina za insha za maelekezo kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali -kubainisha sifa za insha ya maelekezo kwa kuzingatia vielelezo vya insha kwenye matini za kimaandishi au za kidijitali -kushiriki kuandaa mpangilio ufaao wa hatua za insha ya maelekezo |
Je, ni mambo gani unayozingatia unapoandika insha ya maelekezo?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 67 - Kielelezo cha insha ya maelekezo - Kamusi - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 68 - Vifaa vya kidijitali |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
-Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
5 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Nyakati na Hali:
-Wakati uliopita hali timilifu
Nyakati na Hali: -Wakati ujao hali timilifu Kusikiliza kwa Kufasiri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua -kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini -kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini -kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu
-silabi zilizopigiwa mstari katika sentensi hizo ni viambishi vya wakati na hali gani? -tambueni kwa kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu kwenye sentensi -chagueni vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu kutoka kwenye orodha -elezeni sababu ya kuchagua vitenzi hivyo |
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 69 - Chati - Kadi maneno - Picha za vitu mbalimbali - Miti maneno - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 71 - uk. 75 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Mwalimu |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
5 | 2 |
USALAMA NYUMBANI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza -kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku -kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku. |
- kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbalimbali kuhusu suala lengwa
-kutunga sentensi akitumia msamiati aliojifunza kuhusu usalama nyumbani -kuandika muhtasari wa habari aliyosikiliza na kuwawasilishia wenzake |
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako?
-
-2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 76 - Vifaa vya kidijitali - Kinasasauti - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 77 - Tamthilia |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
5 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Kina:
-Tamthilia
-Maudhui na Dhamira
Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya maudhui na dhamira katika fasihi ili kuipambanua -kutambua maudhui na dhamira katika tamthilia -kujadili maudhui na dhamira katika tamthilia -kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi. |
- kueleza maana ya dhamira katika fasihi
-kutambua dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kujadili na wenzake dhamira katika tamthilia -kuandika maelezo mafupi kuhusu dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kuwawasilishia mzazi, mlezi au mwenzake uchambuzi wake kuhusu maudhui na dhamira ili wautolee maoni |
Je, ni mambo gani muhimu yaliyo katika tamthilia ulizosoma?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 78 - Tamthilia - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 82 - Kielelezo cha insha ya mdokezo - uk. 83 |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa tamthilia
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
5 | 4 |
Sarufi
|
Vivumishi:
-Vivumishi vya Sifa
Vivumishi: -Vivumishi Viashiria |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi katika matini -kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini -kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano. |
- kutambua vivumishi vya sifa kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno
-kutenga vivumishi vya sifa katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali -kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani -kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa -kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vya sifa ipasavyo |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 79 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
6 | 1 |
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUMU
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Usikilizaji Husishi
Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha -kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi -kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi -kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine. |
- kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na wenzake
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi -kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa -kumsikiliza mwenzake, mwalimu au mgeni mwalikwa akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu suala lengwa na kufasiri hisia zake |
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 86 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Mwalimu - uk. 87 - uk. 92 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Rununu - Projekta - Kamusi mbalimbali |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
6 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Ufupisho
Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua -kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu -kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi. |
- kueleza kwa maneno yake habari muhimu katika kifungu alichosoma
-kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishirikiana na wenzake -kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni -kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini |
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 93 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Rununu - Kamusi mbalimbali - uk. 90 - Kielelezo cha insha ya maelezo - Vifaa vya kidijitali |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
|
|
6 | 3 |
Kuandika
Sarufi Sarufi |
Insha za Kubuni:
-Insha ya Maelezo
Vivumishi: -Vivumishi Vimilikishi Vivumishi: -Vivumishi vya Idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo -kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri -kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri. |
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni -kujadiliana na wenzake kuhusu namna ambavyo tamathali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 91 - Kielelezo cha insha ya maelezo - Tarakilishi/vipakatalishi - Vifaa vya kidijitali - uk. 98 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
|
|
6 | 4 |
UHALIFU WA MTANDAONI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Aina za Uzungumzaji:
-Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua -kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji -kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake
-kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa yakitolewa na mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika |
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 99 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Picha - Mwalimu - uk. 100 |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
7 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Kina:
-Tamthilia
-Mandhari
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Ploti Viakifishi: -Alama za Mtajo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua mandhari na ploti katika tamthilia -kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanisha -kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosoma -kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia. |
- kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akishirikiana na wenzake
-kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akishirikiana na wenzake -kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari |
1. Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma?
