If this scheme pleases you, click here to download.
| WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| 1 |
Mwanzo wa muhula |
||||||||
| 2 | 1 |
Usafi wa mazingira
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza |
Kusikiliza na kujibu .
mjadala
Kusikiliza na kujibu . mjadala |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufikia mwisho mada ndogo : -Kutambua vipienegele vya kuzingatia katika kusikiliza na kuchangia mjadala -Kueleza vipgengee vya kuzingatia katika kskiliza na kuchangia mjadala -Kutazamana na kusikiliza mjadala lengwa katika vifaa vya kidigitali -Kuchngamkia kutambua vipengele muhimu katika mjadala |
katika makundi :
-KUtazama na kuskiliza mjadala kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kijitari -Atambue vipengele vya kuzingatia katika kuskiliza na kuchnagia mjadala -Ajadili vipengele alivyotambua kwenye daftari lake . -Ashiriki mjadala darasani na wenzake. |
Je unazingatia nini wakati wa kusikiliza na kuchangia mjadala ?
|
Acess kiswahili gredi ya 9 uk 1-3.
Vifao vya kidijitezi Chati kudi mane matini ya mwalimu Wanafunzi kiswahili ukwa wa 3 . |
-Kitambua
-Kuuliza na kujibu maswali .
-Orodha hakiki
-Kueleza
-Kushiriki mjadala .
|
|
| 2 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha simulizi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha simulizi -Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu simulizi -Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza kuelwa habari |
-kusoma kifunguu cha simulizi kwa zamu katika kifungo cha habari.
-Atambue habari mahususi katika kifungo cha simulizi kuhusu suala lengwa -Andondoe habari muhimu katika kifungu cha simulizi -Apange matkio yanavyofuatana katika kifungu -Ajibu maswali ya ufahamu. |
Je unafanya nini ili kupata habari zilizoko katika kifungu simulizi ?
|
-Kiswahili sahili gredi ya 9 uk 4 - 6.
-Picha -Michoro vifaa vya kidijitali . |
-kusoma kutambua .
-Kujibu maswali .
-Kufanyia na tathmini .
|
|
| 2 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha simulizi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kufanya ufasiri na utabiri kutokana na kifungu cha simulizi -kutambua na kueleza maana ya msamiati kama ulivytumika katika kifungu -Achangamkie kutumia msamiati alivyotumbua kwa usahihi katika utunzi wa sentensi. |
-kutabiri matukio katika kifungu kutkana na picha au matukio
-Afasiri habari kutokana na kifungu cha simulizi. -Atambue na kuorodhesha msamiati katika kifungu alichokioma -Aeleze maana aya msamiati kulingana na matumizi yake kimuktadha -Atunge sentensi akitumia msamiati huo kwa usahihi. |
Je utawezaje kutambua msamiati uliopo katika kifungu simulizi?
|
-Kiswahili gredi ya 9 uk wa 5 - 6
-Chati -Kamusi -Matin ya mwalimu . |
-Kutambua
-Kutunga sentensi .
-Wanafunzi kufanyia na tathmini .
|
|
| 2 | 4 |
Kuandika
|
Viakifishi
Alama ya koloni
Viakifishai Semi koloni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua alama ya koloni katka amtini -kueleza matumizi ya koloni katka matini -kutumia alama ya koloni ipasavyo katka matini -Kufurahia matumizi yafaayo ya alama ya koloni katika matini mbalimbali |
-Atambue alama ya koloni katika sentensia au vifungu kwenye matani andishi au za kidijitali.
-Kutunga sentensi au fifungu kifupi kuhusu swala lengwa kwa kutumia alama ya koloni ipasavyo. |
Je alama koloni hutumiwa vipi katika maandishi ?
|
-Kiswahili sahil gredi ya 9 uk wa 7-8 .
-Matini ya mwalimu -Kifaa cha kiditali -Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 9 - 10 . -Kadi -Maneno . |
-Kutambua
-Kutunga sentensi .
-Orodha hakiki
-Kujaza pengo
|
|
| 2 | 5 |
Sarufi
|
Vihsishi
Vihusishi vya mahali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kueleza maana ya vihusishis -Atambue vihusishi vya mahali katika matani -Kuchamkia matumizi yafaayo ya vihusishi vya mahali katka matni mbali mbali. |
Katika makundi waili waili au peke yake aelekezwe:
-kueleza maana ya vihusishi vya mahali -Atambue vihusishi vya mahali katika matani. -Achangamkie kutumia vihusishi vya mhali katika matani mbali mbali |
Je ni wakati gani tunatumia vihusishi vya mahali?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 10 - 11 .
-Kadi maneno -Matini ya mwalimu |
-kujaza pengo
-Kuuliza Maswal na majibu
-Kutunga sentensi
-Kufanyiana tathmini
|
|
| 3 | 1 |
Sarufi
|
Vihsishi
Vihusishi vya wakati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya wakati katika matani -Kutmia vihusishi vya wakati ipasavyo katika matini. |
-kutambua vihusishi vya wakati kutka kwa kapu maneno chati au mti maneno
-kutambua vihusishi vya wakati kutoka kwa kapu maneno na chati -kujaza nafasi kwa vihusishi vya wakati -Kutunga sentensi akitumia vihusishi vya wakati ipasavyo akizingatia maswala tambulika. |
Je vihusishis vya wakati vinatumika wakati gani ?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 11 -12 .
-Chati mabango -Vifaa vya kidigitali . -kamusi |
-kujaza pengo
-maswali na majibu
-Kutunga sentesnsi
|
|
| 3 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma |
Kusikiliza kwa kina .
Sauti - b - na -mb -
Kusoma kwa mapona |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambka sauti |
-kutambua sauti b na mb ipasavyo ili kuzitofautisha.
