Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NANE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
USAFI WA SEHEMU ZA UMMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo
- kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa
- Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali
- Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
1 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza na Kujibu Mahojiano
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- kutumia vipengele vifaavyo katika kusikiliza na kujibu mahojiano ipasavyo
- kuchangamkia kushiriki mahojiano katika miktadha mbalimbali
Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano
- Kusikiliza mahojiano kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijitali na kutambua vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa
- Kuwawasilishia wenzake vipengele vya kusikiliza na kujibu mahojiano vilivyozingatiwa katika mahojiano aliyosikiliza katika kifaa cha kidijitali
- Kushiriki mahojiano kuhusu suala lengwa akiwa na wenzake, mzazi au mlezi kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya kusikiliza na kujibu mahojiano
Je, ni vipengele vipi vinavyofaa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 1
-Michoro
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi
-Kamusi
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
1 3
Kusoma
Kuandika
Kuandika
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Simulizi
Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa
Viakifishi: - Alama ya hisi - Ritifaa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi
- kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi
- kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi
- kueleza maana ya msamiati katika kifungu cha simulizi
-e) kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari
Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali
- Kudondoa habari mahususi (k.v. nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi
- Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha simulizi
- Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma
- Kutambua msamiati (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na kuueleza kwa kutumia kamusi
- Kusoma vifungu vya simulizi mtandaoni au kwenye vitabu kuhusu suala lengwa
- Kutambua na kueleza maana ya msamiati wa usafi wa sehemu za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulizi alivyosoma mtandaoni
- Kumsomea mzazi au mlezi sentensi kuhusu usafi wa sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma
1. Je, tunapataje habari mahususi katika kifungu cha simulizi? -2. Je, ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 3
-Vifungu vya simulizi
-Kamusi
-Vifaa vya kidijitali
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 6
-Mifano ya matini zenye alama ya hisi na ritifaa
-Tarakilishi/vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa ufahamu
1 4
Sarufi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Nafsi - Viwakilishi Vionyeshi - Viwakilishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika matini
- kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia matumizi yafaayo ya viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ili kufanikisha mawasiliano
Kuchopoa viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi
- Kutambua viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la usafi wa sehemu za umma
- Kumsomea mzazi au mlezi wake sentensi au vifungu alivyotunga ili amtolee maoni
Viwakilishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 8
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
2 1
MATUMIZI YAFAAYO YA DAWA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Kina: -Sauti /g/ na /gh/
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua sauti /g/ na /gh/ katika silabi na maneno
- kutamka sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno
- kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi
- kuchangamkia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida
Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneno na silabi
- Kusikiliza maneno, sentensi au vitanzandimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katika kifaa cha kidijitali na kutambua sauti hizo
- Kutafuta maneno yenye sauti /g/ na /gh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo
- Kutunga sentensi akitumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ na kuziwasilisha darasani ili wenzake wazisikilize na kuzitathmini
- Kushiriki mazungumzo na mzazi au mlezi wake kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti /g/ na /gh/
Ni maneno yapi yaliyo na sauti /g/ na /gh/?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vifaa vya kidijitali
-Maneno yenye sauti /g/ na /gh/
-Vitabu mbalimbali
-Kamusi
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Kutambua kwenye orodha
2 2
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Mapana: -Matini ya kujichagulia
Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza ujumbe wa matini aliyosoma
- kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma
- kujenga mazoea ya kusoma matini za miktadha mbalimbali ili kupanua mawanda ya fikra
Kuteua matini kuhusu suala linalomvutia
- Kusoma matini aliyojichagulia na kutambua vipengele vyake muhimu
- Kueleza ujumbe wa matini aliyoisoma
- Kuweka rekodi ya aliyosoma kwa kuyanakili katika kijitabu
- Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia
- Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua
- Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma
- Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini zaidi kuhusu suala lengwa kisha aisome
- Kuwawasilishia wenzake kwa kifupi alichojifunza kutokana na matini aliyoisoma mtandaoni
1. Unazingatia nini unapochagua matini ya kusoma? -2. Unapataje ujumbe katika matini uliyoisoma?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 17
-Vitabu mbalimbali
-Kamusi
-Vifaa vya kidijitali
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22
-Nakala ya barua ya kirafiki
