Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA TISA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1

Mwanzo wa muhula

2 1
Usafi wa mazingira Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kusikiliza na kujibu . mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo :
-Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala
-Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala
-Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali
-Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari
-Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala
-Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake .
-Ashiriki mjadala darasani na wenzake.
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi
Chati kudi mane matini ya mwalimu
Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 .
-Kitambua -Kuuliza na kujibu maswali . -Orodha hakiki -Kueleza -Kushiriki mjadala .
2 2
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu simulizi
-Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza kuelwa habari
-kusoma kifunguu cha simulizi kwa zamu katika kifungo cha habari.
-Atambue habari mahususi katika kifungo cha simulizi kuhusu suala lengwa
-Andondoe habari muhimu katika kifungu cha simulizi
-Apange matkio yanavyofuatana katika kifungu
-Ajibu maswali ya ufahamu.
Je unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu simulizi ?
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6.
-Picha
-Michoro vifaa vya kidijitali .
-kusoma kutambua . -Kujibu maswali . -Kufanyia na tathmini .
2 3
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha simulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi
-kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu
-Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi.
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi.
-Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma
-Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha
-Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi.
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati
-Kamusi
-Matin ya mwalimu .
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Wanafunzi kufanyia na tathmini .
2 4
Kuandika
Viakifishi Alama ya koloni
Viakifishai Semi koloni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua alama ya koloni katka amtini
-kueleza matumizi ya koloni katka matini
-kutumia alama ya koloni ipasavyo katka matini
-Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya koloni katika matini mbalimbali
-Atambue alama ya koloni katika sentensia au vifungu kwenye matani andishi au za kidijitali.
-Kutunga sentensi au fifungu kifupi kuhusu swala lengwa kwa kutumia alama ya koloni ipasavyo.
Je alama koloni hutumiwa vipi katika maandishi ?
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 .
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kiditali
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 .
-Kadi
-Maneno .
-Kutambua -Kutunga sentensi . -Orodha hakiki -Kujaza pengo
2 5
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kueleza maana ya vihusishis
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani
-Kuchamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katka matni mbali mbali.
Katika makundi waili waili au peke yake aelekezwe:
-kueleza maana ya vihusishi vya mahali
-Atambue vihusishi vya mahali katika matani.
-Achangamkie kutumia vihusishi vya mhali katika matani mbali mbali
Je ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno
-Matini ya mwalimu
-kujaza pengo -Kuuliza Maswal na majibu -Kutunga sentensi -Kufanyiana tathmini
3 1
Sarufi
Vihsishi Vihusishi vya wakati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani
-Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini.
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati
-kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati
-Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika.
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango
-Vifaa vya kidigitali .
-kamusi
-kujaza pengo -maswali na majibu -Kutunga sentesnsi
3 2
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kina . Sauti - b - na -mb -
Kusoma kwa mapona
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb.
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno
-Matini ya mwalimu
Na mwanafunzi
-Kifaa cha kidijitari
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 .
-Matini mbali mbali za kujichagulia.
-kutambua -Kutunga vitanzi ndimi -Oroha hakiki
3 3
Kuandika
Insha za kiuamilifu . Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe unaotumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kueleza lugha inytumika katika kujibu barua ya kirafiki
-Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki.
-Kuchamkia kuchora muundo unaotuika katika kujibu barua ya kirafki .
-kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafki.
-kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki
-kuchora muundo wa kujibu barua ya kirafiki kitambuni
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu .
-Michoro
-chati
-Kutambua -Kuchora -Kujibu maswali -Kueleza . -Kujadiliana na wenzake.
3 4
Kuandika
Insha za kiuamilifu Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa
-Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku.
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni.
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali .
-Matini ya mwalimu.
-Kuandika barua -Kusomeana -Kufanya tathmini .
3 5
sarufi
Vihusishi . Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani
-kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini
-Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu
-Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko .
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali .
-Matini ya mwalimu.