-Kusikiliza na kutamka sauti b na mb katika vitanza ndimi katika kifaa cha kidijitali . -Kushirikiana na wenzake kubuni vitanza ndimivyepesi vinavyo husiana na sauti b na mb. |
Je kutumia maneno yenye sauti -b - na - mb - yana umuhimu gani?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 14-15 .
-Mti maneno -Matini ya mwalimu Na mwanafunzi -Kifaa cha kidijitari -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 15-16 . -Matini mbali mbali za kujichagulia. |
-kutambua
-Kutunga vitanzi ndimi
-Oroha hakiki
|
|
| 3 | 3 |
Kuandika
|
Insha za kiuamilifu .
Barua ya kirafiki
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua ujumbe unaotumika katika kujibu barua ya kirafiki -Kueleza lugha inytumika katika kujibu barua ya kirafiki -Kufafanua muundo unaofaa katika kujibu barua ya kirafiki. -Kuchamkia kuchora muundo unaotuika katika kujibu barua ya kirafki . |
-kutambua ujumbe unaoafiki anapojibu barua ya kirafki.
-kueleza lugha inayofaa kujibu barua ya kirafiki -kuchora muundo wa kujibu barua ya kirafiki kitambuni |
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 17-18 .
-Matini ya mwalimu . -Michoro -chati |
-Kutambua
-Kuchora
-Kujibu maswali
-Kueleza .
-Kujadiliana na wenzake.
|
|
| 3 | 4 |
Kuandika
|
Insha za kiuamilifu
Barua ya kirafiki
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kujibu barua aya kirafiki akizingatia ujumbe ,lugha na muundo unaofaa -Kujenga mazoea ya kujibu barua ya kirafiki katika maisha ya kila siku. |
-kuandika na kujibu barua ya kirafiki akizingatia ujumbe,lugha na muundo unaofaa
-Kuwasomea wenzake barua aliyoiandika ili waitolee maoni. |
Je unazingatia nini unapojibu barua ay kirafiki?
|
-acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 18-19 .
-Vifaa vya kidijitali . -Matini ya mwalimu. |
-Kuandika barua
-Kusomeana
-Kufanya tathmini .
|
|
| 3 | 5 |
sarufi
|
Vihusishi .
Vihusishi vya A - unganifu
Vihusishi vya sababu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika matani -kutumia vihusishi vya a unganifu ipasavyo kaika matini -Kuchngamkia matumizi ya a unganifuifaavyo kaytika mahusiano |
-kutambua vihusishi vya a unganifu katika kapu maneno chati au katika tarakilishi.
-Kutambua vihusishi vya a unganifu katika sentensi au vifungu kwenye vitabu -Kutunga sentensi kwa kutumia vihusishi vya a unganifu akizingatia maswala mtaambuko . |
Je vihusishi vya A- unganifu hutumika vipi ?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 19-20 .
-Vifaa vya kidigitali . -Matini ya mwalimu. -Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 21-22. -Vifaa vya kidijitali -Kapu na kadi amneno -Matini ya mwalimu |
-kutambua
-Kuulizana na kujibu maswali
-Kutunga sentensi
-Orodha hakiki
-Kufanya tathmini .
|
|
| 4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Semi
Tashbihi sitiari na methali
Tashbihi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleze maana ya tashbihi -Kutabua tashbihi katika matani ya fasihi . -Kueleza matumizi ya tashbihi katika matani ya fasihi simlizi -Kuchangamkia kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo za fasihi simulizi . |
-kueleza maana ya tshbihi
-Atambue tashbhi katika matani ya fasihi -Aeleze matumizi ya tashbihi katik amatani ya fasihi simulizi. -Achangamkie kueleza matumizi ya tashbihi katika fungo la fasihi. |
Je tunatumia mbinu gani za lugha katika kuwasilisha tungo za fasihi simulizi ?
|
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 23-24 .
Matini ya mwalimu Kapu la tashbihi chati |
-Kusoma
-Kutambua
-Kujadili
-Kielezo maana
-Kuchangamkia mazoezi .
|
|
| 4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Semi .
(sitiari na methali )
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-aweze kutumia istiari katika uwasilishaji wa tungo la fasihi . -Kchangmkia matumizi ya istiari na methali katika tungo la fasihi simulizi. |
-kutumia istiari na methali katika uwasilishaji wa tung za fasihi simulizi
-Ashiriki katika uwasilishaji wa istiari na methali katika fasihi simulizi |
Je kwa nini tunatumia ishari na methalikuwasilisha tungo za fasihi simulizi?
|
Acess kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa kurasa wa 24 -26 .
Matini ya mwalimu Kapu la tashbihi chati |
-kufunga tathmini
-kusoma hadithi
-Kuwasilisha istiari
-methali
-mazoezi
|
|
| 4 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina .
Sifa za ushairi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya shairi ili kutofautisha na tungo nyingine -Kujadili sifa za ushairi kama utunzi wa fasihi andishi -kueleza sifa za ushairi katika shairi -Kufurahia kuchambua ushairi kama utungo wa fasishi. |
-kutafiti maana ya ushairi vitambuni au mtandaoni ili kutofautisha na fungo nyingine.
-kutambua sifa za ushairi utunzi wa fasihi andishi -Kujadiliana sifa za ushairi kama ufunzo wa fasihi simulizi |
Je shairi uiowahi kulisoma lilikua linasimulia nini?
Je unafahamu sifa zipi za ushairi?
|
-Kiswahili acess gredi ya 9 ukurasa wa 29-30.
-Matini ya mwalimu -Kifaa cha kidigitari -mashairi -diwani teule -Vifaa vya kidigitari -Kiswahili sahili gredi ya 9 ukurasa wa 31-32 |
-kutambua
-Kujadiliana na kutafiti
-maswali na majibu
-shairi
|
|
| 4 | 4 |
Kuandika
|
Insha za kubuni .
