Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Viakifishi Alama ya koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki mjadala kwa kuzingatia vipengele vifaavyo katia kushiriki mjadala.
-Achangamkie kushiriki katika mjadala ya miktadha mbalimbali.
-kuteua mada au swala lengwa la kufanyiwa mjadala
-kushiriki mjadala kuhusu swala lengwa akizingatia vipengele
Je unazingatia nini wakati wa kushiriki mjadala ?
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 .
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kiditali
-Kushiriki mjadala . -Matamshi bora ya maneno
2 2-3
Kuandika
Sarufi
Viakifishai Semi koloni
Vihsishi Vihusishi vya mahali
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutambua alama ya semi koloni ilivyo tumika katika matini .
-Kutumia alama ya semi koloni katika matani
-Kufurahia matumizi yafaayo katika matini
-Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya semi koloni katika matani mbali mbali?.
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
-kutambua alama ya semi koloni katika sentensi au matini andishi.
-kueleza matumizi ya semi koloni katika matini.
-Atunge sentensi au kifungu kifupi kuhusu suala lengwa akitumia alama ya semi koloni ipasavyo?
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je alama ya semi - kolonihutumiwa vipi katika maandishi?
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Matini ya mwalimu
-Kadi
-Maneno .
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-Orodha hakiki -Kutunga sentensi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
2 4
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb -
Kusoma kwa mapona
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb.
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno
-Matini ya mwalimu
Na mwanafunzi
-Kifaa cha kidijitari
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia.
-kutambua -Kutunga vitanzi ndimi -Oroha hakiki
2 5
Kuandika
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe unaotumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kueleza lugha inytumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
-Kuchamkia kuchora muundo unaotuika katika kujibu barua ya kirafki .
-kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafki.
-kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki
-kuchora muundo wa kujibu barua ya kirafiki kitambuni
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu .
-Michoro
-chati
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali .
-Matini ya mwalimu.
-Kutambua -Kuchora -Kujibu maswali -Kueleza . -Kujadiliana na wenzake.
3 1
sarufi
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani
-kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini
-Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko .
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Matini ya mwalimu.
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-kutambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kufanya tathmini .
3 2-3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Semi . (sitiari na methali )
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi .
-Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi.
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi
3 4
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma mashairi katika diwani teule
-kutambua sifa za shairi katika mashairi atakayosoma
-Kuchngamkia kuchambua ushairi kama utungo wa fasihi.
-kusoma mashairi katika diwani iliyoteuliwa na mwalimu
-Achambue mashairi atakayosoma kwa kutambua na kueleza sifa za ushairi katika mashairi hayo
awasomee wenzake sifa laizotambua katika mashairi ili wamtolee maono.
Je unavutiwa na nini unaposoma shairi?
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-kusoma -kuchambua -kueleza sifa -Orodha hakiki.
3 5
Sarufi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini .
-Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku .
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali .
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-kutambua -Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
4 1
Kuskiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . vitendawili
Semi . Nahali .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua .
-Kutambua vitendawili ktika matini .
-Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi .
-Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi .
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili .
-Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili .
-Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili .
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi? Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu.
-Chati
-Michoro
-Kifaa cha kidigitali .
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Vifaa vya kidijari.
-kueleza -Kitendawili -kufafanua -Kuwasilisha vitendawili -Kutenga na kutengua.
4 2-3
Kusoma kwa ufasaha
Kuandika
Kusoma kwa ufasaha
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengele vya kuzingati katika kusoma kwa ufasaha .
-Kusoma kifungu cha nathari akizingatia matamshi bora .
,kiwango kiffacho cha sauti na kasi ifaavyo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasialiano .
-Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha .
-Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi .
-Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi .
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha
-Asome kifungu cha nathari akizingatia mtamshi bora .
-Asome kifungu akizingatia kasi ufaavyo na kiwango cha sauti ifaavyo .

-Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi .
-Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari .
-Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari .
Je unaposoma kifungu chochote unazingatia mambo gani?
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi?
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Picha
-Michoro
-Vitabu
-Matini ya mwalimu .
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kifaa cha kidijitari.
-kusoma Kufanyiana tathmini -kutamka ipasavyo.
-kusoma -Kufanyiana tathmini
4 4
Kuandika
Sarufi
Insha za kubuni masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari
-Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano .
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu.
-Michoro
-vitabu
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Picha
-michoro
-kuandika tathmini -Orodha hakiki -Kusomea wengine.
4 5
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Ufahamu wa kuskiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Picha
-michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
5 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza .
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza .
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52
-Matini ya mwalimu na mwanafunzi .
-vifaa vya kidigitali
-Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kusoma -Kusikiliza -Kuuliza maswali . -Kujibu maswali
5 2-3
Kusoma
Kuandika
sarufi
Kusoma kwa ufahamu .
Insha za kiuamilifu . Shajara .
Hali yza masharti . -nge-
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu .
-Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu .
-Kueleza maan ya shajara .
-Kujadili vipengele vya shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake .
-Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku .
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini .
-Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana .
-Kueleza maana ya shajara .
-Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma .
-Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake .
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi? Je kwa nini watu utumia shajara?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati
-Matini ya mwalimu
-Picha
-michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara
-Matani ya mwalimu
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Chati
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidigitali
-kusoma -Kudondoa msamiati -Kutunga sentensi
-Kitambua -Kuuliza na kujibu. -Kujadili
5 4
sarufi
Kusoma
Hali ya masharti . -ngali)
Kusoma kwa kina . Ushairi . (Maudhui) .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini .
-Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu .
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko .
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu
Vifaa vya kidigitari
Picha za michoro
-Kutunga sentensi -Kuuliza maswali -kujaza pengo -Kutathmini.
5 5
Kusoma
Kusoma kwa kina . (dhamira)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Je dhamira ni nini katika kazi ya fasihi andishi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65
-Matani ya mwalmu
-Vifaa vya kidigitari
-kutafiti -kueleza -Kutaja Mifano -Kujadili -kuandika -picha
6 1
Kuandika
sarufi
Insha za kubuni . (methali)
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali
-Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali .
-Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi .
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi .
-Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali .
-Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa .
Je insha ya methali inahusu nini? Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-Kueleza -Kusoma kielelzo -Kuandika insha .
6 2-3
kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha za kubuni (Masimulizi)
Mazungumzo Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu
- kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya.
- kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini
-kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa
ndogo
- kueleza maana ya malumbano ya utani
- kutaji aina za malumbano ya utanikama atavyopata katika mitandai ama vitabu
- kujadili sifa za malumbano ya utani pamoja na vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
- kuwasilisha malumbano ya utani katika vikundi ili wayatolee maoni
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya
-kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa
-kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa

-kueleza maana ya malumbano ya utani kwa kutafiti nas kusakura mitandaoni
-kutaja aina za malumbano ya utani ili kutofautisha na malumbano mengine
-kujadili sifa na vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi ili kutoleana maoni
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Je, sifa za malumbano ya utani ni zipi? Vipengele muhimu katika malumbano ya utani ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu
-kielelezo cha insha
-kamusi
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 108-109
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-mwanafunzi
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa109-110
-kusoma -kuandaa vidokezo -kutambua vipengele -kuandika
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kuwasilisha
6 4
kusoma
Ushairi Kusoma kwa kina wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya wahusika katika fasihi
- kujadili sifa za wahusika katika kazi ya fasihi andishi
- kusoma na kutambua wahusika katika shairi pamoja na sifa zake
-kueleza maana ya wahusika katika fasihi
-kujadili sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi
-kusoma shairi na kutambua wahusika na sifa zao
Je, wahusika ni kina nani katika shairi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 110-111
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kueleza -kusoma -kuandika -kutambua -Orodha hakiki
6 5
kusoma
sarufi
Kusoma kwa kina Ushairi Wahusika karika shairi
Vinyume vya vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza
-kusoma shairi katika diwani iliyo teuliwa na mwalimu kisah ajadili sifa za wahusika katika shairi hilo ili kutathmini uelewa.
-Kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi hilo
-kusoma shairi katika diwani teule na kujadili sifa za wahusika katika kikundi ili kutathimini uelewa.
Je sifa za wahusika katika shairi ni zipi?
-Kisw sahili gradi ya 9
Uk wa 112
-Matini ya mwalimu na mwanfunzi
Kiswa sahili gredi ya 9 uk wa 115-116
Matini ya mwalimu
Mabongo
Vifaa vya kidijitari
-kusoma -kuchambua sifa -Kutathmini -Orodha hakiki
7 1
sarufi
Vinyume vya vihusishi
Mnyambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kutambua vinyume vya vihusishi kwa kuvipigia mstari katika kifungu
-kisakira mtandaoni ili kutafuta vinyume zaidi
Aelekezwe kutabua vinyume vya vihusishi kwa kupigia mstari
-kuandika vinyume vya vihusishi villivyo pigiwa mstari katika daftari na kutunga sentensi.
Je utajuaje vinyume vya vihusishi
Uk wa 116
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 124
Kamusi
Vifaa vya kidijitali
Mabango
michoro
Kujaza pengo Kupigia mstari Kutunga sentensi
7-8