-Tarakilishi
Kutoa muhtasari wa ufahamu -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio
2 3
Kuandika
Sarufi
Sarufi
Barua ya Kirafiki: -Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi
Viwakilishi: - Viwakilishi vya Sifa - Viwakilishi vya Pekee - Viwakilishi Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza umuhimu wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- kutambua vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundo ipasavyo
- kukuza mazoea ya kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani katika maisha ya kila siku
Kueleza umuhimu wa kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kuhusu masuala mbalimbali
- Kutambua ujumbe unaoafiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
- Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani (k.v. anwani ya mwandishi, tarehe)
- Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi
- Kuwasilisha insha yake darasani au kumsambazia mwenzake kupitia mtandaoni ili aitolee maoni
- Kumwandikia mzazi, mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani na kuiwasilisha darasani
1. Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uandike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani? -2. Barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 22
-Nakala ya barua ya kirafiki
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 24
-Kapu maneno
-Kadi maneno
-Chati
Kuandika barua ya kirafiki -Wanafunzi kufanyiana tathmini
2 4
DHIKI ZINAZOKUMBA WANYAMA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza dhana ya mighani ili kuipambanua
- kujadili vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- kujadili ujumbe na lugha katika mighani
- kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji wa mighani
-e) kuchangamkia kushiriki katika uwasilishaji wa mighani katika miktadha mbalimbali ya kijamii
Kutafiti na kueleza maana ya mighani
- Kutafiri na kueleza sifa za mighani
- Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika uwasilishaji wa mighani
- Kushiriki na wenzake kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijiali kama vile kinasasauti
- Kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidijitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa
- Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na kujadili ujumbe husika
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 32
-Mighani iliyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
3 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: Tamthilia
Insha za Kubuni: Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua
- kujadili sifa za tamthilia kama utanzu wa fasihi andishi
- kuchangamkia usomaji wa tamthilia ili kukuza stadi ya kusoma
Kutafiti na kueleza maana ya tamthilia
- Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia
- Kuwawasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni
- Kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na kutambua sifa zake
- Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sifa za tamthilia aliyosoma ili azitolee maoni
Je, tamthilia uliyowahi kusoma ilikuwa inahusu nini?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 36
-Tamthilia mbalimbali
-Vifaa vya kidijitali
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa -Mjadala kuhusu sifa za tamthilia
3 2
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Masimulizi
Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulizi atakayoandika
- kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya
- kufurahia kuandika insha za masimulizi katika maisha ya kila siku akizingatia ujumbe uliotegemezwa kwenye wazo moja kuu
Kutambua wazo moja kuu la simulizi kwenye matini andishi na za kidijitali au katika kielelezo cha insha za kubuni
- Kuandika insha ya masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu
- Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi
- Kuandika kwenye tarakilishi, insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika na kuwataka kutambua wazo moja kuu
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 38
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
3 3
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Viwakilishi: - Viwakilishi Vimilikishi - Viwakilishi Visisitizi
Hadithi: Visasili
Hadithi: Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini
- kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyo katika matini
- kuchangamkia kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika sentensi na vifungu
Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika silabi na maneno
- Kuchopoa viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika kapu maneno, chati, mti maneno au katika tarakilishi
- Kutaja viwakilishi vimilikishi, na visisitizi
- Kutambua viwakilishi vimilikishi, na visisitizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama
- Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi, na visisitizi ili azitolee maoni
1. Unazingatia nini unapotumia viwakilishi vimilikishi? -2. Je, viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 40
-Chati
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 45
-Visasili vilivyoandikwa
-Vifaa vya kidijitali
-Mgeni mwalikwa
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
3 4
MATUMIZI BORA YA MALIASILI

Kusoma
Kusoma
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha
- kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora
- kusoma kifungu kwa kasi ifaayo
- kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo
-e) kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo
-f) kuchangamkia kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji
Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha
- Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa makala (k.v. hotuba, habari,)
- Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora
- Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika)
- Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo
- Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa
- Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora
1. Je, kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani? -2. Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomaji kwa ufasaha?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 48
-Vifungu vya kusoma
-Vifaa vya kidijitali
Kusoma kwa sauti -Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu
4 1
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Masimulizi
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
- kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
- kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
Kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, nahau,)
- Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake
- Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake
- Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
1. Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 52
-Kielelezo cha insha ya masimulizi
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56
-Chati
Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Shajara
4 2
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Nyakati na Hali: - Hali ya mazoea - Hali timilifu
Kusikiliza Maagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- kubainisha vitenzi vilivyo katika hali ya mazoea na timilifu katika matini
- kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo katika matini
- kufurahia kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano
Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu
- Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa
- Kuchagua vitenzi vinavyoashiria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu, na tarakilishi
- Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo
- Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidjitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili
- Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ili waitolee maoni
- Kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi alizotunga katika hali ya mazoea na timilifu
1. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi? -2. Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanyika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya Nane uk. 56
-Chati
-Tarakilishi
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 61
- Chati
- Kadi maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Kapu maneno
Kutambua kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi
4 3
MAJUKUMU YA KIJINSIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusoma
Kusikiliza Maagizo
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali
-kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua
-kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo
-kutoa na kupokea maagizo ipasavyo
-kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali.
- kusikiliza maagizo ya aina mbalimbali yanayotolewa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika kifaa cha kidijitali na kutaja maagizo yaliyomo
-kuandaa maagizo na kisha kuyawasilisha darasani ili yajadiliwe na wenzake
-kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo akizingatia vipengele vifaavyo
-kumwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake maagizo aliyoandaa na kuziwasilisha darasani
1. Je, kwa nini mtu hupewa maagizo? - -2. Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 62
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Chati
- Vitu halisi
- uk. 64
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Projekta
- Kamusi mbalimbali
- uk. 65
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Kutambua maagizo -Mazungumzo
4 4
Kuandika
Insha ya Maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua insha ya maelekezo katika matini
-kujadili sifa za insha ya maelekezo
-kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani na mpangilio ufaao
-kufurahia kuandika insha za maelekezo maishani.
- kutafiti na kueleza maana ya insha ya maelekezo
-kusoma kwenye kamusi au kifaa cha kidijitali maana ya insha ya maelekezo
-kutambua aina za insha za maelekezo kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali
-kubainisha sifa za insha ya maelekezo kwa kuzingatia vielelezo vya insha kwenye matini za kimaandishi au za kidijitali
-kushiriki kuandaa mpangilio ufaao wa hatua za insha ya maelekezo
Je, ni mambo gani unayozingatia unapoandika insha ya maelekezo?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 67
- Kielelezo cha insha ya maelekezo
- Kamusi
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 68
- Vifaa vya kidijitali
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara -Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
5 1
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Nyakati na Hali: -Wakati uliopita hali timilifu
Nyakati na Hali: -Wakati ujao hali timilifu
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua
-kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini
-kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini
-kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano.
- kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu
-silabi zilizopigiwa mstari katika sentensi hizo ni viambishi vya wakati na hali gani?
-tambueni kwa kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu kwenye sentensi
-chagueni vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu kutoka kwenye orodha
-elezeni sababu ya kuchagua vitenzi hivyo
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 69
- Chati
- Kadi maneno
- Picha za vitu mbalimbali
- Miti maneno
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 71
- uk. 75
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Mwalimu
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
5 2
USALAMA NYUMBANI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Kufasiri
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza
-kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku
-kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini
-kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku.
- kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbalimbali kuhusu suala lengwa
-kutunga sentensi akitumia msamiati aliojifunza kuhusu usalama nyumbani
-kuandika muhtasari wa habari aliyosikiliza na kuwawasilishia wenzake
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako? - -2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 76
- Vifaa vya kidijitali
- Kinasasauti
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 77
- Tamthilia
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Mijadala -Mazungumzo
5 3
Kusoma
Kuandika
Kuandika
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Maudhui na Dhamira
Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo
Insha za Kubuni: -Insha ya mdokezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya maudhui na dhamira katika fasihi ili kuipambanua
-kutambua maudhui na dhamira katika tamthilia
-kujadili maudhui na dhamira katika tamthilia
-kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi.
- kueleza maana ya dhamira katika fasihi
-kutambua dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
-kujadili na wenzake dhamira katika tamthilia
-kuandika maelezo mafupi kuhusu dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
-kuwawasilishia mzazi, mlezi au mwenzake uchambuzi wake kuhusu maudhui na dhamira ili wautolee maoni
Je, ni mambo gani muhimu yaliyo katika tamthilia ulizosoma?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 78
- Tamthilia
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 82
- Kielelezo cha insha ya mdokezo
- uk. 83
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali k.m. katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa tamthilia -Wanafunzi kufanyiana tathmini
5 4
Sarufi
Vivumishi: -Vivumishi vya Sifa
Vivumishi: -Vivumishi Viashiria
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi katika matini
-kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini
-kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano.
- kutambua vivumishi vya sifa kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno
-kutenga vivumishi vya sifa katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali
-kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani
-kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vya sifa ipasavyo
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 79
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
6 1
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUMU

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Usikilizaji Husishi
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi
-kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi
-kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine.
- kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na wenzake
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi
-kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa
-kumsikiliza mwenzake, mwalimu au mgeni mwalikwa akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu suala lengwa na kufasiri hisia zake
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 86
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Mwalimu
- uk. 87
- uk. 92
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Rununu
- Projekta
- Kamusi mbalimbali
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Mijadala -Mazungumzo
6 2
Kusoma
Kuandika
Ufupisho
Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu
-kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho
-kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi.
- kueleza kwa maneno yake habari muhimu katika kifungu alichosoma
-kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishirikiana na wenzake
-kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni
-kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 93
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Kinasasauti
- Rununu
- Kamusi mbalimbali
- uk. 90
- Kielelezo cha insha ya maelezo
- Vifaa vya kidijitali
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kutoa muhtasari wa ufahamu -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio
6 3
Kuandika
Sarufi
Sarufi
Insha za Kubuni: -Insha ya Maelezo
Vivumishi: -Vivumishi Vimilikishi
Vivumishi: -Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo
-kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri
-kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri.
- kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo
-kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni
-kujadiliana na wenzake kuhusu namna ambavyo tamathali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 91
- Kielelezo cha insha ya maelezo
- Tarakilishi/vipakatalishi
- Vifaa vya kidijitali
- uk. 98
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
6 4
UHALIFU WA MTANDAONI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Aina za Uzungumzaji: -Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua
-kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo
-kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji
-kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano.
- kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake
-kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo
-kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa yakitolewa na mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 99
- Vifaa vya kidijitali
- Mgeni mwalikwa
- Picha
- Mwalimu
- uk. 100
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano -Kujibu maswali -Maigizo -Mijadala -Mazungumzo
7 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Mandhari
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Ploti
Viakifishi: -Alama za Mtajo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua mandhari na ploti katika tamthilia
-kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanisha
-kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosoma
-kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia.
- kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akishirikiana na wenzake
-kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akishirikiana na wenzake
-kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
-kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari
1. Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma? - -2. Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 102
- Tamthilia
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 103
- uk. 104
- Mifano ya matini zenye alama za uakifishi
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa -Kujibu maswali k.m. katika ufahamu -Kutoa muhtasari wa tamthilia -Kusoma kwa sauti
7 2
Kuandika
Sarufi
Viakifishi: -Mshazari
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-ZI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini
-kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini
-kufurahia matumizi yafaayo ya alama za mtajo na mshazari katika matini.