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22.
-Vifaa vya kidijitali
-Kapu na kadi amneno
-Matini ya mwalimu
-kutambua -Kuulizana na kujibu maswali -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kufanya tathmini .
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Semi Tashbihi sitiari na methali Tashbihi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kueleze maana ya tashbihi
-Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi .
-Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi
-Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi .
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi
-Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi.
-Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi.
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-Kusoma -Kutambua -Kujadili -Kielezo maana -Kuchangamkia mazoezi .
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Semi . (sitiari na methali )
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi .
-Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi.
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu
Kapu la tashbihi
chati
-kufunga tathmini -kusoma hadithi -Kuwasilisha istiari -methali -mazoezi
4 3
Kusoma
Kusoma kwa kina . Sifa za ushairi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine
-Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi
-kueleza sifa za ushairi katika shairi
-Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi.
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi
-Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini? Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu
-Kifaa cha kidigitari
-mashairi
-diwani teule
-Vifaa vya kidigitari
-Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32
-kutambua -Kujadiliana na kutafiti -maswali na majibu -shairi
4 4
Kuandika
Insha za kubuni . Masimulizi .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi
-Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho .
-Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika
-Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo.
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi .
-Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho
-Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika.
-Atoe amelezo yake darasani.
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali
Matini ya mwalimu
Kielelzo cha insha.
-kusoma -kuchambua -Kijadilana -Kuulizana na kujibu maswali.
4 5
Kuandika
Sarufi
Insha za kubuni masimulizi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika insha ya masimuizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao
-Kuandika insha simulizi kwa kuzingati aujumbe na muundo ufaao .
-kuandika insha ya asimulizi daftarini mwake au kweny kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi ,kiini,hitimisho na wahusika
-Awasomee wenzake ili waitolee maoni .
Je unaff kuzingatia nini unapoa andika insha ya masimulizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33
-Matini ya mwalimu .
-Vifaa vya kidigitari
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kiditajitari
-Matii ya mwalimu .
-kuandika insha -Kufanyiana tathmini -Kielelzo cha barua iliyoandikwa
5 1
Sarufi
Vihusishi . Kihusishi na .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini .
-Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini .
-Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku .
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali .
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati
-Vifaa vya kidigitari
-Matini ya mwalimu .
-kutambua -Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
5 2
Kuskiliza na kuzungumza
Semi . vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua .
-Kutambua vitendawili ktika matini .
-Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi .
-Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi .
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili .
-Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili .
-Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili .
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi? Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu.
-Chati
-Michoro
-Kifaa cha kidigitali .
-kueleza -Kitendawili -kufafanua -Kuwasilisha vitendawili -Kutenga na kutengua.
5 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufasaha
Semi . Nahali .
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya nahu ili kupambanua .
-Kutambua nahau katika matini
-Kufafanua umuhimu wa nahu katika fasihi simulizi.
-Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi .
- kueleza maana ya nahau .
-Kutambua nahau mbali mbali katika matini ya fasihi simulizi na kueleza maan yake .
-Kutafiti mtandaoni umuhimu wa nahau .
-Atunge sentensi akitmia nahu ifaavyo
-Ajaze nafasi katika sentensi kwa kutumia nahau mwafaka .
Je nahau ni nini ?
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidijari.
kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43
-Vitabu
-Matini ya mwalimu .
-kujaza nafasi -Kutunga sentensis -Kujadili -Kutathmini.
5 4
Kusoma kwa ufasaha
Kusoma kwa ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo .
-Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano .
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha .
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu?
-kusoma -Kufanyiana tathmini.
5 5
Kuandika
Insha za kubuni masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha .
-Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi .
-Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi .
-Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi .
-Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari .
-Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kifaa cha kidijitari.
-kusoma -Kufanyiana tathmini
6 1
Kuandika
Sarufi
Insha za kubuni masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari
-Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano .
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari .
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu.