Masimulizi .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vipengelee vya kufafaulia ujumbe wa insha ya simulizi -Kufafanua ujumbe wa insha ya simulizi kupitia kwa utanguliizi kiini na hitimisho . -Kuafanua ujumbe wa insha smulizi kupitia kwa wahusika -Kufurahia kufafanua ujumbe wa insha simulizi ili kufanikisha maelezo. |
-kutambua vipengele vya kufanunua ujumbe wa insha simulizi
-Kusoma kielelezo cha insha simulizi . -Kufafanua ujumbe kupitia kwa utangulizi,kiini na hitimisho -Asome kielelzo cha insha ya masimulizi na kufafafnua ujumbe kupitia wahusika. -Atoe amelezo yake darasani. |
Je unafanya nini unaposimulia jambo ili ujumbe wako upate kueleweka zaidi ?
|
Kiswahil gradi ya 9 ukurasa 32-33
Vifaa vya kiditali Matini ya mwalimu Kielelzo cha insha. |
-kusoma
-kuchambua
-Kijadilana
-Kuulizana na kujibu maswali.
|
|
| 4 | 5 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za kubuni
masimulizi
Vuhusishi . Vihusishi vilinganishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika insha ya masimuizi kwa kuzingatia ujumbe na muundo ufaao -Kuandika insha simulizi kwa kuzingati aujumbe na muundo ufaao . |
-kuandika insha ya asimulizi daftarini mwake au kweny kifaa cha kidijitali akizingatia ufafanuzi ufaao wa ujumbe kupitia kwa utangulizi ,kiini,hitimisho na wahusika
-Awasomee wenzake ili waitolee maoni . |
Je unaff kuzingatia nini unapoa andika insha ya masimulizi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 33
-Matini ya mwalimu . -Vifaa vya kidigitari -Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34. -Chati -Vifaa vya kiditajitari -Matii ya mwalimu . |
-kuandika insha
-Kufanyiana tathmini
-Kielelzo cha barua iliyoandikwa
|
|
| 5 | 1 |
Sarufi
|
Vihusishi .
Kihusishi na .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vihusishi na katika matini . -Kutumia kihusshi na ipasavyo katika matini . -Kuchangamkia kutumia kihusishi na katika amawasiliano ya kila siku . |
-Kutambua kihusishi na katika sentensi kwenye vifungo kwa kupigia mstari .
-Atunge sentensi na vifungu kwa kutumia kihusishi na akizingatia maswala lengwa na masuala mtambuko mbali mbali . |
Je kihusishi na kuchngia vipi katika mawasiliano?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 34.
-Chati -Vifaa vya kidigitari -Matini ya mwalimu . |
-kutambua
-Kutunga sentensikufanya mazoezikutathmin
|
|
| 5 | 2 |
Kuskiliza na kuzungumza
|
Semi .
vitendawili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitendawili ili kuvipambanua . -Kutambua vitendawili ktika matini . -Kufafanua umuhimu wa vitendawili katika fasihi simulizi . -Kuchangamkia uwasilishaji wa vitendawili katika fungo za fasihi . |
-Kueleza maana ya vitendawili .
-Kutambua vitendawili katika matini ya fasihi simulizi . -Kutafiti mtandaoni au vitabuni umuhimu wa vitendawili . -Kujadili vipengele vya uwasilishaji vitendawili . -Kuwasilisha vitendawili kwa kuzingatia vipengele vya uwasilishaji wa vitendawili . |
Je vitendawili vina umhim upi katka fasihi simulizi?
Je unazingatia nini unapowasilisha vitendawili?
|
-Acess kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 37-38 .
-Matini ya mwalimu. -Chati -Michoro -Kifaa cha kidigitali . |
-kueleza
-Kitendawili
-kufafanua
-Kuwasilisha vitendawili
-Kutenga na kutengua.
|
|
| 5 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufasaha |
Semi .
Nahali .
Kusoma kwa ufasaha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya nahu ili kupambanua . -Kutambua nahau katika matini -Kufafanua umuhimu wa nahu katika fasihi simulizi. -Kuchangamkia matumizi ya nahau katika tungo za fasihi . |
- kueleza maana ya nahau .
-Kutambua nahau mbali mbali katika matini ya fasihi simulizi na kueleza maan yake . -Kutafiti mtandaoni umuhimu wa nahau . -Atunge sentensi akitmia nahu ifaavyo -Ajaze nafasi katika sentensi kwa kutumia nahau mwafaka . |
Je nahau ni nini ?
|
-Acess kiswahil gradi ya 9 ukurasa wa 39-40.
-Matini ya mwalimu -Picha -Michoro -Vifaa vya kidijari. kiswahli gredi ya 9 ukurasa 41-43 -Vitabu -Matini ya mwalimu . |
-kujaza nafasi
-Kutunga sentensis
-Kujadili
-Kutathmini.
|
|
| 5 | 4 |
Kusoma kwa ufasaha
|
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kifungu akizingatia ishara za misili ziffazo . -Kujenga mazoea ya kusoma kwa ufsaha ili kufanikisha mawasiliano . |
-Kusoma kifungu akizingatia ishara za mwili .
-Kisakuru kifungu cha nathari mtandaoni na kuwasome wenzake kwa ufasaha . |
Je unaposoma kifungu chochcote unazingatia mambo gani?
|
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 43.
Matini ya mwalimu? |
-kusoma
-Kufanyiana tathmini.
|
|
| 5 | 5 |
Kuandika
|
Insha za kubuni
masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya lugha ya kitamli,matendo ya wahusika na mandhari ili kubainisha . -Kujadili lugha za kitamathari,matendo ya wahusika na mathari katika insha ya masimulizi . -Kuchangamkia kufafanua lugha ya kitamathdali ,matendo ya wahusika na mandhari katika insha ya masimulizi . |
-Kutambua vipengele vya lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika na mandhari katika masimulizi kwenye matini andishi .
