If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
Kusoma
|
6.2.1 Kusoma kwa kina
Tamthilia
-Maudhui
-Dhamira
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya maudhui na dhamira katika fasihi ili kuipambanua -Kutambua maudhui na dhamira katika tamthilia -Kujadili maudhui na dhamira katika tamthilia |
Mwanafunzi aelekeze
-Kueleza maana ya maudhui katika fasihi -Kutambua maudhui mbali mbali katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kujadili na wensake maudhui ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kujaddili na wenzake maudhui ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kuwawasilishia wenzake darsani uchambuzi wake kuhusu maudhui. -Kuandika maelezo mafupi kuhusu maudhui katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kueleza maana ya dhamira katika fasihi -Kutambua dhamira ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kujadili na wenzake dhamira katika tamthilia. -Kuandika maelezo mafupi kuhusu dhamira ya tamthilia iliyoteuliea na mwalimu -Kuwasilishia mzazi, mlezi, au mwenzake uchambuzi wake kuhusu maudhui na dhamira ili wauttolee maoni. |
Je, mambo gani muhimu yaliyo katika tamthilia ulizosoma?
|
Kifaa cha kidigitali, kinasa sauti
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK 63-66 |
-Kueleza maana ya maudhui
-Kujadili
-Kuwasilisa
-Kueleza
-Kutambua dhamira
-Kuandika
|
|
| 2 | 2 |
Kuandika
|
6.3.1 Insha ya kubuni
(Insha ya mdokezo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambuanua -kubainisha aina ya insha ya mdokezo -Kujadili vipengele vya insah ya mdokezo -Kuandika insha ya mdokezo kuzingaatia vipengel vya uandishi husika -Kufurahia Kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kutambua maana ya insha ya mdokezo -Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo kwenye matini au kwenye kikundi -kubainisha aina ya insha ya mdokezo (Kwanzia na kumalizia) kwa kujadiliana na wenzake -Kusoma kielelezo cha insah kutoka kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali -Kueleza vipengle vilivyo zingatiwa katika uandishi wa insha ya mdokezo aliyosoma -Kuandika insha ya mdokezo kuzinatia vipengele vya uandishi wa insha za mdokezo -Kuwasilisha insha yake darasani ili wenzake waitolee maoni -Kuwasilishia mzazi au mlezi insah aliyoiandika ili aitolee maoni |
Je, ni vigezo vipi vinavyo tumika katika kuandkika insha za mdokezo
|
Vifaa vy kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 66 - 68 |
-Kutambua maan
-Kujadili vipengle
-Kusoma kielelezo
-Kueleza vielelezo
|
|
| 2 | 3 |
Kuandika
|
6.3.1 Insha ya kubuni
(Insha ya mdokezo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya mdokezo ili kuipambuanua -kubainisha aina ya insha ya mdokezo -Kujadili vipengele vya insah ya mdokezo -Kuandika insha ya mdokezo kuzingaatia vipengel vya uandishi husika -Kufurahia Kuandika insha za mdokezo ili kukuza ubunifu |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kutambua maana ya insha ya mdokezo -Kujadili vipengele vya insha ya mdokezo kwenye matini au kwenye kikundi -kubainisha aina ya insha ya mdokezo (Kwanzia na kumalizia) kwa kujadiliana na wenzake -Kusoma kielelezo cha insah kutoka kwenye kitabu au kifaa cha kidijitali -Kueleza vipengle vilivyo zingatiwa katika uandishi wa insha ya mdokezo aliyosoma -Kuandika insha ya mdokezo kuzinatia vipengele vya uandishi wa insha za mdokezo -Kuwasilisha insha yake darasani ili wenzake waitolee maoni -Kuwasilishia mzazi au mlezi insah aliyoiandika ili aitolee maoni |
Je, ni vigezo vipi vinavyo tumika katika kuandkika insha za mdokezo
|
Vifaa vy kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 66 - 68 |
-Kutambua maan
-Kujadili vipengle
-Kusoma kielelezo
-Kueleza vielelezo
|
|
| 2 | 4 |
Sarufi
|
6.4.1
-Vivumish vya sifa
-Vivumishi viashiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vivumishi vya sifa/vionyeshi katika matini -Kuhimia vivumishi vya sifa na viahiri/vionyeshi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi ya vivumishi vya sifa na viashiria katika mawasiliano |
Mwanafunzi alekezwe;
-Kutambua vivumishi vya sifa na viashiria kwenye chati, kadi maneno a kapu maneno -Kutinga vivumishi vya sifa na viashiria katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kwa kupigia mstari au kuvikoleza wino katika matini za kidijitali --Kumtajia mwenzake vivumishi vya sifa na viashiria katika mzingira ya shuleni nay a nyumbani -Kutafiti mtandaoni kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria Kujaza nafasi katika sentence au vifungu kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria/vionyeshi ipasavyo -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia vivumishi vya sifa na viashiria akizingatia masaulu mtambuko mbali mbali likiwemo suala la usalama nyumbani -Kumsomea mzazi au mlezi kuhusu vivumishi vya sifa na viashiria alivyofafiti mtandaoni |
Je, kuna tofauti gani kati ya vivumishi vya sifa na vivumishi viashiria
|
Kapu maneno, chati, kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 68 - 71 |
-Kutambua vivumishi
-Kutengeneza vivumishi
-Kumtajia mwenzake
-Kujaza nafasi
-Kutunga sentensi
|
|
| 2 | 5 |
Kusikiliza na Kuzungumuza
|
7.1.1 Usikilizaji husisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya usikilizaji husisha ili Kubanisha -Kujadili vipengel vya kuzingatia katika usikilizaji husishi -Kufanya mazungumzo yanayozingatia vipengele vya usikilizaji husishi -Kuchangamkia kushiriki katika usikilizaji husishi ili kujenga uhusiano mwema na wengine |
Mwanafunzi aelekezwe
-Kueleza maana ya usikilizaji husisha akishirikiana na wenzake -Kujadili vipengelee vy kuzingatia katika usikilizaji husisha -Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka kwenye vifaa vya kidijitali akizingatia na kutambua vipengele vya usikilizaji husishi vilivyozingatia usikilizaji husishi vilivyo zingatiwa -Kumsikiliza mwenzake mwalimu au mgeni mwalimu akisema kauli au akisoma vifungu vifupi kuhusu sual lengwa na kufasir hisia zake -Kuingiza kikao cha utoaji nasah akiishirikan na wenzake huku akizingatia vipengle vya usikilizaji husisha -Kushiriki mazungumzo kuhusu sauala lengwa na mzazi, mlezi au mwenzake huku akizingatia vipenele vya usikilizaji husishi |
-Unapo shiriki katika usikilizaji husishi ukizingatia nini ili kufanikisha usikilizaji
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 72 - 75 |
-Kueleza maana
-Kujadili vipengele
-kusikiliza mazungumzo
-Kuigiza
|
|
| 3 | 1 |
Kusoma
|
7.2.1
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua -Kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu -Kufupisha kifungu akizingatia vipengle vya ufupisho -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuzi aelekekwe: -Kueleza maana ya ufupisho akishirikian na wenzake -Kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akishirikiana na wenzake -Kutambua kwenye matini andishi au ya kidijitali habari za kimsingi katika Makala na kuzingatia mtazamo wa matini katika matini ya kufupishwa -Kueleza kwa maneno yake habarimuhimu katika kifngu alichosoma -kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishivikiean na wenzake -Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni -Kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini |
Unazingatia nini unapofupisha kifungu
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 75 - 78 |
-Kueleza maana
-Kusoma kifungu
-Kutambua
-Kuelezea
-Kufupisha vifungu
-Kuwasilisha wenzake
|
|
| 3 | 2 |
Kusoma
|
7.2.1
Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufupisho ili kuupambanua -Kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu -Kufupisha kifungu akizingatia vipengle vya ufupisho -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa maelezo mafupi |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuzi aelekekwe: -Kueleza maana ya ufupisho akishirikian na wenzake -Kujadili vipengele vya ufupisho wa kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akishirikiana na wenzake -Kutambua kwenye matini andishi au ya kidijitali habari za kimsingi katika Makala na kuzingatia mtazamo wa matini katika matini ya kufupishwa -Kueleza kwa maneno yake habarimuhimu katika kifngu alichosoma -kufupisha kifungu alichosoma kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini akishivikiean na wenzake -Kuwawasilishia wenzake kazi yake ili waitolee maoni -Kumweleza mzazi au mlezi namna ya kufupisha kifungu kwa kuzingatia mpangilio ufaao wa habari sahihi kutokana na matini |
Unazingatia nini unapofupisha kifungu
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 75 - 78 |
-Kueleza maana
-Kusoma kifungu
-Kutambua
-Kuelezea
-Kufupisha vifungu
-Kuwasilisha wenzake
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
|
7.3.1 Insha ya kubuni
Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua tamathali mbali mbali za lugha katika insha ya maelezo -Kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbali mbali za lugha ili kujenha picha dhahiri -Kufurahia Kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbali mbali za lugha ili kujenga picha dhahiri |
Mwanafunzi aelekezwe;