-Michoro
-vitabu
1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48
-Matini ya mwalimu .
-Picha
-michoro
-kuandika tathmini -Orodha hakiki -Kusomea wengine.
6 2
Sarufi
Nyakati na hali . Hali ya kufuata na kwa vitendo .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini .
-Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini .
-Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano .
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi .
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha michoro
-kueleza Mifano -mazoezi -Kutunga sentensi -Kutathmini
6 3
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kuskiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza
-Jadili vipengele vya ufahamu wa kusikiliza .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa kufahamu ili kukuza stadi za kusikiliza .
-Kueleza maan ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kutaja na kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza .
-Kujadili vipengele vya kusikiliza .
Je kuskiliza kwa ufahamu kuna faida gani?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Matini ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Picha
-michoro
-kusikilza na kujibu maswali .
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake .
-Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza .
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza .
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52
-Matini ya mwalimu na mwanafunzi .
-vifaa vya kidigitali
-Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54
-Matini ya mwalimu
-Picha
-Kusoma -Kusikiliza -Kuuliza maswali . -Kujibu maswali
6 5
Kusoma
Kusoma kwa ufahamu .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu .
-Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu .
-Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu .
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini .
-Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana .
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati
-Matini ya mwalimu
-Picha
-michoro
-kusoma -Kudondoa msamiati -Kutunga sentensi
7 1
Kuandika
sarufi
Insha za kiuamilifu . Shajara .
Hali yza masharti . -nge-
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya shajara .
-Kujadili vipengele vya shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake .
-Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku .
-Kueleza maana ya shajara .
-Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma .
-Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara .
-Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake .
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi? Je kwa nini watu utumia shajara?
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara
-Matani ya mwalimu
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58
-Chati
-Picha
-Michoro
-Vifaa vya kidigitali
-Kitambua -Kuuliza na kujibu. -Kujadili
7 2
sarufi
Hali ya masharti . -ngali)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini .
-Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo .
-Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha .
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu .
-Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari
-Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko .
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu
-Kutunga sentensi -Kuuliza maswali -kujaza pengo -Kutathmini.
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kufasiri .
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya a kufasiri kwa kusikiliza ili kubainisha .
-Kueeza misimamo na mielekeo kuhusu ujumbe wa matini ya kusikiliza .
-Kujenga mazoea ya kutambua misimamo na mielekeo katika matini mbali mbali ili kupata amaana ya ujumbe .
-kutafiti maan ya kusikiliza kwa ufasiri kutoka mtandaoni au maktaba na awasilishe matokeo ya utafiti .
-Kueleza msismamo na mielekeo kuhusu ujumbe katika matini mbali mbali anayosikiliza kuhusu suala lengwa .
-Kusikiliza habari kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijiari .
-Kuchambua msimamo na mielekeo kuhusu ujumbe.
Je ni misimamo ipi iliyopo katika matini ulizowahi kuskiliza?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62
-Matani ya mwalimu
-Vifaa vya kidigitali
-Matani ya mwanafunzi
-kuskiliza na Kuuliza -kueleza -kuchambua -kuandika na kujibu maswali.
7 4
Kusoma
Kusoma kwa kina . Ushairi . (Maudhui) .
Kusoma kwa kina . (dhamira)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Je maudhui ni nini katika kazi ya fasihi?
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu
Vifaa vya kidigitari
Picha za michoro
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65
-Matani ya mwalmu
-Vifaa vya kidigitari
-Kielezo -Kujadili -kuchambua -kusoma shairi.
7 5
Kuandika
Insha za kubuni . (methali)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali
-Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali .
-Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi .
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi .
-Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali .
-Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa .
Je insha ya methali inahusu nini? Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu
-Kueleza -Kusoma kielelzo -Kuandika insha .
8

Likizo fupi na mitihani

9 1
sarufi
Vielezi vya namna
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kujaza mifano ya vielezi vya namna .