- kutambua matumizi ya alama za mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali
-kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mshazari ipasavyo
-kushirikiana na wenzake kusahihisha kifungu ambacho hakijatumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo
-kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandike maneno, sentensi au vifungu vinavyostahili kuwa na alama za mtajo na mshazari
1. Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi? - -2. Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 105
- Vifaa vya kidijitali
- Mifano ya matini zenye alama za uakifishi
- Tarakilishi/vipakatalishi
- uk. 108
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Kuandika tungo mbalimbali -Wanafunzi kufanyiana tathmini -Potifolio -Shajara
7 3
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-I
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi
-kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini
-kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi
-kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano.
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-I katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-I
-kuchopoa nomino za ngeli I-I kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi
-kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-I
-kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI na I-I akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la uhalifu wa mtandaoni
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI? - -2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 109
- Chati
- Kadi maneno
- Kapu maneno
- Vifaa vya kidijitali
- Tarakilishi/vipakatalishi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 114
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 115
- Kutambua k.m. kwenye orodha -Kuambatanisha maneno lengwa -Kujaza mapengo -Kutunga sentensi -Kazi mradi
7 4
MAJUKUMU YA MNUNUZI

Kusoma
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi.
-Kufasiri ujumbe katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi.
-Kuthamini kusoma vifungu vya ufahamu kwa ajili ya kujielimisha.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini).
-Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi akishirikiana na wenzake.
-Kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akishirikiana na wenzake.
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 116
-Kamusi
-Matini za ufahamu
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 117-119
-Vifaa vya kidijitali
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
8 1
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi.
-Kutambua ukuzaji wa wazo katika aya za insha ya masimulizi.
-Kuonelea fahari insha zenye ukuzaji wa mawazo yaliyopangwa vizuri.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali.
-Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali.
-Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi.
-Kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo.
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 120
-Matini za kielelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 121-122
-Vidokezo vya insha
Kielekezi cha Kiswahili uk. 123-124
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Tarakilishi
Uangalizi -Insha iliyoandikwa -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Maswali ya mdomo
8 2
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA
Hadithi: Hurafa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua nomino za ngeli ya U-YA katika matini.
-Kutumia nomino za ngeli ya U-YA kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi.
-Kuchangamkia kutumia nomino katika ngeli ya U-YA ipasavyo katika mawasiliano ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-YA katika sentensi na vifungu vya maneno.
-Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-YA.
-Kuchopoa nomino za ngeli ya U-YA kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi.
-Kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya U-YA.
-Kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya U-U na U-YA akitumia nomino za vitu vilivyo katika mazingira ya nyumbani.
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 125-127
-Chati
-Kadi maneno
-Kapu maneno
-Tarakilishi
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 129-130
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
-Mgeni mwalikwa
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Zoezi la sentensi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
8 3
KUKABILIANA NA HISIA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusoma
Hadithi: Hekaya
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kueleza dhana ya hekaya na sifa zake.
-Kusimulia hekaya akizingatia vipengele vya uwasilishaji.
-Kufurahia utambaji wa hekaya kama sehemu ya fasihi simulizi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
-Kujirekodi akitamba hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza.
-Kushirikiana na mzazi au mlezi kutambua hurafa na hekaya kutoka kwa jamii yake na kujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo.
-Kuwasilisha hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji.
Je, hurafa na hekaya hutofautianaje?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 131-133
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
-Mgeni mwalikwa
Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136
-Kitabu cha tamthilia
-Mwongozo wa mwalimu
-Video
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Utambaji wa hadithi
8 4
Kuandika
Barua ya Kuomba Msaada
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua muundo wa barua rasmi ya kuomba msaada.
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada ikizingatia vipengele muhimu.