-Kutambua tamathali mbali mbali z lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (K.V tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti) -Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyo changia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake -Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilisotumiwa kwenue kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikishana na wenzake -Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -Kuswasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili
|
Kifua cha kidigitali na
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 78-80 |
-Kutambua tamathali
-Kupiga mistari
-Kuandika insha
-Kuwasomea wenzako
|
|
| 3 | 4 |
Kuandika
|
7.3.1 Insha ya kubuni
Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua tamathali mbali mbali za lugha katika insha ya maelezo -Kueleza jinsi tamathali mbalimbali za lugha zinavyochangia kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbali mbali za lugha ili kujenha picha dhahiri -Kufurahia Kuandika insha za maelezo akitumia tamathali mbali mbali za lugha ili kujenga picha dhahiri |
Mwanafunzi aelekezwe;
-Kutambua tamathali mbali mbali z lugha katika vielelezo vya insha za maelezo (K.V tashbihi, sitiari, uhaishaji na tanakali sauti) -Kutambua jinsi tamathali za lugha katika kielelezo cha insha ya maelezo zinavyo changia kujenga picha dhahiri ya kinachoelezewa akishirikiana na wenzake -Kupigia mstari tamathali mbalimbali zilisotumiwa kwenue kifungu na kutoa maelezo katika kitabu au kifaa cha kidijitali akishirikishana na wenzake -Kuandika insha ya maelezo akitumia tamathali mbalimbali za lugha ili kujenga picha dhahiri katika insha ya maelezo -Kuswasomea wenzake insha aliyoandika ili waitolee maoni |
Je, unatumia lugha ya aina gani wakati unapotaka kumweleza mtu kitu ili aweze kupata picha kamili
|
Kifua cha kidigitali na
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 78-80 |
-Kutambua tamathali
-Kupiga mistari
-Kuandika insha
-Kuwasomea wenzako
|
|
| 3 | 5 |
Sarufi
|
7.4.1 Vivumishi
-Vivumishi vimilikishi
-Vivumishi vya idai
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua vivumish vimilikishi na vya idadi katika matini -Kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi ya vivumishi vimilikishi na vy idadi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vivumishi vimilishi, na vya idadi kwenye chati, kadi maneo au kapu maneno akishirikiana na wenzake -Kutenga vivumishi vimilikishi na vya idadi katika orodha ya maneno, sentensi au vifungu kw kuzipigia mistari au kuzikolezea wino katika mathini za kikidijitari au za kimandishi -Kumtajia mwenzake vivumishi vimilikishi na vya idadi katika mazingira ya shulen-Kujaza nafasi katika sentence au vifungu kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vya idadi ipasavyo -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia vivumishi vimilikishi na vy idai akizingatia masual mtambuko mbali mbali likiwemosuala lalkuhudumia wenye mahitaji maalum -Kumtajia mzazi au mlezi sentensi zenye vivumishi vimilishi na vya idadi katka mazingira ya nyumbani |
Je kna tofauti gani kati ya vivumishi
vimilikishi na vya idadi?
|
Kfaa cha kidigitali, kapu maneno,
KLB TOP SCHOLAR Kiswahli Gredi ya 8 UK: 80-88 |
-Kutambua
-Kutenga
-Kujaza nafasi
-Kutunga sentesi
-Kumtajia mzazi
|
|
| 4 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
8.1.1
Uzungumzaji wa papo kwa hapo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelezea maona ya uzungumzaji wa papo kwahao ili kuupambanua -Kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengle vifaavyo vya uzungumzaji -Kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake -Kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -Kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapokuhusu swala lengwa yakitolewa na mwalimu,wenzake, mgeni, mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika -Kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyo n kuwawasilishia wenzake ili wautathmini |
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
|
-Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 84-85 |
-kubainisha
-kusikiliza
-Kutathmini
-kubuni
-kushiriki katika uzungumzaji
|
|
| 4 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
8.1.1
Uzungumzaji wa papo kwa hapo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelezea maona ya uzungumzaji wa papo kwahao ili kuupambanua -Kutambua vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo kwa kuzingatia vipengle vifaavyo vya uzungumzaji -Kuchangamkia kutoa uzungumzaji wa papo kwa hapo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya mazungumzo ya papo kwa hapo akishirikiana na wenzake -Kubainisha vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa papo kwa hapo -Kusikiliza uzungumzaji wa papo kwa hapokuhusu swala lengwa yakitolewa na mwalimu,wenzake, mgeni, mwalimu au kutoka kwenye vifaa vya kidijitali na kutathmini vipengele vya uwasilishaji vilivyotumika -Kushiriki katika uzungumzaji wa papo kwa hapo kuhusu suala lengwa akizingatia vipengele vifaavyo n kuwawasilishia wenzake ili wautathmini |
Unazingatia mambo gani ili kufanikisha uzungumzaji wa papo kwa hapo?
|
-Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 84-85 |
-kubainisha
-kusikiliza
-Kutathmini
-kubuni
-kushiriki katika uzungumzaji
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
|
8.2.1 Kusoma kwa kina-Tamthilia
-Mandhari
-Ploti
-
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mandhari nap ploti katika tamthila. -Kueleza umuhimu wa mandhari nap loti ili kuubainisha -Kujadili mandhari na ploti ya tamthilia aliyosoma -Kuchangamkia nafasi ya mandhari nap loti katika tamthiliaa |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kutambua mandhari mbali mbali katika tamthilia akishirikiana na wenzake. -Kueleza umuhimu wa mandhari katika tamthilia askishirikiana na wenzake -Kuandika kwa ufupi kuhusu mandhari katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kuwawasilisha wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu mandhari -Kusoma chapisho la tamthilia au kutoka mtandaoni na Kutambua mandhari yake -Kutambua ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu au na wenzake -Kuandaa muhtasari kuhusu ploti ya tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kuwawasilishia wenzake darasani uchambuzi wake kuhusu ploti ya tamthilia aliyosoma |
Ni mandhari gani unayokumbuka yaliyo katika tamthilia ulizowahi kusoma?
-Ploti ina umuhimu gani katika tamthilia ulizowahi kusoma?
|
Kinasa sauti
Vifaa vya kidigitali KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Grdi ya 8 UK: 86-88 |
-Kutambua mandhari
-Kueleza
-kuandkika
-Kuwawasilisha
-Kusoma
-Kutambua
-Kujadili
-Kuandaa
|
|
| 4 | 4 |
Kuandika
|
8.8.1 Viakilishi
-Alama za mtajo
-Mshazari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya Alama za mtajo na mshazari katika matini -kutumia Alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini -Kufurahia matumizi yafaayo ya Alama za mtajjo na mshazari katika matini |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanfunzi aelekezwe; -Kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali -Kuandika maneno sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo -Kuandika kwenye kifaa cha kidijitali kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakutolee maoni -Kushirikian na wenzake kusahihi sha kifungu ambach hakijatuma alama za mtajo namshazari ipasavyo -Kuwasomea wenzake kifung alichoandika nakuwataka waandkie maneno, sentensi au vifungu vinavyostahili kuwa na alama za mtajo na mshazari -Kushirikiana na mzazi au mlezi, kutafiti mtandaoni au kwenyevitaabu vya ziada kuhusu matumizi ya alama za mtajo na mshazari |
-Je, Alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi?
-Je Alama ya mshazari
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 |
-Kutambua matumizi
-Kuandika maneno, sentensi
-Kushirikiana na wenzake
-Kuwasomea wenzake
|
|
| 4 | 5 |
Kuandika
|
8.8.1 Viakilishi
-Alama za mtajo
-Mshazari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya Alama za mtajo na mshazari katika matini -kutumia Alama za mtajo na mshazari ipasavyo katika matini -Kufurahia matumizi yafaayo ya Alama za mtajjo na mshazari katika matini |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanfunzi aelekezwe; -Kutambua matumizi ya alama za mtajo na mshazari kwenye matini andishi au za kidijitali -Kuandika maneno sentensi au vifungu vya maneno kwa kutumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo -Kuandika kwenye kifaa cha kidijitali kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama za mtajo na mshazari ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili wakutolee maoni -Kushirikian na wenzake kusahihi sha kifungu ambach hakijatuma alama za mtajo namshazari ipasavyo -Kuwasomea wenzake kifung alichoandika nakuwataka waandkie maneno, sentensi au vifungu vinavyostahili kuwa na alama za mtajo na mshazari -Kushirikiana na mzazi au mlezi, kutafiti mtandaoni au kwenyevitaabu vya ziada kuhusu matumizi ya alama za mtajo na mshazari |
-Je, Alama za mtajo hutumiwa vipi katika maandishi?