-Kutambua vielezi vya nana katika matini mbalimbali kwa kupigia mistari .
-Achangamkie matumizi ya vielezi vya namna katika kutunga sentensi na kujaza pengo .
-Kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kutaja mifano ya vielezi vya namna
-Kutambua vielezi vya namna katika matini mbali mbali kwa kuupigia mstari .
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya namna katika vifungu vya sentensi na kjaza vihasho katika daftari .
Je vielezi vya namna hutumika vipi katika miktadha mbali mbali?
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu
Picha .
Michoro .
Kadi maneno
-kutoa mfano -kufanya mazoezi
9 2
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma
Kusikiliza kwa kutathmini
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- aeleza maana ya kusikiliza kwa Kutathmini kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni.
- Kujadili vipengele vya kizinga katika kusikiliza kwa Kutathmini.
-kusikiliza kifungu atakachosomewa na mwalimu akizingatia vipengele muhimu kusikiliza kwa Kutathmini
-Achangamkie kusikiliza kwa Kutathmini habari yoyote ya kujichagulia mtandaoni amsomee mwenzake ili amtolee maoni
-kusakura mtandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya Kusikiliza kwa Kutathmini
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika Kusikiliza na Kutathmini.
-Kusikiliza kwa makini kifungu atakachosomewa na mwalimu ili kutoa vipengele vinavyostahili kwa matini hiyo.
-kusakura mtandaoni ili kutoa habari atakayosomea mwenzake ili amtolee maoni.
Je kusikiliza kwa kutathmini kunahitaji nini?
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa wa 74-76
Matini ya mwalimu
-kamusi
-kifaa cha kidijitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 74-76
-kutafiti -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -Kutathmini
9 3
kuandika
Insha za kubuni (maelezo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya insha ya Maelezo akizingatia lugha inayoathiri hisia mbalimbali.
- Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika insha ya maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zilizotumika katika maelezo.
- Achangamkie kuandika insha ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia mbalimbali
-kueleza maana ya insha ya Maelezo kwa kutafiti katika mtandao au vitabuni.
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika maelezo.
-kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zinazojitokeza katika kuandika insha ya kubuni ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia katika suala lengwa na mitambuko mbalimbalihb
Je insha za kubuni za maelezo huzingatia hisia gani unapoandika?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 77-78
-matini ya mwalimu
-vifaa va kidijitali
-picha michor
-kamusi
-kutafiti -kueleza -Kujadili -kusoma -kujibu maswali -kuandika
9 4
sarufi
Vielezi vya mahali na vya idadi a, vielezi vya mahali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- keleza maana ya vielezi vya mahali
- Kutaja Mifano ya vielezi vya mahali
- kutambua vielezi vya mahali katika matini mbalimbali.
- Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo kwa kupigia mstari na kutungia sentensi.
-kueleza maana ya vieleza vya mahali kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-Kutaja vielezi vya mahali katika matini mbalimbali
-kutambua vielezi vya mahali kwa kuvipigia mstari
-Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo katika Kutunga sentensi na kunakili kifungu kifupi
Je vielezi vya mahali hutumika vipi katika mawasiliano?
Access kisw sahili gredi a 9 uk wa 79-80
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kutunga sentensi -Kutathmini
9 5
sarufi
vielezi vya idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya vielezi vya idadi
- kutaja mifano ya vielezi vya idadi.
- kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali
- kuchangamkia matumizi ya vielezi vya idadi ipasavyo kwakupigia mstari, kutunga sentensi na kutunga kifungu kifupi.
Mwanafunzi alekezwe:
-kueleza maana ya vielezi vya idadi kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni
-kutaja vielezi vya idadi kama ilivyo kwenye vitabu
-kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali
-kuumia vielezi vya idadi ipasavyo katika kutunga sentensi, kuandika kifungu kifupi na kupigia mstari ili kuthibitisha uelewa.