-Kueleza maan ya lugha ya kitamthlia ,matendo ya wahusika na madhari . -Kusoma vielelezo vya insha za kubni kwenye matini za maandishi na kulainisha lugha ya kita mathali ,matendo ya wahusika na mandhari . |
Je unazingatia vipengee vipi unapo andika insha ya masimulizi?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurusa wa 44 - 45.
-Matini ya mwalimu -Picha -Kifaa cha kidijitari. |
-kusoma
-Kufanyiana tathmini
|
|
| 6 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Insha za kubuni
masimulizi
Nyakati na hali . Ki- ya masharti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuandika insha ya masimuliizi akizingatia lugha ya kitamadhali ,matendo ya wahusika na mandhari -Kufurahia kuandika insha za masimulizi akizingatia lugha ya kitamathali ,matendo ya wahusika,uchoraji wa mandhari ufaao ili kufanikisha mawasiliano . |
- kuandika insha ya amasimulizi kuhusu suala lengwa akitumia vipengele vifaavyo vya lugha ya kitamadhari ili kujenga taswira zifaazo .
-Kuwasomea wenzake insha aliyoandika kuhusu suala lengwwa ili wachanganue lugha ya kitamadharli,matendo ya wahusika na madhari . |
Je unazingatia vipengee vipi unapoandika insha ya masimuizi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 46?
-Matini ya mwalimu. -Michoro -vitabu 1,kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 47-48 -Matini ya mwalimu . -Picha -michoro |
-kuandika tathmini
-Orodha hakiki
-Kusomea wengine.
|
|
| 6 | 2 |
Sarufi
|
Nyakati na hali .
Hali ya kufuata na kwa vitendo .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini . -Kutumia ka ya kufuatana kwa vitendo ipasavyo katika matini . -Kujenga mazoea ya matumizi ya ka ya kufuatana kwa vitendo ili kufanikisha mawasiliano . |
-kutambua ka ya kufuatana kwa vitendo katika matini mbalimbali
-Atambue sentensi zinazoashiria matumizi ya kufuatana kwa vitendo kutokana na mchnganyiko wa sentensi kwenye vitabu au tarakilishi . |
Je -ka ya kufuatana kwa vitendo hutumika wakati gani katika senstensi.?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 48 - 49 .
-Matini ya mwalimu -Vifaa vya kidigitali -Picha michoro |
-kueleza Mifano
-mazoezi
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 6 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Ufahamu wa kuskiliza
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya ufahamu wa kusikiliza . -Kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza -Jadili vipengele vya ufahamu wa kusikiliza . -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa kufahamu ili kukuza stadi za kusikiliza . |
-Kueleza maan ya ufahamu wa kusikiliza .
-Kutaja na kujadili kanuni za ufahamu wa kusikiliza . -Kujadili vipengele vya kusikiliza . |
Je kuskiliza kwa ufahamu kuna faida gani?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 51 -52 .
-Matini ya mwalimu -Vifaa vya kidigitali -Picha -michoro |
-kusikilza na kujibu maswali .
|
|
| 6 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Ufahamu wa kuskiliza
Kusoma kwa ufahamu . |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kushiriki katika ufahamu wa kusikiliza akizingatia vipengele vyake . -Kuchangamkia kushiriki katika kusikiliza kwa ufahamu ili kukuza stadi ya kusikilza . |
-Kusikiliza ufahamu kuhuzu suala lengwa ktoka kwa mwalimu na pia kwenye chombo cha kidijitali .
-Kushirikiana na wenzake kujibu maswali kutoka kwa ufahamu walioshirikiza . |
Je kusikiliza kwa ufahamu kuna faida zipi?
|
-Vifaa vya kidijitari
-Kiswahili gredi 9 ukurasa wa 51-52 -Matini ya mwalimu na mwanafunzi . -vifaa vya kidigitali -Kiswahli gredi ya 9 ukurasa wa 52-54 -Matini ya mwalimu -Picha |
-Kusoma
-Kusikiliza
-Kuuliza maswali .
-Kujibu maswali
|
|
| 6 | 5 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua msamiati kutoka kwa kifungu cha ufahamu . -Kueleza maan aya msamiati kulingana na kifungu cha ufahamu . -Kuchangamkia matumizi ya msamiati aliotambua katika sentensi na vifungu . |
-Kuchopoa msamiati wa suala lengwa kwenye kitabu
-Kueleza maana ya msamiati kulingana na muktadha wa matumizi katika matini . -Kutumia msamiati huo kutunga sentensi sahihi kisha amsomomee mwenzake ili kutoleana maana . |
Je ni mambo gani tunayozingatia tunaposoma kifungu cha ufahamu?
|
-Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 54-55
-Chati -Matini ya mwalimu -Picha -michoro |
-kusoma
-Kudondoa msamiati
-Kutunga sentensi
|
|
| 7 | 1 |
Kuandika
sarufi |
Insha za kiuamilifu .
Shajara .
Hali yza masharti . -nge- |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maan ya shajara . -Kujadili vipengele vya shajara . -Kuandika shajara akizingatia vipengele vyake . -Kuonea fahari matumizi ya shajara katika maisha ya kila siku . |
-Kueleza maana ya shajara .
-Kujadili na mwenzake shajara alivyoisoma . -Kutambua na kujadili vipengele vya shajara kwa kurejelea kielelezo cha shajara . -Kuandika shajara akizingatia vipengele vya vyake . |
Je muundo na mtindo wa shajara ni upi?
Je kwa nini watu utumia shajara?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukrasa wa 55-57.