-
-2. Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 102 - Tamthilia - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 103 - uk. 104 - Mifano ya matini zenye alama za uakifishi |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa tamthilia
-Kusoma kwa sauti
|
|
7 | 2 |
Kuandika
Sarufi |
Viakifishi:
-Mshazari
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-ZI |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini -kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini -kufurahia matumizi yafaayo ya alama za mtajo na mshazari katika matini. |
- kutambua matumizi ya alama za mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali
-kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mshazari ipasavyo -kushirikiana na wenzake kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo -kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyostahili kuwa na alama za mtajo na mshazari |
1. Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi?
-
-2. Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 105 - Vifaa vya kidijitali - Mifano ya matini zenye alama za uakifishi - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 108 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
|
|
7 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi:
-Ngeli ya I-I
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/ Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi -kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini -kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi -kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano. |
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-I -kuchopoa nomino za ngeli I-I kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi -kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-I -kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI na I-I akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la uhalifu wa mtandaoni |
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI?
-
-2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 109 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 114 -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 115 |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
7 | 4 |
MAJUKUMU YA MNUNUZI
Kusoma Kusoma |
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi. -Kufasiri ujumbe katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi. -Kuthamini kusoma vifungu vya ufahamu kwa ajili ya kujielimisha. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini). -Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi akishirikiana na wenzake. -Kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akishirikiana na wenzake. |
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 116
-Kamusi -Matini za ufahamu -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 117-119 -Vifaa vya kidijitali |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
8 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kueleza vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika aya za insha ya masimulizi. -Kuonelea fahari insha zenye ukuzaji wa mawazo yaliyopangwa vizuri. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali. -Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi. -Kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo. |
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 120
-Matini za kielelezo -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 121-122 -Vidokezo vya insha Kielekezi cha Kiswahili uk. 123-124 -Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Tarakilishi |
Uangalizi
-Insha iliyoandikwa
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maswali ya mdomo
|
|
8 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA
Hadithi: Hurafa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua nomino za ngeli ya U-YA katika matini. -Kutumia nomino za ngeli ya U-YA kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi. -Kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-YA ipasavyo katika mawasiliano ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-YA katika sentensi na vifungu vya maneno. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-YA. -Kuchopoa nomino za ngeli ya U-YA kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi. -Kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya U-YA. -Kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya U-U na U-YA akitumia nomino za vitu vilivyo katika mazingira ya nyumbani. |
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 125-127
-Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Tarakilishi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 129-130 -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu -Mgeni mwalikwa |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Zoezi la sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
8 | 3 |
KUKABILIANA NA HISIA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Kusoma |
Hadithi: Hekaya
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kueleza dhana ya hekaya na sifa zake. -Kusimulia hekaya akizingatia vipengele vya uwasilishaji. -Kufurahia utambaji wa hekaya kama sehemu ya fasihi simulizi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji. -Kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza. -Kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake na kujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo. -Kuwasilisha hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji. |
Je, hurafa na hekaya hutofautianaje?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 131-133
-Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136 -Kitabu cha tamthilia -Mwongozo wa mwalimu -Video |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Utambaji wa hadithi
|
|
8 | 4 |
Kuandika
|
Barua ya Kuomba Msaada
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua muundo wa barua rasmi ya kuomba msaada. -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada ikizingatia vipengele muhimu. -Kuthamini umuhimu wa barua rasmi ya kuomba msaada katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada. -Kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada. -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada. -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni. |
Je ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 137-138
-Kielelezo cha barua -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 138 |
Uangalizi
-Barua iliyoandikwa
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maswali ya mdomo
|
|
9 |
Midterm |
||||||||
10 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Vinyume vya Vitenzi
Vinyume vya Vielezi Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maana ya kinyume katika vitenzi. -Kutumia vinyume vya vitenzi katika sentensi na vifungu. -Kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili maana ya kinyume akiwa na mwenzake. -Kutambua vinyume vya vitenzi kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno. -Kutambua vinyume vya vitenzi katika matini (k.v. orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno). -Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati. |
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 139-140
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Chati -Tarakilishi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 141-143 -Vifaa vya kidijitali Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145 -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maelezo -Chati -Kanuni za darasa |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Zoezi la sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
10 | 2 |
HAKI ZA WATOTO
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kutoa mazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo. -Kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake na kubainisha vipengele vilivyozingatiwa. -Kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa. -Kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni. -Kumwasilishia mzazi au mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake. |
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maelezo -Chati -Kanuni za darasa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147 -Vitabu vya kusoma -Rasilimali za mtandaoni -Vitabu vya marejeleo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
10 | 3 |
Kusoma
Kuandika Kuandika |
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo Insha za Kubuni: Insha ya maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia. -Kutumia msamiati unaotokana na matini aliyosoma. -Kuthamini umuhimu wa kusoma makala mbalimbali. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma. -Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome. -Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni. |
1. Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia?