Mapumziko ya muhula wa kwaza

8 2-3
sarufi
sarufi
Sarufi
Kauli ya kutendeana
Mnyabuliko wa vitenzi kauli ya kutendesha
Aina ya sentensi Sentensi tata
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aelekezwe na aweze
-kueleza maana ya kauli ya kutendeana
-kutaja mifano ya nomino katika kauli ya kutendeana na kueleza viambishi vya kauli ya kutendeana.
-kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kifungu.
-kuchangamkia kuandika vitenzi na sentensi ya kutendeana
ndogo mwanfunzi aweze.
-kueleza maana ya kauli ya kutendesha katika mnyambuliko wa vitenzi
-kutaja mifano ya vitenzi katika kauli ya kutendesha.
-kutambua viambishi vya kauli ya kutendesha
- kutambua kwa kupigia mstari viambishi na nomino katika kauli ya kutendesha katika kifungu na kujaza pengo ipasavyo
Kueleza maana ya kauli ya kutendeana akitumia kamausi au mtandao
Kutaja vitenzi katika kauli ya kutendeana ili kuuibadilisha.
Kutambua kwa kupigia mstari viambishi vya kauli ya kutendeana katika sentensi na kufungucha maneno ipasavyo.
-kuandika vitenzi na kutunga sentensi katika kauli ya kutendeana ili kutathmini
Mwanafunzi aelekezwe.
-Kueleze maana kwa kusakira kwenye mtandao au kamusi maana ya kauli ya kutendesha.
-kutaja mifano ya vitenzi katika kauli ya kutendesha akizingatia muundo upasavyo.
-kuchangamkia kwa kupigia mstari viambishi na vitenzi katika kauli ya kutendesha katika sentensi kifungu au mtandao ni ipasavyo.
Je viabishi vya kauli ya kutendeana ni vipi
Je vitenzi katika kauli ya kutendesha hunyambuliwa vip?
Access
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 126-127
Matini ya mwalimu
Kamusi
Vifaa vya kidijitari
mabango
Access
Kisw sahili gredi ya 9 uk 127-129
Matini ya mwalimu kamusi vifaa vya kidijitali mabango picha
Kisw sahili
Gredi ya 9 uk wa 136-137
Matini ya mwalimu
Vifaa vya kidigitali
Picha na michoro
Kueleza Kutaja Kutambua Kutinga Sentensi Kujaza pengo kusoma
Kueleza Kutaja Kutambua Kupigia nstrari Kitnga sentensi Kujaza pengo Ordha hakiki
8 4
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo mawaidha
Mazungumzo mawaidha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo .
-kueleza maana ya mawaidha kwa kutumia kamusi au kusakura mtandaoni.
-kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia kwa mawaidha.
-kutambua sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbalimbali ambazo fanani anastahili kuwa nazo.
-kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo.
Mwanfaunzi aelekezwe.
-kueleza maana ya mawaidha akitumia mtandao au kamusi.
-kutambua ujumbe unaoweza kuwasilishwa kupitia mawaidha.
-kutambua na kuandika sifa za kimawaidha za kifasihi katika matini mbali mbali ambazo fanani asstahili kuwa nazo.
-kutambua na kueleza sifa za hadhira katika kuuliza na kujibu maswali ipasavyo.
Je sifa za fanani na hadhira katika mawaidha ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 139-140
Matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali.
Picha
michoro
Kisw sahili uk wa 141-142
mwanafunzi
Kueleza maana Kutambua ujumbe Kutambua sifa Orodha hakiki
8 5
kusoma
Kusoma kwa kina Mbinu za lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo mwanfunzi waeze.
-kutambua mbinu za lugha katika ushairi.
-kutaja mifano ya mbinu za lugha kama methali, tashihishi, sitiari na nahaukutambua matumizi ya mbinu za lugha kama zilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake
Kutambua mbinu za lugha katika shairi
Kutaja mifano ya mbinu za lugha kama vile methali, tashbihi, isitiari na nahau ipasavyo.
Kutambua matumizi ya kila mbinu kama ilivyotumika katika ushairi na kuchanganua maana yake ili kutathmini uelewa
Je mbinu za lugha katika ushairi ni zipi?
Access Kiswahili sahili gredi ya 9 uk wa 143-144
-matini ya mwalimu
-diwani za mashairi
-kutambua -kueleza -kuchanganua
9 1
kusoma
sarufi
Kusoma kwa kina ushairi
Ukanushaji hali ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kutunga shairi la beti tatu akishirikisha mbinu mbalimbali za lugha na kuziwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
- kusoma shairi teule na kuchambua akizingatia mbinu za lugha zilizotumika kisha kuandika mbinu hizo daftarini
-kutunga shairi la beti tatu akizingatia mbinu za lugha kisha kuliandika daftarini mwao na kuliwasilisha kwa wenzao ili kutathmini
-kusoma shairi teule na kuchambua mbinu za lugha za lugha zilizotumika ili kutathmini uelewa
Je unazingatia nini unapotunga shairi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 145
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidigitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 146-148
-chati na mabango
-Kutunga -kusoma kuchambua
9 2-3
sarufi
kuandika
Ukanushaji wa hali ya masharti -ngali
Ukanushaji wa hali ya masharti (-ki)
Insha za kiuamilifu shajara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya ukanusho wa hali ya masharti
- Kujadili umuhimu wa shajara
- kueleza aina za shajara ili kuzitofautisha na zingine
- kusoma shajara iliyo katika vitabu vyao kisha kujibu maswali ipasavyo
- Kuchangamkia kusoma vielelezo vya shajara katika matini mbalimbali
kujua maana ya ukanusho wa hali ya masharti
-kujadili umuhimu wa shajara katika maisha a kila siku
-kueleza aina za shajara ili kuzibaini
-kusoma kielelezo cha shajara kisha kujibu maswali yake ipasavyo
-kufurahia kusoma vielelezo mbalimbali vya shajara ili kujua umuhimu wa shajara
Ni kanuni zipi huzingatiwa katika ukanusho wa hali ya masharti -ngali
Je, shajara ina umuhimu gani?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 149-150
-matini ya mwalimu
-chati na michoro
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 151-152
-mabango
-michoro
-chati
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 158-159
-matini ya mwalimu
-kielelezo
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160
-kueleza -kusoma na kutambua -Kutunga sentensi na kifungu -Kutathmini
-Kujadili -kutambua -kusoma na kujibu maswali
9 4
sarufi
Ukubwa na udogo wa nomino a, Hali ya ukubwa wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya ukubwa wa nomino
- kutambua kiambishi katika hali ya ukubwa (-ji) katika umoja
- kutambua nomino katika hali ya ukubwa umoja na wingi katika matini mbalimbali
- kuchangamkia sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino na kutambua viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa
-kueleza na kuelewa maana ya ukubwa wa nomino
-kutambua viambishi katika hali ya ukubwa
-kutambua nomino katika hali ya ukubwa katika umoja na wingi katika matini mbalimbali
-kufurahia kutunga sentensi katika hali ya ukubwa wa nomino huku akizingatia viambishi vya ukubwa ili kutathmini uelewa
Je, hali ya ukubwa wa nomino huchukua kiambishi kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 160- 161
-matini ya mwalimu
-kamusi
-vifaa vya kidijitali
-kueleza -kutambua -Kutunga sentensi -kujaza pengo -Orodha hakiki
9 5
sarufi
kusoma
Hali ya udogo wa nomino
ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya udogo wa nomino
- kutambua nomino katika hali ya udogo
c, kutambua kiambishi knachotumika katika hali ya udogo wa nomino
- kutambua nomino katika hali ya udogo katika matini mbalimbali
- kuchangamkia kujaza jedwali na kutunga sentensi katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa
kueleza maana ya udogo wa nomino
-kutambua nomino katika hali ya udogo
-kutambua na kujadili kiambishi kinachotumika katika hali ya udogo wa nomino
-kutambua na kuandika nomino katika kauli ya udogo katika matini mbalimbali
-kufurahia kujaza pengo na kutunga sentensi akitumia nomino katika hali ya udogo ili kutathmini uelewa
Je, kiambishi katika hali ya udogo wa nomino ni kipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 162-164
-matini ya mwalimu
-kupu maneno
-kamusi
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 167-168
-matini ya mwalimu
Vifaa vya kidijitali .
-kueleza -kutambua -kuandika -Kujadili Kutunga sentensi -kujaza pengo -Orodha hakiki
10

