If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 2-3 |
Kusikiliza na kuzungumza
fasihi simulizi |
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/
Isimu jamii
vitendawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi kueleza maana ya isimu jamii kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii kutaja mifano ya msamiati somo ; Kutaja vitendawili Kutambua sifa na dhima za vitendawili Kutambua matumizi ya vitendawili Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo Maswali dodoso Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 24-26) |
|
2 | 4 |
fasihi simulizi
|
vitendawili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja vitendawili Kutambua sifa na dhima za vitendawili Kutambua matumizi ya vitendawili Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26) |
|
2 | 5 |
Kuandika
|
Ratiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ratiba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba. Kuandika ratiba . Kueleza maana ya hotuba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134) |
|
2 | 6 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Ushairi -Usafi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi. Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi. Kutambua lengo la shairi hilo. Kujibu maswali kuhusu ushairi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Hadithi fupi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hadithi fupi. Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi. Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi.. Kuandika hadithi fupi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143) |
|
3 | 2-3 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Hadithi fupi
Taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hadithi fupi. Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi. Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi.. Kuandika hadithi fupi somo ; Kueleza maana ya taarifa. Kutaja na kujadili sifa za taarifa. Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk144) |
|
3 | 4 |
Kuandika
|
Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya taarifa. Kutaja na kujadili sifa za taarifa. Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144) |
|
3 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi-maigizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maigizo. Kutaja na kujadili aina tofauti za maigizo. Kujadili sifa za maigizo. Kueleza dhima ya maigizo |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk145-147) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 6 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Ushairi -mwanamke
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi. Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 1 |
Kuandika
|
Unadishi wa insha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha. Kuandika insha kuhusu mada aipendayo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152) |
|
4 | 2-3 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Unadishi wa insha
Mjadala |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha. Kuandika insha kuhusu mada aipendayo somo ; Kueleza maana ya mjadala. Kutaja wahusika katika mjadala. Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi. Kujibu zoezi kikamilifu |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Majadiliano Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk153-154) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Kusoma taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi. Kujadili taarifa kwa kina. Kutaja aina mbalimbali ya vyakula |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Kusoma taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi. Kujadili taarifa kwa kina. Kutaja aina mbalimbali ya vyakula |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 6 |
Kusoma kwa mapana
|
Mtambo wa ATM
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ATM Kusoma taarifa kuhusu ATM. Kueleza alichojifunza kuhusu ATM Kueleza jinsi ya kutumia ATM Kujibu maswali kutoka kwa taarifa ipasavyo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk160-163) |
|
5 | 1 |
Kuandika
|
Resipe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya resipe. Kujadili matumizi ya resipe. Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe. Kuunda resipe |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165) |
|
5 | 2-3 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Resipe
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya resipe. Kujadili matumizi ya resipe. Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe. Kuunda resipe somo ; Kutambua maneno yenye sauti tatanishi /f/ na /v/ Kutamka vitanza ndimi ipasavyo. Kueleza maana ya visasili. Kujadili dhima ya visasili Kusoma kisa mfano ya kisasili kwenye kitabu cha mwanafunzi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Majadiliano Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk166-170) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya tarakilishi. Kutambua mifano ya tarakilishi. Kusoma Makala kuhusu tarakilishi. Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Tarakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya tarakilishi. Kutambua mifano ya tarakilishi. Kusoma Makala kuhusu tarakilishi. Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 6 |
Sarufi
|
Vihisishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya vihisishi Kujadili matumizi ya vihisishi. Kutaja mifano ya vihisishi. Kutumia vihusishi katika sentensi ipasvyo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk172-174) |
|
6 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Ufisadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi. Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo. Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175) |
|
6 | 2-3 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Ufisadi
Risala |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi. Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo. Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu somo ; Kuleza maana ya risala. kujadili matumizi ya risala kutambua mifano ya risala. Kuandika risala |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk175-176) |
|
6 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Ushairi simulizi-nyimbo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili sifa za nyimbo. Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya nyimbo. Kuimba wimbo wa harusi ipasavyo. Kueleza maana ya semi. Kueleza matumizi ya misemo Kutoa mifano ya misemo |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk177-181) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Ushairi -Mrija