-Je Alama ya mshazari
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 |
-Kutambua matumizi
-Kuandika maneno, sentensi
-Kushirikiana na wenzake
-Kuwasomea wenzake
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi
|
8.4.1 Ngeli
Na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ya I –Zi
Ngeli ya I-I
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Tambua viambishi vya upatanishowa kisarufi vya ngeli I -Zi na I - I katika sentensi -Kutambua nomino za ngeli ya I – Zi na I – I katika matini -kutumia nomino za ngeli I – Zi na I – I katika mitini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi -Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya I – Zi na I – I ipasavyo katika sentensi na vifungu ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya Ngeli ya I – Zi na I – I katika sentensi na mafungu ya maneno -Kujaza nafasi katika sentensi au vifunguau kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa Ngeli I – Zi na I –I kwenye chati, kadi msneno kapu au katika tarakilishi -Kutaja makina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya I-Zi na I_I -Kutenga nomino za ngeli ya I – Zi na 1- 1 katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu tarakilishi, chati kwa kuzikolezea wino au kuzipigia mstari -Kutunga sentensi au vifungu vyenye upatanishoufaao wa kisarufi kwa kutumia nomino za ngeli ya I – Zi na I – I akizingatia masual mtambulo mbalimbali likiwemo suala la uhalifu wa mtandaoni -Kutunga sentence zenya upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya I- Zi and I – I akituia nonino za vitu vilivyo katika mazingira ya nyumbani, na kumsomea mzazi au mlezi wake ili amtolee maoni |
-ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya I-Zi?
- ni, majina yapi unayojua ya ngeli ya I- I?
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 90 - 94 |
-Kutambua viambishi
-Kujaza nafasi
-Kuchapa nomino
-kutaja majina
-Kutenga nomino
-Kutunga sentensi au vifungu
|
|
| 5 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
9.1.1 Kusikiliza kwa kina
-Sauti (ch)
-Sauti (sh)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sauti (ch) na (sh) katika silabi na maneno -Kutamka sauti (ch) na (sh) katika silabi na maneno -kutumia maneno yenye sauti (ch) na (sh) ipasavyo katika matini ili kuyatofuatisha kimatamshi -Kuchangamkia matamshi bora ya sauti (ch) na (sh) katika mazungumzo ya kawaida ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua sauti (ch) na (sh) katika maneno na silabi akishirikiana na wenzake -Kutambua maneno yenye sauti (ch) na (sh) katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo -Kutunga vitanzandimi vyenye maana akitumia sauti (ch) na (sh) and kujirekodi kwa kutmia kifaa cha kidijitali -kisikiliza na wenzake vitanza ndimi alivyo virekodi ili kuvitathmini -Kumwashilishia mzazi au mlezi mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti (ch) na (sh) |
-Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti 9ch) na (sh)Kinasa sauti, vifaa vya kidijitali,
KLB TOP
SCHOLAR
Kiswahili
Gredi ya 8
UK: 95 - 96
|
Kutambua sauti (ch) na (sh)
-Kutambua maneno -Kutunga -Kusikiliza |
|
|
| 5 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
9.1.1 Kusikiliza kwa kina
-Sauti (ch)
-Sauti (sh)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sauti (ch) na (sh) katika silabi na maneno -Kutamka sauti (ch) na (sh) katika silabi na maneno -kutumia maneno yenye sauti (ch) na (sh) ipasavyo katika matini ili kuyatofuatisha kimatamshi -Kuchangamkia matamshi bora ya sauti (ch) na (sh) katika mazungumzo ya kawaida ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua sauti (ch) na (sh) katika maneno na silabi akishirikiana na wenzake -Kutambua maneno yenye sauti (ch) na (sh) katika matini andishi au za kidijitali na kuyatamka ipasavyo -Kutunga vitanzandimi vyenye maana akitumia sauti (ch) na (sh) and kujirekodi kwa kutmia kifaa cha kidijitali -kisikiliza na wenzake vitanza ndimi alivyo virekodi ili kuvitathmini -Kumwashilishia mzazi au mlezi mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia matamshi bora ya sauti (ch) na (sh) |
-Ni maneno yapi unayoyajua yaliyo na sauti 9ch) na (sh)Kinasa sauti, vifaa vya kidijitali,
KLB TOP
SCHOLAR
Kiswahili
Gredi ya 8
UK: 95 - 96
|
Kutambua sauti (ch) na (sh)
-Kutambua maneno -Kutunga -Kusikiliza |
|
|
| 5 | 4 |
Kusoma
|
9.2.1 Kusoma kwa ufahamu
-Kifungu cha kushawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua habari mahususi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi -Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamy cha kishawishi -Kueleza maana ya msamiati na vifungu vya maneno kaitka kifungu cha ufahamu cha kushawishi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi -Kujadili ushawishi katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi ili kutuza hamu ya ujifuzaji |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma ufahamu wa kifungu cha kushawishi kutoka kwa vitabu au vifaa vya kidijitali au kudondoa habari mahususi (K.V, nani, nini, wapi, lini) -Kutabiri matukio katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi akishirikiana na wenzake -Kueleza maana ya msamiati kuhusu suala lengwa (K.V maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha kushawishi na akuueleza kwa kutumia kamusi akishirikiana na wenzake -Kuwawasilisha wenzake kazi yake ili wamtolee maoni |
Ni kwa njia gai tunawea kutambua ujumbe wenye lengo la kushawishi katika habari?
|
-Tarakilishi vipakatalishi vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 96-98 |
-Kusoma ufahamu
-Kutabiri matukio
-Kueleza maana
-Kujadili ushawishi
|
|
| 5 | 5 |
Kuandika
|
9.3.1 Insha za kubuni
Insha ya msimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vanavyozingatiwa kujenga wazo katika insha za masimulizi -Kujadili vipengele vanavyo jenga wazo katika insha za masimulizi Kujadili vipengele vinavyo jenga wazo katika aya kuhusu insah ya msimulizi -Kuandika insha ya maimulizi akikuza katika aya ipasavyo -Kufurahia utunzi wa insha za masimulizi zenye mapngilio mzuri wa wazo |
Mwanafunzia aelekezwe:
-Kutambua vipengele vinavyozingatiwa kujenga wazo (K.V mada, utangulizi, kati hitimisho) katika insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi na za kidijitali -Kutambua ukuzaji wa wazo katika kila aya ya insha ya masimulizi katika matini za kimaandishi au za kidigitali -Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa katika kila aya ya insha ya masimulizi (K.V kila wazo kuu kuwa katika aya yake kutoamaelezo toshelevu kwa kila hoja kuu katika aya yake., kuepuka urudiaji au uchanganyaji wa hoja katika aya -Kushirkana na wenzake kujadili vipengele vinavyojenga mawazo -Kuandika vidokezo vya insha vinavyozingatia ukuzaji wa waso katika kila aya -Kuandika insha ya masimulizi akizingatia ukuzaji wa wazo kaitka kila aya ya vipengele vnavyojenga mawazo hayo. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni -Kushirikiana na wenzake kusahihisha insah ya maielezo aliyoandika kuhusu saual lengwa kwa kuzingatia ukuzaji wa wazo katika kila aya |
Je unawezaje kulikuza wazo vizuri katika insha ya masimulizi
|
Vifaa vya Kidigitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 98 - 100 |
-Kutambua vipengele
-Kutambua ukuzaji
-Kueleza jinsi wazo lilivyokuzwa
|
|
| 6 | 1 |
Sarufi
|
9.4.1 Ngeli na upatanisho wa kisarufi
-Ngeli ya u-u
-Ngeli ya u-ya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya katika sentensi -Kutambua nomino za ngeli ya u-u na u-ya katika matini -kutumia nomino za ngeli ya u-u na u-ya katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi |
Mwanafunzi aelekekwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-u na u-ya katika sentensi na vifungu vya mneno -Kujaza nafasi katika sentensi au kifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya -Kuchopoa nomino za ngeli ya u-u na u-ya kwenye chati, kadi, maneno, kapu maneno au katika tarakilishi -Kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya u-u na u-ya -Kutenga nomino za ngeli ya u-u na na u-ya katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chat kwa kuzipigia mstari -Kutunga sentence au vifungu vifupi vyenye upatanisho ufaao wa ngeli ya u-u na u-ya akizingatia masuala tambulo mbalimbali likiwemo sualal la majukumu ya mnunuzi -Kuwasilisha kazi yake darasani au kuwasambazia wenakae mtandaoni ili waitolee maoni -Kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya akitumia nomino za vitu vilivyo katika mazingira ya nyumbani, na kumsomea mzazi au mlezi wake ili amtolee maoni |
Ni vitu gaani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya u-u?
