Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
Usafi wa mazingira Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo :
-Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala
-Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala
-Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali
-Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari
-Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala
-Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake .
-Ashiriki mjadala darasani na wenzake.
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi
Chati kudi mane matini ya mwalimu
-Kitambua -Kuuliza na kujibu maswali . -Orodha hakiki -Kueleza -Kushiriki mjadala .
2 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo katia kushiriki mjadala.
-Achangamkie kushiriki katika mjadala ya miktadha mbalimbali.
-kuteua mada au swala lengwa la kufanyiwa mjadala
-kushiriki mjadala kuhusu swala lengwa akizingatia vipengele
Je unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala ?
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kushiriki mjadala . -Matamshi bora ya maneno
2 3
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu simulizi
-Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza kuelwa habari
-kusoma kifunguu cha simulizi kwa zamu katika kifungo cha habari.
-Atambue habari mahususi katika kifungo cha simulizi kuhusu suala lengwa
-Andondoe habari muhimu katika kifungu cha simulizi
-Apange matkio yanavyofuatana katika kifungu
-Ajibu maswali ya ufahamu.
Je unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu simulizi ?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6.
-Picha
-Michoro vifaa vya kidijitali .
-kusoma kutambua . -Kujibu maswali . -Kufanyia na tathmini .
2 4
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi
-kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu
-Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi.
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi.
-Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma
-Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha
-Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi.
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati
-Kamusi
-Matin ya mwalimu .
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Wanafunzi kufanyia na tathmini .
3 1
Kuandika
Viakifishi Alama ya koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua alama ya koloni katka amtini
-kueleza matumizi ya koloni katka matini
-kutumia alama ya koloni ipasavyo katka matini
-Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya koloni katika matini mbalimbali
-Atambue alama ya koloni katika sentensia au vifungu kwenye matani andishi au za kidijitali.
-Kutunga sentensi au fifungu kifupi kuhusu swala lengwa kwa kutumia alama ya koloni ipasavyo.
Je alama koloni hutumiwa vipi katika maandishi ?
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 .
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kiditali
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Orodha hakiki -Kujaza pengo
3 2
Kuandika
Viakifishai Semi koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua alama ya semi koloni ilivyo tumika katika matini .
-Kutumia alama ya semi koloni katika matani
-Kufurahia matumizi yafaayo katika matini
-Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matani mbali mbali?.
-kutambua alama ya semi koloni katika sentensi au matini andishi.
-kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
-Atunge sentensi au kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama ya semi koloni ipasavyo?
Je alama ya semi - kolonihutumiwa vipi katika maandishi?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Matini ya mwalimu
-Kadi
-Maneno .
-Orodha hakiki -Kutunga sentensi
3 3
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kueleza maana ya vihusishis
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani
-Kuchamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katka matni mbali mbali.
Katika makundi waili waili au peke yake aelekezwe:
-kueleza maana ya vihusishi vya mahali
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani.
-Achangamkie kutumia vihusishi vya mhali katika matani mbali mbali
Je ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno
-Matini ya mwalimu
-kujaza pengo -Kuuliza Maswal na majibu -Kutunga sentensi -Kufanyiana tathmini
3 4
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb -
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb.
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno
-Matini ya mwalimu
Na mwanafunzi
-Kifaa cha kidijitari
-kutambua -Kutunga vitanzi ndimi -Oroha hakiki
4 2
kusoma
Kuandika
Kusoma kwa mapona
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuteuana kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma
-kutambua msamiati ulotumika katika matani ya kujichagulia
-Kujenga mazoea ya kujisomea matani mbali mbali aliyojichagulia
- kuteua matini kuhusu suala linalo mvutia kisha some matani aliyojichagulia .
-kutambua msamiati muhimu atika matani aliyoteua
-Kufafanua ujumbe wa matani aliyoyasoma kwa ufupi.
-Kutambua na kuorodhesha msamiati uliotumika katika matani aliyojichagulia .
Je unazingatia nini unapojichagulia matini ya kusoma?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia.
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu .
-Michoro
-chati
-kusoma -kutambua msamiati -kuorodhesha msamiti na maana yake.
4 3
Kuandika
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa
-Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku.
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni.
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali .
-Matini ya mwalimu.
-Kuandika barua -Kusomeana -Kufanya tathmini .
4 4
sarufi
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani
-kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini
-Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko .
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Matini ya mwalimu.
-kutambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kufanya tathmini .
5 1
sarufi
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya sababu katika matani
-kutumia vihusishi vya sababu ipasavyo katika matani.
-Kuchangamkia matumizi ya vihusishi katika mawasiliano
-kutambua vihusishi vya sababu kutoka kwa kapu la maneno au kadi maneno au tarakilishi
-kutambua vihusishi vya sababu katika sentensi kwa kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi na vifungu vifupi kwa kutumia vihusishi vya sababu akizingatia masuno mtambuko
Je vihusishi vya - A- unganifu na vya sababu hutofautiana vipi ?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-Kutambua -Kutunga sentensi -Tathmini ya mwanafunzi -Orodha hakiki .
5 2
Kusikiliza na kuzungumza
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
5 3
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . (sitiari na methali )
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi .
-Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi.
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi
5 4
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
6 1
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma mashairi katika diwani teule
-kutambua sifa za shairi katika mashairi atakayosoma
-Kuchngamkia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
-kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu
-Achambue mashairi atakayosoma kwa kutambua na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo
awasomee wenzake sifa laizotambua katika mashairi ili wamtolee maono.
Je unavutiwa na nini unaposoma shairi?
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-kusoma -kuchambua -kueleza sifa -Orodha hakiki.
6 2
Kuandika
Insha za kubuni . Masimulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi
-Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho .
-Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika
-Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo.
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi .
-Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho
-Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika.
-Atoe amelezo yake darasani.
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali
Matini ya mwalimu
Kielelzo cha insha.
-kusoma -kuchambua -Kijadilana -Kuulizana na kujibu maswali.
6 3
Kuandika
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika insha ya masimuizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao
-Kuandika insha simulizi kwa kuzingati aujumbe na muundo ufaao .
-kuandika insha ya asimulizi daftarini mwake au kweny kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi ,kiini,hitimisho na wahusika
-Awasomee wenzake ili waitolee maoni .
Je unaff kuzingatia nini unapoa andika insha ya masimulizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33
-Matini ya mwalimu .
-Vifaa vya kidigitari
-kuandika insha -Kufanyiana tathmini -Kielelzo cha barua iliyoandikwa
6 4
Sarufi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vilinganishi katika matini .
-Kutumia vihusishi vilinganishi ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia vihusishi vilinganishi katika mawasiliano ya kila siku .
-kufafanua maan aya vihusishi vilinganishi .
-Kuchopoa vihusishi vilinganishi katika chati au tarakilishi .
-Kutambua vihusishi vilinganishi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu akizingatia masuala mtambuko .
Je vihusishi vilinganishi ni nini?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-Kitambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi
7 1
Sarufi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini .
-Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku .
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali .
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-kutambua -Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
7 2
Kuskiliza na kuzungumza
Semi . vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua .
-Kutambua vitendawili ktika matini .
-Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi .
-Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi .
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili .
-Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili .
-Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili .
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi? Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu.
-Chati
-Michoro
-Kifaa cha kidigitali .
-kueleza -Kitendawili -kufafanua -Kuwasilisha vitendawili -Kutenga na kutengua.
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . Nahali .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya nahu ili kupambanua .
-Kutambua nahau katika matini
-Kufafanua umuhimu wa nahu katika fasihi simulizi.
-Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi .
- kueleza maana ya nahau .
-Kutambua nahau mbali mbali katika matini ya fasihi simulizi na kueleza maan yake .
-Kutafiti mtandaoni umuhimu wa nahau .
-Atunge sentensi akitmia nahu ifaavyo
-Ajaze nafasi katika sentensi kwa kutumia nahau mwafaka .
Je nahau ni nini ?
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidijari.
-kujaza nafasi -Kutunga sentensis -Kujadili -Kutathmini.
7 4
Kusoma kwa ufasaha
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengele vya kuzingati katika kusoma kwa ufasaha .
-Kusoma kifungu cha nathari akizingatia matamshi bora .
,kiwango kiffacho cha sauti na kasi ifaavyo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasialiano .
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha
-Asome kifungu cha nathari akizingatia mtamshi bora .
-Asome kifungu akizingatia kasi ufaavyo na kiwango cha sauti ifaavyo .
Je unaposoma kifungu chochote unazingatia mambo gani?
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Picha
-Michoro
-Vitabu
-Matini ya mwalimu .
-kusoma Kufanyiana tathmini -kutamka ipasavyo.
8

