Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 6
Sarufi
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya viulizi.Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali.
Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 7-10
2 7
Sarufi
Kusoma
Vivumishi vya Idadi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
3 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 2
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi.
Kueleza sifa bainifu za shairi huru.
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Shairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
3 3
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 4
Sarufi
‘A’ Unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
3 5
Sarufi
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’
Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 23-24
3 6
Sarufi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi.
Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi.
Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
3 7
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
4 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 3
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe.
Kuandika resipe ya chakula akipendacho.
Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 39-41
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni.
Kutambua hasara za utengano.
Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma kwa sauti
Kuigiza
Kujadili ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 42-43
4 5
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 7
Kusoma
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuelezea muundo wa hotuba
Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti
Kuandika hotuba kwa hati nadhifu.
Kueleza
Kujadili
Kuhutubu mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
5 1
Kuandika
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
5 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
5 3
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 4
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Viwakilishi (W)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii.
Kusoma mifano kitabuni na kuchambua.
Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo.
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuandika
Kusoma
Utafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
5 5
Kusoma
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.
Kufafanua chimbuko la Kiswahili.
Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
5 6
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo.
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe.
Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo.
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kuigiza mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
5 7
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
6 1
Sarufi
Kuandika
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
6 3
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 4
Sarufi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
6 5
Kusoma
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
6 6
Kusoma
Kuandika
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
6 7
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 2
Kusikiliza na kuongea
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
kusikiliza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
7 3
sarufi
Kusoma
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
7 4
kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
7 5
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
Kusikiliza na kuzungumza
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
7 7
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
8

Likizo fupi

9 1
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
9 2
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
9 3
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
9 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
9 5
Kuandika
Fasihi
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
9 6
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
9 7
Kusoma
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
10 1
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
10 2
Kuandika
Fasihi
Ushairi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
10 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
10 4
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
10 5
Sarufi
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
10 6
Kuandika
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
10 7
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 1
Kusoma
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
11 2
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
11 3
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
11 4
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 5
Kusoma
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
11 6
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
11 7
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
12 1
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 2
Ufahamu
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
12 3
Kuzikiliza na kuongea
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
12 4
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
12 5
Fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 6
Fasihi
Ufahamu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
kitabu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 7
Kuzikiliza na kuongea
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
13 1
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
13 2
Fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
13 3
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
13 4
Kusikiliza na kuzungumza
ushairi nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
13 5
sarufi
Kuandika
uchanganuzi wa sentensi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Maelezo
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
13 6
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
13 7
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
14 1
Sarufi
kusoma
Nyakati na hali marudio
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
14 2
Kisikiliza na kuongea
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
14 3
Sarufi
Fasihi
Uakifishaji
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
14 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
14 5
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
14 6
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

Your Name Comes Here


Download

Feedback