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
|
Kwenye chati, kadi, kapu maneno tarakilishi vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 100-105 |
-Kutambua viambishi
-Kujaza nafsi
-kuchopoa nomino
kutaja majina
-Kutunga sentensi
-Kutenga nomino
|
|
| 6 | 2 |
Sarufi
|
9.4.1 Ngeli na upatanisho wa kisarufi
-Ngeli ya u-u
-Ngeli ya u-ya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya katika sentensi -Kutambua nomino za ngeli ya u-u na u-ya katika matini -kutumia nomino za ngeli ya u-u na u-ya katika matini kwa kuzingatia upatanisho ufaao wa kisarufi |
Mwanafunzi aelekekwe:
-Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-u na u-ya katika sentensi na vifungu vya mneno -Kujaza nafasi katika sentensi au kifungu kwa kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya -Kuchopoa nomino za ngeli ya u-u na u-ya kwenye chati, kadi, maneno, kapu maneno au katika tarakilishi -Kutaja majina ya vitu katika mazingira ya shuleni yaliyo katika ngeli ya u-u na u-ya -Kutenga nomino za ngeli ya u-u na na u-ya katika orodha ya nomino, sentensi au vifungu kwenye vitabu, tarakilishi, chat kwa kuzipigia mstari -Kutunga sentence au vifungu vifupi vyenye upatanisho ufaao wa ngeli ya u-u na u-ya akizingatia masuala tambulo mbalimbali likiwemo sualal la majukumu ya mnunuzi -Kuwasilisha kazi yake darasani au kuwasambazia wenakae mtandaoni ili waitolee maoni -Kutunga sentensi zenye upatanisho ufaao wa kisarufi wa ngeli ya u-u na u-ya akitumia nomino za vitu vilivyo katika mazingira ya nyumbani, na kumsomea mzazi au mlezi wake ili amtolee maoni |
Ni vitu gaani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya u-u?
Ni vitu gani katika mazingira yako vyenye majina yaliyo katika ngeli ya U-YA?
|
Kwenye chati, kadi, kapu maneno tarakilishi vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 100-105 |
-Kutambua viambishi
-Kujaza nafsi
-kuchopoa nomino
kutaja majina
-Kutunga sentensi
-Kutenga nomino
|
|
| 6 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
10.1.1
-Hurafa
-Hekaya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelekeza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha. -Kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya -Kujadili vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya -Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji -Kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fisihi simulizi |
Mwanafunzi aelekekwe
-Kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwaliu, mgeni, mwalikwa au kifaa cha kidijitali -Kueleza maana ya hahurafa na hekagya ili kuzibainisha akiishirikiana na wenzake -Kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya -Kujadili na wenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya -Kuwasilisha hurafa na hkeya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji (Kiini cha hadithi, kiwango cha lugha, mpangilio wa matukio, sauti, ishara za mwili) -Kujirekodi akitambua hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza -Kisjorolama mazazi au mlezi kutambua harafa na hekaya kutoka kwa jamii yake na kujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo |
-Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanaya gani?
-Je, hurafa na hekaya hutofautiana aje?
|
Vifaa vya kidijitali,
Kinasa sauti KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 106 - 111 |
-Kusikiliza
-Kueleza maana
-Kuwasilisha hurafa na hekaya
-Kujirekodi
-Kujadili
|
|
| 6 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
10.1.1
-Hurafa
-Hekaya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelekeza maana ya hurafa na hekaya ili kuzibainisha. -Kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya -Kujadili vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya -Kusimulia hurafa na hekaya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji -Kufurahia hurafa na hekaya kama vipera vya fisihi simulizi |
Mwanafunzi aelekekwe
-Kusikiliza kielelezo cha hadithi ya hurafa na hekaya kutoka kwa mwaliu, mgeni, mwalikwa au kifaa cha kidijitali -Kueleza maana ya hahurafa na hekagya ili kuzibainisha akiishirikiana na wenzake -Kueleza ujumbe katika hurafa na hekaya -Kujadili na wenzake vipengele vya uwasilishaji wa hurafa na hekaya -Kuwasilisha hurafa na hkeya kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji (Kiini cha hadithi, kiwango cha lugha, mpangilio wa matukio, sauti, ishara za mwili) -Kujirekodi akitambua hurafa na hekaya kwa kutumia vifaa vya kidijitali na kusikiliza -Kisjorolama mazazi au mlezi kutambua harafa na hekaya kutoka kwa jamii yake na kujadili ujumbe unaojitokeza katika hadithi hizo |
-Je, hadithi ambayo umewahi kusikiliza ilihusu wanaya gani?
-Je, hurafa na hekaya hutofautiana aje?
|
Vifaa vya kidijitali,
Kinasa sauti KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 106 - 111 |
-Kusikiliza
-Kueleza maana
-Kuwasilisha hurafa na hekaya
-Kujirekodi
-Kujadili
|
|
| 6 | 5 |
Kusoma
|
10.2.1 Kusoma kwa wahusika katika tamthlia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua wahusika katika tamthlia aliyosoma -Kujadili sifa za wahusika katika tamthilia -Kudadili mafunzo yanayotokana na wahusika katika tamthilia -kujenga mazoea ya usomaji wa kazi za kifasihi ili kukuza hamu ya usifunzaji |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwnafunzi alelekezwe: -Kutambua wahusika katika tamthilia aliyosoma -Kujadili na wenzako sifa za wahusika katika tamthilia akiwa na wenzake ili kukuzauelewa wa sifa zao -Kueleza uhusiano kati ya wahusika katika tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu -Kutazama video kuhusu wahusika katika tamthilia aliyosoma -Kuandaa muhtasari kuhusu sifa za wahusika katika video aliyotazama -Kujadili mafunzo yanayo tokan an matendo ya wahukis akishirikiana na wenzake |
-ni mambo yapi yanayo Kuelekeza kiwaelewa wahusika katika tamthilia?
-Je, ni mambo gani tunayoweza kujifunza kutokana na wahusika wa tamthilia?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK; 111 - 112 |
-Kutambua wahusika
-Kujadili
-Kuigiza
-Kueleza
-Kuandaa
|
|
| 7 | 1 |
Kuandika
|
10.3.1 Barua ya kuomba msaada
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada -Kutambua ujumbe katika barua rasmi ya kuomba msaada -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe, muundo na lugha -Kufurahia kujieleza ifaavyo kwa njia ya barua |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuznzi aelekezwe: -Kujadili vipengele vy kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada -kutambua ujumbe unanoafikiana barua rasmi ya kuomba msaada -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayo faa katika uadndish wa barua rasmi ya kuomba msaada -Kuandika barua rasmi ya kuomba masaada kuhusu maulala mbalimbali na kwasoomea wenzake darasani ili waitolee maoni -Kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kwasambazia wenzake kupitia mtandao ili watolee maoni |
Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
-Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unnapoandika barua kuomba msaada?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 113 - 115 |
-Kujadili vipengele
-Kutambua jujumbe
-Kujadkili
-Kuandika
|
|
| 7 | 2 |
Kuandika
|
10.3.1 Barua ya kuomba msaada
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada -Kutambua ujumbe katika barua rasmi ya kuomba msaada -Kuandika barua rasmi ya kuomba msaada kwa kuzingatia ujumbe, muundo na lugha -Kufurahia kujieleza ifaavyo kwa njia ya barua |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuznzi aelekezwe: -Kujadili vipengele vy kimuundo vya barua rasmi ya kuomba msaada -kutambua ujumbe unanoafikiana barua rasmi ya kuomba msaada -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayo faa katika uadndish wa barua rasmi ya kuomba msaada -Kuandika barua rasmi ya kuomba masaada kuhusu maulala mbalimbali na kwasoomea wenzake darasani ili waitolee maoni -Kuandika barua ya kuomba msaada katika kifaa cha kidijitali na kwasambazia wenzake kupitia mtandao ili watolee maoni |
Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya kuomba msaada?
-Je, ni vipengele vipi unazingatia wakati unnapoandika barua kuomba msaada?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 113 - 115 |
-Kujadili vipengele
-Kutambua jujumbe
-Kujadkili
-Kuandika
|
|
| 7 | 3 |
Sarufi
|
10.4.1 Vinyume vya vitenzi na vielezi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya kinyume ili kibabanisha -Kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi katika mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili maana ya kinyume akiwa na mwenzake -Kutambua vinyume vya vitenzi na vielezi katika matini (K.V orodha ya maneno, sentensi na vifungu vya maneno) -Kuchagua sentensi zinatoachiria matumizi ya Vinyume vya vitenzi na vielezi kutoka kwa sentensi mbali mbali kwenye vitabu, tarakilishi au chati -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavy-Kutunga sentensi au vifungu vifupi akiltumia vinyume vya vitenzi na vielezi ipasavyo akizingatia masual matambuko mbali mbali likiwemo suala la kukabiliana na hisia -Kusakura mtandaoni au kutafiti katika vitabu vya ziada ili kupata vinyume zaidi vya vitenzi na vielezi -Kumsomea mzazi au mlezi sentensi alizotunga kuhusu vinyume vya vitenzi na vilezi |
|
Kadi maneno, Kapu maneno, Mti maneno, chati maneno,
Talakilishi KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 115-119 |
-Kujadili maana
-Kutambua vinyume
-Kuchagua sentansi
-Kujaza nafasi
|
|
| 7 | 4 |
Kuzikiliza na Kuzungumza
|
11.1.1
Kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua uhuhimu wa kuzungumuza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kutambua miktadha katika jamii ambapo kizungumza kwa Kutamka vidokezo vya hoja hufanywa -Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -kutoa mazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo -kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo hoja -Kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitaji kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake vipengle vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kuzunguza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kusikiliza au kutazama aina mbali mbali za mazungumzo kutokakwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake na kubainisha vipengele vilivyozingatiwa -Kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa -Kuwasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni -Kuwasilishia mzazi au mlezi vidokezo vy mazungumzo kuhusu suala lengwa ilia toe maoni yake |
Kwanini ni muhimu kuandaa vidokezo unapo zungumza?