Midterm

9 1
Kusoma kwa ufasaha
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano .
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha .
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu?
-kusoma -Kufanyiana tathmini.
9 2
Kuandika
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha .
-Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi .
-Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi .
-Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi .
-Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari .
-Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kifaa cha kidijitari.
-kusoma -Kufanyiana tathmini
9 3
Kuandika
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari
-Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano .
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu.
-Michoro
-vitabu
-kuandika tathmini -Orodha hakiki -Kusomea wengine.
9 4
Sarufi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufafanua amatumizi ya ki ya masharti
-Kutambua ki ya masharti katika matini .
-Kutumia ki ya masharti ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya kutumia ipasavyo ki ya ya masharti ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ki ya mashrati katika matini mbali mbali .
-Kuchanganua sentensi zilizi ashiria matumizi ya ki ya masharti kutokana ana mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakiishi .
-Atunge sentensi akitumia ki ya masharti .
Je ki-ya masharti hutumika wakati gani katika sentensi?
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Vitabu
-Picha
-michoro
-kutambua -Mifano -Maelezo -mazoezi -Kutunga sentensi -Kuandika.
10 1
Sarufi
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
10 2
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kuskiliza
Ufahamu wa kuskiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza
-Jadili vipengele vya ufahamu wa kusikiliza .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa kufahamu ili kukuza stadi za kusikiliza .
-Kueleza maan ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kutaja na kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili vipengele vya kusikiliza .
Je kuskiliza kwa ufahamu kuna faida gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha
-michoro
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52
-Matini ya mwalimu na mwanafunzi .
-kusikilza na kujibu maswali .
10 3
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi kutoka kifungu cha ufahamu .
-Kufanya utabiri na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia kusoma kwa ufahamu ili kukuza kuelewa habari .
-Kusoma kifungu cha ufahamu .
-Kudondoa habari mahususis katika kifungu cha ufahamu .
-Kueleza habari za kifungu cha ufahamu kwa ufupi na ufasiri kutokana na kifungu cha ufaham u .
Je kwa nini tunasoma kifungu cha ufahamau?
-vifaa vya kidigitali
-Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54
-Matini ya mwalimu
-Picha
-kusoma na Kuulizana maswali -Kudondoakielelzo -kutabiri -michoro
10 4
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu .
-Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu .
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini .
-Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana .
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati
-Matini ya mwalimu
-Picha
-michoro
-kusoma -Kudondoa msamiati -Kutunga sentensi
11 1
Kuandika
Insha za kiuamilifu . Shajara .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya shajara .
-Kujadili vipengele vya shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake .
-Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku .
-Kueleza maana ya shajara .
-Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma .
-Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake .
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi? Je kwa nini watu utumia shajara?
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara
-Matani ya mwalimu
-Kitambua -Kuuliza na kujibu. -Kujadili
11 2
sarufi
Hali yza masharti . -nge-
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maan ya hali ya masharti .
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti nge katika matini
-Kutumia hali ya masharti nge ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti nge ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti maana halisi ya hali ya masharti nge .
-Atambue na kueleza hali halisi ya hali ya masharti nge . katika sentensi na vifungu .
-Achanganue sentensi zinashoashiria matumizi ya hali ya masharti nge kutokana na mchnganyiko wa sentensi kutoka kwenye vitabu .
-Atunge sentensi kuonyesha matumizi ya nge akizingatia mtaambuko mbali mbali .
Je hali ya masharti ya nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Matani ya mwalimu
-Chati
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidigitali
-Mifano -Maelezo -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -kutambua
11 3
sarufi
Hali ya masharti . -ngali)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini .
-Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu .
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko .
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu
-Kutunga sentensi -Kuuliza maswali -kujaza pengo -Kutathmini.
11 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kufasiri .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya a kufasiri kwa kusikiliza ili kubainisha .
-Kueeza misimamo na mielekeo kuhusu ujumbe wa matini ya kusikiliza .
-Kujenga mazoea ya kutambua misimamo na mielekeo katika matini mbali mbali ili kupata amaana ya ujumbe .
-kutafiti maan ya kusikiliza kwa ufasiri kutoka mtandaoni au maktaba na awasilishe matokeo ya utafiti .
-Kueleza msismamo na mielekeo kuhusu ujumbe katika matini mbali mbali anayosikiliza kuhusu suala lengwa .
-Kusikiliza habari kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijiari .
-Kuchambua msimamo na mielekeo kuhusu ujumbe.
Je ni misimamo ipi iliyopo katika matini ulizowahi kuskiliza?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62
-Matani ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Matani ya mwanafunzi
-kuskiliza na Kuuliza -kueleza -kuchambua -kuandika na kujibu maswali.
12 1
Kusoma
Kusoma kwa kina . Ushairi . (Maudhui) .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Je maudhui ni nini katika kazi ya fasihi?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu
Vifaa vya kidigitari
Picha za michoro
-Kielezo -Kujadili -kuchambua -kusoma shairi.
12 2
Kusoma
Kusoma kwa kina . (dhamira)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Je dhamira ni nini katika kazi ya fasihi andishi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65
-Matani ya mwalmu
-Vifaa vya kidigitari
-kutafiti -kueleza -Kutaja Mifano -Kujadili -kuandika -picha
12 3
Kuandika
Insha za kubuni . (methali)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali
-Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali .
-Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi .
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi .
-Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali .
-Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa .
Je insha ya methali inahusu nini? Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu
-Kueleza -Kusoma kielelzo -Kuandika insha .
12 4
sarufi
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kujaza mifano ya vielezi vya namna .
-Kutambua vielezi vya nana katika matini mbalimbali kwa kupigia mistari .
-Achangamkie matumizi ya vielezi vya namna katika kutunga sentensi na kujaza pengo .
-Kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kutaja mifano ya vielezi vya namna
-Kutambua vielezi vya namna katika matini mbali mbali kwa kuupigia mstari .
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya namna katika vifungu vya sentensi na kjaza vihasho katika daftari .
Je vielezi vya namna hutumika vipi katika miktadha mbali mbali?
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-kutoa mfano -kufanya mazoezi

Your Name Comes Here


Download

Feedback