-Kielelewzo cha shajara -Matani ya mwalimu -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 58 -Chati -Picha -Michoro -Vifaa vya kidigitali |
-Kitambua
-Kuuliza na kujibu.
-Kujadili
|
|
| 7 | 2 |
sarufi
|
Hali ya masharti .
-ngali)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya hali ya masharti ngali katika matini . -Kutumia hali ya masharti ngali ipasavyo . -Kuchangamkia matumizi yafaayo ya hali ya masharti ngali ili kukuza ufasaha wa lugha . |
-Kutafiti mtandaoni au vitabuni matumizi ya hali ya masharti ya ngali .
-Kutambua matumizi sahihi ya ngali katika sentensi au vifungu . -Kuchagua sentensi zinazoashiria matumizi ya hali ya ngali kutokana na mchanganyiko wa sentensi kwenye vitabu ,tarakiishi na kuvipigia mstari -Kutunga sentensi kuonyesha matumizi ya ngali akizingatia maswala mtaambuko . |
Je hali ya masharti nge hutumika vipi?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 59-60
-Matani ya mwalimu |
-Kutunga sentensi
-Kuuliza maswali
-kujaza pengo
-Kutathmini.
|
|
| 7 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusikiliza na kufasiri .
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya a kufasiri kwa kusikiliza ili kubainisha . -Kueeza misimamo na mielekeo kuhusu ujumbe wa matini ya kusikiliza . -Kujenga mazoea ya kutambua misimamo na mielekeo katika matini mbali mbali ili kupata amaana ya ujumbe . |
-kutafiti maan ya kusikiliza kwa ufasiri kutoka mtandaoni au maktaba na awasilishe matokeo ya utafiti .
-Kueleza msismamo na mielekeo kuhusu ujumbe katika matini mbali mbali anayosikiliza kuhusu suala lengwa . -Kusikiliza habari kuhusu suala lengwa katika kifaa cha kidijiari . -Kuchambua msimamo na mielekeo kuhusu ujumbe. |
Je ni misimamo ipi iliyopo katika matini ulizowahi kuskiliza?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 61-62
-Matani ya mwalimu -Vifaa vya kidigitali -Matani ya mwanafunzi |
-kuskiliza na Kuuliza
-kueleza
-kuchambua
-kuandika na kujibu maswali.
|
|
| 7 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina .
Ushairi .
(Maudhui) .
Kusoma kwa kina . (dhamira) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
Je maudhui ni nini katika kazi ya fasihi?
|
Kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 63-64
Mitani ya mwalimu Vifaa vya kidigitari Picha za michoro -kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 64-65 -Matani ya mwalmu -Vifaa vya kidigitari |
-Kielezo
-Kujadili
-kuchambua
-kusoma shairi.
|
|
| 7 | 5 |
Kuandika
|
Insha za kubuni .
(methali)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya insha ya methali -Kujadili vipengele muhimu katika uandishi wa insha ya methali -Asome kielelzo cha insha ya methali Na kuandika vindokezo atakavyotumia ili kuandika insha ya methali . -Andika insha ya methali kizingatia vipengele muhimu vya uanishi . |
-Kuelewe na kueleza maan ya insha ya methali
-Kujadili vipengele muhimu akizingatia ujumbe,mundo na lugha sahihi . -Asome kielelezo cha insha ya methali ili kuandaa vidokezo vitakavyo idhimisha kuandika insha ya methali . -Kuchngamkia uandishi wa insha ya methali huku akizingatia suala lengwa . |
Je insha ya methali inahusu nini?
Unazingatia nii kuandka insha ya methali?
|
-kiswahili gredi ya 9 ukurasa wa 66-68
-Matini ya mwalimu |
-Kueleza
-Kusoma kielelzo
-Kuandika insha .
|
|
| 8 |
Likizo fupi na mitihani |
||||||||
| 9 | 1 |
sarufi
|
Vielezi vya namna
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya vielezi vya namna -Kujaza mifano ya vielezi vya namna . -Kutambua vielezi vya nana katika matini mbalimbali kwa kupigia mistari . -Achangamkie matumizi ya vielezi vya namna katika kutunga sentensi na kujaza pengo . |
-Kueleza maana ya vielezi vya namna
-Kutaja mifano ya vielezi vya namna -Kutambua vielezi vya namna katika matini mbali mbali kwa kuupigia mstari . -Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya namna katika vifungu vya sentensi na kjaza vihasho katika daftari . |
Je vielezi vya namna hutumika vipi katika miktadha mbali mbali?
|
Kiswahili ukurasa wa 68-69
Matini ya mwalmu Picha . Michoro . Kadi maneno |
-kutoa mfano
-kufanya mazoezi
|
|
| 9 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
kusoma |
Kusikiliza kwa kutathmini
Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- aeleza maana ya kusikiliza kwa Kutathmini kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni. - Kujadili vipengele vya kizinga katika kusikiliza kwa Kutathmini. -kusikiliza kifungu atakachosomewa na mwalimu akizingatia vipengele muhimu kusikiliza kwa Kutathmini -Achangamkie kusikiliza kwa Kutathmini habari yoyote ya kujichagulia mtandaoni amsomee mwenzake ili amtolee maoni |
-kusakura mtandaoni au vitabuni ili kueleza maana ya Kusikiliza kwa Kutathmini
-Kujadili vipengele vya kuzingatia katika Kusikiliza na Kutathmini. -Kusikiliza kwa makini kifungu atakachosomewa na mwalimu ili kutoa vipengele vinavyostahili kwa matini hiyo. -kusakura mtandaoni ili kutoa habari atakayosomea mwenzake ili amtolee maoni. |
Je kusikiliza kwa kutathmini kunahitaji nini?
|
Kisw sahili gredi ya 9 ukurasa wa 74-76
Matini ya mwalimu -kamusi -kifaa cha kidijitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 74-76 |
-kutafiti
-Kujadili
-kusoma
-kujibu maswali
-Kutathmini
|
|
| 9 | 3 |
kuandika
|
Insha za kubuni
(maelezo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya insha ya Maelezo akizingatia lugha inayoathiri hisia mbalimbali. - Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika insha ya maelezo. -kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zilizotumika katika maelezo. - Achangamkie kuandika insha ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia mbalimbali |
-kueleza maana ya insha ya Maelezo kwa kutafiti katika mtandao au vitabuni.