|
Vifaa vya kidijitali, mgani mwalikwa
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 120-123 |
-Kueleza maana
-Kujadili
-Kutambua miktadha
-Kusililiza au kutazama
Kuandaa vidokezo
|
|
| 7 | 5 |
Kuzikiliza na Kuzungumza
|
11.1.1
Kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua uhuhimu wa kuzungumuza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kutambua miktadha katika jamii ambapo kizungumza kwa Kutamka vidokezo vya hoja hufanywa -Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -kutoa mazungumzo kwa kutumia vidokezo ifaavyo -kujenga mazoea ya kutumia vidokezo katika mazungumzo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake umuhimu wa kuzungumza kwa kutumia vidokezo hoja -Kutambua miktadha katika jamii yake ambamo anahitaji kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake vipengle vya kuzingatia katika kuzungumza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kuzunguza kwa kutumia vidokezo vya hoja -Kusikiliza au kutazama aina mbali mbali za mazungumzo kutokakwenye vifaa vya kidijitali, mgeni mwalikwa au wenzake na kubainisha vipengele vilivyozingatiwa -Kuandaa vidokezo kuhusu suala lengwa -Kuwasilishia wenzake mazungumzo kuhusu suala lengwa kwa kutumia vidokezo alivyoandaa ili wayatolee maoni -Kuwasilishia mzazi au mlezi vidokezo vy mazungumzo kuhusu suala lengwa ilia toe maoni yake |
Kwanini ni muhimu kuandaa vidokezo unapo zungumza?
|
Vifaa vya kidijitali, mgani mwalikwa
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 120-123 |
-Kueleza maana
-Kujadili
-Kutambua miktadha
-Kusililiza au kutazama
Kuandaa vidokezo
|
|
| 8 | 1 |
Kusoma
|
11.2.i Kusoma kwa mapana
-Matini ya kujichagulia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuteua matini ifaayo ya kujisome -Kuelea ujumbe katika matini ya kujichagulia -Kutambua maana za msamiati na matumizi mengine ya lugha katika matini ya kujichagulia -kujenga mazoea ya Kusoma matini mbali mbali katika maisha ya kila siku |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kuteua ujumbe w matini ya kujichagulia aliyoisoma -Kutambua msamiait ulotumiwa katika matini ya kujichagula (K.V ya usalama barabarani (Mfano: tabia hatarishi kwa watumiaji wengine wa barabara, kutoa maoni na kuripoti kuhusu tabia hatarishi) kwa watumiaji wengine wa barabara, kutoa maoni na kuripot kuhusu tabia hatarishi) ya kisayanisi, ya kisiasa, ya kihistoria, ya kifasihi), kutumia kamusi kutafuta maana za maneno asyoyajua -Kujenga rekodi ya msamiati aliojifunza katika kitabu -Kutunga sentensi akitumia msamiati katika matini aliyosoma -Kusakura mtandaoni na kujichagulia matini ya ziada kisha aisome |
Unavutiwa zaidi na nini unaposoma makala ya kujichaguliea?
-Unazingatia mambo gani wakti wa kusoma Makala ye kujichagulia
|
Vifaa vya kidijitali,
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 123-124 |
-Kuteua matini
-Kueleza ujumbe
-kutumia
-kujenga rekodi
-Kutunga
-Kusakura
|
|
| 8 | 2 |
Kuandika
|
11.3.1 Insha za kubuni
-Insha za maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya insha ya maelezo. -Kuandika insha ya mealezo ipasavyo kwa kuzingatia vipengele vyake -Kufurahia vipengele vyake -Kufurahia Kuandika insha za maelezo katika maisha ya kila siku |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwnafunzi aelekezwe: -Kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali -Kutafiti maktabani au mtandaoni vipengle vya insha ya melezo -Kudajili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyo mtandaoni -Kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo -Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni -Kushirikiana na wejnzake kusahihisha insha walizo andika na kutoleana maoni kwa Amani na upendo |
Je, ni vipengle gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
|
Mtandaoni
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK:124-126 |
-Kueleza maana
-Kutafiti
-Kujadili
-Kuandika
-Kuwasome
-Kushirikiana
|
|
| 8 | 3 |
Kuandika
|
11.3.1 Insha za kubuni
-Insha za maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya insha ya maelezo. -Kuandika insha ya mealezo ipasavyo kwa kuzingatia vipengele vyake -Kufurahia vipengele vyake -Kufurahia Kuandika insha za maelezo katika maisha ya kila siku |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwnafunzi aelekezwe: -Kueleza maana ya insha ya maelezo kwa kurejelea matini mbalimbali -Kutafiti maktabani au mtandaoni vipengle vya insha ya melezo -Kudajili na wenzake vipengele vya insha ya maelezo alivyo mtandaoni -Kuandika insha ya maelezo kwa kuzingatia vipengele vifaavyo -Kuwasomea wenzake insha aliyoandika au kuwasambazia kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni -Kushirikiana na wejnzake kusahihisha insha walizo andika na kutoleana maoni kwa Amani na upendo |
Je, ni vipengle gani vya kuzingatia katika kuandika insha ya maelezo?
|
Mtandaoni
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK:124-126 |
-Kueleza maana
-Kutafiti
-Kujadili
-Kuandika
-Kuwasome
-Kushirikiana
|
|
| 8 | 4 |
Sarufi
|
11.4.1 Myambuliko wa vitenzi
-Kutendeka
-Kutendewa
-Kutendatenda
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua kauli ya kutendeka, kutendewa na kutenda tenda katika vilenzi -kutumia vilenzi katika kauli ya tendeka kutendewa na kutendatenda ipasavyo katika matini. -Kuchangamkia kutumia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendea na kutedatenda ipasavyo ilikuimarisha mawasiliano |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafu -Kutambua vitenzi katika kauli ya kutenda tenda mtawalia -Kuteua vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda mtawalia, kwenye chati, kadi kwa maneno, kapu maneno au tarakilishi -Kutenga vitenzi katika kauli ya kutendeka, katendewa, kutendatenda katika sentensi na vifungu kwenye vitabu tarakilishi, chati kwa kuvikolezea wino au kuvipigia mstari -Kugeuza vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutmia vitenzi katika kauli ya kutendeka, kutendewa na kutendatenda ipasavo -Kutunga sentensi au vifungu vipufi kuhus saula lengwa kwa kutumia vitenzi katika kauli ya tendeka, kutendewa na kutendatenda akizingatia masual mtambuka mbalimbali likiwemo suala la haki za watoto |
|
-Kapu maneno
-Kadi maneno -Tarakilishi -Chati KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 126 - 131 |
-Kutambua vitenzi
-Kuteua vitenzi
-kujenga vitenzi
-Kugeuza vitenzi
|
|
| 8 | 5 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
12.1.1 Kusililiza kwa makini
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza habari katika matini ya kusikiliza -Kueleza habari katika matini ya kusikiliza -Kukadiri maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini ya kusikiliza -Kudondoa habari muhimu katika matini iliyosiliza kwa kufuata mpangilio ufaao -kujenga mazoea ya kufurahi kusiliza vifungu vya kusiliza ili kuimarisha uwezo wa kusikiliza |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusikiliza matini kutola kifaa cha kidijitali au mwalimu wake -Kutambua hoja muhimu katika habari iliyosililiza kuhusu suala lengwa kutoka kw mwalimu -Kueleza hoja muhimu aliyotambua kutoka matini aliyotambua kutoka matini aliyosikiliza -Kukadiri maana ya msamiati mahususi na vifungu katika matini aliyokiliza -Kuelezea mwenzake maana ya msamiati katika matini ya kusikiliza -Kudondoa habari muhimu katika matini aliyosikiliza kwa kufuat mmpangilio ufaao |
Je, kwanini ni muhimu kuwa na mpangilio ufaao wa hoja kutoka habari uliyosiliza?
|
Kifaa cha kijiditali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK:132 - 133 |
-kusiliza matini
-Kutambua hoja
-Kuelezea hoja
-Kueleza hoja
-Kukadiri maana
-Kuelezea mwenzake
|
|
| 9 | 1 |
Kusoma
|
12.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza vipengele vya Kusoma kwa ufasha ili kuvibainisha -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo -Kuridhia Kusoma Makala kw kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasilano |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia kusoma Makala kwa ufasaha (Matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo ishara zifaazo) -Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kw ufasaha Makala (K.V hotuba faarifa ya habari -Kusoma kifungu kuhusu sua |
Je, unaposama kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 134 - 135 |
-kujadiliana
-kutazama vielelezo
-Kusoma
|
|
| 9 | 2 |
Kusoma
|
12.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza vipengele vya Kusoma kwa ufasha ili kuvibainisha -Kusoma kifungu kwa kuzingatia matamshi bora -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo -Kuridhia Kusoma Makala kw kuzingatia vipengele vinavyofanikisha mawasilano |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia kusoma Makala kwa ufasaha (Matamshi bora, kasi ifaayo, sauti ifaayo ishara zifaazo) -Kutazama vielelezo vya video za watu wanaosoma kw ufasaha Makala (K.V hotuba faarifa ya habari -Kusoma kifungu kuhusu sua |
Je, unaposama kifungu unazingatia mambo gani ili kufanikisha usomaji?
