If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
MAJUKUMU YA KIJINSIA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza Maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali -kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua -kujadili sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -kutoa na kupokea maagizo ipasavyo -kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbalimbali. |
- kueleza maana ya maagizo ili kuipambanua
-kubainisha maagizo miongoni mwa kauli zilizoandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaa vya kidijitali -kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali -kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazitathmini -kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi -kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na miktadha ya jamii zao |
1. Je, kwa nini mtu hupewa maagizo?
-
-2. Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 61 - Chati - Kadi maneno - Vifaa vya kidijitali - Kapu maneno - uk. 62 - Mgeni mwalikwa - Vitu halisi |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
2 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu -kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari. |
- kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali
-kueleza habari za kifungu kwa ufupi -kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuutia kwenye kapu la maneno -kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini -kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kidijitali |
Ni kwa njia gani tunaweza kudondoa habari mahususi kutokana na kifungu cha ufahamu?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 64 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Projekta - Kamusi mbalimbali - uk. 65 - Vifaa vya kidijitali |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa ufahamu au matini yaliyosomwa
-Kusoma kwa sauti
|
|
2 | 3 |
Kuandika
|
Insha ya Maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua insha ya maelekezo katika matini -kujadili sifa za insha ya maelekezo -kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani na mpangilio ufaao -kufurahia kuandika insha za maelekezo maishani. |
- kutafiti na kueleza maana ya insha ya maelekezo
-kusoma kwenye kamusi au kifaa cha kidijitali maana ya insha ya maelekezo -kutambua aina za insha za maelekezo kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali -kubainisha sifa za insha ya maelekezo kwa kuzingatia vielelezo vya insha kwenye matini za kimaandishi au za kidijitali -kushiriki kuandaa mpangilio ufaao wa hatua za insha ya maelekezo |
Je, ni mambo gani unayozingatia unapoandika insha ya maelekezo?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 67 - Kielelezo cha insha ya maelekezo - Kamusi - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 68 - Vifaa vya kidijitali |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
-Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
2 | 4 |
Sarufi
|
Nyakati na Hali:
-Wakati uliopita hali timilifu
Nyakati na Hali: -Wakati ujao hali timilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua -kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu katika matini -kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo katika matini -kuchangamkia kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu
-silabi zilizopigiwa mstari katika sentensi hizo ni viambishi vya wakati na hali gani? -tambueni kwa kupigia mstari viambishi vya wakati uliopita hali timilifu kwenye sentensi -chagueni vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu kutoka kwenye orodha -elezeni sababu ya kuchagua vitenzi hivyo |
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 69 - Chati - Kadi maneno - Picha za vitu mbalimbali - Miti maneno - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 71 |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
3 | 1 |
USALAMA NYUMBANI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kufasiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza -kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku -kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku. |
- kueleza masuala yanayozungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali
-kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu au mgeni mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku -kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini |
1. Ni ujumbe gani uliosikiliza katika matini ambao unafanana na mambo katika jamii yako?
-
-2. Unajifunza nini kutokana na ujumbe katika matini ulizosikiliza?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 75 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Mwalimu - uk. 76 - Kinasasauti - Tarakilishi/vipakatalishi |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
3 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina:
-Tamthilia
-Maudhui na Dhamira
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya maudhui na dhamira katika fasihi ili kuipambanua -kutambua maudhui na dhamira katika tamthilia -kujadili maudhui na dhamira katika tamthilia -kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kujenga misingi ya uchambuzi. |
- kueleza maana ya maudhui katika fasihi
-kutambua maudhui mbalimbali katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kujadili na wenzake maudhui ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu maudhui -kuandika maelezo mafupi kuhusu maudhui katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu |
Je, ni mambo gani muhimu yaliyo katika tamthilia ulizosoma?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 77 - Tamthilia - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 78 |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa tamthilia
-Kusoma kwa sauti
|
|
3 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni:
-Insha ya mdokezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambanua -kubainisha aina za insha ya mdokezo -kujadili vipengele vya insha ya mdokezo -kuandika insha ya mdokezo kwa kuzingatia vipengele vya uandishi husika -kufurahia kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu. |
- kutambua maana ya insha ya mdokezo
-kujadili vipengele vya insha ya mdokezo atakachosimulia kutokana na mdokezo kwenye matini au kwenye kikundi -kubainisha aina za insha ya mdokezo (kuanzia na kumalizi kwa kujadiliana na wenzake -kusoma kielelezo cha insha kutoka kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali -kueleza vipengele vilivyozingatiwa katika uandishi wa insha ya mdokezo aliyosoma |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha za mdokezo?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 82 - Kielelezo cha insha ya mdokezo - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 83 |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
-Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
3 | 4 |
Sarufi
|
Vivumishi:
-Vivumishi vya Sifa
Vivumishi: -Vivumishi Viashiria |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi katika matini -kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo katika matini -kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano. |
- kutambua vivumishi vya sifa kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno
-kutenga vivumishi vya sifa katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino katika matini za kidijitali -kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa katika mazingira ya shuleni na ya nyumbani -kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa -kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vya sifa ipasavyo |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria?
|
Kielelezo cha Kiswahili
- uk. 79 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
4 | 1 |
KUHUDUMIA WENYE MAHITAJI MAALUMU
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Usikilizaji Husishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya usikilizaji husishi ili kuubainisha -kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi -kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi -kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine. |
- kueleza maana ya usikilizaji husishi akishirikiana na wenzake
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika usikilizaji husishi -kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatiwa -kumsikiliza mwenzake, mwalimu au mgeni mwalikwa akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu suala lengwa na kufasiri hisia zake |
Unaposhiriki katika usikilizaji husishi, utazingatia nini ili kufanikisha usikilizaji?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 86 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Mwalimu - uk. 87 |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
4 | 2 |
Kusoma
|
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua -kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu -kufupisha kifungu akizingatia vipengele vya ufupisho -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi. |
- kueleza maana ya ufupisho akishirikiana na wenzake
-kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu akiwa na wenzake -kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akishirikiana na wenzake -kutambua kwenye matini andishi au ya kidijitali habari za kimsingi katika makala na kuzieleza kwa usahihi kwa kuzingatia mtazamo wa matini katika matini ya kufupishwa |
Unazingatia nini unapofupisha kifungu?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 92 - Tarakilishi/vipakatalishi - Kinasasauti - Rununu - Projekta - Kamusi mbalimbali - uk. 93 |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa ufahamu
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
|
|
4 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni:
-Insha ya Maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika insha ya maelezo -kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri -kufurahia kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri. |
- kutambua tamathali mbalimbali za lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (k.v. tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti)
-kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyochangia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake -kupigia mstari tamathali mbalimbali zilizotumiwa kwenye kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikiana na wenzake |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 90 - Kielelezo cha insha ya maelezo - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 91 |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
-Mijadala kuhusu vidokezo vya insha
|
|
4 | 4 |
Sarufi
|
Vivumishi:
-Vivumishi Vimilikishi
Vivumishi: -Vivumishi vya Idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vivumishi vimilikishi na vya idadi katika matini -kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo katika matini -kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mawasiliano. |
- kutambua vivumishi vimilikishi kwenye chati, kadi maneno au kapu maneno akishirikiana na wenzake
-kutenga vivumishi vimilikishi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino katika matini za kidijitali au za kimaandishi -kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishi katika mazingira ya shuleni -kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vivumishi vimilikishi ipasavyo |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vimilikishi na vya idadi?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 98 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
5 | 1 |
UHALIFU WA MTANDAONI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Aina za Uzungumzaji:
-Uzungumzaji wa Papo kwa Hapo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kuupambanua -kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uzungumzaji -kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano. |
- kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake
-kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa yakitolewa na mwalimu, wenzake, mgeni mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika |
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 99 - Vifaa vya kidijitali - Mgeni mwalikwa - Picha - Mwalimu - uk. 100 |
- Kumakinikia jinsi mwanafunzi anavyotumia lugha katika mawasiliano
-Kujibu maswali
-Maigizo
-Mijadala
-Mazungumzo
|
|
5 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina:
-Tamthilia
-Mandhari
Kusoma kwa Kina: -Tamthilia -Ploti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua mandhari na ploti katika tamthilia -kueleza umuhimu wa mandhari na ploti ili kuubanisha -kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosoma -kuchangamkia nafasi ya mandhari na ploti katika tamthilia. |
- kutambua mandhari mbalimbali katika tamthilia akishirikiana na wenzake
-kueleza umuhimu wa mandhari katika katika tamthilia akishirikiana na wenzake -kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari |
1. Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma?