-Kujadili umuhimu wa kutumia lugha inayo athiri hisia katika maelezo. -kusoma kielelezo cha insha ya Maelezo ili kutambua hisia zinazojitokeza katika kuandika insha ya kubuni ya Maelezo akitumia lugha inayo athiri hisia katika suala lengwa na mitambuko mbalimbalihb |
Je insha za kubuni za maelezo huzingatia hisia gani unapoandika?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 77-78
-matini ya mwalimu -vifaa va kidijitali -picha michor -kamusi |
-kutafiti
-kueleza
-Kujadili
-kusoma
-kujibu maswali
-kuandika
|
|
| 9 | 4 |
sarufi
|
Vielezi vya mahali na vya idadi
a, vielezi vya mahali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- keleza maana ya vielezi vya mahali - Kutaja Mifano ya vielezi vya mahali - kutambua vielezi vya mahali katika matini mbalimbali. - Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo kwa kupigia mstari na kutungia sentensi. |
-kueleza maana ya vieleza vya mahali kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-Kutaja vielezi vya mahali katika matini mbalimbali -kutambua vielezi vya mahali kwa kuvipigia mstari -Kuchangamkia matumizi ya vielezi vya mahali ipasavyo katika Kutunga sentensi na kunakili kifungu kifupi |
Je vielezi vya mahali hutumika vipi katika mawasiliano?
|
Access kisw sahili gredi a 9 uk wa 79-80
-matini ya mwalimu -picha -michoro -vifaa vya kidijitali -kamusi |
-kueleza
-Kutaja
-Kujadili
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 9 | 5 |
sarufi
|
vielezi vya idadi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya vielezi vya idadi - kutaja mifano ya vielezi vya idadi. - kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali - kuchangamkia matumizi ya vielezi vya idadi ipasavyo kwakupigia mstari, kutunga sentensi na kutunga kifungu kifupi. |
Mwanafunzi alekezwe:
-kueleza maana ya vielezi vya idadi kwa kutafiti mtandaoni au vitabuni -kutaja vielezi vya idadi kama ilivyo kwenye vitabu -kutambua vielezi vya idadi katika matini mbalimbali -kuumia vielezi vya idadi ipasavyo katika kutunga sentensi, kuandika kifungu kifupi na kupigia mstari ili kuthibitisha uelewa. |
Je vielezi vya idadi hutumika vipi katika mawasiliani?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk wa 81-82
-matini ya mwalimu -kadi maneno -kapu maneno -picha -kamusi -vifaa vya kidijitali |
-kutafiti
-kueleza
-Kutaja
-kutambua
-kujaza pengo
-Kutunga sentensi
-kuandika kifungu
|
|
| 10 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Uzungumzaji wa kushawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya uzungumzaji wa kushawishi - kubainisha miktadha ya kijamii ambapo uzungumzaji wa kishawishi hutokea -kujadili vipengele vya kuzingatia katika uzungumzaji wa kishawishi asikilize mwenzake akifanya uzungumzaji wa kishawishi akizingatia vipengele muhimu ili kumtathmini |
-kueleza maana ya mazungumzo ya kishawishi kwa kusakura mitandaoni au vitabuni.
-kubainisha miktadha ya kijamii ambapo uzungumzaji wa kushawishi hutokea -kujadili vipengele vya kuzingatia anapo zungumza kwa kishawishi -asikilize miktadha mbalimbali ya kishawishi ili kutathmini vipengele vinavyotumika |
Je vipengele vya uzungumzaji wa ushawishi ni vipi?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 83-84
-matini ya mwalimu -picha -michoro -kamusi -vifaa vya kidigitali |
-kusakula
-kueleza
-kubainisha
-Kujadili
-Kusikiliza
|
|
| 10 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa kina
Ushairi
a, mandhari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndodo, - kueleza maana ya mandhari katika fasihi andishi -kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi - kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi - kuchangamkia kusoma shairi na kujibu maswali yake huku akitambua mandhari ya shairi hilo. |
-kueleza maana ya mandhari kwa kusakira mitandaoni au vitabuni.
-kutaja mifano ya mandhari katika kazi ya fasihi andishi -kujadili umuhimu wa mandhari katika fasihi andishi -kuchangamkia na kufurahia kusoma shairi na kujibu maswali yake akitambua mandhari katika suala lengwa |
Je, utatambua aje mandhari katika ushairi?
|
Access kisw sahili gredi ya 9 uk 84-86
-matini ya mwalimu -picha -vifaa vya kidijitali -kamusi |
-kueleza
-Kutaja
-Kujadili
-kusoma shairi
|
|
| 10 | 3 |
Kusoma
kuandika |
Kusoma kwa kina
b, muundo
Viakifishi mabano na kistari kifupi a, matumizi ya mabano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza maana ya muundo katika fasihi andishi -kutambua vipengele vya muundo katika shairi -kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kudhibitisha uelewa. |
-kutafiti na kusakira mtandaoni ili kueleza maana ya muundo katika fasihi
-kutambua vipengele muhimu katika shairi ikiwa ni pamoja na vina, mizani, beti na mishororo -kuchangamkia kusoma shairi akizingatia maudhui na muundo ili kutathmini uelewa |
Je, viengele vya muundo katika shairi ni vipi?