-Kuthamini umuhimu wa barua rasmi ya kuomba msaada katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada.
-Kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada.
-Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada.
-Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni.
Je ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 137-138
-Kielelezo cha barua
-Vifaa vya kidijitali
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 138
Uangalizi -Barua iliyoandikwa -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki -Maswali ya mdomo
9

Midterm

10 1
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Vinyume vya Vitenzi
Vinyume vya Vielezi
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kutambua maana ya kinyume katika vitenzi.
-Kutumia vinyume vya vitenzi katika sentensi na vifungu.
-Kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili maana ya kinyume akiwa na mwenzake.
-Kutambua vinyume vya vitenzi kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno.
-Kutambua vinyume vya vitenzi katika matini (k.v. orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno).
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati.
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 139-140
-Kadi maneno
-Mti maneno
-Kapu maneno
-Chati
-Tarakilishi
-Maelezo ya mwalimu
-Mwongozo wa mwalimu
Kielekezi cha Kiswahili uk. 141-143
-Vifaa vya kidijitali
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maelezo
-Chati
-Kanuni za darasa
Uangalizi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Zoezi la sentensi -Tathmini ya wenzake -Orodha hakiki
10 2
HAKI ZA WATOTO

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja.
-Kutoa mazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo.
-Kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza au kutazama aina mbalimbali za mazungumzo kutoka kwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake na kubainisha vipengele vilivyozingatiwa.
-Kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa.
-Kuwawasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni.
-Kumwasilishia mzazi au mlezi vidokezo vya mazungumzo kuhusu suala lengwa ili atoe maoni yake.
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maelezo
-Chati
-Kanuni za darasa
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vitabu vya kusoma
-Rasilimali za mtandaoni
-Vitabu vya marejeleo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Orodha hakiki
10 3
Kusoma
Kuandika
Kuandika
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia.
-Kutumia msamiati unaotokana na matini aliyosoma.
-Kuthamini umuhimu wa kusoma makala mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyoisoma.
-Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome.
-Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni.
1. Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia? -2. Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Vitabu vya kusoma
-Rasilimali za mtandaoni
-Vitabu vya marejeleo
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Mifano ya insha za maelezo
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Kumbukumbu za usomaji -Vigezo vya tathmini -Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi
10 4
Sarufi
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi.
-Kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo katika matini.
-Kuchangamkia kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia.
-Kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi.
-Kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuvikolezea wino au kuvipigia mstari.
-Kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda.
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
11 1
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusikiliza kwa Makini
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza.
-Kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake.
-Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake.
-Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza.
-Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza.
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Kadi za maneno
-Chati
-Kanuni za darasa
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vitabu vya kusoma
-Video za mifano ya usomaji
-Maelezo ya kifungu
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
11 2
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Ufasaha
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo.
-Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo.
-Kuridhia kusoma makala kwa kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo (k.v. kiwango cha sauti na kiimbo).
-Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa (k.v. ishara za uso na mikono).
-Kusoma mbele ya wenzake kazi yake ili wamtolee maoni.
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Vitabu vya kusoma
-Video za mifano ya usomaji
-Maelezo ya kifungu
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Vigezo vya tathmini
11 3
Kuandika
Sarufi
Sarufi
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
Aina za Sentensi: Sentensi changamano
Aina za Sentensi: Sentensi changamano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufafanuzi.
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake.
-Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akizingatia ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuwasomea darasani ili waitolee maoni.
-Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni.
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Uwasilishaji wa mdomo -Orodha hakiki
11 4
HESHIMA KWA TAMADUNI ZA WENGINE

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Hadithi: Wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua wahusika katika hadithi.
-Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi.
-Kuona umuhimu wa wahusika katika hadithi.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa (k.v. fanani, hadhira).
-Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa.
-Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali.
-Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza.
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Hadithi za kusoma
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Maswali ya maandishi -Tathmini ya wenza -Orodha hakiki
12 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia.
-Kuthamini matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia.
-Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu.
-Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni.