-
-2. Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 102 - Tamthilia - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 103 |
- Kutunga sentensi k.m. kwa kutumia msamiati lengwa
-Kujibu maswali k.m. katika ufahamu
-Kutoa muhtasari wa tamthilia
-Kusoma kwa sauti
|
|
5 | 3 |
Kuandika
|
Viakifishi:
-Alama za Mtajo
Viakifishi: -Mshazari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari katika matini -kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini -kufurahia matumizi yafaayo ya alama za mtajo na mshazari katika matini. |
- kutambua matumizi ya alama za mtajo kwenye matini andishi au za kidijitali
-kuandika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mtajo ipasavyo -kuandika kwenye kifaa cha kidijitali kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama za mtajo ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakitolee maoni |
1. Je, alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi?
-
-2. Je, alama ya mshazari hutumiwa vipi katika maandishi?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 104 - Vifaa vya kidijitali - Mifano ya matini zenye alama za uakifishi - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 105 |
- Kuandika tungo mbalimbali
-Wanafunzi kufanyiana tathmini
-Potifolio
-Shajara
|
|
5 | 4 |
Sarufi
|
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi:
-Ngeli ya I-ZI
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: -Ngeli ya I-I |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli I-ZI na I-I katika sentensi -kutambua nomino za ngeli ya I-ZI na I-I katika matini -kutumia nomino za ngeli I-ZI na I-I katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi -kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I-ZI na I-I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano. |
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya I-ZI katika sentensi na mafungu ya maneno
-kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya I-ZI -kuchopoa nomino za ngeli I-ZI kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi -kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-ZI |
1. Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-ZI?
-
-2. Ni majina yapi unayojua ya ngeli ya I-I?
|
Kielekezi cha Kiswahili
- uk. 108 - Chati - Kadi maneno - Kapu maneno - Vifaa vya kidijitali - Tarakilishi/vipakatalishi - uk. 109 |
- Kutambua k.m. kwenye orodha
-Kuambatanisha maneno lengwa
-Kujaza mapengo
-Kutunga sentensi
-Kazi mradi
|
|
6 | 1 |
MAJUKUMU YA MNUNUZI
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Kina: Sauti /ch/ na /sh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua sauti /ch/ na /sh/ katika silabi na maneno. -Kutamka sauti /ch/ na /sh/ ipasavyo katika silabi na maneno. -Kuchangamkia matumizi ya sauti /ch/ na /sh/ katika mazungumzo ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua sauti /ch/ na /sh/ katika maneno na silabi akishirikiana na wenzake. -Kutambua maneno yenye sauti /ch/ na /sh/ katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo. -Kutunga vitanzandimi vyenye maana akitumia sauti /ch/ na /sh/ na kujirekodi kwa kutumia kifaa cha kidijitali. -Kusikiliza na wenzake vitanzandimi alivyovirekodi ili kuvitathmini. |
Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti /ch/ na /sh/?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 114
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 115 |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Tathmini ya rekodi
|
|
6 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufahamu: Kifungu cha Kushawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi. -Kufasiri ujumbe katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi. -Kuthamini kusoma vifungu vya ufahamu kwa ajili ya kujielimisha. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali na kudondoa habari mahususi (k.v. nani, nini, wapi, lini). -Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi akishirikiana na wenzake. -Kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (k.v. maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na kuueleza kwa kutumia kamusi akishirikiana na wenzake. |
Ni kwa njia gani tunaweza kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 116
-Kamusi -Matini za ufahamu -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 117-119 -Vifaa vya kidijitali |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
6 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kueleza vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo katika insha ya masimulizi. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika aya za insha ya masimulizi. -Kuonelea fahari insha zenye ukuzaji wa mawazo yaliyopangwa vizuri. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (k.v. mada, utangulizi, kati, hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali. -Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidijitali. -Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi. -Kushirikiana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo. |
Je, unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 120
-Matini za kielelezo -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 121-122 -Vidokezo vya insha |
Uangalizi