|
Access kisw sahili gredi la 9 uk 87-88
-matini ya mwalimu -picha -michoro -kamusi -vifaa vya kidigitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 88-89 -matini ya mwalini -chati |
-kusakura
-kueleza
-kutambua
-Kujadili
-kusoma na kukariri shairi
-maswali na majibu
|
|
| 10 | 4 |
kuandika
|
Viakifishi
Matumizi ya kistari kifupi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kueleza maana ya kistari kifupi - kutambua matumizi ya kistari kifupi katika sentensi kama alama ya uakifishaji - achangamkie na kufurahia kuandika sentensi na kifungu kifupi katika kifaa cha kidijitali au vitabuni ili kutathmini uelewa wa suala lengwa. |
-kueleza maana na matumizi ya kistari kifupi
-kutambua matumizi ya kistari kifupi katika sentensi kama alama ya uafikishaji -afurahie kuandika sentensi na kifungu kifupi akitumia kifaa cha kidijitali au vitabuni akitumia kuhusu suala lengwa ili kutathmini uelewa. |
Je, kistari kifupi hutmika vipi na wapi?
|
Acess kisw sahili gredi ya 9 uk 89-90
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -kamusi |
-kutafiti na kueleza
-kutambua
-kuandikia
-Kutathmini
|
|
| 10 | 5 |
sarufi
|
Ngeli na upatanisho wa kisarufi
a, ngeli ya u-zi
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (ya-ya) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma mifano ya sentensi katika ngeli ya u-zi - kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya u-zi katika sentensi -kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi na kuandika vitabuni - kuchangamkia kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa |
-kusoma mifano ya sentensi katika ngeli a u-zi
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi katika umoja na wingi vya ngeli ya u-zi katika sentensi. -kutaja mifano ya nomino katika ngeli ya u-zi, umoja na wingi na kuviandika vitabuni -afurahie kutambua nomino katika ngeli ya u-zi katika matini mbalimbali ili kutathmini uelewa |
Je nomino katika ngeli ya u-zi ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 91-92
-matini ya mwalimu -kadi maneno -michoro -picha -vifaa vya kidijitali Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 93-94 -kifaa cha kidigitali -kamusi |
-kusoma
-kueleza
-Kutaja
-Kutunga sentensi
-kujaza pendo
|
|
| 11 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusikiliza kwa kina
Sauti j na nj
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo -kutamka sauti j nan j ipasavyo ili kuzibainisha - kutambua kwa kupigia mstari sauti j nan j ili kizitofautisha - kusoma vitanzandimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j na nj -achangamkie kutunga vitanza ndimi akitumia nomino katika sauti j nan j kuvisomea wengine ili kuwatolea maoni |
-kutamka sauti j na nj ipasavyo ili kuzibainisha
-kutambua kwa kupiga mstari sauti j na nj katika sentensi na kifungu -kusoma vitanza ndimi katika kifungu akizingatia matamshi bora ya sauti j nan j -kufurahia kutunga vitanza ndimi akitumia jozi ya maneno katika sauti ya j nan j kama vile: kuja-kunja Ajali-anjali Waja-wanja Amsomee mwenzake ili kumtolea maoni |
Sauti j nan j hutofautiana vipi katika matamshi?
|
Access kisw gredi ya 9 uk wa 96
-matini ya mwalimu -kamusi -picha |
-kutamka
-kutambua
-kusoma
-Kutunga vitanzandimi
|
|
| 11 | 2 |
kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
Kifungu cha kishawishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma kifungu na kujibu maswali ya ufahamu - kutambua msamiati ulio tumika na kuutungia sentensi - kujadili faida ya vifaa vya kidijitali kama ilivyo elezewa katika kifungu - kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu kifungu cha kishawishi |
-kusoma kifungu cha ufahamu wa kishawishi na kujibu maswali ifaavyo
-kutambua msamiati ulivyotumika katika ufahamu na kueleza maana yake -kujadili faida ya matumizi ya vifaa vya kidijitali kama ilivyo katika ufahamu -kuchangamkia kujibu maswali na kutunga sentensi |
Je, ni vipengele vipi vinavyo kuongoza kujibu maswali a ufahamu?
|
Access kisw sahili grade ya 9 uk wa 97-98
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -kamusi |
-kusoma na kujibu maswali
-Kujadili
-kutambua msamiati
-Kutunga sentensi
|
|
| 11 | 3 |
kuandika
sarufi |
Insha za kubuni
(Masimulizi)
Ngeli na upatanisho wa kisarufi Ngeli ya (li) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi kilichoko kitabunu - kutambua vipengele vilivyo tumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya. - kuandaa vidokezo vya kuandikia insha ya masimulizi na kuviandika daftarini -kuandika insha ya masimulizi akirejelea ujumbe, muundo na lugha akizingatia suala lengwa |
-kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi katika vitabu
-kutambua vipengele muhimu vilivyotumika kukuza mawazo tofauti katika kila aya -kuandaa vidokezo vitakavyo msaidia kuandika insha ya masimulizi kuhusi suala lengwa -kuchangamkia kuandika insha ya masimulizi akizingatia ujumbe, muundo na lugha ifaavyo na kurejelea suala lengwa |
Je, ni vipengele vipi vinavyozingatiwa katika uandishi wa insha ya masimulizi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 99-101
-matini ya mwalimu -kielelezo cha insha -kamusi Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 102-103 -chati -mabango |
-kusoma
-kuandaa vidokezo
-kutambua vipengele
-kuandika
|
|
| 11 | 4 |
sarufi
|
Ngeli na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ya (ku)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kusoma na kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi ulivyo kolezwa rangi katika ngeli ya (ku) - atambue kwa kutafiti na kusakira mitandaoni nomino katika ngeli ya (ku) - kutambua kwa kupigia mstari vitenzi jina katika ngeli ya (ku) - kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino au vitenzi jina katika ngeli ya (ku) |
-kusoma na kutambua viambishi vya ngeli ya ku katika umoja na wingi
-kutambua kwa kusakira mtandaoni na vitabuni nomino katika ngeli ya ku -kupigia mstari nomno katika nya ku ili kuzibainisha na zingine -kuchangamkia kutunga sentensi akitumia nomino katika ngeli ya ku ipasavyo |
Je, nomino katika ngeli ya ku ni zipi?