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha? -2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168
-Vifaa vya kidijitali
-Tamthilia iliyoteuliwa
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
12 2
Kuandika
Sarufi
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kuandika insha ya maelezo inayodhihirisha sifa za mahali.
-Kutumia lugha inayojenga picha dhahiri ya mahali.
-Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufaao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani.
-Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasambazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni.
-Kutolea insha za wenzake maoni kwa upendo.
-Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandika ili aitolee maoni.
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo
-Vifaa vya kidijitali
-Kamusi
-Chati
-Vifaa vya kuandikia
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Tathmini-binafsi -Vigezo vya tathmini
12 3
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi
Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
-Kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu.
-Kutunga sentensi zilizokanushwa kwa usahihi.
-Kuchangamkia kukanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la heshima kwa tamaduni za wengine.
-Kukanusha sentensi au vifungu alivyotunga kisha awatumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni.
1. Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini? -2. Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi
-Kinasasauti
-Rununu
-Kapu maneno
-Mti maneno
-Kadi maneno
Kielekezi cha Kiswahili uk. 177
-Vifaa vya kidijitali
-Rekodi za sauti
-Picha
-Chati
Kielekezi cha Kiswahili uk. 179
-Kifaa cha kidijitali
-Video
-https://tinyurl.com/mwat3knv
Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenza -Maswali ya maandishi
12 4
KUWEKA AKIBA

Kusoma
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
- Kutambua habari mahususi katika kifungu cha mjadala.
- Kueleza maana ya msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala.
- Kuchambua kifungu cha mjadala ili kupata ujumbe wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kifungu cha mjadala kuhusu kuweka akiba.
- Kujadili na kumpa kifungu hicho mada mwafaka.
- Kutambua hadhira inayolengwa na kifungu hicho na mahali na wakati matukio yanafanyika.
- Kutaja maneno na nahau asizojua maana zake zilizotumika katika kifungu.
- Kutumia kamusi kueleza maana za maneno na nahau hizo.
- Kujadili habari mahususi zinazopatikana katika kifungu.
1. Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma? - -2. Je, unazingatia nini unaposoma vifungu vya ufahamu?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 180
-Kamusi
-Kifungu cha mjadala
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
Kielekezi cha Kiswahili uk. 182
-Majarida
Kujibu maswali -Maswali ya mdomo -Majadiliano -Zoezi la uandishi
13 1
Kuandika
Sarufi
Insha ya maelekezo
Udogo wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
- Kutambua vipengele vya insha ya maelekezo.
- Kujadili muundo wa insha ya maelekezo.
- Kuthamini umuhimu wa mpangilio mzuri wa maelekezo.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha za msichana anayeosha nguo na kujadili jinsi ya kumwelekeza kufua nguo zenye rangi tofauti.
- Kusoma kielelezo cha insha ya maelekezo kilichotolewa (Jinsi ya Kufika Benki ya Akiba).
- Kutambua na kujadili anwani na muundo wa insha hiyo.
- Kujadili sifa za insha ya maelekezo kama vile matumizi ya lugha, mpangilio wa maelekezo, na mpangilio sahihi wa hatua.
- Kujadili maneno mwafaka na vipengele vya kimuundo vya insha ya maelekezo.
1. Je, unapoandika insha ya maelekezo unazingatia mambo gani? - -2. Kwa nini mpangilio wa hatua ni muhimu katika insha ya maelekezo?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 183
-Picha
-Kielelezo cha insha ya maelekezo
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
Kielekezi cha Kiswahili uk. 184
-Kamusi
-Mifano ya insha za maelekezo
Kielekezi cha Kiswahili uk. 186
-Kadi maneno
Majadiliano -Uchunguzi -Maswali ya mdomo -Tathmini ya wenzake
13 2
Sarufi
Kusikiliza na Kuzungumza
Udogo wa nomino
Kusikiliza husishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
- Kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentensi.
- Kubadilisha sentensi zenye nomino katika hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo.