-Insha iliyoandikwa
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maswali ya mdomo
|
|
6 | 4 |
Sarufi
|
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-U
Ngeli na Upatanisho wa Kisarufi: Ngeli ya U-YA |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli U-U katika sentensi. -Kutunga sentensi akitumia nomino za ngeli U-U na upatanisho wake ufaao. -Kudumisha matumizi bora ya nomino za ngeli U-U katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya U-U katika sentensi na mafungu ya maneno. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-U. -Kuchopoa nomino za ngeli U-U kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au katika tarakilishi. -Kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya U-U. |
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-U?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 123-124
-Chati -Kadi maneno -Kapu maneno -Tarakilishi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 125-127 |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Zoezi la sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
7 | 1 |
KUKABILIANA NA HISIA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Hurafa
Hadithi: Hekaya |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kueleza dhana ya hurafa na sifa zake. -Kutambua ujumbe katika hurafa aliyosikiliza. -Kuthamini hurafa kama kipera cha fasihi simulizi katika jamii. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au kifaa cha kidijitali. -Kueleza maana ya hurafa ili kuibainisha akishirikiana na wenzake. -Kueleza ujumbe katika hurafa. -Kujadili na mwenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa. |
Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanyama gani?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 129-130
-Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu -Mgeni mwalikwa Kielekezi cha Kiswahili uk. 131-133 |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
7 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina: Wahusika katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua wahusika mbalimbali katika tamthilia. -Kuchambua sifa za wahusika katika tamthilia. -Kuthamini mchango wa wahusika katika kujenga maudhui ya tamthilia. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua wahusika katika tamthilia aliyoisoma. -Kujadili na wenzake sifa za wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. -Kuigiza wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake ili kukuza uelewa wa sifa zao. -Kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. |
Je, ni mambo yapi yanayokuelekeza kuwaelewa wahusika katika tamthilia?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 134-136
-Kitabu cha tamthilia -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu -Video |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maigizo
|
|
7 | 3 |
Kuandika
|
Barua ya Kuomba Msaada
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua muundo wa barua rasmi ya kuomba msaada. -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada ikizingatia vipengele muhimu. -Kuthamini umuhimu wa barua rasmi ya kuomba msaada katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada. -Kutambua ujumbe unaoafiki barua rasmi ya kuomba msaada. -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua rasmi ya kuomba msaada. -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kuhusu masuala mbalimbali na kuwasomea wenzake darasani ili waitolee maoni. |
Je ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 137-138
-Kielelezo cha barua -Vifaa vya kidijitali -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 138 |
Uangalizi
-Barua iliyoandikwa
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
-Maswali ya mdomo
|
|
7 | 4 |
Sarufi
|
Vinyume vya Vitenzi
Vinyume vya Vielezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kutambua maana ya kinyume katika vitenzi. -Kutumia vinyume vya vitenzi katika sentensi na vifungu. -Kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili maana ya kinyume akiwa na mwenzake. -Kutambua vinyume vya vitenzi kwa kutumia kadi maneno, mti maneno, kapu maneno. -Kutambua vinyume vya vitenzi katika matini (k.v. orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno). -Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya vinyume vya vitenzi kutoka kwa sentensi mbalimbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati. |
Je, ni vinyume gani vya vitenzi unavyojua?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 139-140
-Kadi maneno -Mti maneno -Kapu maneno -Chati -Tarakilishi -Maelezo ya mwalimu -Mwongozo wa mwalimu Kielekezi cha Kiswahili uk. 141-143 -Vifaa vya kidijitali |
Uangalizi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Zoezi la sentensi
-Tathmini ya wenzake
-Orodha hakiki
|
|
8 | 1 |
HAKI ZA WATOTO
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kuzungumza kwa Kutumia Vidokezo vya Hoja
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kutambua miktadha katika jamii ambapo kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja hufanywa. -Kuchangamkia kushiriki katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitaji kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. -Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja. |
