If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Kusikiliza na kujibu .
mjadala
Viakifishi Alama ya koloni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo katia kushiriki mjadala. -Achangamkie kushiriki katika mjadala ya miktadha mbalimbali. |
-kuteua mada au swala lengwa la kufanyiwa mjadala
-kushiriki mjadala kuhusu swala lengwa akizingatia vipengele |
Je unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala ?
|
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 . -Matini ya mwalimu -Kifaa cha kiditali |
-Kushiriki mjadala .
-Matamshi bora ya maneno
|
|
| 2 | 2-3 |
Kuandika
Sarufi |
Viakifishai
Semi koloni
Vihsishi Vihusishi vya mahali Vihsishi Vihusishi vya wakati |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua alama ya semi koloni ilivyo tumika katika matini . -Kutumia alama ya semi koloni katika matani -Kufurahia matumizi yafaayo katika matini -Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matani mbali mbali?. -kutambua vihusishi vya wakati katika matani -Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini. |
-kutambua alama ya semi koloni katika sentensi au matini andishi.
-kueleza matumizi ya semi koloni katika matini. -Atunge sentensi au kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama ya semi koloni ipasavyo? -kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno -kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati -kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati -Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika. |
Je alama ya semi - kolonihutumiwa vipi katika maandishi?
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ? |
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Matini ya mwalimu -Kadi -Maneno . -Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 . -Kadi maneno -Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 . -Chati mabango -Vifaa vya kidigitali . -kamusi |
-Orodha hakiki
-Kutunga sentensi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi |
|
| 2 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma |
Kusikiliza kwa kina .
Sauti - b - na -mb -
Kusoma kwa mapona |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti |
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali . -Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb. |
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno -Matini ya mwalimu Na mwanafunzi -Kifaa cha kidijitari -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 . -Matini mbali mbali za kujichagulia. |
-kutambua
-Kutunga vitanzi ndimi
-Oroha hakiki
|
|
| 2 | 5 |
Kuandika
|
Insha za kiuamilifu .
Barua ya kirafiki
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe unaotumika katika kujibu barua ya kirafiki -Kueleza lugha inytumika katika kujibu barua ya kirafiki -Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki. -Kuchamkia kuchora muundo unaotuika katika kujibu barua ya kirafki . |
-kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafki.
-kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki -kuchora muundo wa kujibu barua ya kirafiki kitambuni |
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu . -Michoro -chati -acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 . -Vifaa vya kidijitali . -Matini ya mwalimu. |
-Kutambua
-Kuchora
-Kujibu maswali
-Kueleza .
-Kujadiliana na wenzake.
|
|
| 3 | 1 |
sarufi
|
Vihusishi .
Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani -kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini -Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano |
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu -Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko . |
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali . -Matini ya mwalimu. -Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22. -Vifaa vya kidijitali -Kapu na kadi amneno -Matini ya mwalimu |
-kutambua
-Kuulizana na kujibu maswali
-Kutunga sentensi
-Orodha hakiki
-Kufanya tathmini .
|
|
| 3 | 2-3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma |
Semi
Tashbihi sitiari na methali
Tashbihi .
Semi . (sitiari na methali ) Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleze maana ya tashbihi -Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi . -Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi -Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi . -aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi . -Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi. |
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi -Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi. -Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi. -kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi -Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi |
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi? |
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu Kapu la tashbihi chati Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 . Matini ya mwalimu Kapu la tashbihi chati -Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30. -Matini ya mwalimu -Kifaa cha kidigitari -mashairi |
-Kusoma
-Kutambua
-Kujadili
-Kielezo maana
-Kuchangamkia mazoezi .
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi |
|
| 3 | 4 |
Kusoma
Sarufi |
Kusoma kwa kina .
Sifa za ushairi .
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma mashairi katika diwani teule -kutambua sifa za shairi katika mashairi atakayosoma -Kuchngamkia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi. |
-kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu
-Achambue mashairi atakayosoma kwa kutambua na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo awasomee wenzake sifa laizotambua katika mashairi ili wamtolee maono. |
Je unavutiwa na nini unaposoma shairi?
|
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari -Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32 -Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34. -Chati -Vifaa vya kiditajitari -Matii ya mwalimu . |
-kusoma
-kuchambua
-kueleza sifa
-Orodha hakiki.
|
|
| 3 | 5 |
Sarufi
|
Vihusishi .