Mjarabu wa mwisho wa mwaka

11 1
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .
-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .
-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu barua pepe ipasavyo ili kutathmini uelewaji .
-kujadili vipengee muhimu vya kuzingatia ili kuibu barua pepe .
-Kujadili matumizi ya lugha inyofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe
-Kuansaa vidokezopamoja na lugha inayofaa ili kujibu barua pepe kwa rafiki yake ipasavyo ili kuthamini kuelewa .
Je vipengele vya kuzingatia katika kujibu barua pepe ni vipi ?
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 169 - 170 .
-matini ya mwalimu
Na mwanafunzi .
-kiswahili gredi 9 ukurasa wa 174 - 174 .
Vifaa vya kidijitali .
picha
-Kujadili vipengele Kujadili lugha kuandika vindokezo kujibu barua pepe
11 2
Kuandika
Kujibu barua pepe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu  barua pepe ipasavyo ili kutathmini 
-Kujadili vipengele vya kuzingatia li kujibu barua pepe .-Kujadili lugha inayofaa katika kuandika barua ya kujibu barua pepe .-Kuandikia rafiki barua pepe akizingatia vipengele na vidokezo ambavyo vitamwezesah kujibu  barua pepe ipasavyo ili kutathmini 

Your Name Comes Here


Download

Feedback