Kwa nini ni muhimu kuandaa vidokezo unapozungumza?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 145
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maelezo -Chati -Kanuni za darasa |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
8 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Mapana: Matini ya kujichagulia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kuteua matini ifaayo ya kujisomea. -Kueleza ujumbe katika matini ya kujichagulia. -Kujenga mazoea ya kusoma matini mbalimbali katika maisha ya kila siku. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuteua matini ifaayo ya kujisomea. -Kueleza ujumbe wa matini ya kujichagulia aliyoisoma. -Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia. -Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asiyoyajua. -Kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu. |
1. Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichagulia?
-2. Unazingatia mambo gani wakati wa kusoma makala ya kujichagulia?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 147
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Vitabu vya kusoma -Rasilimali za mtandaoni -Vitabu vya marejeleo |
Kumbukumbu za usomaji
-Vigezo vya tathmini
-Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
|
|
8 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua vipengele vya insha ya maelezo. -Kujadili vipengele vya insha ya maelezo. -Kuonea fahari uandishi wa insha za maelezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali. -Kutafiti maktabani au mtandaoni vipengele vya insha ya maelezo. -Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyotafiti mtandaoni. -Kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo. |
Je, ni vipengele gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Mifano ya insha za maelezo -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Insha zilizoandikwa
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Orodha hakiki
-Vigezo vya tathmini
|
|
8 | 4 |
Sarufi
|
Mnyambuliko wa Vitenzi: Kauli ya Kutendeka, Kutendewa na Kutendatenda
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika vitenzi. -Kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavyo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia. -Kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia, kwenye chati, kadi maneno, kapu maneno au tarakilishi. -Kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chati kwa kuvikolezea wino au kuvipigia mstari. -Kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda. |
Kwa nini ni muhimu kujifunza kauli za vitenzi?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 151
-Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
9 |
Midterm |
||||||||
10 | 1 |
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZWA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Kusikiliza kwa Makini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza habari katika matini ya kusikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza. -Kujenga mazoea ya kufurahia kusikiliza vifungu vya kusikiliza. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutoka kifaa cha kidijitali au mwalimu wake. -Kutambua hoja muhimu katika habari aliyosikiliza kuhusu suala lengwa kutoka kwa mwalimu, kifaa cha kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake. -Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza. -Kukadiria maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyosikiliza. |
Je, kwa nini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosikiliza?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 157
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Kadi za maneno -Chati -Kanuni za darasa |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
10 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza vipengele vya kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha. -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora. -Kufurahia usomaji wa kifungu kwa ufasaha. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha (matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo, ishara zifaazo). -Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kwa ufasaha makala (k.v. hotuba, taarifa ya habari). -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora. -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 105 kwa dakika). |
Je, unaposoma kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 159
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Vitabu vya kusoma -Video za mifano ya usomaji -Maelezo ya kifungu |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Vigezo vya tathmini
|
|
10 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kiuamilifu: Hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini. -Kuona umuhimu wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe (unaolenga kinachotolewa ufafanuzi), lugha (nyepesi inayoelewek na muundo ufaao wa hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadili na wenzake miktadha inayochochea hotuba ya kutoa ufafanuzi. -Kujadili na wenzake vidokezo vinavyoweza kutumiwa katika kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi. |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotuba ya ufafanuzi?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 160
