If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
Opener exams |
|||||||
1 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/
Isimu jamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi kueleza maana ya isimu jamii kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii kutaja mifano ya msamiati |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 6 |
Kusoma ufahamu
Kuandika |
urafiki
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kusoma ufahamu na kuelezeamtirirko wa matukio Kujibu maswali kuhusu ufahamu Kutambua na kueleza maana ya misamiati yaliyotumika katika ufahamu kueleza maana ya urafiki na Madhumuni ya urafiki |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk3_5) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Matamshi bora
Magonjwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 2 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Aina za maneno-nomino
Utangaji wa kuamilifu Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya nomino Kutaja aina za nomino Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema |
Kusoma
Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20) |
|
2 | 3-4 |
fasihi simulizi
Kusoma kwa ufahamu Sarufi Kuandika |
vitendawili
Aina za maneno-vivumishi Ilani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja vitendawili Kutambua sifa na dhima za vitendawili Kutambua matumizi ya vitendawili Kueleza dhima, sifa na mifano ya chemsha bongo somo ; Kuelezea maana ya vivumishi Kutambua aina ya vivumishi Kutaja mifano ya vivumishi Kutumia vivumishi katika sentesi na mazungumzo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Maelezo Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mashairi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 24-26) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 30-37) |
|
2 | 5 |
Kusikiliza na na kuzungumza
Sarufi |
Fasihi simulizi-hadithi
Tanakali za sauti Vivumishi 2 |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua aina za hadithi Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale Kueleza sifa za hadithi za kale Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 6 |
Kusoma kwa kina
Kusikiliza na kuzungumza |
Riwaya
Matamshi bora |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ya riwaya Kutaja aina za riwaya Kutaja vipengele za riwaya Kuandika hadithi fupi |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 69) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Kusoma
Sarufi |
Kajinga Acheza na Sensa
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ufahamu na kueleza mtiririko wa matukio Kujibu maswali kuhusu ufahamu |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 75-78) |
|
3 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Lugha, utamaduni na katiba
Uandishi wa insha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Makala katika kitabu cha mwanafunzi Kutabiri matukio katika Makala kabla ya kusoma Kutambua misamiati yaliyotumika katika Makala Kujibu maswali kuhusu Makala |
Maelezo
Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk82-84) |
|
3 | 3-4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma Sarufi Kusoma kwa kina |
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Isimu jamii Ripoti kuhusu ukimwi Aina za maneno-vitenzi vishirikishi ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya vitate Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/ somo ; Kueleza maana ya vitenzi vishirikishi Kutaja aina ya vishirikishi Kutumia vishirikishi katika mazungumzo na sentensi vyema |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Kusoma Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (UK 91-94) |
|
3 | 5 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya barua simu Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu Kuandika barua simu |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-98) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma Kuandika |
Isimu jamii
Kusoma kwa kina-shairi Utungaji wa kiuamilifu-matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Dayolojia
Vitate vya sauti /s/ na /z/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya dayolojia Kuandika dayolojia Kueleza mtindo wa dayolojia Kusoma na kuigiza dayolojia |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117) |
|
4 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Kusoma kwa mapana Kuandika |
Kusoma dondoo
Viwakilishi Janga la ukimwi Ratiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema. Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo. Kutambua wahusika katika dondoo. Kujiu maswali sahihi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 |
End term exams |
Your Name Comes Here