-2. Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Vitabu vya kusoma -Rasilimali za mtandaoni -Vitabu vya marejeleo Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151 -Mifano ya insha za maelezo -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Kumbukumbu za usomaji
-Vigezo vya tathmini
-Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
|
|
10 | 4 |
Sarufi
|
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi. -Kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia. -Kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi. -Kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuvikolezea wino au kuvipigia mstari. -Kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda. |
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
11 | 1 |
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma |
Kusikiliza kwa Makini
Kusoma kwa Ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza habari katika matini ya kusikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza. -Kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake. -Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake. -Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza. |
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maneno -Chati -Kanuni za darasa Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159 -Vitabu vya kusoma -Video za mifano ya usomaji -Maelezo ya kifungu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
11 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Ufasaha
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo. -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo. -Kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo (k.v. kiwango cha sauti na kiimbo). -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa (k.v. ishara za uso na mikono). -Kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni. |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Vitabu vya kusoma -Video za mifano ya usomaji -Maelezo ya kifungu Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160 -Mifano ya hotuba za ufafanuzi -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Vigezo vya tathmini
|
|
11 | 3 |
Kuandika
Sarufi Sarufi |
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Aina za Sentensi: Sentensi changamano Aina za Sentensi: Sentensi changamano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake. -Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni. -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni. |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
11 | 4 |
HESHIMA KWA TAMADUNI ZA WENGINE
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua wahusika katika hadithi. -Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi. -Kuona umuhimu wa wahusika katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa (k.v. fanani, hadhira). -Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa. -Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali. -Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza. |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Hadithi za kusoma -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
12 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. -Kuthamini matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. -Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni. |
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?
-2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168
-Vifaa vya kidijitali -Tamthilia iliyoteuliwa -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170 -Mifano ya insha za maelezo |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Maswali ya maandishi
|
|
12 | 2 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali. -Kutumia lugha inayojenga picha dhahiri ya mahali. -Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani. -Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni. -Kutolea insha za wenzake maoni kwa upendo. -Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandika ili aitolee maoni. |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172 -Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Vigezo vya tathmini
|
|
12 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu. -Kutunga sentensi zilizokanushwa kwa usahihi. -Kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la heshima kwa tamaduni za wengine. -Kukanusha sentensi au vifungu alivyotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni. |
1. Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini?
-2. Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno Kielekezi cha Kiswahili uk. 177 -Vifaa vya kidijitali -Rekodi za sauti -Picha -Chati Kielekezi cha Kiswahili uk. 179 -Kifaa cha kidijitali -Video -https://tinyurl.com/mwat3knv |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Maswali ya maandishi
|
|
12 | 4 |
KUWEKA AKIBA
Kusoma Kusoma |
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua habari mahususi katika kifungu cha mjadala. - Kueleza maana ya msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala. - Kuchambua kifungu cha mjadala ili kupata ujumbe wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kifungu cha mjadala kuhusu kuweka akiba. - Kujadili na kumpa kifungu hicho mada mwafaka. - Kutambua hadhira inayolengwa na kifungu hicho na mahali na wakati matukio yanafanyika. - Kutaja maneno na nahau asizojua maana zake zilizotumika katika kifungu. - Kutumia kamusi kueleza maana za maneno na nahau hizo. - Kujadili habari mahususi zinazopatikana katika kifungu. |
1. Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma?
-
-2. Je, unazingatia nini unaposoma vifungu vya ufahamu?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 180
-Kamusi -Kifungu cha mjadala -Chati -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili uk. 182 -Majarida |
Kujibu maswali
-Maswali ya mdomo
-Majadiliano
-Zoezi la uandishi
|
|
13 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Insha ya maelekezo
Udogo wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua vipengele vya insha ya maelekezo. - Kujadili muundo wa insha ya maelekezo. - Kuthamini umuhimu wa mpangilio mzuri wa maelekezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha za msichana anayeosha nguo na kujadili jinsi ya kumwelekeza kufua nguo zenye rangi tofauti. - Kusoma kielelezo cha insha ya maelekezo kilichotolewa (Jinsi ya Kufika Benki ya Akiba). - Kutambua na kujadili anwani na muundo wa insha hiyo. - Kujadili sifa za insha ya maelekezo kama vile matumizi ya lugha, mpangilio wa maelekezo, na mpangilio sahihi wa hatua. - Kujadili maneno mwafaka na vipengele vya kimuundo vya insha ya maelekezo. |