-Mifano ya hotuba za ufafanuzi -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Uwasilishaji wa mdomo
-Orodha hakiki
|
|
10 | 4 |
Sarufi
|
Aina za Sentensi: Sentensi changamano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza maana ya sentensi changamano ili kuipambanua. -Kutambua sentensi changamano katika matini. -Kuthamini matumizi ya sentensi changamano. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya sentensi changamano. -Kutenga sentensi changamano katika orodha ya sentensi kwenye vitabu, chati au tarakilishi kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino. -Kubainisha sentensi changamano zinazojitokeza katika matini. |
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazozijua?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 163
-Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Maswali ya maandishi
|
|
11 | 1 |
HESHIMA KWA TAMADUNI ZA WENGINE
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Hadithi: Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua wahusika katika hadithi. -Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi. -Kuona umuhimu wa wahusika katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa (k.v. fanani, hadhira). -Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa. -Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali. -Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza. |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 166
-Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Hadithi za kusoma -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Maswali ya maandishi
-Tathmini ya wenza
-Orodha hakiki
|
|
11 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina: Mbinu za Lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia. -Kuthamini matumizi ya mbinu za lugha katika tamthilia. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwenye tamthilia. -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu. -Kuhakiki uwasilishaji wa wenzake kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni. |
1. Tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?
-2. Mbinu za lugha zina umuhimu gani katika tamthilia?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 168
-Vifaa vya kidijitali -Tamthilia iliyoteuliwa -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Maswali ya maandishi
|
|
11 | 3 |
Kuandika
|
Insha za Kubuni: Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kutambua vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali. -Kujadili vipengele vya insha ya maelezo kuhusu mahali. -Kuthamini umuhimu wa kutoa maelezo ya kujenga picha dhahiri. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vigezo vya kimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo. -Kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha ya maelezo. -Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo kutokana na kielelezo cha insha. -Kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo. -Kutumia lugha inayojenga picha ya kinachoelezewa. |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 170
-Mifano ya insha za maelezo -Vifaa vya kidijitali -Kamusi -Chati -Vifaa vya kuandikia |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Tathmini-binafsi
-Vigezo vya tathmini
|
|
11 | 4 |
Sarufi
|
Ukanushaji kwa Kuzingatia Hali: Hali ya mazoea na Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - -Kueleza maana ya ukanushaji ili kuupambanua. -Kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini. -Kuona umuhimu wa kuelewa njia mbalimbali za kukanusha sentensi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye chati, mti maneno, vitabu au vifaa vya kidijitali. -Kutambua ukanushaji wa sentensi katika hali ya mazoea na timilifu. -Kuchagua sentensi zinazoonyesha ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye mchanganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu, tarakilishi au chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari. |
1. Je, unapotaka kukanusha sentensi unazingatia nini?
-2. Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautianaje?
|
Mentor Kielekezi cha Kiswahili uk. 172
-Tarakilishi/Vipakatalishi -Kinasasauti -Rununu -Kapu maneno -Mti maneno -Kadi maneno |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenza
-Maswali ya maandishi
|
|
12 | 1 |
KUWEKA AKIBA
Kusikiliza na Kuzungumza Kusikiliza na Kuzungumza |
Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi. - Kueleza umuhimu wa vipengele vya lugha vinavyotumika katika hadithi. - Kuchangamkia matumizi ya vipengele vya lugha katika hadithi. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha ya mzee anayesimulia hadithi na kueleza shughuli inayofanyika. - Kusikiliza hadithi inayosimuliwa na mwalimu au mwanafunzi mwingine. - Kutambua vipengele vya lugha vilivyotumika katika hadithi hiyo (urudiaji, nahau, methali, tanakali za sauti, tashbihi). - Kujadili umuhimu wa vipengele hivyo vya lugha katika hadithi. - Kushiriki katika makundi kusimulia hadithi tofauti kuhusu kuweka akiba huku wakitumia vipengele vya lugha. |