|
Access kisw sahili grdi ya 9 uk wa 104-105
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -chati -mabango |
-kusoma
-kutambua
-Kutaja
-Kutunga sentensi
-Kutathmini
|
|
| 11 | 5 |
sarufi
|
Ngeli ya pa-ku-mu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu - kutambua viambishi vya upatanisho wa sarufi ya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali - kutambua na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi akitumia nomino hizo ili kutathmini uelewa |
-kusoma na kutambua viambishi ngeli katika ngeli ya pa-ku-mu
-kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya pa-ku-mu katika matini mbalimbali ipasavyo -kuchangamkia na kutaja nomino katika ngeli ya pa-ku-mu na kutunga sentensi ili kuzitofautisha na zingine -kutathmini kazi ya wenzao |
Je viambishi vya ngeli ya pa-ku-mu ni zipi?
Je, nomino katika ngeli ya pa-ku-mu ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa106-107
-matini ya mwalimu Mabango -chati -kamusi -vifaa vya kidigitali |
-kusoma
-Kutaja
-kutambua
-Kutunga sentensi
-Orodha hakiki
-Kutathmini
|
|
| 12 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
Malumbano ya utani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kueleza maana ya malumbano ya utani - kutaji aina za malumbano ya utanikama atavyopata katika mitandai ama vitabu - kujadili sifa za malumbano ya utani pamoja na vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani - kuwasilisha malumbano ya utani katika vikundi ili wayatolee maoni |
-kueleza maana ya malumbano ya utani kwa kutafiti nas kusakura mitandaoni
-kutaja aina za malumbano ya utani ili kutofautisha na malumbano mengine -kujadili sifa na vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani -kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi ili kutoleana maoni |
Je, sifa za malumbano ya utani ni zipi?
Vipengele muhimu katika malumbano ya utani ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 108-109
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali -mwanafunzi |
-kueleza
-Kutaja
-Kujadili
-Kuwasilisha
|
|
| 12 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mazungumzo
Malumbano ya utani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kujadili vipengele vya uwasilishaji wa malumbano ya utani katika mawasilisho yao - kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika vikundi vyao ili kutoleana maoni na kutathmini |
-kujadili pamoja na wenzake vipengele muhimu vya uwasilishaji wa malumbano ya utani
-kuchangamkia uwasilishaji wa malumbano ya utani katika kikundi au wawili akizingatia vipengele muhimu ili kutathmini uelewa |
Je, vipengele muhimu katika uwasilishaji wa malumbano ya utani ni zipi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa109-110
-matini ya mwalimu -mwanafunzi |
-Kujadili
-Kuwasilisha
-Orodha hakiki
|
|
| 12 | 3 |
kusoma
|
Ushairi
Kusoma kwa kina
wahusika
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
ndogo - kueleza maana ya wahusika katika fasihi - kujadili sifa za wahusika katika kazi ya fasihi andishi - kusoma na kutambua wahusika katika shairi pamoja na sifa zake |
-kueleza maana ya wahusika katika fasihi
-kujadili sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi -kusoma shairi na kutambua wahusika na sifa zao |
Je, wahusika ni kina nani katika shairi?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 110-111
-matini ya mwalimu -vifaa vya kidijitali |
-kueleza
-kusoma
-kuandika
-kutambua
-Orodha hakiki
|
|
| 12 | 4 |
kusoma
kuandika |
Kusoma kwa kina
Ushairi
Wahusika karika shairi
Barua rasmi Barua ya kuomba kazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza -kusoma shairi katika diwani iliyo teuliwa na mwalimu kisah ajadili sifa za wahusika katika shairi hilo ili kutathmini uelewa. |
-Kusoma shairi na kichambua sifa za wahusika kama zinavyojitokeza katika shairi hilo
-kusoma shairi katika diwani teule na kujadili sifa za wahusika katika kikundi ili kutathimini uelewa. |
Je sifa za wahusika katika shairi ni zipi?
|
-Kisw sahili gradi ya 9
Uk wa 112 -Matini ya mwalimu na mwanfunzi Kisw sahihi gredi ya 9 uk wa 112-113 -matini ya mwali vifua vya kidijitali |
-kusoma
-kuchambua sifa
-Kutathmini
-Orodha hakiki
|
|
| 12 | 5 |
kuandika
|
Barua rasmi ya kuomba kazi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwanfunzi aweze -Kuadika barua rasmi ya kuomba kazi akizingatia ujumbe, muundo na lugha pamoja na vipengele muhimu katika daftari au kifaa cha kidijitali. -kuwasomea wenzake barua aliyo iyandik ili waitolee maoni. |
-kuandika barua rasmi ya kuomba kazi akifuata na kuzingatia vipengele muhimu na muundo na lugha ipasavyo.
-kusoma barua ilivyo iandika kwa wenzake ili waitolee maoni na kutathmini. |
Je unapoadika barua rasmi huzingatia nini?
|
Kisw sahili gredi ya 9 uk wa 114
Matini ya mwalimu |
Kuandika barua rasmi
kutathmini
|
|
| 13 |
Mwisho wa muhula na mitihani |
||||||||
Your Name Comes Here