Kihusishi na .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini . -Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini . -Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku . |
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali . |
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati -Vifaa vya kidigitari -Matini ya mwalimu . |
-kutambua
-Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
|
|
| 4 | 1 |
Kuskiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza |
Semi .
vitendawili
Semi . Nahali . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua . -Kutambua vitendawili ktika matini . -Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi . -Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi . |
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi . -Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili . -Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili . -Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili . |
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi?
Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu. -Chati -Michoro -Kifaa cha kidigitali . -Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40. -Matini ya mwalimu -Picha -Vifaa vya kidijari. |
-kueleza
-Kitendawili
-kufafanua
-Kuwasilisha vitendawili
-Kutenga na kutengua.
|
|
| 4 | 2-3 |
Kusoma kwa ufasaha
Kuandika |
Kusoma kwa ufasaha
Insha za kubuni masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengele vya kuzingati katika kusoma kwa ufasaha . -Kusoma kifungu cha nathari akizingatia matamshi bora . ,kiwango kiffacho cha sauti na kasi ifaavyo . -Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasialiano . -Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha . -Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi . -Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi . |
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha
-Asome kifungu cha nathari akizingatia mtamshi bora . -Asome kifungu akizingatia kasi ufaavyo na kiwango cha sauti ifaavyo . -Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi . -Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari . -Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari . |
Je unaposoma kifungu chochote unazingatia mambo gani?
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi? |
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Picha -Michoro -Vitabu -Matini ya mwalimu . Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43. Matini ya mwalimu? -Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45. -Matini ya mwalimu -Picha -Kifaa cha kidijitari. |
-kusoma Kufanyiana tathmini
-kutamka ipasavyo.
-kusoma -Kufanyiana tathmini |
|
| 4 | 4 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za kubuni
masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari -Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano . |
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari . |
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu. -Michoro -vitabu 1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48 -Matini ya mwalimu . -Picha -michoro |
-kuandika tathmini
-Orodha hakiki
-Kusomea wengine.
|
|
| 4 | 5 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Nyakati na hali .
Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Ufahamu wa kuskiliza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini . -Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini . -Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano . |
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi . |
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu -Vifaa vya kidigitali -Picha michoro -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 . -Picha -michoro |
-kueleza Mifano
-mazoezi
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 5 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake . -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza . |
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza . |
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
|
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52 -Matini ya mwalimu na mwanafunzi . -vifaa vya kidigitali -Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54 -Matini ya mwalimu -Picha |
-Kusoma
-Kusikiliza
-Kuuliza maswali .
-Kujibu maswali
|
|
| 5 | 2-3 |
Kusoma
Kuandika sarufi |
Kusoma kwa ufahamu .
Insha za kiuamilifu . Shajara . Hali yza masharti . -nge- |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu . -Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu . -Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu . -Kueleza maan ya shajara . -Kujadili vipengele vya shajara . -Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake . -Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku . |
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini . -Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana . -Kueleza maana ya shajara . -Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma . -Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara . -Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake . |
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi? Je kwa nini watu utumia shajara? |
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati -Matini ya mwalimu -Picha -michoro -kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57. -Kielelewzo cha shajara -Matani ya mwalimu -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58 -Chati -Picha -Michoro -Vifaa vya kidigitali |
-kusoma
-Kudondoa msamiati
-Kutunga sentensi
-Kitambua -Kuuliza na kujibu. -Kujadili |
|
| 5 | 4 |
sarufi
Kusoma |
Hali ya masharti .
-ngali)
Kusoma kwa kina . Ushairi . (Maudhui) . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini . -Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo . -Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha . |
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu . -Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari -Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko . |
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64 Mitani ya mwalimu Vifaa vya kidigitari Picha za michoro |
-Kutunga sentensi
-Kuuliza maswali
-kujaza pengo
-Kutathmini.
|
|
| 5 | 5 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina .
(dhamira)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
Je dhamira ni nini katika kazi ya fasihi andishi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65
-Matani ya mwalmu -Vifaa vya kidigitari |
-kutafiti
-kueleza
-Kutaja Mifano
-Kujadili
-kuandika
-picha
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
sarufi |
Insha za kubuni .