- Kuthamini umuhimu wa kutumia nomino katika hali ya udogo.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma sentensi zilizotolewa na kupigia mstari nomino katika hali ya udogo.
- Kubadilisha sentensi hizo katika hali ya wingi.
- Kubadilisha nomino zitolewazo katika hali ya udogo (kiatu, ngoma, mguu, mbwa, ndoo).
- Kutumia nomino za udogo kutunga sentensi sahihi.
- Kubadilisha sentensi zitolewazo ziwe katika hali ya udogo.
- Kutaja majina ya vitu vinavyopatikana kwenye mazingira ya nyumbani katika hali ya udogo.
1. Nomino za hali ya udogo zinapatikana katika ngeli gani? - -2. Ni tofauti gani kati ya nomino katika hali ya wastani na hali ya udogo?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 188
-Chati
-Kadi maneno
-Picha
-Kamusi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 191
-Vifaa vya kidijitali
-Mwongozo wa mwalimu
Kubadilisha sentensi -Kutunga sentensi -Tathmini ya wenzake -Mazoezi ya maandishi
13 3
MAADILI YA KIJAMII

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Kusoma
Kusikiliza husishi
Ufupisho
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
- Kushiriki katika mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi.
- Kuigiza mazungumzo yanayobainisha usikilizaji husishi.
- Kuchangamkia umuhimu wa usikilizaji husishi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma mazungumzo yaliyotolewa kati ya Bw. Maadili na wafanyakazi wake.
- Kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa katika mazungumzo hayo.
- Kuigiza mazungumzo kati ya mwalimu na mzazi.
- Kujadili vipengele vya usikilizaji husishi walivyozingatia katika igizo hilo.
- Kushiriki katika mazungumzo kuhusu maadili ya kijamii na mzazi au mlezi.
- Kuandika vipengele vya usikilizaji husishi walivyozingatia katika mazungumzo yao.
1. Ni vipi tunaonyesha kwamba tunamsikiliza mzungumzaji kwa makini? - -2. Kwa nini ni muhimu kuzingatia vipengele vya usikilizaji husishi?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 192
-Picha
-Vifaa vya kidijitali
-Chati
-Maandishi ya mazungumzo
Kielekezi cha Kiswahili uk. 193
-Kifungu cha ufahamu
-Kamusi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 194
-Intaneti
Igizo -Majadiliano -Uchunguzi -Tathmini ya wenzake -Mazoezi ya maandishi
13 4
Kuandika
Sarufi
Sarufi
Baruapepe ya kiofisi
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-
- Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi.
- Kutambua vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi.
- Kuthamini umuhimu wa baruapepe ya kiofisi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma baruapepe ya kiofisi iliyotolewa.
- Kujadili mada ya baruapepe hiyo.
- Kujadili mambo yanayozungumziwa katika baruapepe hiyo.
- Kutambua ujumbe unaoafiki baruapepe ya kiofisi (anwanipepe ya mwandishi na mwandikiwa, tarehe, mada, mtajo, utangulizi, mwili, hitimisho, jina la mwandishi).
- Kujadili vipengele vya kimuundo vya baruapepe ya kiofisi.
- Kueleza ujumbe wowote unaoafiki baruapepe ya kiofisi.
1. Je, ulizingatia vipengele gani katika baruapepe uliyowahi kuandika? - -2. Baruapepe ya kiofisi inatofautianaje na barua ya kawaida?
Kielekezi cha Kiswahili uk. 195
-Mfano wa baruapepe ya kiofisi
-Chati
-Vifaa vya kidijitali
-Tarakilishi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 197
-Mfano wa baruapepe
-Intaneti
Kielekezi cha Kiswahili uk. 198
-Kadi maneno
-Kamusi
Kielekezi cha Kiswahili uk. 200
Majadiliano -Maswali ya mdomo -Kuchunguza baruapepe -Tathmini ya wenzake

Your Name Comes Here


Download

Feedback