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mrija. Kujadili muundo wa shairi Kukariri shairi lenye mada mrija |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 6 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Ushairi -Mrija
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mrija. Kujadili muundo wa shairi Kukariri shairi lenye mada mrija |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
7 | 1 |
Sarufi
|
Vinyume vya vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza vinyume vya vitenzi. Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185) |
|
7 | 2-3 |
Kusoma kwa mapana
|
Jinsia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya jinsia Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia. Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185) |
|
7 | 4 |
Kuandika
|
Utungaji wa kisanii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua na kujadili aina ya mashairi. Kujadili sifa za shairi hizi. Kutaja vitu muhimu vya kuzingatiwa katika uundaji wa shairi hizi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 186) |
|
7 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi-methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya methali. Kueleza sifa za methali. Kutaja mifano ya methali kuu. Kujadili dhima ya methali |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
7 | 5-6 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi-methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya methali. Kueleza sifa za methali. Kutaja mifano ya methali kuu. Kujadili dhima ya methali |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
8 |
Mid Term |
|||||||
9 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Ajira ya watoto
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutabiri matukio katika ufahamu. Kusoma ufahamu katika kitabu cha mwanafunzi kuhusu ajira ya Watoto. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 190-192) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
9 | 2-3 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kusoma maktabani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ukanushaji. Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi. somo ; Kujadili kusoma maktabani. Kufanya utafiti kuhusu mazingira |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 192-200) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 200) |
|
9 | 4 |
Kusoma kwa mapana
|
Kusoma maktabani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili kusoma maktabani. Kufanya utafiti kuhusu mazingira |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200) |
|
9 | 5 |
Kuandika
|
Barua rasmi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya barua rasmi. Taja sehemu tofauti za barua rasmi. Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204) |
|
9 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi-Hekaya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hekaya. Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
10 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Lubigisa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho. Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
10 | 2-3 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Lubigisa
Sentensi ya kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho. Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. somo ; Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi. Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi. Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa. Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk209-211) |
|
10 | 4 |
Sarufi
|
Sentensi ya kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi. Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi. Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa. Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211) |
|
10 | 5 |
Kusoma kwa mapana
|
Umoja wa kitaifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutafuta ujumbe kuhusu umoja wa kitaifa Kutaja manufaa ya umoja wa kimataifa. Kueleza jinsi ambavyo umoja wa kitaifa inaweza kufanikishwa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212) |
|
10 | 6 |
Kuandika
|
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya muhtasari. Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari. Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212) |
|
11 | 1 |
Sarufi
|
Mnyambuliko wa vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) |
|
11 | 2-3 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi. Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 217- 218) |
|
11 | 4 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
11 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
11 | 6 |
Sarufi
|
Uakifishaji
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya uakifishaji. Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji. Kuakifisha sentensi husika ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227) |
|
12 | 1 |
Sarufi
|
Usemi halisi na usemi wa taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya usemi halisi. Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi. Eleza maana ya usemi wa taarifa. Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235) |
|
12 | 2-3 |
Sarufi
Kuandika |
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya usemi halisi. Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi. Eleza maana ya usemi wa taarifa. Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa. somo ; Kueleza maana ya mualiko. Kutambua sifa za mialiko. Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko. Kuandika barua ya mualiko. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 237-240) |
|
12 | 4 |
Sarufi
|
Uundaji wa maneno
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246) |
|
12 | 5 |
Sarufi
|
Uundaji wa maneno
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246) |
|
12 | 6 |
Sarufi
|
Ukubwa na udogo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua umoja na wingi wa nomino. Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256) |
|
13 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
13 | 2-3 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Nidhamu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo somo ; Kueleza maana ya uakifishaji. Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji. Kuakifisha sentensi husika ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 226-227) |
Your Name Comes Here