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 134 - 135 |
-kujadiliana
-kutazama vielelezo
-Kusoma
|
|
| 9 | 3 |
Kuandika
|
12.3.1 Inshaa ya kiuaminifu
-Hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi -Kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini -Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufaanuzi -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake -Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuzi aelekekwe: -Kueleza maan ya hotuba ya kutoa uffanuzi -Kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe (unaolenga kinachotolewa ufafanuuzi) lugha (nyepesi inayoeleweka) na muundo uffao wa hotuba ya kutoa ufafanusi -Kujadili na wenzake miktadha inayochochea hatuba ya kutoa ufafanuzi -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akuzingati ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuandika hotuba ya ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotub ya ufafanuzi
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 136 - 138 |
-Kueleza maana
-kujadiliana
-Kuandika hotuba
|
|
| 9 | 4 |
Kuandika
|
12.3.1 Inshaa ya kiuaminifu
-Hotuba ya kutoa ufafanuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya hotuba ya kutoa ufafanuzi -Kutambua hotuba ya kutoa ufafanuzi katika matini -Kujadili ujumbe, lugha na muundo wa hotuba ya kutoa ufaanuzi -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele vyake -Kuchangamkia nafasi ya hotuba ya kutoa ufafanuzi katika mawasiliano |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanafuzi aelekekwe: -Kueleza maan ya hotuba ya kutoa uffanuzi -Kujadiliana na wenzake kuhusu ujumbe (unaolenga kinachotolewa ufafanuuzi) lugha (nyepesi inayoeleweka) na muundo uffao wa hotuba ya kutoa ufafanusi -Kujadili na wenzake miktadha inayochochea hatuba ya kutoa ufafanuzi -Kuandika hotuba ya kutoa ufafanuzi kuhusu suala lengwa akuzingati ujumbe, lugha na muundo ufaao kisha awasambazie wenzake mtandaoni au kuandika hotuba ya ufafanuzi kuhusu suala linaloathiri jamii yao kisha amsomee mzazi au mlezi ili aitolee maoni |
Ni mambo gani ya kuzingatia katika kutoa hotub ya ufafanuzi
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 136 - 138 |
-Kueleza maana
-kujadiliana
-Kuandika hotuba
|
|
| 9 | 5 |
Sarufi
|
12.4.1 Aina za sentensi
-Sentensi changamano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya sentensi changamano ili kuipambanua senstensi changamanokatika matini -Kutua sentensi changamano ipasavyo katika matini -Kuonea fahari matumizi ya setensi changamano katika mawasiliano katika mawasiliano ya kila siku |
Katika vikundi, wanafunzi wanapaswa:
Mwanfunzi aelekezwe -Kuueleza maana ya sentensi Kutenga sentensi changamano katika orodha ya sentensi kwenye vitabu chati au tarakilishi kwa kuzipigia mstari au kuzikolezea wino -Kuibainisha sentensi changamano zinaojitoleza katika -Kutunga sentensi changamano ipasavyo akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la maonjwa yasiyoambukizwa -Kuwawasilishia wenzao darasani sentensi changamano alizotunga ili wazitathmini -Kumtungia mzazi au mlezi sentensi changamano zinazohusu shughli katika mazingira ya nyumbani |
Ni nini tofauti kati ya sentensi changamano na aina zingine za sentensi unazohijua?
|
Chati tarakilishi
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 138-140 |
-Kueleza maana
-Kutenga sentensi
-kubainisha sentensi
-Kutunga
|
|
| 10 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
13.1.1 Hadithi
-Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua wahusika katika hadithi -Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi -Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi -Kufurahia kushiriki katika uchabuzi wa wahusika katika hadithi |
Mwanafunzi naelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa (K.V fanani, hadhira) -Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa -Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali -Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza -Kueleza mafunzao kutokana na wahusika katika hadithi -Kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbaliKu) K.V fanani, hadhira) -Kutunga haithi fupi ambayo ina wahusika wanama kuhusu suala lengwa na kuwawasilisha wenzake darasani ili wachambue wahusika -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK: 141-142 |
-Kutambua
-Kuchambua
-Kutunga
|
|
| 10 | 2 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
13.1.1 Hadithi
-Wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua wahusika katika hadithi -Kuchambua sifa za wahusika katika hadithi -Kueleza mafunzo kutokana na wahusika katika hadithi -Kufurahia kushiriki katika uchabuzi wa wahusika katika hadithi |
Mwanafunzi naelekezwe:
-Kutambua washiriki katika hadithi inayosimuliwa (K.V fanani, hadhira) -Kutambua wahusika katika hadithi inayosimuliwa -Kutambua sifa za wahusika katika hadithi aliyosiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni mwalikwa au vifaa vya kidijitali -Kuchambua wahusika katika hadithi aliyosikiliza -Kueleza mafunzao kutokana na wahusika katika hadithi -Kutamba hadithi akiwa na wenzake huku wakichukua majukumu mbalimbaliKu) K.V fanani, hadhira) -Kutunga haithi fupi ambayo ina wahusika wanama kuhusu suala lengwa na kuwawasilisha wenzake darasani ili wachambue wahusika -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa sifa za wahusika katika hadithi aliyosikiliza |
Je, hadithi uliyowahi kusimuliwa ilikuwa na wahusika gani?
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK: 141-142 |
-Kutambua
-Kuchambua
-Kutunga
|
|
| 10 | 3 |
Kusoma
|
13.2.1 Kusoma kwa kina
Tamthilia
-Mbinu za lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika tamthilia -Kueleza uhuhimu wa mbinu za lugha zinazotumiwa katika tamthlia -Kufurahia kuchanganua matumizi ya mbinu za lugha katika fasihi |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua mbinu za lugha kwene tathilia -Kueleza umuhimu wa mbinu za lugha zilizotumiwa katika tamthila ilyoteuliwa na mwalimu -Kuhakiki uwasilishaji wa wenzakek kuhusu mbinu za lugha katika tamthilia na kuutolea maoni -Kuwasilishia mzazi au mlezi uchambuzi wa matumizi ya mbinu za lugha latika tamthilia aliyosoma |
-tamthilia hutumia mbinu gani za lugha?
-mbinu za lugha zinaumuhimu gani katika tamthila?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 9 UK: 142 - 144 |
-Kutambua mbinu
-Kueleza
-Kuhakiki
-Kuwasilishai
|
|
| 10 | 4 |
Kuandika
|
13.3.1 Insha za kubuni
-Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengle vya insha ya maelezo kuhusu mahali -Kujadili vipengele vya insha ya melezo kuhusu mahali -Kuandika insha ya maelezo inayodhiihirisha sifa za mahali -Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vigezo vya kimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo -Kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha maelezo -Kujadili na wenzake wenzake vipengle vya insha ya maelezo kutokana na kielelezo cha insha -Kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo -Kutumia lugha inayojenga picha ya kiinachoelezewa -Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani -Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasanbazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni -Kutolea insha za za wenzake maoni kwa upendo -Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandkika ili aitolee maoni |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 Uk: 145 - 147 |
-Kutambua
-kujadiliana
-Kujadili
-Kuandaa
|
|
| 10 | 5 |
Kuandika
|
13.3.1 Insha za kubuni
-Insha ya maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengle vya insha ya maelezo kuhusu mahali -Kujadili vipengele vya insha ya melezo kuhusu mahali -Kuandika insha ya maelezo inayodhiihirisha sifa za mahali -Kuonea fahari utoaji wa maelezo kamilifu kuhusu kitu au jambo |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua vigezo vya kimsingi katika uandishi wa insha ya maelezo -Kujadiliana na wenzake kuhusu mada ya insha maelezo -Kujadili na wenzake wenzake vipengle vya insha ya maelezo kutokana na kielelezo cha insha -Kuandaa vidokezo vya insha ya maelezo kuhusu mahali panapolengwa katika insha ya maelezo -Kutumia lugha inayojenga picha ya kiinachoelezewa -Kuandika insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali akizingatia muundo ufao na inayohusisha suala lengwa kisha awasomee wenzake darasani -Kubuni insha ya maelezo inayotoa sifa za mahali kisha awasanbazie wenzake mtandaoni ili waitolee maoni -Kutolea insha za za wenzake maoni kwa upendo -Kumsomea mzazi au mlezi insha ya kubuni aliyoandkika ili aitolee maoni |
Je, ni vigezo vipi vinavyotumika katika kuandika insha ya maelezo
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 Uk: 145 - 147 |
-Kutambua
-kujadiliana
-Kujadili
-Kuandaa
|
|
| 11 | 1 |
Sarufi
|
13.4.1 Ukanushaji kwa kuzingatia hali
-Hali ya mazoea
-Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ukanushaji ili kuupambanua -Kutambua ukanushaji kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu katika matini -Kukanusha sentensi kwa kuzingatia hali ya mazoea na timilifu. -Kuchangamkia kikanusha sentensi katika hali ya mazoea na timilifu ili kukuza mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye chati, mti maneno, vitabu au vifaa vya kidijitali -Kutambua ukanushaji wa sentensi katika hali ya mazoea na timilifu -Kuchagua sentensi zinazoonyesha ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu kutoka kwenye mchanganyiko wa setensi kutoka kwene vitabu tarakilishi au chati kwa kuzipolezea wino au kuzipigia mstari -Kutung sentensi au vifungu vifupi kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbalimbali likiwemo suala la heshima kwa tamaduni za wengine -Kukanusha sentensi au vifungu alivyotunga kisha watumie wenzake kupitia vifaa vya kidijitali au kuwasomea darasani ili wazitolee maoni |
-Je, unapotaka Kukanusha sentensi Unazingatia nini?