(methali)
Vielezi vya namna |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali -Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali -Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali . -Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi . |
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi . -Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali . -Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa . |
Je insha ya methali inahusu nini?
Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu Kiswahili ukurasa wa 68-69 Matini ya mwalmu Picha . Michoro . Kadi maneno |
-Kueleza
-Kusoma kielelzo
-Kuandika insha .
|
|
| 6 | 2-3 |
kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Insha za kubuni
(Masimulizi)
Mazungumzo Malumbano ya utani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu - kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya. - kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini -kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa ndogo - kueleza maana ya malumbano ya utani - kutaji aina za malumbano ya utanikama atavyopata katika mitandai ama vitabu - kujadili sifa za malumbano ya utani pamoja na vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani - kuwasilisha malumbano ya utani katika vikundi ili wayatolee maoni |
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya -kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa -kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa -kueleza maana ya malumbano ya utani kwa kutafiti nas kusakura mitandaoni -kutaja aina za malumbano ya utani ili kutofautisha na malumbano mengine -kujadili sifa na vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani -kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi ili kutoleana maoni |
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Je, sifa za malumbano ya utani ni zipi? Vipengele muhimu katika malumbano ya utani ni zipi? |
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu -kielelezo cha insha -kamusi Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 108-109 -matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -mwanafunzi Kisw sahili gredi ya 9 uk wa109-110 |
-kusoma
-kuandaa vidokezo
-kutambua vipengele
-kuandika
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kuwasilisha |
|
| 6 | 4 |
kusoma
|
Ushairi
Kusoma kwa kina
wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kueleza maana ya wahusika katika fasihi - kujadili sifa za wahusika katika kazi ya fasihi andishi - kusoma na kutambua wahusika katika shairi pamoja na sifa zake |
-kueleza maana ya wahusika katika fasihi
-kujadili sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi -kusoma shairi na kutambua wahusika na sifa zao |
Je, wahusika ni kina nani katika shairi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 110-111
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali |
-kueleza
-kusoma
-kuandika
-kutambua
-Orodha hakiki
|
|
| 6 | 5 |
kusoma
sarufi |
Kusoma kwa kina
Ushairi
Wahusika karika shairi
Vinyume vya vihusishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza -kusoma shairi katika diwani iliyo teuliwa na mwalimu kisah ajadili sifa za wahusika katika shairi hilo ili kutathmini uelewa. |
-Kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi hilo
-kusoma shairi katika diwani teule na kujadili sifa za wahusika katika kikundi ili kutathimini uelewa. |
Je sifa za wahusika katika shairi ni zipi?
|
-Kisw sahili gradi ya 9
Uk wa 112 -Matini ya mwalimu na mwanfunzi Kiswa sahili gredi ya 9 uk wa 115-116 Matini ya mwalimu Mabongo Vifaa vya kidijitari |
-kusoma
-kuchambua sifa
-Kutathmini
-Orodha hakiki
|
|
| 7 | 1 |
sarufi
|
Vinyume vya vihusishi
Mnyambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendana |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vinyume vya vihusishi kwa kuvipigia mstari katika kifungu -kisakira mtandaoni ili kutafuta vinyume zaidi |
Aelekezwe kutabua vinyume vya vihusishi kwa kupigia mstari