Je vielezi vya idadi hutumika vipi katika mawasiliani?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 81-82
-matini ya mwalimu
-kadi maneno
-kapu maneno
-picha
-kamusi
-vifaa vya kidijitali
-kutafiti -kueleza -Kutaja -kutambua -kujaza pengo -Kutunga sentensi -kuandika kifungu
10 1
Kusikiliza na kuzungumza
Uzungumzaji wa kushawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya uzungumzaji wa kushawishi
- kubainisha miktadha ya kijamii ambapo uzungumzaji wa kishawishi hutokea
-kujadili vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa kishawishi
asikilize mwenzake akifanya uzungumzaji wa kishawishi akizingatia vipengele muhimu ili kumtathmini
-kueleza maana ya mazungumzo ya kishawishi kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-kubainisha miktadha ya kijamii ambapo uzungumzaji wa kushawishi hutokea
-kujadili vipengele vya kuzingatia anapo zungumza kwa kishawishi
-asikilize miktadha mbalimbali ya kishawishi ili kutathmini vipengele vinavyotumika
Je vipengele vya uzungumzaji wa ushawishi ni vipi?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 83-84
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
-kusakula -kueleza -kubainisha -Kujadili -Kusikiliza
10 2
Kusoma
Kusoma kwa kina Ushairi a, mandhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndodo,
- kueleza maana ya mandhari katika fasihi andishi
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi
- kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi
- kuchangamkia kusoma shairi na kujibu maswali yake huku akitambua mandhari ya shairi hilo.
-kueleza maana ya mandhari kwa kusakira mitandaoni au vitabuni.
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi andishi
-kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi andishi
-kuchangamkia na kufurahia kusoma shairi na kujibu maswali yake akitambua mandhari katika suala lengwa
Je, utatambua aje mandhari katika ushairi?
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 84-86
-matini ya mwalimu
-picha
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -kusoma shairi
10 3
Kusoma
kuandika
Kusoma kwa kina b, muundo
Viakifishi mabano na kistari kifupi a, matumizi ya mabano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kueleza maana ya muundo katika fasihi andishi
-kutambua vipengele vya muundo katika shairi
-kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kudhibitisha uelewa.
-kutafiti na kusakira mtandaoni ili kueleza maana ya muundo katika fasihi
-kutambua vipengele muhimu katika shairi ikiwa ni pamoja na vina, mizani, beti na mishororo
-kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kutathmini uelewa
Je, viengele vya muundo katika shairi ni vipi?
Access kisw sahili gredi la 9 uk 87-88
-matini ya mwalimu
-picha
-michoro
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 88-89
-matini ya mwalini
-chati
-kusakura -kueleza -kutambua -Kujadili -kusoma na kukariri shairi -maswali na majibu
10 4
kuandika
Viakifishi Matumizi ya kistari kifupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya kistari kifupi
- kutambua matumizi ya kistari kifupi katika sentensi kama alama ya uakifishaji
- achangamkie na kufurahia kuandika sentensi na kifungu kifupi katika kifaa cha kidijitali au vitabuni ili kutathmini uelewa wa suala lengwa.
-kueleza maana na matumizi ya kistari kifupi
-kutambua matumizi ya kistari kifupi katika sentensi kama alama ya uafikishaji
-afurahie kuandika sentensi na kifungu kifupi akitumia kifaa cha kidijitali au vitabuni akitumia kuhusu suala lengwa ili kutathmini uelewa.
Je, kistari kifupi hutmika vipi na wapi?
Acess kisw sahili gredi ya 9 uk 89-90
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kutafiti na kueleza -kutambua -kuandikia -Kutathmini
10 5
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi a, ngeli ya u-zi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ya-ya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma mifano ya sentensi katika ngeli ya u-zi
- kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-zi katika sentensi
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi na kuandika vitabuni
- kuchangamkia kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
-kusoma mifano ya sentensi katika ngeli a u-zi
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi vya ngeli ya u-zi katika sentensi.
-kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi, umoja na wingi na kuviandika vitabuni
-afurahie kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa
Je nomino katika ngeli ya u-zi ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 91-92
-matini ya mwalimu
-kadi maneno
-michoro
-picha
-vifaa vya kidijitali
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 93-94
-kifaa cha kidigitali
-kamusi
-kusoma -kueleza -Kutaja -Kutunga sentensi -kujaza pendo
11 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza kwa kina Sauti j na nj
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
-kutamka sauti j nan j ipasavyo ili kuzibainisha
- kutambua kwa kupigia mstari sauti j nan j ili kizitofautisha
- kusoma vitanzandimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j na nj
-achangamkie kutunga vitanza ndimi akitumia nomino katika sauti j nan j kuvisomea wengine ili kuwatolea maoni
-kutamka sauti j na nj ipasavyo ili kuzibainisha
-kutambua kwa kupiga mstari sauti j na nj katika sentensi na kifungu
-kusoma vitanza ndimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j nan j
-kufurahia kutunga vitanza ndimi akitumia jozi ya maneno katika sauti ya j nan j kama vile: kuja-kunja
Ajali-anjali
Waja-wanja
Amsomee mwenzake ili kumtolea maoni
Sauti j nan j hutofautiana vipi katika matamshi?
Access kisw gredi ya 9 uk wa 96
-matini ya mwalimu
-kamusi
-picha
-kutamka -kutambua -kusoma -Kutunga vitanzandimi
11 2
kusoma
Kusoma kwa ufahamu Kifungu cha kishawishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma kifungu na kujibu maswali ya ufahamu
- kutambua msamiati ulio tumika na kuutungia sentensi
- kujadili faida ya vifaa vya kidijitali kama ilivyo elezewa katika kifungu
- kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu kifungu cha kishawishi
-kusoma kifungu cha ufahamu wa kishawishi na kujibu maswali ifaavyo
-kutambua msamiati ulivyotumika katika ufahamu na kueleza maana yake
-kujadili faida ya matumizi ya vifaa vya kidijitali kama ilivyo katika ufahamu
-kuchangamkia kujibu maswali na kutunga sentensi
Je, ni vipengele vipi vinavyo kuongoza kujibu maswali a ufahamu?
Access kisw sahili grade ya 9 uk wa 97-98
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kamusi
-kusoma na kujibu maswali -Kujadili -kutambua msamiati -Kutunga sentensi
11 3
kuandika
sarufi
Insha za kubuni (Masimulizi)
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (li)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu
- kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya.
- kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini
-kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya
-kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa
-kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu
-kielelezo cha insha
-kamusi
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 102-103
-chati
-mabango
-kusoma -kuandaa vidokezo -kutambua vipengele -kuandika
11 4
sarufi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ku)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kusoma na kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi ulivyo kolezwa rangi katika ngeli ya (ku)
- atambue kwa kutafiti na kusakira mitandaoni nomino katika ngeli ya (ku)
- kutambua kwa kupigia mstari vitenzi jina katika ngeli ya (ku)
- kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino au vitenzi jina katika ngeli ya (ku)
-kusoma na kutambua viambishi vya ngeli ya ku katika umoja na wingi
-kutambua kwa kusakira mtandaoni na vitabuni nomino katika ngeli ya ku
-kupigia mstari nomno katika nya ku ili kuzibainisha na zingine
-kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino katika ngeli ya ku ipasavyo
Je, nomino katika ngeli ya ku ni zipi?