-Je, ukanushaji wa hali ya mazoea na timilifu hutofautiana je?
|
Tarakilishi chati
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 147 – 149 |
-Kutambua
-Kuchagua sentensi
-Kuandaa
-kushiriki Kuandika
-Kuwasomea
|
|
| 11 | 2 |
Kusikiloza na Kuzungumza
|
14.1.1 Hadithi
-Matumizi ya lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kugha katika hadtithi -Kusimulia hadithi kwa kutuia vipengle vya lugha ipasavyo -Kuoea fahari uchanganuzi wa lugha katika hadith kama utngo wa fisihi simulizi |
Mwanafunzi aelekekwe:
-kutambua vipengele vya lugha kwa kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimu au vifaa vya kidijitali -Kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vinyotumika katika hadithi walizosikiliza -Kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha. -Kuwawasilishia wenzake hadithi aliyotunga ili watambue vipengele vya lugha vilivyotumika -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza hadithi na kutambua vipengle vya lugha vilivyotumika |
-ni mbinu gani za lugha zinazotumika katika masimulizi ya hadithi
-matumizi ya lugha katika hadithi yana umuhimu gani?
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK:150 - 151 |
-Kutambua vipengele
-Kujadili Kusimulia
-Kushirikiana
|
|
| 11 | 3 |
Kusikiloza na Kuzungumza
|
14.1.1 Hadithi
-Matumizi ya lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kugha katika hadtithi -Kusimulia hadithi kwa kutuia vipengle vya lugha ipasavyo -Kuoea fahari uchanganuzi wa lugha katika hadith kama utngo wa fisihi simulizi |
Mwanafunzi aelekekwe:
-kutambua vipengele vya lugha kwa kusikiliza hadithi kutoka kwa mwalimu au vifaa vya kidijitali -Kujadili umuhimu wa vipengele vya lugha vinyotumika katika hadithi walizosikiliza -Kusimulia hadithi kwa kutumia vipengele vya lugha. -Kuwawasilishia wenzake hadithi aliyotunga ili watambue vipengele vya lugha vilivyotumika -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza hadithi na kutambua vipengle vya lugha vilivyotumika |
-ni mbinu gani za lugha zinazotumika katika masimulizi ya hadithi
-matumizi ya lugha katika hadithi yana umuhimu gani?
|
Vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK:150 - 151 |
-Kutambua vipengele
-Kujadili Kusimulia
-Kushirikiana
|
|
| 11 | 4 |
Kusoma
|
14.2.1 Kusoma kwa ufahamu
-Kifungu cha mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha mjadala -Kutambua msamiati mpaya katika kifungu cha mjadala -Kuchambua mitazamo katika kifungu cha mjadala -Kuridhia Kusoma kifunu cha mjadala ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kudondoa habari mahususi (K.V nani, nini, wapi? lini?) katika kifungu cha ufahamu cha mjadala -Kutambua msamiati mpauy (K.V maneno na nahau) katika kifungu cha ufahamu cha mjala na kuuelza kwa kutumia kamusi -Kueleza maana ya msamiati uliotumiwa kwenye kifungu cha ufahamu cha mjadala na kutunga sentensi akiutumia -Kuchambua mitazamo iliyo katika kifungu cha ufahamu cha mjadala -Kuwawasilisha wenzake kazi yake ili waitolee maoni |
-Utawezaje Kutambua habari mahususi katika hadithi unayoisoma
-Je, Unazingatia nini Unaposoma vifungu vya ufahamu
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK;151 - 154 |
-Kudondoa
-Kutambua
-Kueleza
-Kuchambua
|
|
| 11 | 5 |
Kuandika
|
14.3.1 Insha za maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele va insah ya maelekezo -Kuandika insah ya maelekezo akizingatia vipengele vyake huhimu -Kufurahia Kuandika insha za maelekezo akizingatia vipengele vyake muhimu |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya insha ya maelekezo (K.V matumizi ya lugha mpangilio ufaao wa maelekezo uangavu, ubanaji) -Kutambua maneno mwafaka mpangilio sahihi wa hatua katika maelekezo kutoka kwa mwalimu, kwenye maandishi (K.V vitabu, chati) au vifaa vya kidijitali -Kuteua maneno yatakayosaidia kufanikisha maelekezo (K.V kufanikisha maelekezo(K.V. vielezi vya mahali, kulia, kushoto, vitenzi kv pindi,elekea, kata, vielekezi vya kiasi, kijito viwili, nyanya tatu -Kuandaa mpangili ufao wa sentensei zinazofuatana kulingana na maelekezo anauotaka kutoa (K.V maelekezo ya mahali:Tembea hadi mwendo wa kilomita moja ukifika kwenye zahanati upinde kulia; maelekezo ya mapishi; weja ybga vujinbe vitatu kwenye bakuli, tia sukari vijiko vitano vikubw. Maelekezo ya mtihani, jibu jibu masweli matatu, seali la kwanza ni la lazima) -Kushiriki kujadili maneno, sentensi na hatua zinazoafiki maelekezo akiizingatia utezi mwafaka wa maneno, sentensi na hatua ili kumjengea msomaji taswira kamili ya kile kinachoelekezwa -Kuwasomea wenzake insha ya maelekezo aliyoandika au awasambazie kwenye vifaa vya kidijitali ili waitolee maoni |
Je, unapoandkika insha ya maelekezo unazingatia mambo gani?
|
Chati vifaa vya kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 154 - 156 |
-Kujadili Kutambua maneno
-Kuteua maneno
-Kuandaa
-kushiriki
|
|
| 12 | 1 |
Sarufi
|
14.4.1 Udogo wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini -Kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo -kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo -Kuonea fari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentensi |
Mwanafunzi aelekezwe;
Kutambua nomino katika hali ya udogo kwenye orodha ya nomino, chati, kadi maneno, kapu maneno sentence, vifungu vya maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi -Kutambua udogo katika maneno katika matini mbali mbali -Kuanika majina ya vifaa vya darasanikatika udogo (K.V kidawati kijitabu) -Kubasilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika hali ya udogo akiwa na wenzake -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya udogo ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutmia nomino katika hali ya udogo akizingatia masuala mtamuko mbali mbali likiwemo suala la kuweka akiba -Kuwasilisha kazi yake darasani ili wenzake wazitathmini -Kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyo patikana nyumbani au shuleni katika udogo na kumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo |
Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumia nomino katika udogo?
|
Chati kadi maneno
Kapu maneno Tarakilisha vifaa vya kidijitali KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 156- 158 |
-Kutambua nomino
-Kutambua udogo
-Kubadilisha nomino
-Kujaza nafasi
|
|
| 12 | 2 |
Sarufi
|
14.4.1 Udogo wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini -Kubadilisha nomino za hali ya wastani kuwa katika hali ya udogo -kutumia nomino katika hali ya udogo ipasavyo -Kuonea fari kutumia nomino katika hali ya udogo katika sentensi |
Mwanafunzi aelekezwe;
Kutambua nomino katika hali ya udogo kwenye orodha ya nomino, chati, kadi maneno, kapu maneno sentence, vifungu vya maneno, sentensi, vifungu vya maneno au tarakilishi -Kutambua udogo katika maneno katika matini mbali mbali -Kuanika majina ya vifaa vya darasanikatika udogo (K.V kidawati kijitabu) -Kubasilisha nomino za hali ya wastani ziwe katika hali ya udogo akiwa na wenzake -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu kwa kutumia hali ya udogo ipasavyo. -Kutunga sentensi au vifungu vifupi kwa kutmia nomino katika hali ya udogo akizingatia masuala mtamuko mbali mbali likiwemo suala la kuweka akiba -Kuwasilisha kazi yake darasani ili wenzake wazitathmini -Kumsomea mzazi au mlezi majina ya vitu vinavyo patikana nyumbani au shuleni katika udogo na kumtungia sentensi kwa kutumia maneno hayo |
Je, ni mambo gani tunayozingatia tunapotumia nomino katika udogo?