-kuandika vinyume vya vihusishi villivyo pigiwa mstari katika daftari na kutunga sentensi. |
Je utajuaje vinyume vya vihusishi
|
Uk wa 116
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 124 Kamusi Vifaa vya kidijitali Mabango michoro |
Kujaza pengo
Kupigia mstari
Kutunga sentensi
|
|
| 7-8 |
Mapumziko ya muhula wa kwaza |
||||||||
| 8 | 2-3 |
sarufi
sarufi Sarufi |
Kauli ya kutendeana
Mnyabuliko wa vitenzi kauli ya kutendesha Aina ya sentensi Sentensi tata |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aelekezwe na aweze -kueleza maana ya kauli ya kutendeana -kutaja mifano ya nomino katika kauli ya kutendeana na kueleza viambishi vya kauli ya kutendeana. -kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kifungu. -kuchangamkia kuandika vitenzi na sentensi ya kutendeana ndogo mwanfunzi aweze. -kueleza maana ya kauli ya kutendesha katika mnyambuliko wa vitenzi -kutaja mifano ya vitenzi katika kauli ya kutendesha. -kutambua viambishi vya kauli ya kutendesha - kutambua kwa kupigia mstari viambishi na nomino katika kauli ya kutendesha katika kifungu na kujaza pengo ipasavyo |
Kueleza maana ya kauli ya kutendeana akitumia kamausi au mtandao
Kutaja vitenzi katika kauli ya kutendeana ili kuuibadilisha. Kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kufungucha maneno ipasavyo. -kuandika vitenzi na kutunga sentensi katika kauli ya kutendeana ili kutathmini Mwanafunzi aelekezwe. -Kueleze maana kwa kusakira kwenye mtandao au kamusi maana ya kauli ya kutendesha. -kutaja mifano ya vitenzi katika kauli ya kutendesha akizingatia muundo upasavyo. -kuchangamkia kwa kupigia mstari viambishi na vitenzi katika kauli ya kutendesha katika sentensi kifungu au mtandao ni ipasavyo. |
Je viabishi vya kauli ya kutendeana ni vipi
Je vitenzi katika kauli ya kutendesha hunyambuliwa vip? |
Access
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 126-127 Matini ya mwalimu Kamusi Vifaa vya kidijitari mabango Access Kisw sahili gredi ya 9 uk 127-129 Matini ya mwalimu kamusi vifaa vya kidijitali mabango picha Kisw sahili Gredi ya 9 uk wa 136-137 Matini ya mwalimu Vifaa vya kidigitali Picha na michoro |
Kueleza
Kutaja
Kutambua
Kutinga
Sentensi
Kujaza pengo
kusoma
Kueleza Kutaja Kutambua Kupigia nstrari Kitnga sentensi Kujaza pengo Ordha hakiki |
|
| 8 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
mawaidha
Mazungumzo mawaidha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo . -kueleza maana ya mawaidha kwa kutumia kamusi au kusakura mtandaoni. -kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia kwa mawaidha. -kutambua sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbalimbali ambazo fanani anastahili kuwa nazo. -kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo. |
Mwanfaunzi aelekezwe.
-kueleza maana ya mawaidha akitumia mtandao au kamusi. -kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia mawaidha. -kutambua na kuandika sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbali mbali ambazo fanani asstahili kuwa nazo. -kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo. |
Je sifa za fanani na hadhira katika mawaidha ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 139-140
Matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali. Picha michoro Kisw sahili uk wa 141-142 mwanafunzi |
Kueleza maana
Kutambua ujumbe
Kutambua sifa
Orodha hakiki
|
|
| 8 | 5 |
kusoma
|
Kusoma kwa kina
Mbinu za lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi waeze. -kutambua mbinu za lugha katika ushairi. -kutaja mifano ya mbinu za lugha kama methali, tashihishi, sitiari na nahaukutambua matumizi ya mbinu za lugha kama zilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake |
Kutambua mbinu za lugha katika shairi
Kutaja mifano ya mbinu za lugha kama vile methali, tashbihi, isitiari na nahau ipasavyo. Kutambua matumizi ya kila mbinu kama ilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake ili kutathmini uelewa |
Je mbinu za lugha katika ushairi ni zipi?
