Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma ufahamu
Sarufi
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/ Isimu jamii
urafiki
Mofimu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri
Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi
kueleza maana ya isimu jamii
kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii
kutaja mifano ya msamiati

somo
Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu
kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 3
Sarufi
Viambishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya viambishi
Kutambua aina za viambishi
Kutumia viambishi vyema katika sentensi
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 7-9)
2 4
Kusoma
Kusoma kwa kina
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea vipengele muhimu za fasihi
Kuelezea maana ya tamthilia
Kusoma tamthilia na kujibu maswali
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 9-12)
2 5
Kuandika
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kutambua vipengele muhimu katika mchezo wa kuigiza
Kuandika mchezo wa kuigiza kuhusu jambo lolote
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 12)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Matamshi bora
Magonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi
Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi
Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 7
Sarufi
Aina za maneno-nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nomino
Kutaja aina za nomino
Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20)
3 1-2
Kusoma
Kuandika
Matumizi ya kamusi
Utangaji wa kuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua sifa za kamusi
Kutumia kamusi kutoa maelezo ya maneno fiche
somo ;
Kutambua mtindo unaofwatwa katika uandishi wa mahojiano
Kutambua vipengee muhimu yanayozingatiwa katika uandishi wa mahojiano
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo

Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 20-21)

KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 21-22)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 3
Kusikiliza na kuzungumza
fasihi simulizi
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /g/ na /ng/
Kutumia maneno yenye sauti hizi katika mazungumzo na sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 23)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 4
Kusoma kwa ufahamu
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
3 5
Sarufi
Aina za maneno-vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea maana ya vivumishi
Kutambua aina ya vivumishi
Kutaja mifano ya vivumishi
Kutumia vivumishi katika sentesi na mazungumzo
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 30-37)
3 6
Kuandika
Ilani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 7
Kusikiliza na na kuzungumza
Fasihi simulizi-hadithi
Tanakali za sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua aina za hadithi
Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale
Kueleza sifa za hadithi za kale
Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1-2
Sarufi
Kusoma kwa kina
Vivumishi 2
Riwaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja aina za vivumishi
Kutoa mifano ya aina yote ya vivumishi
Kutumia vivumishi vyema katika sentensi

somo ;
Kueleza maana ya ya riwaya
Kutaja aina za riwaya
Kutaja vipengele za riwaya
Kuandika hadithi fupi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo

Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 52-69)

KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 69)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 4
Kusoma
Sarufi
Kajinga Acheza na Sensa
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio
Kujibu maswali kuhusu ufahamu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78)
4 5
Kusoma
Lugha, utamaduni na katiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi
Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma
Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala
Kujibu maswali kuhusu Makala
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84)
4 6
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 7
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitate
Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Isimu jamii
Ripoti kuhusu ukimwi
Aina za maneno-vitenzi vishirikishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu
Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo

somo ;
Kueleza maana ya vitenzi vishirikishi
Kutaja aina ya vishirikishi
Kutumia vishirikishi katika mazungumzo na sentensi vyema
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 91-94)
5 3
Kusoma kwa kina
ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ushairi
Kukariri ushairi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 95-96)
5 4
Kuandika
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua simu
Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu
Kuandika barua simu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-98)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno kwa ufasaha
Kutumia vitate vyema katika sentensi
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 6
Kusoma
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuchambua shairi kutoka kwa diwani
Kutaja vipengele vinavyounda shairi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 110)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 7
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1-2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Dayolojia
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kusoma dondoo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia

somo ;
Kutambua vitate vya sauti /s/ na /z/ na kuvitumia vyema katika sentensi.
Kueleza maana ya vitanza ndimi.
Kutambua na kutamka vitanza ndimi vyema.
Kujibu maswali kutoka kwa Makala ya haki za Watoto kikamilifu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk118-120)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 3
Sarufi
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129)
6 4
Kusoma kwa mapana
Janga la ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu lenye mada Janga la ukimwi.
Kujadili matukio katika kifunguu kicho.
Kujibu maswali kuhusu kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk130-132)
6 5
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
6 6
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -Usafi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi.
Kutambua lengo la shairi hilo.
Kujibu maswali kuhusu ushairi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 7
Kusoma kwa mapana
Hadithi fupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hadithi fupi.
Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi.
Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi..
Kuandika hadithi fupi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143)
7 1-2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Taarifa
Fasihi simulizi-maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
somo ;
Kueleza maana ya maigizo.
Kutaja na kujadili aina tofauti za maigizo.
Kujadili sifa za maigizo.
Kueleza dhima ya maigizo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk145-147)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -mwanamke
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 4
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151)
7 5
Kuandika
Unadishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
7 6
Kusikiliza na kuzungumza
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mjadala.
Kutaja wahusika katika mjadala.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujibu zoezi kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk153-154)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 7
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma taarifa
Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 1-2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Mtambo wa ATM
Resipe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ATM
Kusoma taarifa kuhusu ATM.
Kueleza alichojifunza kuhusu ATM
Kueleza jinsi ya kutumia ATM
Kujibu maswali kutoka kwa taarifa ipasavyo
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk160-163)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
8 3
Kusikiliza na kuzungumza
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua maneno yenye sauti tatanishi /f/ na /v/
Kutamka vitanza ndimi ipasavyo.
Kueleza maana ya visasili.
Kujadili dhima ya visasili
Kusoma kisa mfano ya kisasili kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk166-170)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Tarakilishi
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 5
Kusoma kwa mapana
Ufisadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi.
Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo.
Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175)
8 6
Kuandika
Risala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176)
8 7
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi simulizi-nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili sifa za nyimbo.
Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya nyimbo.
Kuimba wimbo wa harusi ipasavyo.
Kueleza maana ya semi.
Kueleza matumizi ya misemo
Kutoa mifano ya misemo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk177-181)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
9

Midterm break

10 1-2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Ushairi -Mrija
Vinyume vya vitenzi
Jinsia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mrija.
Kujadili muundo wa shairi
Kukariri shairi lenye mada mrija

somo ;
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185)
10 3
Kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kujadili aina ya mashairi.
Kujadili sifa za shairi hizi.
Kutaja vitu muhimu vya kuzingatiwa katika uundaji wa shairi hizi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 186)
10 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ajira ya watoto
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu.
Kusoma ufahamu katika kitabu cha mwanafunzi kuhusu ajira ya Watoto.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 190-192)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 6
Kusoma kwa mapana
Kusoma maktabani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili kusoma maktabani.
Kufanya utafiti kuhusu mazingira
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200)
10 7
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
11 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Fasihi simulizi-Hekaya
Lubigisa
Sentensi ya kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hekaya.
Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 3
Kusoma kwa mapana
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutafuta ujumbe kuhusu umoja wa kitaifa
Kutaja manufaa ya umoja wa kimataifa.
Kueleza jinsi ambavyo umoja wa kitaifa inaweza kufanikishwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
11 4
Kuandika
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
11 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya shairi simulizi.
Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba.
Kutafsiri maana ya wimbo huo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk213)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 6
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Taarifa
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 7
Kusoma kwa mapana
Afya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 217- 218)
12 1-2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nidhamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 4
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
12 5
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
12 6
Kusikiliza na kuzungumza
Redio/Kanda za kunasia sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 7
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Shairi-Njaa nipishe na kando
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
13 1-2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Jana si leo
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
13 3
Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
13 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Safari yenye hatari
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Safari yenye hatari
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 243-245)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
13 5
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248)
13 6
Kuandika
Imla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
13 7
Kusikiliza na kuzungumza
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa.
Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari.
Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 249-250)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
14 1-2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.

somo ;
Kueleza jinsi ya kutumia kamusi.
Kutambua matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
14 3
Kuandika
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya imla mchanganyiko.
Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
14 4
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
14 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nidhamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
14 6
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
14 7
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)

Your Name Comes Here


Download

Feedback