|
Chati kadi maneno
Kapu maneno Tarakilisha vifaa vya kidijitali KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 156- 158 |
-Kutambua nomino
-Kutambua udogo
-Kubadilisha nomino
-Kujaza nafasi
|
|
| 12 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumz
|
15.1.1 Usikilizaji hisishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya usikilizaji husishi -Kutambua vipengele vya usikilizaji husishi katika matini -Kujadili vipengle vya usikilizaji husishi, ili kuvipambanua -kushiriki mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza husishi ili kuimarisha uwezo wa kufuatilia habari zinazoelezwa |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maan ya usikilizaji husishi -Kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi, ambamo kusiliza husishi hutokea katika jamii yake -Kutambua vipenngele vya kuzingatia katika kusikiliza huashi (K.V. kuwa makini kuuliza maswali yasiyoelekeza kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia, kumhimiza kuzungumza badala ya kutoa ushauri, kutumia ishara zifaazo) kutoka kwenye mazungumzo mafupi? -Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka vifaa vya kidijitari kam vile vinasa sauti na akizingatia na kutambua vipenggele vya kusukilza husishi vilivyozingatiwa -Kuigiza vikao rasmi vya mazungumzo (K.V kati ya mwalimu mkuu na mzazi kuhusu nidhamu ya mtoto) akishirikian na wenzake -Kujadili vipengle vya kusikiliza husisha vilivuozingatiwa na wahusika katka mazungumzo hayo |
Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea?
-Ni vipengle gani unazingatia katika kusikiliza husishi
|
Vinasa sauti, vifaa vya kidijitali,
KLB TOP SCHOLAR Gredi ya 8 UK: 159- 162 |
-Kueleza maan
-Kutambua
-kusikiliza
-Kuigiza
-Kujadili
|
|
| 12 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumz
|
15.1.1 Usikilizaji hisishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya usikilizaji husishi -Kutambua vipengele vya usikilizaji husishi katika matini -Kujadili vipengle vya usikilizaji husishi, ili kuvipambanua -kushiriki mazungumzo akizingatia vipengele vya usikilizaji husishi -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza husishi ili kuimarisha uwezo wa kufuatilia habari zinazoelezwa |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maan ya usikilizaji husishi -Kutambua miktadha rasmi na isiyo rasmi, ambamo kusiliza husishi hutokea katika jamii yake -Kutambua vipenngele vya kuzingatia katika kusikiliza huashi (K.V. kuwa makini kuuliza maswali yasiyoelekeza kuomba ufafanuzi, kumtazama mzungumzaji, kuelewa ujumbe anaotaka kukupitishia, kumhimiza kuzungumza badala ya kutoa ushauri, kutumia ishara zifaazo) kutoka kwenye mazungumzo mafupi? -Kusikiliza mazungumzo kuhusu suala lengwa kutoka vifaa vya kidijitari kam vile vinasa sauti na akizingatia na kutambua vipenggele vya kusukilza husishi vilivyozingatiwa -Kuigiza vikao rasmi vya mazungumzo (K.V kati ya mwalimu mkuu na mzazi kuhusu nidhamu ya mtoto) akishirikian na wenzake -Kujadili vipengle vya kusikiliza husisha vilivuozingatiwa na wahusika katka mazungumzo hayo |
Je, ni miktadha gani rasmi na isiyo rasmi ambapo usikilizaji husishi hutokea?
-Ni vipengle gani unazingatia katika kusikiliza husishi
|
Vinasa sauti, vifaa vya kidijitali,
KLB TOP SCHOLAR Gredi ya 8 UK: 159- 162 |
-Kueleza maan
-Kutambua
-kusikiliza
-Kuigiza
-Kujadili
|
|
| 12 | 5 |
Kusoma
|
15.2.1 Ufupisho
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya za matini kwa sentensi moja moja -Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja moja -Kuandika ufupisho unaozingatia mtazamo wa matini ya kufupishwa -Kufurahia Kufupisha ujumbe kwa usahihi katika miktadha mbalimbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kujadili vipengele vya ufupisho (KV habari muhimu katika aya, lugha ya anayefupisha, kudumisha mtazamo wa kifungu, idadi ya maneno) -Kueleza kwa usahihi ujumbe katika kila aya kwa kutumia sentensi mojamoja -Kueleza kwa usahihi ujumbe katika kila aya kwa kutumia sentensi mojs moja -Kueleza kwa usahihi ujumbe wa aya zote za matini kwa aya moja -Kujadili kuhusu jinsi ya kuandika ufupiso wa matini -Kuanika ufupiso unaozingatia mtazamo wa matini -Kumsomea mzazi au mlezi ufupisho aliyoufanya ili aitolee maoni |
Je, unazingatia nini unapofupisha kifungu cha ufahamu?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 162 - 163 |
-Kujadili
-Kueleza
-Kujadili
-Kuandika
|
|
| 13 | 1 |
Kuandika
|
15.3.1 Barua pepe ya kiofisi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ujumbe unaoafiki barua pepe ya kiofisi -Kutambua vipengele vya kimuundo vya barua pepe ya kiofisi -kutumia lugha inayofaa katika uadishi w barua pepe ya kiofisi -Kuandika barua pepe ya kiofisi kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundonufaao -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa Kuandika barua pepe ya kiofisi |
Mwanafunzi alekezwe:
-Kutambua ujumbe unaoafiki barua pepe ya kiofisi. -Kujadili na wenzake vipengle vya kimuundo vya barua pepe ya kiofisi -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua pepe ya kiofisi -kuandika barua pepe ya kiofisi kwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia matandao ili aitolee maoni -Kumwangikia mwalimu wake barua pepe ya kiofisi ili aitathmini -Kusomea mzazi au mlezi barua pepe aliyoiandika ili aitolee maoni |
Je, Ulizingatia vipengle gani katika barua pepe uliyowahi kuandika?
|
Tarakilishi
KLB TOP SCHOLAR Gredi ya 8 UK: 163 - 165 |
-Kutambua
-Kujadili
-Kuandika
|
|
| 13 | 2 |
Kuandika
|
15.3.1 Barua pepe ya kiofisi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ujumbe unaoafiki barua pepe ya kiofisi -Kutambua vipengele vya kimuundo vya barua pepe ya kiofisi -kutumia lugha inayofaa katika uadishi w barua pepe ya kiofisi -Kuandika barua pepe ya kiofisi kwa kuzingatia ujumbe, lugha na muundonufaao -kujenga mazoea ya kuwasiliana kwa Kuandika barua pepe ya kiofisi |
Mwanafunzi alekezwe:
-Kutambua ujumbe unaoafiki barua pepe ya kiofisi. -Kujadili na wenzake vipengle vya kimuundo vya barua pepe ya kiofisi -Kujadili na wenzake kuhusu lugha inayofaa katika uandishi wa barua pepe ya kiofisi -kuandika barua pepe ya kiofisi kwenye tarakilishi na kumsambazia mwenzake kupitia matandao ili aitolee maoni -Kumwangikia mwalimu wake barua pepe ya kiofisi ili aitathmini -Kusomea mzazi au mlezi barua pepe aliyoiandika ili aitolee maoni |
Je, Ulizingatia vipengle gani katika barua pepe uliyowahi kuandika?
|
Tarakilishi
KLB TOP SCHOLAR Gredi ya 8 UK: 163 - 165 |
-Kutambua
-Kujadili
-Kuandika
|
|
| 13 | 3 |
Sarufi
|
15.4.1 Usemi
halisi na usemi wa Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini -Kujadili kanuni za Kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa kwa kuzingatia kanunu za Kubadilisha usemi -kutumia usemi halisi na usemi wa taarifa ifaavyo -Kuchangamkia matumizi ya usemi halisi na usemi wa taarifa katika mwasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa katika matini -Kjadili kanuni zakubadilisha usemi (K.V wakati, nafsi, alama za uafikishaji) -Kutambua kanuni za kimsingi za kubadilisha usemi halisi kuwa usemi wa taarifa -Kubadilisha sentensi kutoka usemi halisi hadi usemi wa taarifa na usemi taarifa hadi usemi halisi -Kutunga sentensi za usemi halisi na usemi wa taarifa akizingatia masuala mtambuko mbalimbai likiwemo suala la maadili ya kijamii -Kuwasomea au kuwasambazia |
-usemi halisi unatofautianaje na usemi wa taarifa?
-Unazingatia nini unapobadilisha usemi?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 166 - 168 |
-Kutambua usemi halisi na usemi wa taarifa
-Kutambua kanuni
-Kutunga sentensi
|
Your Name Comes Here