|
Access Kiswahili sahili gredi ya 9 uk wa 143-144
-matini ya mwalimu -diwani za mashairi |
-kutambua
-kueleza
-kuchanganua
|
|
| 9 | 1 |
kusoma
sarufi |
Kusoma kwa kina ushairi
Ukanushaji hali ya masharti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutunga shairi la beti tatu akishirikisha mbinu mbalimbali za lugha na kuziwasilisha kwa wenzao ili kutathmini - kusoma shairi teule na kuchambua akizingatia mbinu za lugha zilizotumika kisha kuandika mbinu hizo daftarini |
-kutunga shairi la beti tatu akizingatia mbinu za lugha kisha kuliandika daftarini mwao na kuliwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
-kusoma shairi teule na kuchambua mbinu za lugha za lugha zilizotumika ili kutathmini uelewa |
Je unazingatia nini unapotunga shairi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 145
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidigitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 146-148 -chati na mabango |
-Kutunga
-kusoma
kuchambua
|
|
| 9 | 2-3 |
sarufi
kuandika |
Ukanushaji wa hali ya masharti
-ngali
Ukanushaji wa hali ya masharti (-ki) Insha za kiuamilifu shajara |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukanusho wa hali ya masharti - Kujadili umuhimu wa shajara - kueleza aina za shajara ili kuzitofautisha na zingine - kusoma shajara iliyo katika vitabu vyao kisha kujibu maswali ipasavyo - Kuchangamkia kusoma vielelezo vya shajara katika matini mbalimbali |
kujua maana ya ukanusho wa hali ya masharti
-kujadili umuhimu wa shajara katika maisha a kila siku -kueleza aina za shajara ili kuzibaini -kusoma kielelezo cha shajara kisha kujibu maswali yake ipasavyo -kufurahia kusoma vielelezo mbalimbali vya shajara ili kujua umuhimu wa shajara |
Ni kanuni zipi huzingatiwa katika ukanusho wa hali ya masharti -ngali
Je, shajara ina umuhimu gani? |
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 149-150
-matini ya mwalimu -chati na michoro Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 151-152 -mabango -michoro -chati Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 158-159 -matini ya mwalimu -kielelezo Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160 |
-kueleza
-kusoma na kutambua
-Kutunga sentensi na kifungu
-Kutathmini
-Kujadili -kutambua -kusoma na kujibu maswali |
|
| 9 | 4 |
sarufi
|
Ukubwa na udogo wa nomino
a, Hali ya ukubwa wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukubwa wa nomino - kutambua kiambishi katika hali ya ukubwa (-ji) katika umoja - kutambua nomino katika hali ya ukubwa umoja na wingi katika matini mbalimbali - kuchangamkia sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino na kutambua viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa |
-kueleza na kuelewa maana ya ukubwa wa nomino
-kutambua viambishi katika hali ya ukubwa -kutambua nomino katika hali ya ukubwa katika umoja na wingi katika matini mbalimbali -kufurahia kutunga sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino huku akizingatia viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa |
Je, hali ya ukubwa wa nomino huchukua kiambishi kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160- 161
-matini ya mwalimu -kamusi -vifaa vya kidijitali |
-kueleza
-kutambua
-Kutunga sentensi
-kujaza pengo
-Orodha hakiki
|
|
| 9 | 5 |
sarufi
kusoma |
Hali ya udogo wa nomino
ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya udogo wa nomino - kutambua nomino katika hali ya udogo c, kutambua kiambishi knachotumika katika hali ya udogo wa nomino - kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini mbalimbali - kuchangamkia kujaza jedwali na kutunga sentensi katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa |
kueleza maana ya udogo wa nomino
-kutambua nomino katika hali ya udogo -kutambua na kujadili kiambishi kinachotumika katika hali ya udogo wa nomino -kutambua na kuandika nomino katika kauli ya udogo katika matini mbalimbali -kufurahia kujaza pengo na kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa |
Je, kiambishi katika hali ya udogo wa nomino ni kipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 162-164
-matini ya mwalimu -kupu maneno -kamusi -kiswahili gredi 9 ukurasa wa 167-168 -matini ya mwalimu Vifaa vya kidijitali . |
-kueleza
-kutambua
-kuandika
-Kujadili
Kutunga sentensi
-kujaza pengo
-Orodha hakiki
|
|
| 10 |
Mjarabu wa mwisho wa mwaka |
||||||||
| 11 | 1 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe . -Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe . -Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini uelewaji . |
-kujadili vipengee muhimu vya kuzingatia ili kuibu barua pepe .
-Kujadili matumizi ya lugha inyofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe -Kuansaa vidokezopamoja na lugha inayofaa ili kujibu barua pepe kwa rafiki yake ipasavyo ili kuthamini kuelewa . |
Je vipengele vya kuzingatia katika kujibu barua pepe ni vipi ?
|
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 169 - 170 .
-matini ya mwalimu Na mwanafunzi . -kiswahili gredi 9 ukurasa wa 174 - 174 . Vifaa vya kidijitali . picha |
-Kujadili vipengele
Kujadili lugha
kuandika vindokezo
kujibu barua pepe
|
|
| 11 | 2 |
Kuandika
|
Kujibu barua pepe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini |
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini
|
|
|
|
|
Your Name Comes Here