Access kisw sahili grdi ya 9 uk wa 104-105
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-chati
-mabango
-kusoma -kutambua -Kutaja -Kutunga sentensi -Kutathmini
11 5
sarufi
Ngeli ya pa-ku-mu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu
- kutambua viambishi vya upatanisho wa sarufi ya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali
- kutambua na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi akitumia nomino hizo ili kutathmini uelewa
-kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali ipasavyo
-kuchangamkia na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi ili kuzitofautisha na zingine
-kutathmini kazi ya wenzao
Je viambishi vya ngeli ya pa-ku-mu ni zipi? Je, nomino katika ngeli ya pa-ku-mu ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa106-107
-matini ya mwalimu
Mabango
-chati
-kamusi
-vifaa vya kidigitali
-kusoma -Kutaja -kutambua -Kutunga sentensi -Orodha hakiki -Kutathmini
12 1
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya malumbano ya utani
- kutaji aina za malumbano ya utanikama atavyopata katika mitandai ama vitabu
- kujadili sifa za malumbano ya utani pamoja na vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
- kuwasilisha malumbano ya utani katika vikundi ili wayatolee maoni
-kueleza maana ya malumbano ya utani kwa kutafiti nas kusakura mitandaoni
-kutaja aina za malumbano ya utani ili kutofautisha na malumbano mengine
-kujadili sifa na vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi ili kutoleana maoni
Je, sifa za malumbano ya utani ni zipi? Vipengele muhimu katika malumbano ya utani ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 108-109
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-mwanafunzi
-kueleza -Kutaja -Kujadili -Kuwasilisha
12 2
Kusikiliza na kuzungumza
Mazungumzo Malumbano ya utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- kujadili vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani katika mawasilisho yao
- kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi vyao ili kutoleana maoni na kutathmini
-kujadili pamoja na wenzake vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika kikundi au wawili akizingatia vipengele muhimu ili kutathmini uelewa
Je, vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani ni zipi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa109-110
-matini ya mwalimu
-mwanafunzi
-Kujadili -Kuwasilisha -Orodha hakiki
12 3
kusoma
Ushairi Kusoma kwa kina wahusika
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo
- kueleza maana ya wahusika katika fasihi
- kujadili sifa za wahusika katika kazi ya fasihi andishi
- kusoma na kutambua wahusika katika shairi pamoja na sifa zake
-kueleza maana ya wahusika katika fasihi
-kujadili sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi
-kusoma shairi na kutambua wahusika na sifa zao
Je, wahusika ni kina nani katika shairi?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 110-111
-matini ya mwalimu
-vifaa vya kidijitali
-kueleza -kusoma -kuandika -kutambua -Orodha hakiki
12 4
kusoma
kuandika
Kusoma kwa kina Ushairi Wahusika karika shairi
Barua rasmi Barua ya kuomba kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza
-kusoma shairi katika diwani iliyo teuliwa na mwalimu kisah ajadili sifa za wahusika katika shairi hilo ili kutathmini uelewa.
-Kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi hilo
-kusoma shairi katika diwani teule na kujadili sifa za wahusika katika kikundi ili kutathimini uelewa.
Je sifa za wahusika katika shairi ni zipi?
-Kisw sahili gradi ya 9
Uk wa 112
-Matini ya mwalimu na mwanfunzi
Kisw sahihi gredi ya 9 uk wa 112-113
-matini ya mwali vifua vya kidijitali
-kusoma -kuchambua sifa -Kutathmini -Orodha hakiki
12 5
kuandika
Barua rasmi ya kuomba kazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze
-Kuadika barua rasmi ya kuomba kazi akizingatia ujumbe, muundo na lugha pamoja na vipengele muhimu katika daftari au kifaa cha kidijitali.
-kuwasomea wenzake barua aliyo iyandik ili waitolee maoni.
-kuandika barua rasmi ya kuomba kazi akifuata na kuzingatia vipengele muhimu na muundo na lugha ipasavyo.
-kusoma barua ilivyo iandika kwa wenzake ili waitolee maoni na kutathmini.
Je unapoadika barua rasmi huzingatia nini?
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 114
Matini ya mwalimu
Kuandika barua rasmi kutathmini
13

Mwisho wa muhula na mitihani


Your Name Comes Here


Download

Feedback