1. Je, unapoandika insha ya maelekezo unazingatia mambo gani?
-
-2. Kwa nini mpangilio wa hatua ni muhimu katika insha ya maelekezo?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 183
-Picha -Kielelezo cha insha ya maelekezo -Chati -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili uk. 184 -Kamusi -Mifano ya insha za maelekezo Kielekezi cha Kiswahili uk. 186 -Kadi maneno |
Majadiliano
-Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenzake
|
|
13 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza |
Udogo wa nomino
Kusikiliza husishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentensi. - Kubadilisha sentensi zenye nomino katika hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo. - Kuthamini umuhimu wa kutumia nomino katika hali ya udogo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma sentensi zilizotolewa na kupigia mstari nomino katika hali ya udogo. - Kubadilisha sentensi hizo katika hali ya wingi. - Kubadilisha nomino zitolewazo katika hali ya udogo (kiatu, ngoma, mguu, mbwa, ndoo). - Kutumia nomino za udogo kutunga sentensi sahihi. - Kubadilisha sentensi zitolewazo ziwe katika hali ya udogo. - Kutaja majina ya vitu vinavyopatikana kwenye mazingira ya nyumbani katika hali ya udogo. |
1. Nomino za hali ya udogo zinapatikana katika ngeli gani?
-
-2. Ni tofauti gani kati ya nomino katika hali ya wastani na hali ya udogo?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 188
-Chati -Kadi maneno -Picha -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 191 -Vifaa vya kidijitali -Mwongozo wa mwalimu |
Kubadilisha sentensi
-Kutunga sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Mazoezi ya maandishi
|
|
13 | 3 |
MAADILI YA KIJAMII
Kusikiliza na Kuzungumza Kusoma Kusoma |
Kusikiliza husishi
Ufupisho Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kushiriki katika mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi. - Kuigiza mazungumzo yanayobainisha usikilizaji husishi. - Kuchangamkia umuhimu wa usikilizaji husishi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma mazungumzo yaliyotolewa kati ya Bw. Maadili na wafanyakazi wake. - Kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa katika mazungumzo hayo. - Kuigiza mazungumzo kati ya mwalimu na mzazi. - Kujadili vipengele vya usikilizaji husishi walivyozingatia katika igizo hilo. - Kushiriki katika mazungumzo kuhusu maadili ya kijamii na mzazi au mlezi. - Kuandika vipengele vya usikilizaji husishi walivyozingatia katika mazungumzo yao. |
1. Ni vipi tunaonyesha kwamba tunamsikiliza mzungumzaji kwa makini?
-
-2. Kwa nini ni muhimu kuzingatia vipengele vya usikilizaji husishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 192
-Picha -Vifaa vya kidijitali -Chati -Maandishi ya mazungumzo Kielekezi cha Kiswahili uk. 193 -Kifungu cha ufahamu -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 194 -Intaneti |
Igizo
-Majadiliano
-Uchunguzi
-Tathmini ya wenzake
-Mazoezi ya maandishi
|
|
13 | 4 |
Kuandika
Sarufi Sarufi |
Baruapepe ya kiofisi
Usemi halisi na usemi wa taarifa Usemi halisi na usemi wa taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi. - Kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi. - Kuthamini umuhimu wa baruapepe ya kiofisi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma baruapepe ya kiofisi iliyotolewa. - Kujadili mada ya baruapepe hiyo. - Kujadili mambo yanayozungumziwa katika baruapepe hiyo. - Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi (anwanipepe ya mwandishi na mwandikiwa, tarehe, mada, mtajo, utangulizi, mwili, hitimisho, jina la mwandishi). - Kujadili vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi. - Kueleza ujumbe wowote unaoafiki baruapepe ya kiofisi. |
1. Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika?
-
-2. Baruapepe ya kiofisi inatofautianaje na barua ya kawaida?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 195
-Mfano wa baruapepe ya kiofisi -Chati -Vifaa vya kidijitali -Tarakilishi Kielekezi cha Kiswahili uk. 197 -Mfano wa baruapepe -Intaneti Kielekezi cha Kiswahili uk. 198 -Kadi maneno -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 200 |
Majadiliano
-Maswali ya mdomo
-Kuchunguza baruapepe
-Tathmini ya wenzake
|
Your Name Comes Here