1. Matumizi ya mbinu za lugha katika hadithi yana umuhimu gani?
-
-2. Vipengele gani vya lugha vinatumika katika hadithi?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 177
-Vifaa vya kidijitali -Rekodi za sauti -Picha -Chati Kielekezi cha Kiswahili uk. 179 -Kifaa cha kidijitali -Video -https://tinyurl.com/mwat3knv |
Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Majadiliano
-Tathmini ya wenzake
|
|
12 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu: kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua habari mahususi katika kifungu cha mjadala. - Kueleza maana ya msamiati uliotumika katika kifungu cha mjadala. - Kuchambua kifungu cha mjadala ili kupata ujumbe wake. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kifungu cha mjadala kuhusu kuweka akiba. - Kujadili na kumpa kifungu hicho mada mwafaka. - Kutambua hadhira inayolengwa na kifungu hicho na mahali na wakati matukio yanafanyika. - Kutaja maneno na nahau asizojua maana zake zilizotumika katika kifungu. - Kutumia kamusi kueleza maana za maneno na nahau hizo. - Kujadili habari mahususi zinazopatikana katika kifungu. |
1. Utawezaje kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma?
-
-2. Je, unazingatia nini unaposoma vifungu vya ufahamu?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 180
-Kamusi -Kifungu cha mjadala -Chati -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili uk. 182 -Majarida |
Kujibu maswali
-Maswali ya mdomo
-Majadiliano
-Zoezi la uandishi
|
|
12 | 3 |
Kuandika
|
Insha ya maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua vipengele vya insha ya maelekezo. - Kujadili muundo wa insha ya maelekezo. - Kuthamini umuhimu wa mpangilio mzuri wa maelekezo. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha za msichana anayeosha nguo na kujadili jinsi ya kumwelekeza kufua nguo zenye rangi tofauti. - Kusoma kielelezo cha insha ya maelekezo kilichotolewa (Jinsi ya Kufika Benki ya Akiba). - Kutambua na kujadili anwani na muundo wa insha hiyo. - Kujadili sifa za insha ya maelekezo kama vile matumizi ya lugha, mpangilio wa maelekezo, na mpangilio sahihi wa hatua. - Kujadili maneno mwafaka na vipengele vya kimuundo vya insha ya maelekezo. |
1. Je, unapoandika insha ya maelekezo unazingatia mambo gani?
-
-2. Kwa nini mpangilio wa hatua ni muhimu katika insha ya maelekezo?
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 183
-Picha -Kielelezo cha insha ya maelekezo -Chati -Vifaa vya kidijitali Kielekezi cha Kiswahili uk. 184 -Kamusi -Mifano ya insha za maelekezo |
Majadiliano
-Uchunguzi
-Maswali ya mdomo
-Tathmini ya wenzake
|
|
12 | 4 |
Sarufi
|
Udogo wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, - - Kutambua nomino zilizo katika hali ya udogo. - Kubadilisha nomino kutoka katika hali ya wastani hadi hali ya udogo. - Kubaini viambishi vinavyoashiria udogo wa nomino. |
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutazama picha zinazobainisha tofauti kati ya vitu katika hali ya wastani na hali ya udogo. - Kuandika maneno yanayorejelea udogo wa nomino katika picha hizo. - Kupiga mstari viambishi vinavyoashiria udogo wa nomino. - Kuorodhesha nomino za hali ya udogo kutoka kwenye kadi maneno zilizotolewa. - Kugundua kwamba nomino zote za hali ya udogo huanza na kiambishi 'ki-' au 'vi-'. |
1. Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumia nomino katika udogo?
-
-2. Taja mifano ya nomino za kawaida na udogo wake.
|
Kielekezi cha Kiswahili uk. 186
-Picha -Kadi maneno -Chati -Kamusi Kielekezi cha Kiswahili uk. 188 |
Kutambua viambishi
-Kubadilisha nomino
-Maswali ya mdomo
-Mazoezi ya maandishi
|
Your Name Comes Here